Je, uvaaji kofia ni kinyume na maadili ya mtanzania?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona una kauzofu..tiritika baba[emoji23][emoji23][emoji23] dah..ndoa ya bites tu..unajinyakulia mke kiulainiii
[emoji28].. Hizi bana zinatokeaga mazingira yasiyotarajiwa. Mzee kamkuta binti yake red handed na jamaa, basi wanamaliza kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28].. Hizi bana zinatokeaga mazingira yasiyotarajiwa. Mzee kamkuta binti yake red handed na jamaa, basi wanamaliza kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ila ni kwa wale wazee desperate..siwsz ruhusu binti yangu akaolewa kiwwpesi namna hyo aisee.hqhahaa mkeka nahis unakuwa tayari kbs..dah..raha sana..
 
Hizi kofia sizipendagi kinyama, i rather stay bald headed!
 
yes hii namim naijua inaitwa cap..ss men wa age a 35 avae hii mm sipend kbs..sasa wadogo zake wa 23 wavae nn..mm hapana kwakweli
Hahahah we utakuwa unachukulia sivyo, ila love is compromising! Sikulaumu maana pia mie sipendi mwanamke avae vikuku in the same manner we haupendi mtu avae kofia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ