Je, uwekezaji unaifanya Tanzania koloni jipya la kujitakia?

Je, uwekezaji unaifanya Tanzania koloni jipya la kujitakia?

Historia yako mbovu kupita kiasi, Muingereza kaja hapa kamkuta Muhindi yupo.

Wewe unajinyonya nafsi yako tu.
Wahidi waliletwa kama manamba wa kujenga reli. Waliokuwap Afrika mashariki hawakuwa na ubavu wowote zaidi ya kuitwa maponjoro kutokana na umaskini waliokuwa nao. Walipopigwa jeki ndiyo hawa hawa unaowaona leo wakijifanya mtajiri baada ya kupewa fursa na mabwana zao wa kiingereza.
 
Toka usingizini usije ukawapa watu wengine kazi ya kukulea uzeeni mwako,chuki za ukabila haziwezi kukusaidia kitu...
Huwezi kubadili msimamo wangu. Isitoshe tupo wengi tunaojua kuwa magabcholi nyie ni wabaguzi na washenzi tena wenye roho mbaya na za kimaskini duniani hakuna. Kuna siku wadanganyika wataamka na kuwapa dawa yenu
 
Poa, it does not cost me anything except to just educate my people against gabacholis
"Baniani mbaya kiatu chake dawa".

Kumbuka wakati nchi hii inapata uhuru, madakatari, mapolisi, viwandani, wajenzi, mapolisi, wenye maduka. wahasibu, wapigania uhuru wengi walikuwa hao unaowaita leo majina ya kiajabu ajabu.

Wabunge, mawaziri, wachumi, wafanyabiashara tunao tokea uhuru wa nchi hii mpaka leo hii.

Pengine mama;ko au baba'ko walipozaliwa kama ni hospitali basi kama si daktari, mkunga alikuwa ni hao hao leo unawaita majina ya kiajabu.

Kama hiyo haitoshi, mpaka mapinduzi ya kwanza aliyofanyiwa Nyerere mwanajeshi aliyedinda kishujaa na kuzuwia wanajeshi walioasi mpaka lilipokuwa jesshi la Uingereza kwa manowari, alikuwa ni Mhindi aitwae Kanal Kashmir.

Ikiwa wazee wako wa nchi hii wote, kuanzia Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Mwendazake na sasa mama Samia wanawaheshimu na kuwakubali, wewe ni kama nani wa kuwa na chuki za kijinga?

Hivi wewe umetokea mkoa upi Tanzania hii?

Leo hao ndiyo wamekuwa wabaya? Kwa lipi zaidi walilokufanyia au kukosea?
 
"Baniani mbaya kiatu chake dawa".

Kumbuka wakati nchi hii inapata uhuru, madakatari, mapolisi, viwandani, wajenzi, mapolisi, wenye maduka. wahasibu, wapigania uhuru wengi walikuwa hao unaowaita leo majina ya kiajabu ajabu...
Sioni hoja ya msingi yakujadili hapa mwanangu. Unatetea uoza kuwa ni manukato. Magabacholi ni magabacholi. Ni wabaguzi wa kunuka tu hata kama unawalamba makalio upate mabaki ya mezani. Endelea kujitoa akili
 
Huwezi kubadili msimamo wangu. Isitoshe tupo wengi tunaojua kuwa magabcholi nyie ni wabaguzi na washenzi tena wenye roho mbaya na za kimaskini duniani hakuna. Kuna siku wadanganyika wataamka na kuwapa dawa yenu
Kumbe nilikua namuelewesha punguani.
 
Ni kweli. Ni punguani pekee anaweza kuelewa upunguani na utopolo wako. Pole kwa wazazi wako waliozaa zobaaa kama veve toto yangu jingaaaa
Wanaume wanasaka maisha kitaa ila wewe unakuja na kithd cha kulia lia hapa kama mjane.
 
Wanaume wanasaka maisha kitaa ila wewe unakuja na kithd cha kulia lia hapa kama mjane.
Sisaki maisha zaidi ya kutetea taifa langu. Siko peke yangu. Hata wanasiasa wanafanya hivyo. Lazima tujikosoe na kuonyana badala ya kuruhusu upuuuziii kama huu kwa taifa letu.
 
ukisoma kitabu cha 'the richest man in babylon' kuna mahali kijana alitoroka home na kwenda huko kutafuta maisha (avtually alikimbia madeni), alipofika huko akajiingiza makundi baadae akajikuta mtumwa dameski- bahati akawa camel tender (mana boss alisema wakeze wamfanye eunuch),

sasa baada ya kupata kazi ya kutunza ngamia aliyopendekezwa na mke mkubwa wa boss (sira?), akaamua kumshukuru bi mkubwa na kujitambulisha kwamba ati yeye sio mtumwa wa kuzaliwa bali ni alizaliwa mtu huru (son of a free man).

bi sira akampa za uso, akasema 'mtu anaweza kuzaliwa kama mtu huru, lkn ikiwa nafsi yake (limetumika neno soul) ni ya kitumwa basi huyo mtu atakua mtumwa tu, maana nafsi itairudia asili yake!.... akampa challenge kijana aprove kwamba sio mtumwa ni mtu huru!

nataka kusema, inawezekana tunaongozwa na watu ambao nafsi zao ni za kitumwa, kwaio pamoja na uhuru tulionao ila wao bado nafsi zao zinadai kurejea asili yake ya utumwa! Ndiyo mana unaona matendo ya ajabu ajabu wanayofanya, ambayo kwenye akili ya mtu huru hayakubaliki.

huwa sishangai ninapoona mtu ananyenyekea wazungu/waarabu.... na watu wanamsifu.... actually wenye nafsi za kitumwa ni wengi sana, bahati mbaya wengine ni viongozi, na wengine ni machawa!

mtu mwenye nafsi huru hawezi fanya matendo wanayofanya hawa ndugu zetu.... wana nafsi za kitumwa, zinalilia utumwa! ndio mana roho zao huwa zina amani wanapoleta wakoloni nchini, hata mkipiga makelele wanaziba masikio, maana nafsi zao zimefikia tulizo la haki (utumwa)!
 
Wahindi wako mbali wewe kijana. Wanaongoza ma giant ya makampuni duniani, waziri mkuu wa uingereza ni muhindi na asili kutoka Tanzania. Fikiria Tanzania ikipata kiongozi kama huyo.

Kuwa na uhusiano na wahindi ni kwa manufaa ya Tanzania.

Hawa wasomi wetu uchwara hatukuona la maana wamefanya na sasa unataka kusingixia wageni.

Dubai 90% ya watu wake ni wageni wakiwemo wahindi matajiri wawekezaji na angalia miujiza Dubai iliofanya kwa muda mchache.

Punguza dukuduku moyoni la ubaguzi na roho mbaya utaona faida ya kujihusisha na wenye akili.
 
Wahindi wako mbali wewe kijana. Wanaongoza ma giant ya makampuni duniani, waziri mkuu wa uingereza ni muhindi na asili kutoka Tanzania. Fikiria Tanzania ikipata kiongozi kama huyo...
Hata Obama kumbe ni mhindi ukiachia mbali Biden siyo? Nenda kaishi nao India uone uhovyo wao nyambaff kubwa sana. Tangu waletwe na kuachwa na wakoloni wamesaidia nini zaidi ya kuiibia na kuisikinisha Tanzania kumbaff you
 
Tanzania bado haijajua maana ya uwekezaji na ubinafsishaji. Bado tunaelewa kuwa uwekezaji na ubinasishaji ni kuwagawia watu wa nje nafasi za kutufanyia mambo yetu wakitegemea sisi tufaidike bure bure tu, jambo ambalo halipo kabisa duniani hapa. Laiti viongozi wetu wangekuwa na akili ya kujifunza jinsi China ilivyovutia wawekezajhi na kubinasisha baadhi ya miradi yao bila kuigawa hovyo hovyo na baadaye kuwaibia teknolojia wawekezaji hao.
 
Umetawaliwa sana na ubaguzi,ubaguzi unakutafuna bila hata ya wewe kujijua,

Unaonekana ni mtu uliyejikatia tamaa ya maisha,una mawazo ya kimasikini sana.
hayo mawazo duni ya Idi Amini yalikufa zamani pamoja na yeye mwenyewe. Wewe unajaribu kuyafufua. Dunia imepiga hatua na iko mbali sasa. Amka na funua macho mkuu. Ukaburu hautatusaidia
 
hayo mawazo duni ya Idi Amini yalikufa zamani pamoja na yeye mwenyewe. Wewe unajaribu kuyafufua. Dunia imepiga hatua na iko mbali sasa. Amka na funua macho mkuu. Ukaburu hautatusaidia
Una safari ndefu sana kwenye maisha yako ya uelewa wa mambo na jinsi Dunia inavyokwenda,mipango hupangwa kutokana na matokeo ya past,huwezi kusahau yaliyopita bali utajifundisha kwa yaliyopita ili kuyajenga na kua imara kwa yajayo,history ina play part kubwa sana katika mageuzi ya Dunia ya leo,toka usingizia Dunia itakuacha umekaa chini ya mti wa muembe na fulana yako begani ukipigwa na joto.
 
Sioni hoja ya msingi yakujadili hapa mwanangu. Unatetea uoza kuwa ni manukato. Magabacholi ni magabacholi. Ni wabaguzi wa kunuka tu hata kama unawalamba makalio upate mabaki ya mezani. Endelea kujitoa akili
Walikubagua nini? Au una shemeji wa kihindi kakutenda?
Upo mkoa gani?

Nijuavyo wazungu ndiyo walitutawala hapa wakatubaguwa.

Babu yako kanisa la mzungu alikuwa haingii, wewe je?
 
Wanangu mliopo humu hamjambo?

Leo nimesoma habari kuwa Muigizaji wa kihindi Sanjay Dutt atapewa ubalozi wa heshima ili kuitangaza Tanzania India. Kilichonishangaza ni ile hali ya Dutt mwenyewe kusema kuwa amekuwa akija Tanzania kila mwaka lakini hajawahi kuwa na hamu ya kuitangaza kama walivyo magabacholi wenzake ambao hupenda kuinyonya na kuwabagua watu wake pamoja na kwamba walikuja maskini wanatoka matajiri.

Je kwa tamaa na upofu, Tanzania imeamua kujigeuza koloni la wahindi wazungu na waarabu upya? Rais alipoteza mabilioni ya shilingi akifanya kazi za waziri wa utalii kwenye Royal isiyo royal chochote tua huku Marekani. Juzi ametuletea Deep Weed kuendesha bandari zetu. Kama haitoshi, sasa tunaletewa wahindi na kuwapa ubalozi wa heshima. Je huu ubalozi hauwezi kutumika kama chambo cha kutunyonyea kama alivyofanya Chavda alipopewa vibali haramu kuishi nchini wakati hatakiwi?

Je wewe kama mwenye nchi unasemaje kuhusu huu ubalozi wa heshima wenye kutia mashaka? Wahindi na ubaguzi wao wanaweza kufanya utalii gani Tanzania zaidi ya kuja kupiga madili? Je tumekuwa wa hovyo hivi kiasi cha kushindwa kujitangaza? Nini kazi ya wizara husika kama haiwezi kitu hadi itegemee wamanga na magabacholi?

Je tumeamua, kwa hiari, kujigeuza koloni la wageni kwa sababu ya ujinga na umaskini wetu?
Naomba kuwasilisha.
---

Dar es Salaam. Serikali imeeleza sababu ya kumwandaa kuwa balozi wa heshima msanii wa filamu kutoka nchini India, Sanjay Dutt kutokana na mapenzi yake kwa nchi na kuwa na wafuasi wengi watakaoona na kusikia kuhusu fursa za utalii nchini.

Hayo yameelezwa jana Septemba 18 na Mkurugenzi wa Utalii wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Thereza Mugobi baada ya kumpokea msanii huyo katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam.

Amesema lengo la kumchagua Dutt ni kuingia kwenye soko la India yenye idadi ya zaidi ya watu 1.4 bilioni.

“Msanii huyu ni mkubwa nchini India, ukifuatilia mitandao yake ya kijamii ana wafuasi zaidi ya 200 milioni. Kwa hiyo akituma kuhusu Tanzania, fikiria kuhusu wafuasi wote hao na siyo Wahindi peke yake bali pia ni dunia nzima, hata mimi pia ni mfuasi wake. Hivyo tunaamini kwamba kituo cha Tanzania kitasikika katika soko la India na soko kubwa la Asia, ambako pia tunalenga kufikia huko,” amesema.

Maelezo hayo yameungwa mkono na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Damas Mfugale akisema kwa kumchagua msanii huyo watafanikiwa kupenya kwenye soko la utalii la India.

“India ina idadi ya watu 1.4 bilioni na ni soko la watu wanaopoenda utalii. Takwimu zinaonyesha kuwa kuna watu milioni 200 wanasafiri kwenda nje kweye maeneo mbalimbali, kwa hiyo tumeliona kama ni soko la kimkakati.

“Huyu kuwa balozi wetu katika kutuwakilisha kama wananchi ni fursa kubwa kwetu. Tumeweka malengo kuwa ifikapo mwaka 2025 tunatakiwa tuwe tumefikisha watalii milioni tano, kwa hiyo katika kipindi cha miaka mwili mitatu ijayo tukiongeza watalii milioni 1.5 kutoka India tutakuwa tumefikisha malengo,” amesema.

Kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), idadi ya watalii kutoka nje ya nchi waliotembelea vivutio mbalimbali vya utalii katika kipindi cha Januari hadi Mei 2022 wameendelea kuongezeka hadi 458,048 ikilinganishwa na watalii 317,270 walioingia nchini kipindi kama hicho mwaka 2021, ikiwa ni sawa na asilimia 44.4.

Akizungumzia ujio wake, msaanii huyo amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuweka mazingira wezeshi ya utalii na amekubali ombi la kuwa balozi wa heshima kwa kuwa anaipenda Tanzania.

“Nimekuwa nikija Tanzania kwa miaka 30 iliyopita, nakuja kila mwaka, naipenda hii nchi. Sikuwahi kuitangaza hii kwa miaka yote lakini kwa sasa nitaitangaza Tanzania sana na nitaitambulisha kwa mashabiki wangu, watu wa nchi yangu na watu wengine wote duiani,” amesema.

Amesema mbali na maeneo maarufu kwa utalii kama hifadhi ya Serengeti na Ngorongoro, anakusudia pia kutangaza maeneo mapya kama Katavi na Ruaha.

Mmoja wa wenyeji wa msanii huyo ambaye ni Mkurugenzi wa kampuni ya Africab Group Tanzania, Yusuf Hatimali amesema ujio wa msanii huyo ni matokeo ya Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi ya kutangaza utalii duniani.

“Kwa hiyo matunda yote haya ni kutokana na filamu ya Royal tour, ndio tunaona msanii huyu amekuja Tanzania. Kwa kuwa ana wafuasi wengi, ataziweka utalii wetu kwenye Instagram watu wote duniani wataona, kwa hiyo atatusaidia Watanzania,” amesema.
Obvious, kama hufatilii mambo kwa ndani huwezi kuelewa hili.

Lakini uwekezaji Tanzania tumegeuzwa kuwa manamba
 
Walikubagua nini? Au una shemeji wa kihindi kakutenda?
Upo mkoa gani?

Nijuavyo wazungu ndiyo walitutawala hapa wakatubaguwa.

Babu yako kanisa la mzungu alikuwa haingii, wewe je?
Mbona uarabuni hakuna watu weusi wakati watumwa walipelekwa kama ilivyo mareakni?
 
Walikubagua nini? Au una shemeji wa kihindi kakutenda?
Upo mkoa gani?

Nijuavyo wazungu ndiyo walitutawala hapa wakatubaguwa.

Babu yako kanisa la mzungu alikuwa haingii, wewe je?
Msikti wako nao wa mzungu? Mbona waarabu wanasifika kuoa mabinti wa Kiswahili lakini wao wanakimbizia arabuni wawe sharmutah? Wote kwangu wabaguzi. Sema nyinyi wafanyakazi wao wa ndani mna tabia ya kuwalamba makalio
 
Wahindi wako mbali wewe kijana. Wanaongoza ma giant ya makampuni duniani, waziri mkuu wa uingereza ni muhindi na asili kutoka Tanzania. Fikiria Tanzania ikipata kiongozi kama huyo.

Kuwa na uhusiano na wahindi ni kwa manufaa ya Tanzania.

Hawa wasomi wetu uchwara hatukuona la maana wamefanya na sasa unataka kusingixia wageni.

Dubai 90% ya watu wake ni wageni wakiwemo wahindi matajiri wawekezaji na angalia miujiza Dubai iliofanya kwa muda mchache.

Punguza dukuduku moyoni la ubaguzi na roho mbaya utaona faida ya kujihusisha na wenye akili.
 
Back
Top Bottom