Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Yupi yule saida au Jack???Huyu mdada ambaye ni bodyguard wa Rais Samia ni mlimbwende yuko vizuri kabisa ila nauliza kama kuna uwezekano wa kukutana naye mtu apige naye story tu za kawaida walau tu kwa dka 20 ili mtu afaidi aone anavyo cheka tabasamu na kufurahia tu story za hapa na pale kuhusu mambo ya kawaida sana yasiyo husiana na serikali wala siasa.
Je utaratibu gan unaweza ukatmika ili kumpata kwa muda ambao yuko free.
Nataka Jack si ndio huyo mwenye uniform za jeshi ndio natakaYupi yule saida au Jack???
Waone kitengo wa kuambie ni mda gani anakuwa free (hayuko zamu)
S.L.PHuyu mdada ambaye ni bodyguard wa Rais Samia ni mlimbwende yuko vizuri kabisa ila nauliza kama kuna uwezekano wa kukutana naye mtu apige naye story tu za kawaida walau tu kwa dka 20 ili mtu afaidi aone anavyo cheka tabasamu na kufurahia tu story za hapa na pale kuhusu mambo ya kawaida sana yasiyo husiana na serikali wala siasa.
Je utaratibu gan unaweza ukatmika ili kumpata kwa muda ambao yuko free.
Huyo sio bodyguard huyo Ni ADCNataka Jack si ndio huyo mwenye uniform za jeshi ndio nataka
HakunagaHuyu mdada ambaye ni bodyguard wa Rais Samia ni mlimbwende yuko vizuri kabisa ila nauliza kama kuna uwezekano wa kukutana naye mtu apige naye story tu za kawaida walau tu kwa dka 20 ili mtu afaidi aone anavyo cheka tabasamu na kufurahia tu story za hapa na pale kuhusu mambo ya kawaida sana yasiyo husiana na serikali wala siasa.
Je utaratibu gan unaweza ukatmika ili kumpata kwa muda ambao yuko free.