Je, uwezo ( umahiri ) wa Walinzi ( Bodyguards ) wa Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu huwa ni sawa au hutofautiana kulingana na Vyeo husika?

Je, uwezo ( umahiri ) wa Walinzi ( Bodyguards ) wa Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu huwa ni sawa au hutofautiana kulingana na Vyeo husika?

Mtu mwenye cheo cha Kanali hawezi kufanywa bodyguard

Bodyguard ni askari ambao ni hawajasoma, na nao pia wanavyeo vyao huko chini
Hapo uliposema 'Bodyguards' ni Askari ambao hawajasoma sijakuelewa zaidi na naomba Ufafanuzi wa Kina juu ya hili ( hilo ) tafadhali.

Kuna walizokuwa 'Bodyguards' Wawili wa 'Mwendazake' walikuwa na Masters Degree na kuna Mmoja sasa anataka kuanza 'Doctorate' yake sasa uliposema kuwa hawajasoma ( siyo Wasomi ) kidogo sijakuelewa Mkuu.

Nina Rafiki yangu Mmoja ni wa Kikosi Maalum ( Commando ) sasa hivi yuko mwaka wa mwisho anasomea Udaktari wa Ubinadamu katika Chuo chao Kimoja cha Tiba kilichopo ndani ya eneo lao Nyeti na la Kimedani hapa hapa Mkoani Dar es Salaam.

Ni kwanini mnakariri kuwa Wanajeshi ( wana Medani ) wengi ( japo siyo Wote ) ni Mangumbaru ( Hawana Elimu ) wakati wengi tu walioko huko ( humo ) Wana Elimu Kubwa hata Kutuzidi Sisi akina GENTAMYCINE wenye 'tudigrii tumoja' tu?
 
Mkuu 'PSU' ni wapi huko na wapoje pia?
Kwani Mkuu Wa PSU Wa Sasa Ni Nani? Kbla ya Mama Sasha Kuwa Rais Mkuu Wa PSU Alikuwa Wambura, Ila Wambura namuona Yuko Kwa Makamu Wa Rais Kwa Sasa, Sasa Sijui Head of Psu Wa Sasa.
 
Sio makomandoo wote ni Majasusi,,,

Ila ili uwe Jasusi ni lazima uwe komandoo.
Walinzi wa viongozi ni watu hatari,, ni watu wenye macho yanayoona kisawa sawa (Ninaposema kuona namaanisha utambuzi).
Pamoja na kuwa kumlinda kiongozi ni jambo shirikishi linaloongozwa na mamlaka nyingi,,, hata Hivyo:
Usije ukajaribu kufanya jambo baya kwa kiongozi anaelindwa,, utaumia.

Nyongeza:
Achana na wale waliomshambulia warioba
Pia achana na yule aliemzaba kofi mwinyi
 
Sio makomandoo wote ni Majasusi,,,

Ila ili uwe Jasusi ni lazima uwe komandoo.
Walinzi wa viongozi ni watu hatari,, ni watu wenye macho yanayoona kisawa sawa (Ninaposema kuona namaanisha utambuzi).
Pamoja na kuwa kumlinda kiongozi ni jambo shirikishi linaloongozwa na mamlaka nyingi,,, hata Hivyo:
Usije ukajaribu kufanya jambo baya kwa kiongozi anaelindwa,, utaumia.

Nyongeza:
Achana na wale waliomshambulia warioba
Pia achana na yule aliemzaba kofi mwinyi
Sio kila jasusi anaweza kuwa komando ila komando anaweza kuwa jasusi ulichoandika ni kisengerenyuma pot
 
Kwa maana ya uwezo wanafanana tofauti inakuja kwenye idadi/uwingi wa walinzi hao kutokana na itifaki ya kiongozi anaepatiwa ulinzi.
Ndio maana unaona unavyoshuka chini kutoka kwa Mhe. Rais idadi ya walinzi inapungua.
 
Kwa hii comment yako ukinambia wewe askari nakataa hapo umetenyanga
Sasa kama umesoma unakuwaje staff sajini mkuu? Wengi waliosoma unakuta kama ameamua kuwa askari maisha yake yote ujue wanaogopa kozi ile ya afisa kadeti au nanga wanaokwama njiani kwenye kozi
 
Hapo uliposema 'Bodyguards' ni Askari ambao hawajasoma sijakuelewa zaidi na naomba Ufafanuzi wa Kina juu ya hili ( hilo ) tafadhali.

Kuna walizokuwa 'Bodyguards' Wawili wa 'Mwendazake' walikuwa na Masters Degree na kuna Mmoja sasa anataka kuanza 'Doctorate' yake sasa uliposema kuwa hawajasoma ( siyo Wasomi ) kidogo sijakuelewa Mkuu.

Nina Rafiki yangu Mmoja ni wa Kikosi Maalum ( Commando ) sasa hivi yuko mwaka wa mwisho anasomea Udaktari wa Ubinadamu katika Chuo chao Kimoja cha Tiba kilichopo ndani ya eneo lao Nyeti na la Kimedani hapa hapa Mkoani Dar es Salaam.

Ni kwanini mnakariri kuwa Wanajeshi ( wana Medani ) wengi ( japo siyo Wote ) ni Mangumbaru ( Hawana Elimu ) wakati wengi tu walioko huko ( humo ) Wana Elimu Kubwa hata Kutuzidi Sisi akina GENTAMYCINE wenye 'tudigrii tumoja' tu?
Utakuwa mgeni wa jeshi mkuu ,mjadala utakuwa mrefu Sana

Inshort ukiona mtu anacheo cha kanali basi tambua elimu yake si chini ya kidato cha sita, na pia ukiona mtu ni kolokolo jua hajasoma (i.e hana degree) kama alisoma basi alikuwa na sifa kuufikia ukanali sasa inakuwaje anakuwa kolokolo ? Watu wa hivyo wachache jeshini na huwa wanaogopa kozi au wanafeli kumaliza kozi
 
Sasa kama umesoma unakuwaje staff sajini mkuu? Wengi waliosoma unakuta kama ameamua kuwa askari maisha yake yote ujue wanaogopa kozi ile ya afisa kadeti au nanga wanaokwama njiani kwenye kozi
Wapo wasomi wabobezi kwenye fani zao wanashia vyeo vya chini, nadhani ni kutokana na umri, unakuta aliamua kuongeza Elimu umri ukiwa umeenda.
Niliwahi kufanya kazi Na staff Sergent ni Engineer registered kabisa na anaijua kazi vzr mno
 
Sasa kama umesoma unakuwaje staff sajini mkuu? Wengi waliosoma unakuta kama ameamua kuwa askari maisha yake yote ujue wanaogopa kozi ile ya afisa kadeti au nanga wanaokwama njiani kwenye kozi
Unauliza halafu unajibu mwenyewe upo vizuri elimu pekee sio kigezo tena miaka ya karibu wapo wengi elimu kubwa wanaenda junior ncos
 
Ukitaka kujua majibu mubashara fanya hivi; kampige ngumi mlinzi wa ngazi ya PM, ukipenya basi mpige ngumi mlinzi wa VP kisha ukifanikiwa gonga ngumi mlinzi wa P.
Hapo kote ukiokoka, basi utaleta majibu mujarabu kabisa kama wako sawa au la!
 
Lundo la walinzi kama la Magufuli, na bado mtu anakufa! Unajiuliza walikuwa wakilinda nini?
 
Unauliza halafu unajibu mwenyewe upo vizuri elimu pekee sio kigezo tena miaka ya karibu wapo wengi elimu kubwa wanaenda junior ncos

Kitu kingine hivi ni kweli unafikiria kwamba kanali anaweza kupangwa kama "bodyguard"
 
Wapo wasomi wabobezi kwenye fani zao wanashia vyeo vya chini, nadhani ni kutokana na umri, unakuta aliamua kuongeza Elimu umri ukiwa umeenda.
Niliwahi kufanya kazi Na staff Sergent ni Engineer registered kabisa na anaijua kazi vzr mno

Hivyo ni vile vitu kwenye general rule vinaitwa exceptions

By General rule Afisa jeshini ni msomi na askari sio msomi
 
Back
Top Bottom