Je, Uzinduzi Royal Tour ungekuwa na maana kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner & ATC kuzindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO?

Je, Uzinduzi Royal Tour ungekuwa na maana kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner & ATC kuzindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO?

Bwana Pascal Mayalla hiyo kampuni yako ikipewa tender hao abiria 500 utawapata kwa routes to and fro 3 kwa week, 1 kwa week, 1 kwa mwezi, 1 kwa ziara au 1 kwa mwaka?
Maiden trip ni excursion American tour kumsindikiza Mama kuzindua her movie The Royal Tour, na kazi itafanywa na a Tanzanian Tour Company na an American counterpart, the cost will be US $ 5,000 per person, Kwa Tanzania na US $. 10,000 for Americans, the cost cover a round trip, it includes US Visa, 5 days 4 nights in New York, 2** hotel,and a tourist hotel in Arusha Tanzania for US Tourists. My role ni publicity only kuhamasisha. Nitawapata 💯 Bongo Movies na Bongo Music Stars wakiongozwa na Mondi, Kiba, Chinga, Mpoto ToT etc. 💯 journalist, 💯 ma pedejee wa Bongo ambao hawawezi kupata US visa wenyewe. 💯 wana CCM kumsindikiza Mwenyekiti, na 💯 wajasiriamali. There will be two trips, ndege itakwenda na Watanzania, na kugeuza na 240 rich American tourist to Serengeti, Ngorongoro and Mt. Kilimanjaro.

The maiden trip ikifanikiwa tunaanza na a monthly. Na ili ndege isiende tupu naweza kuuza tuu a Disney Land School Trips Watanzania wanaosomesha watoto wao Academy, wengi watawalipia.

The only setback ni how to control the storeaways watakao taka kuzamia US!
P.
 
Nakuomba siku hiyo ikitangazwa tangazo la Ku board, nakuomba simama pembeni ya boarding gate, then wahesabu abiria walio board from Dar, wewe uwe the last to board, ukifika ndani, wahesabu abiria business wao wana board from lounge na VIP, wajumlishe na wale wa economy, then get the total, ili tuwaeleze hawa vichaa wetu wa ATCL, what a wasted opportunity they are missing!. Wakenya wanatubebea watalii wetu, wanatusombea kazi zetu, kule Rombo wanatubebea wake zetu, sasa hata kwenda Marekani, wanatubebea abiria wetu!, kwenye soko la AGOA wanatuingizia bidhaa zetu, hata kwenye kuutangaza utalii wa mlima Kilimanjaro, wanatutangazia mlima wetu kuwa uko kwao, ila unapandwa upande wa Tanzania!. Watanzania tutaendelea kulala mpaka lini?.
P
Ujamaa umelemaza Watanzania. Wakenya waliukataa Ujamaa ndiyo maana ni wepesi kuchangamkia fursa.
 
Maiden trip ni excursion American tour kumsindikiza Mama kuzindua her movie The Royal Tour, na kazi itafanywa na a Tanzanian Tour Company na an American counterpart, the cost will be US $ 5,000 per person, Kwa Tanzania na US $. 10,000 for Americans, the cost cover a round trip, it includes US Visa, 5 days 4 nights in New York, 2** hotel,and a tourist hotel in Arusha Tanzania. My role ni publicity only kuhamasisha. Nitawapata 💯 Bongo Movies na Bongo Music Stars wakiongozwa na Mondi, Kiba, Chinga, Mpoto ToT etc. 💯 journalist, 💯 ma pedejee wa Bongo ambao hawawezi kupata US visa wenyewe. 💯 wana CCM kumsindikiza Mwenyekiti, na 💯 wajasiriamali. There will be two trips, ndege itakwenda na Watanzania, na kugeuza na 240 rich American tourist to Serengeti, Ngorongoro and Mt. Kilimanjaro.

The maiden trip ikifanikiwa tunaanza na a monthly. Na ili ndege isiende tupu naweza kuuza tuu a Disney Land School Trips Watanzania wanaosomesha watoto wao Academy, wengi watawalipia.

The only setback ni how to control the storeaways watakao taka kuzamia US!
P.
😜
 
Zamani hizo nilipanda ndege PANAM kutoka Dar Mpaka Dakar. Pale Dakar tukaconnect to New York. Kufika New York nikaambiwa safari yangu bado[ ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda U.S] masaa nane tena kutoka New York Mpaka Seattle!!

Sijasafiri safari ndefu namna hiyo tena!!!
Mkuu wewe ni mkongwe kama ulisafiri na Panam. Hapo uchovu sio mchezo.
 
Mimi napenda safari za ku connect, ndege yangu ya sasa ni Quatar, wakati wa booking inaonyesha huna haraka hivyo connection ni more than 6 hours, ukifika Doha unakuwa shifted kwenye a 5 star hotel near airport na umelipwa full board. Unasafiri Kwa raha tuu.
Nikiamua kupanda KQ ni ili ku save money.
P
Nazipenda sana safari za Qatar airways. Doha pale hotel ni super. Napenda pia package zao za vyakula on board.
 
Kuingiza ndege USA direct kutoka Tanzania sio rahisi kama unavyodhani. Kenya walikua na hiyo ruhusa sijajua kwa sasa wanaendeleaje.
Kuna michakato mingi sana ya kiusalama before kupewa hicho kibali.

Nitashangaa sana kama hata hili haulifahamu.
Kumbuka hiyo ndege inambeba Rais wa nchi.
Pia Tanzania tunao mkataba na Marekani tayari kuhusu ndege zetu kuruka katika anga la Marekani.
 
Wanabodi,

Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya Leo ikiwa ni makala ya swali la hypothetical question (swali la kufikirika), Kwa njia ya "thinking aloud", yaani unawaza kwa sauti.

Swali ni hili "Jee uzinduzi wa filamu ya Royal Tour, unaofanyikia nchini Marekani, upi ungekuwa na maslahi zaidi Kwa taifa kama Rais Samia angetua nchini Marekani kwa dege Letu la Dreamliner, huku ATC ikizindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO? au kwenda Kwa ndege za watu, kuzindua kushangaa na kurejea, then what?.

Japo mimi sio mtaalam usafiri wa anga, lakini kusafiri nchi mbalimbali na katika misafa mbalimbali kumenipa exposure ya kutosha kuwaza kwa sauti.

Rais Samia na ujumbe wake, wako nchini Marekani, ambapo pamoja na mambo mengine, Rais Samia atafanya uzinduzi wa filamu yake ya Royal Tour.

Kwanza nitoe pongezi Kwa Sterling wa movie hiyo, mtu kuwa sterling wa movie yoyote kiukweli sii mchezo na kwa jinsi nilivyo ziona zile pati gazeti, "treilers", angekuwa ni Nyerere, asingeweza, Mwinyi, asingeweza, Mkapa ndio kabisa, na JPM asinge kubali hata huruhusu, mtu mwingine ambaye angeweza kuwa starling wa movie kama hii ni JK, tena angepatia zaidi kwa sababu ni "hechibii" kumkaribia Steven Kanumba, Will Smith, Denzel Washington or Sidney Pointer.

Uzinduzi wa Royal Tour kufanyikia Marekani, ni mahali sahihi Kwa sababu huko ndio a catchment areas za watalii wenye fedha.

Kwa mawazo yangu, kwa vile lengo , pamoja na mambo mengine, ni ku promote utalii, hakuna kitu kinacho ongoza Kwa kupromote utalii kama usafiri wa ndege wa direct flights.

Na hakuna kitu kinaitangaza nchi kimataifa kama kupeperusha bendera ya nchi moja kwenye nchi nyingine, hakuna kitu kinaipeperusha vizuri bendera ya nchi kimataifa kama the national flag carriers, yaani ndege za mashirika yakitaifa kutua viwanja vya nchi nyingine.

Hii ni mara ya pili rais Samia kwenda Marekani, mara zote anakwenda Kwa ndege za mashirika ya ndege za mashirika ya kibiashara ya nchi nyingine.

Rais Samia hasafiri safari za mbali za ndege zetu ili kukwepa gharama. Kuliamsha Dreamliner letu kutua Marekani ni gharama kubwa. Lakini kama ni kweli tumedhamiria Kwa dhati kuutangaza utalii wetu kimataifa, hatuwezi kukwepa gharama.

Tanzania na Marekani, tuna mkataba wa anga huria, hatuhitaji kuomba landing rights kwenye viwanja vyovyote vya Marekani, tunachohitaji ni kutoa tuu taarifa ili tutengewe a parking slot.

Dreamliner yetu ya Boeing 787 - 8 inabeba abiria 248 na Airbus ambapo abiria ni 240 na 8 crew. Tuki reserves nafasi 40 kwa rais na ujumbe wake, halafu tukabeba abiria 200, kila abiria alipe nauli ya US $ 5,000 kumsindikiza Mama Kuzindua Royal Tour, hao wasanii tuu wa Bongo Movies na Bongo Fleva wangeweza kuijaza. Ukijumlisha na wafanyabiashara, kampuni yangu ingepewa tender ya uhamasishaji hiyo trip, ningewapa abiria 500!.

Hivyo uzinduzi huo wa Royal Tour Nchini Marekani, would've made more sense kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner na ATC kuzindua Direct Flights from JRO -JFK -JRO.

Hakuna kitu kizuri kama Rais Samia angetua JFK Kwa Dreamliner na kupokelewa uwanjani hapo na Watanzania waishio Marekani kisha kuja nae hadi hotel aliyofikia.

Nikisema Watanzania ni wavivu kuchangamkia fursa, nitakuwa ninawaonea?. Kama ndege tunazo, abiria tunao, na soko lipo, hivi tuliinua hii midege ya nini?. Kweli ATC wanaona raha hii midege ya long distance haul, ikiruka domestic routes huku ikibeba vile vindoo vya samaki Sato kutokea Mwanza kuja Far na kwenda KIA pekee?. Tukisema pomoja na mambo mengine yote, lakini shirika letu la ndege kuendelea kupata hasara mwaka hadi mwaka kunachangiwa na menejinent kukosa wataalamu wa strategic thinking and planning kwenye airline business?.

Nawatakia uzinduzi mwema wa Royal Tour hiyo tarehe 18 na Pasaka Njema

Wasalaam.

Paskali
Kuna watu huko wanashinda na madarubini wakitazama angani upande wa mashariki, wakiulizwa wanatafuta nini hawasemi lakini minyororo yakufungia magurudumu inatia shaka.
 
Wanabodi,

Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya Leo ikiwa ni makala ya swali la hypothetical question (swali la kufikirika), Kwa njia ya "thinking aloud", yaani unawaza kwa sauti.

Swali ni hili "Jee uzinduzi wa filamu ya Royal Tour, unaofanyikia nchini Marekani, upi ungekuwa na maslahi zaidi Kwa taifa kama Rais Samia angetua nchini Marekani kwa dege Letu la Dreamliner, huku ATC ikizindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO? au kwenda Kwa ndege za watu, kuzindua kushangaa na kurejea, then what?.

Japo mimi sio mtaalam usafiri wa anga, lakini kusafiri nchi mbalimbali na katika misafa mbalimbali kumenipa exposure ya kutosha kuwaza kwa sauti.

Rais Samia na ujumbe wake, wako nchini Marekani, ambapo pamoja na mambo mengine, Rais Samia atafanya uzinduzi wa filamu yake ya Royal Tour.

Kwanza nitoe pongezi Kwa Sterling wa movie hiyo, mtu kuwa sterling wa movie yoyote kiukweli sii mchezo na kwa jinsi nilivyo ziona zile pati gazeti, "treilers", angekuwa ni Nyerere, asingeweza, Mwinyi, asingeweza, Mkapa ndio kabisa, na JPM asinge kubali hata huruhusu, mtu mwingine ambaye angeweza kuwa starling wa movie kama hii ni JK, tena angepatia zaidi kwa sababu ni "hechibii" kumkaribia Steven Kanumba, Will Smith, Denzel Washington or Sidney Pointer.

Uzinduzi wa Royal Tour kufanyikia Marekani, ni mahali sahihi Kwa sababu huko ndio a catchment areas za watalii wenye fedha.

Kwa mawazo yangu, kwa vile lengo , pamoja na mambo mengine, ni ku promote utalii, hakuna kitu kinacho ongoza Kwa kupromote utalii kama usafiri wa ndege wa direct flights.

Na hakuna kitu kinaitangaza nchi kimataifa kama kupeperusha bendera ya nchi moja kwenye nchi nyingine, hakuna kitu kinaipeperusha vizuri bendera ya nchi kimataifa kama the national flag carriers, yaani ndege za mashirika yakitaifa kutua viwanja vya nchi nyingine.

Hii ni mara ya pili rais Samia kwenda Marekani, mara zote anakwenda Kwa ndege za mashirika ya ndege za mashirika ya kibiashara ya nchi nyingine.

Rais Samia hasafiri safari za mbali za ndege zetu ili kukwepa gharama. Kuliamsha Dreamliner letu kutua Marekani ni gharama kubwa. Lakini kama ni kweli tumedhamiria Kwa dhati kuutangaza utalii wetu kimataifa, hatuwezi kukwepa gharama.

Tanzania na Marekani, tuna mkataba wa anga huria, hatuhitaji kuomba landing rights kwenye viwanja vyovyote vya Marekani, tunachohitaji ni kutoa tuu taarifa ili tutengewe a parking slot.

Dreamliner yetu ya Boeing 787 - 8 inabeba abiria 248 na Airbus ambapo abiria ni 240 na 8 crew. Tuki reserves nafasi 40 kwa rais na ujumbe wake, halafu tukabeba abiria 200, kila abiria alipe nauli ya US $ 5,000 kumsindikiza Mama Kuzindua Royal Tour, hao wasanii tuu wa Bongo Movies na Bongo Fleva wangeweza kuijaza. Ukijumlisha na wafanyabiashara, kampuni yangu ingepewa tender ya uhamasishaji hiyo trip, ningewapa abiria 500!.

Hivyo uzinduzi huo wa Royal Tour Nchini Marekani, would've made more sense kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner na ATC kuzindua Direct Flights from JRO -JFK -JRO.

Hakuna kitu kizuri kama Rais Samia angetua JFK Kwa Dreamliner na kupokelewa uwanjani hapo na Watanzania waishio Marekani kisha kuja nae hadi hotel aliyofikia.

Nikisema Watanzania ni wavivu kuchangamkia fursa, nitakuwa ninawaonea?. Kama ndege tunazo, abiria tunao, na soko lipo, hivi tuliinua hii midege ya nini?. Kweli ATC wanaona raha hii midege ya long distance haul, ikiruka domestic routes huku ikibeba vile vindoo vya samaki Sato kutokea Mwanza kuja Far na kwenda KIA pekee?. Tukisema pomoja na mambo mengine yote, lakini shirika letu la ndege kuendelea kupata hasara mwaka hadi mwaka kunachangiwa na menejinent kukosa wataalamu wa strategic thinking and planning kwenye airline business?.

Nawatakia uzinduzi mwema wa Royal Tour hiyo tarehe 18 na Pasaka Njema

Wasalaam.

Paskali
Pascal Mayalla umeongea mambo makubwa na tena yenye manufaa ya kiuchumi kwa nchi.

Tatizo la Tanzania kwa sasa ni kundi moja linalopambana kuiua legacy ya JPM.

Wanafanya yote hayo sio kwamba hawajui,la hasha...

Tatizo wanaona kwamba kutumia hiyo ndege kwenda nayo kwenye Uzinduzi wa Royal Tour,kutampa pia Credit JPM.

Jambo ambalo team Msoga hawalitaki kabisa.hata kwenye hiyo filamu ya Royal Tour usije kushangaa itakapozinduliwa ukakuta hata ATCL haikupewa kipaumbele kabisa.

Kwenye hiyo filamu unaweza kuta hata ile miradi ya miundombinu ya kimkakati kama SGR na mradi wa umeme wa JNHEP nao haukutangazwa ili kuwajulisha wawekezaji huko nje kwamba Tanzania ijayo ndio hiyo.

Wao wamejikita kupambana na marehemu kuliko kufanya mambo kwa maslahi ya nchi na wananchi wake.

Mlamba asali huwa halambi mara moja!
@CommonMwananchi10101
 
Wazo zuri
Yawezekana kuna mtihani kwenye kupata abiria
Labda iwe once a week

In the interim sio mbaya kuna KLM ama Swiss naona ndo rahisi huzunguki sana
 
Kuingiza ndege USA direct kutoka Tanzania sio rahisi kama unavyodhani. Kenya walikua na hiyo ruhusa sijajua kwa sasa wanaendeleaje.
Kuna michakato mingi sana ya kiusalama before kupewa hicho kibali.

Nitashangaa sana kama hata hili haulifahamu.
Anahis kuingiza ndege US ni kama kuingiza ndege tandahimba
 
Niliwahi kusikia route ya Mumbai,mara nikasikia ya DAR-Heathrow hivi hizi ziliishia wapi?? Ukitaka kuona hili shirika menejiment yake haipo serious waulize hizi Route kwanini zilikatishwa?
Hata mim siwez muamini mbongo anirushe na ndege safar ndefu hvyo... Wabongo tuna elimu za michingo asije ruban kutuua bure
 
Zamani hizo nilipanda ndege PANAM kutoka Dar Mpaka Dakar. Pale Dakar tukaconnect to New York. Kufika New York nikaambiwa safari yangu bado[ ilikuwa mara yangu ya kwanza kwenda U.S] masaa nane tena kutoka New York Mpaka Seattle!!

Sijasafiri safari ndefu namna hiyo tena!!!
Utafikiri unaenda mbinguni!
 
Mathread yako ya kisomi huwa marefu na sijamalizia kusoma
Drealiner aende nayo marekani kwani zimesharuhisiwa ndege zetu kusafiri huko?
Last time i checked tulikuwa banned.
 
wali ni hili "Jee uzinduzi wa filamu ya Royal Tour, unaofanyikia nchini Marekani, upi ungekuwa na maslahi zaidi kwa taifa kama Rais Samia angetua nchini Marekani kwa dege letu la Dreamliner, huku ATC ikizindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO? au kuendelea kwenda kwa ndege za watu, kuzindua, kushangaa na kurejea, then what?.
Kaka leo umeongea point hapa, saafi kabisa njoo inboxi kuna bishara tujadiliane.
 
Mathread yako ya kisomi huwa marefu na sijamalizia kusoma
Drealiner aende nayo marekani kwani zimesharuhisiwa ndege zetu kusafiri huko?
Last time i checked tulikuwa banned.
Mwanzo tulikuwa tunadaiwa fee za IATA, hii sio regular scheduled trip ni excursion American tour kumsindikiza Mama kuzindua Ile movie yetu ya The Royal Tour.
P
 
Dreamliner yetu ya Boeing 787 - 8 inabeba abiria 248 na Airbus ambapo abiria ni 240 na 8 crew. Tuki reserves nafasi 40 kwa rais na ujumbe wake, halafu tukabeba abiria 200, kila abiria alipe nauli ya US $ 5,000 kumsindikiza Mama Kuzindua Royal Tour, hao wasanii tuu wa Bongo Movies na Bongo Fleva wangeweza kuijaza. Ukijumlisha na wafanyabiashara, kampuni yangu ingepewa tender ya uhamasishaji hiyo trip, ningewapa abiria 500!.

Hivyo uzinduzi huo wa Royal Tour Nchini Marekani, would've made more sense kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner na ATC kuzindua Direct Flights from JRO -JFK -JRO.
Kongole Mkuu ,
Wewe ni THIK TANK, lakini Serikali ya CCM haina Utamaduni huu wa kuchukua Mafikara ya Raia wema.
Nchii hii inafeli kwa kutokuwatumia vema watu wake.
Akili za Watanzania zingeliweza kikwamua nchi katika mambo mengi, lakini hawakuwekewa Chanel.
Kila kitu tunaamini kuwa Wabunge eti ndio wataishauri serikali, Hata kama wengine hawakubarikiwa Vipaji ?

TAIFA LINAKUHITAJI Pascal
Kongole.

Ila nina wasi wasi kuwa
ATCL Haina ruhusa kurusha ndege zake nje ya nchi mpaka ilipe deni la miaka mingi inalodaiwa na IATA
Tokea enzi za Nyerere hadi mkapa alipoamua kuliuza shirika kwa matapeli wa SOUTH.
Yamkini deni ni kubwa mno.
 
Back
Top Bottom