Je, viongozi vijana wanatumia madaraka vizuri? Wanastahili nafasi zao?

Je, viongozi vijana wanatumia madaraka vizuri? Wanastahili nafasi zao?

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tumeshaona viongozi wetu hasa wanaume vijana wanachelewa kukuwa sana. Utamaduni wa Tanzania unadekeza sana wanaume unakuta vijana wapo miaka ya 30’s hadi 40 lakini utoto mwingi.

Swali: je, vijana wachapakazi lakini wenye utoto mwingi wapewe kazi au wasipewe?

Je, hawa vijana watatumia madaraka vizuri au la?
 
Back
Top Bottom