Je, Viongozi wa Idara ambao ni Wachagga waachie ngazi!??

Je, Viongozi wa Idara ambao ni Wachagga waachie ngazi!??

Status
Not open for further replies.
sasa huyo director kutoka minority group, akiona kuwa kuna minority katika waombaji tena kutoka kabila lake awape ka"upendeleo" ka aina fulani? Tutamzuiaje yeye kutowapendelea watu wa kabila lake au kula njama na minority mwingine ili wabadilishane wanaowapendelea ili wasioneshe ukabila "mkwere ampendelee msegeju, na msegeju ampendelee mkwere"?
pamoja nakua hutaki kukubali lakini habari ndio hiyooooooo!
 
huyu ndie anayefaa kuwa kiongozi, yaani mafisadi wangekoma, kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiii. Wangechapwa viboko hadi walie na nchi isingekuwa na mafisadi saa hii. Yupo wapi Ole Moloimet jamani!


Ole molaimet nadhani tangu aachwe na JK katika uteuzi wa Ma-dc nilimsikia kwa mara ya mwisho akijitetea kwenye magazeti kwamba alijua siku moja atauacha na hakuzaliawa nao.

Ila kiburi chake sasa kilikua kinatisha maanake hata kutukana anatukana tena laivu laivu.Duh,sheria mwitu at work!
 
Ole molaimet nadhani tangu aachwe na JK katika uteuzi wa Ma-dc nilimsikia kwa mara ya mwisho akijitetea kwenye magazeti kwamba alijua siku moja atauacha na hakuzaliawa nao.

Ila kiburi chake sasa kilikua kinatisha maanake hata kutukana anatukana tena laivu laivu.Duh,sheria mwitu at work!

Hapo alikuwa anakwenda beyond and above though ili hii nchi iendelee inahitaji dikteta, tutampata wapi dikteta au mtu mwenye sifa za uzalendo kama rais wa Bolivia na Venezuela? huyu ndio atafuta ukabila, udini pamoja na ufisadi. Tanzania tunahitaji kupelekwa jeshijeshi.
 
Nimesema ibaki kuwa MALI ya WATANZANIA wote.


Mku Wilcard,

Nimekuelewa maanke niliogopa usije ukawa unamaanisha kuwa-exclude wachagga kabisa katika kuwa na haki ya kuongoza taifa,maanake moja kwa moja wangekosa sifa ya utanzania
 
Wachaga hawawezi kukaa pembeni maana wana sifa za kuwepo katika nafasi walizopo labda kama wamezipata hizo nafasi kwa njia zisizo halali!Nafikiri sio katika kila nafasi kuna mchaga kwani kuna hata makabila mengine wana nafasi zao!sidhani kama ni haki kumlaumu mtu kutokana na kabila lake!kwanza naamini karne zijazo tutakuwa na kabila moja tu la kiswahili
katika idara yenye madereva 13 , 6 wachaga 12 makabila mengie afisa uajiri ameolewa na mchaga ofisa usafiri mchaga hiyo nayo
 
Hapo alikuwa anakwenda beyond and above though ili hii nchi iendelee inahitaji dikteta, tutampata wapi dikteta au mtu mwenye sifa za uzalendo kama rais wa Bolivia na Venezuela? huyu ndio atafuta ukabila, udini pamoja na ufisadi. Tanzania tunahitaji kupelekwa jeshijeshi.


Mama,

Umeongea point kubwa sana sana,tunahitaji madikteta wazalendo kama Akina Hugo Chavez na Gadaffi kwa kiasi fulani lakini huyu Gadaffi nae inabidi asizidishe ubinafsi.

Pia watu kama Raila Odinga wa Kenya,yaani mtu mwenye misimamo isiyoyumba mwenye kutaka usawa na mtu kutambuliwa kama Mtanzania kwanza.Natamani sana hiyo siku ifike ambapo kila mtoto wa kitanzania atajichorea T-shirt na kofia zilizoaandikwa 'I'm proud to be Tanzanian' tena kifuani.

Leo hii hata watu ambao spirit zao za kizalendo ni lazima zichagizwe na kuhisi faida kutoka ktk taifa lao au mpaka waone faida za utanzania wao kama Tomaso wa Bible ni vigumu kujivunia taifa lao.
 
Hapo alikuwa anakwenda beyond and above though ili hii nchi iendelee inahitaji dikteta, tutampata wapi dikteta au mtu mwenye sifa za uzalendo kama rais wa Bolivia na Venezuela? huyu ndio atafuta ukabila, udini pamoja na ufisadi. Tanzania tunahitaji kupelekwa jeshijeshi.

Mama,
I like your conclusion here.Ila ume overlook kitu kimoja... Watz tumezoea kubembelezwa.... kujidekeza... na ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo.. mpaka tunajawa na hisia hizi za ukabila... tunafisadiwa to the core... tumezoea kuongea weeeee lakini matendo ni kama ziiiiiiii! NO ACTION
Sasa huyo mjeshi unayempendekeza atuhenyeshe ataanzia wapi kabla? Akianza tu..humuhumu kwenye blog tutaanza kulalamika na kulaani kuwa hatufai. Tutamtafiti kuona katokea kabila gani, dini gani etc.Tutamjengea hoja ya kumtenga na kusema hatufai watanzania.
Nadhani labda tumwombe mola atushushie malaika atakayeweza ku accomodate matakwa ya kila mtu..( ITAKUWA MUUJIZA!)
 
Dar kuna Lita Mlaki na Charles Kenja, Viti maalmu CCM (NGO) kuna Mrs. mwangunga kutoka Singinda, Zanzibar (Chadema) kuna Anna Komu, Arusha kuna Felix Mrema, Kirimanjaro wabunge wote ni wachaga.

Haya leteni data zingine hapa

Nsololi

Mengine uliyosema ni sawa isipokuwa Anna Komu Si mchagga, ni Mzanzibar mngazija mwenzangu ila yeye amezaliwa Zanzibar kwa Bijokha. Jina lake la kuzaliwa ni Maulidah. Anna alilipata alipobabili dini. Lakini sasa amesharejea tena uislamu na makazi yake ni Zanzibar na DSM toka zaidi ya miaka kumi iliyopita.

Hebu tuambie zaidi, wabunge wa CCM wa viti maalumu wenye asili ya Kilimanjaro. Ni wangapi? Na ni wakina nani?

Asha
 
katika idara yenye madereva 13 , 6 wachaga 12 makabila mengie afisa uajiri ameolewa na mchaga ofisa usafiri mchaga hiyo nayo

Mkuu Mibavu,

Mhh,somo la hisabati nalo litangazwe janga la kitaifa?(joke)

Kwa hiyo sasa hata marital status za watu inabidi ziangaliwe sana sasa
 
Mku Wilcard,

Nimekuelewa maanke niliogopa usije ukawa unamaanisha kuwa-exclude wachagga kabisa katika kuwa na haki ya kuongoza taifa,maanake moja kwa moja wangekosa sifa ya utanzania

Binafsi huwa sihangaishwi na KABILA ya mtu kwa kuwa hakuiomba kutoka kwa MUUMBA wetu. Tatizo ni pale mtu, watu au kikundi fulani cha watu kinapotaka kutumia kabila, dini au rangi yao ili kupata au kutimiza malengo fulani. Kabila lako likusaidie tu kwenye KUTAMBIKA, KUZIKANA, (KUOA?) au kucheza ngoma, jando, unyago,...
 
Baadhi ya Mafisadi wakuu wa Tanzania:
1) Edward Lowassa.......Mchaga?
2) Daudi Balali...............Mchagga?
3) Nazir Karamagi............Mchaga?
4)Andrew Chenge.............Mchagga?
5) Nazir Karamagi.............Mchaga?


MJJ UMESAHAU:

Wachaga wote walioko Muhimbili na mahospitali mengine kama Madaktari waachie ngazi.
Walimu wote na maprofessa wote wa kichagga waachie ngazi?
 
Nsololi

Mengine uliyosema ni sawa isipokuwa Anna Komu Si mchagga, ni Mzanzibar mngazija mwenzangu ila yeye amezaliwa Zanzibar kwa Bijokha. Jina lake la kuzaliwa ni Maulidah. Anna alilipata alipobabili dini. Lakini sasa amesharejea tena uislamu na makazi yake ni Zanzibar na DSM toka zaidi ya miaka kumi iliyopita.

Hebu tuambie zaidi, wabunge wa CCM wa viti maalumu wenye asili ya Kilimanjaro. Ni wangapi? Na ni wakina nani?

Asha

Dada,

Je,Zakhi Hamdani Meghji? maanke hata kuolewa uchagani au kuoa nako ni utata mtupu.Kaazi kweli kweli
 
Dada,

Je,Zakhi Hamdani Meghji? maanke hata kuolewa uchagani au kuoa nako ni utata mtupu.Kaazi kweli kweli


This topic is getting too trivial... can it be closed to let people discuss serious and important issues?
By the time we are done with it we will realise that everybody has chagga connections somehow... hapo itakuwaje? Hoja ya Mzee Mwanakijiji kuwaondoa wachagga wote itatekelezeka?
 
Binafsi huwa sihangaishwi na KABILA ya mtu kwa kuwa hakuiomba kutoka kwa MUUMBA wetu. Tatizo ni pale mtu, watu au kikundi fulani cha watu kinapotaka kutumia kabila, dini au rangi yao ili kupata au kutimiza malengo fulani. Kabila lako likusaidie tu kwenye KUTAMBIKA, KUZIKANA, (KUOA?) au kucheza ngoma, jando, unyago,...

Wilcard,

Sasa hapo tuko pamoja.Ila tatizo hilo haliwezi kutatuliwa kwa kufanya collective punishment au judgement kwa kuanza kumfikiria negatively mtu atokaye katika kabila lenye tabia fulani.

Pia,hatuwezi kuwafikiria positively Watu kama wakurya kwamba woote ni majasiri, eti kwa kuwa wao wanaaminika sana katika jeshi letu
 
This topic is getting too trivial... can it be closed to let people discuss serious and important issues?
By the time we are done with it we will realise that everybody has chagga connections somehow... hapo itakuwaje? Hoja ya Mzee Mwanakijiji kuwaondoa wachagga wote itatekelezeka?

You are right,but kindly let us have the opportunity to see how we can move forward proudly as Tanzanians first
 
Mkuu Mibavu,

Mhh,somo la hisabati nalo litangazwe janga la kitaifa?(joke)

Kwa hiyo sasa hata marital status za watu inabidi ziangaliwe sana sasa
Du hapo nimechemsha
nawewe mshikaji hata nikikosea kutype imekua issue nilikua namaana 6 ndio wachaga na 7 ndio kabila nyingine
 
Du hapo nimechemsha
nawewe mshikaji hata nikikosea kutype imekua issue nilikua namaana 6 ndio wachaga na 7 ndio kabila nyingine

Mkuu,
Usijali haijawa ishu wala nini,otherwise sasa ningependekeza penalty ya namba.Si unakumbuka enzi zile za nondoz? (Jokes)
 
Suppose ikafikia hatu hiyo mikoa ya kanda ya kaskazini ikaona kwamba sasa inachukiwa na inataka kujitenga ili isiwe kikwazo kwa makabila mengine itakuaje?



Mimi naona hatred ikizidi wanaweza kufanya hivyo. Tena wanaouwezo mkubwa . Mimi nawapenda maana ni watu wako serious and realy dedicated to whatever they do . makabila mengine especially ya Pwani hawako hivyo.Hawajitumi ndio maana wanabaki vile. Wanawaonea wenzao wivu.

hawa wezi kufanya hivyo kwasababu kaskazini haiwatoshi labda waamue kwenda kenya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom