Je, Viongozi wa Idara ambao ni Wachagga waachie ngazi!??

Status
Not open for further replies.
Mwanakijiji hebu kuwa serious. Na wewe nenda kapige buku ufaulu then uombe uCEO, ukurugenzi uone kama haupata.
Acha chuk u na wachagga.ni haki yao na bado wanajuhudi kubwa sana ya kusoma na wataendelea kupata nafasi kubwa wewe unaona wivu.
Kama muda umeenda basi watoto wako nao wapige buku. Juhudi za wachaga ndio zinazofanya watoke. angalia tanzania nzima wapo, kabila lako wapo hivyo? wanaenda huko kutafuta kama sio kazi ni biashara.
 
Mwanakijiji Post yako ingawa ina sura mbaya ina mantiki na kupotray hali halisi. Kwanza suala la elimu, jamii nyingi imeweka nyuma ukilinganisha na wachaga hilo halina mjadala mimi nikiwa mchaga nathibitisha kwa hapo hamtuwezi. Mchaga ni mvumilivu na mtafutaji hasa kiasi hata cha baadhi ya ndugu zetu wahindi kujipa majina ya Utani ya kichaga. Nawaambia nimekwenda kaskazini kabisa ya Sweden mji unaitwa Kiruna kilometre chache tu kufika north pole kwa wanaojua nimekuta mchaga ana duka la vifaa vya umeme. Mzaramo hata hapo Chalinze hana kitega uchumi. Tukiingia kwenye mifumo ya mabenki wachaga ndio wanaongoza kuchukua mikopo na ndio wanaoongoza kulipa MIKOPO second to wahindi. Hawa ni risk takers wakubwa na kawaida the higher the risk the higher the return hivyo wao kufanikiwa ni WAZI KABISA. Tuache kulalama tuwaige kwa kasi wachaga na ndio tutafanikiwa. KUPIGA VITA WACHAGA HAKUANZI LEO , HATA NYERERE ALIJARIBU AKAKUTA NDIO ANAWAONGEZEA MAENDELEO YAANI NI KAMA KUKPIGA CHURA TEKE. I AM PROUD KUWA MCHAGA.
 
ianzishwe directorate ya kuajiri kwa ajili serikali na agency zake zote. Nafasi zote za kazi ziwe zinapelekwa kwenye hiyo directorate ambayo [Iitazitangaza na kufanya usaili kwa kuhusisha experts from the appropriate unit inayotaka mfanyakazi. [/I]

KWA TAARIFA TU HIYO DIRECTORATE ITAKUWA INAONGOZWA NA MCHAGA AU NAFASI KUBWA ZITAKUWA ZINASHIKILIWA NA WACHAGGA.
MNAJUA KWENYE AJIRA HAKUNA UBAGUZI. KINACHOKUPA KAZI NI QUALIFICATIONS ZAKO TU HIVYO WACHAGA WATAKUWEPO. LABDA WATANGAZE KUWA WACHAGA HAWATAKIWI KUOMBA KAZI KWENYE HIYO DIRECTORATE LAKINI SHERIA YA KAZI IPO, INASEMAJE? WATAKOSHAURI MUUNDO WA HIYO KITU KWA MKUU WA KAYA WAMO WACHAGGA.

NASHAURI MJADILI MAMBO YA MAANA. MKITOKA WACHAGGA MTAKUJA WAHAYA :whoo:
 
aliyetoa posti kama na yeye ni mchaga, naiona kama kejeli
 
Je Wachagga wanyanywe Biashara zao? Kwa sababu mimi naona wachagga wameshikilia sehemu kubwa ya biashara Tanzania especially transportation,tourism na communication. Mimi naona hapa ndiopo matizo lipo. Hawa wachagga wakihamua kufunga hoteli zao au wafanye mgomo wa usafiri wa anga au nchi kavu, inchi itakuwa kwenye hali mbaya saana. Kwa hivyo mimi naona Tatizo siyo wachagga kuwa serekalini, tatizo wachagga shikilia biashara nyeti za nchi.

Vile vile wakati Mwalimu Nyerere alipo to order ya kwamba uwiano wa shule/elimu uwe sawa miaka ya 80, kwa kuwafanya wachagga wasifaulu darasa la saba, Wachagga walianzisha private school. Ndio maana uchaggani kuna shule nyingi za private kuliko sehemu yetote TZ. Hata Dar. haina private school nyingi kama Kilimanjaro. Nashule hizi zinafundisha vizuri kuliko shule za serekali; matokeo yake, wachagga walipata elimu bora kuliko sisi tulio kwenda shule za sekondari wakati wa Mwalimu. Matokeo yake, viongozi wa serekali walianza kupeleka watoto wao uchaggani kupata elimu bora kama wachagga.

Mwisho, ningependa kusema kama tuta fanya chochote kuwazuia wachagga, tuwe makini kwa sababu wana weza kutafuta njia nyingine ambazo zitawafanya wa endelee kuliko jamii nyingine ya Tanganyika.
 


Hawa jamaa ni wabishi, watoto wao huwa wanajitahidi kusoma lakini inakuwa si bahati kwao kufaulu, ila hata tukisema tuwaondoe kwenye madaraka mbalimbali ya serikali wanaweza kuwa wafanyabiashara wakubwa wenye makampuni makubwa na wakaanza tabia zao zile zile.
 
Mwanakijiji

hebu kachungulie ppf

1. Idara ya fedha, mkurugenzi ni mchaga, amejaza wachaga wa kutoka wilaya yake. Wasio wachaga washida na kuondoshwa, anawatukana kama watoto wadogo, mkurugenzi mkuu anaangalia tu watanzania wanatukanwa kama watumwa

2. Mkurugenzi mkuu sio mchaga ila kalelewa mchaga ambaye ni mke wa mjomba wake. Yeye anaajiri watu wa mtwara hasa kwenye nafasi nyeti.

3. Ppf pia ichunguzwe hasa ajira zinazoendelea kuanzia 2007, wanawake wana pata shida na wakware hawa wakiongozwa na mkurugenzi mkuu. Usalama wa taifa wamchunguze anavyotumia u dg kupata wanawake wa kujifurahiha.

Ppf kunatisha

 
aliyetoa posti kama na yeye ni mchaga, naiona kama kejeli
Mimi pia ninahisi hivyo.
By the way, hebu tufanye tu kama maigizo, hiyo siku ikitokea itakuwa kichekesho sana. tunawezakuta maCEO wanachukuliwa watu kwa kupima uwezo wa kusoma na kuandika tu basi.Intermarriage zinazohusisha wachaga ni nyingi sana haswa kwa viongozi. Surely kama ikatokea hivyo naamini kuna baadhi ya idara zita collapse, maana kabila si kigezo cha watu kupewa hizo nyadhifa.
 
usiposoma kwa makini hutamuelewa MMM... either ameaddress ukabila au yeye ni mkabila but pia yawezekana yeye ni third part tu

Ingawa most likely kuna element yenye ukweli kwa namna moja au nyingine na yaweza kuwa pia kwa wahaya, wanyakyusa, wasukuma nk
 
Mwanakijiji na tungo tata, ni lazima uwe mzima kwenye fasihi ndio utamuelewa vizuri huyu mwandishi.
 
Very amazing thread!!! Lakini cha ajabu zaidi ni kwamba MODs wengi humu wameunga mkono!!!! Mmmmhhhhh huu mwendo sio kabisa!!! Anyway tuyaache hayo, tuje kwenye hoja..In my view, it's very asinine to believe in that!!!

Nadhani inabidi kina Mangi Mareale warejee harakati zao za kuomba uhuru wa Wachagga maana washaanza kunyanyapaliwa ndani ya nchi yao... Naogopa yanaweza kutokea yale waliyofanyiwa Wayahudi kule Ujerumani ya zama za Hitler. Ni kweli kwamba kuna hisia mbaya sana dhidi ya Wachagga sasa hivi tofauti na zamani kama MK anavyosema. Hii 'PREJUDICE AGAINST CHAGGA' ifanyiwe kazi haraka laa sivyo kunaweza kukatokea 'CHAGGA GENOCIDE' kama ile ya Bosnia.

Binafsi kuna vitu vinanishangaza sana kuhusu dhana hii ya UCHAGGA. Kuna wakati mwingine unaenda kufanya job interview hata kama unatumia surname ya kisukuma ( na pengine ndio kabila lako) bado unajengewa hisia kuwa wewe ni mchagga eti kwasababu una muonekano wa sura za watu wa kaskazini!!!!

Kuna makabila ambayo watu wake wana sura zenye muonekano wa Kichagga. Mfano ni Wapare, Wanyaturu, Wanyiramba, Wameru na baadhi ya watu wa makabila ya mkoa wa Tanga (kama Wasambaa). Wasiwasi wangu ni kwamba any Prejudice against Chagga itadhuru watu hao pia.

Lakini swali kubwa la kujiuliza ni Je kwanini chuki hii imeshika kasi sasa???
 
Haki mwanajiji umefisika kimawazo na sio siri tena mwenzangu heshima yangu kwako imefikia kikomo kutokana na hizi pumba ulizo wakilisha hapo. Na muomba mungu akusamehe bure.
 
Siamini unaweza kuandika thread kama hii yenye mtazamo potovu. Kwa bahati kwangu mimi nimekuelewa kuwa una "unfounded bitterness". Mungu alichokujalia usikitapanye ukawapa nguruwe au kunguru. Peleka watoto wako shule washindane na wachaga na wengine kwenye nafasi unazozitamani.
 
Thanks.
 
 
Mwanakijiji vipi?

Mwanahalisi, Raia mwema hamuoni madudu PPF?

Mbona kimya? Au ndio semina za wahariri zimewanyamazisha, mara Bagamoyo, mara Zanzibar, Arusha na... na...


 
Nonsense. Stupid topic. Erase those hateful idea of yours frm inside u o,u wl hate Chagga' tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…