Je, Viongozi wa Idara ambao ni Wachagga waachie ngazi!??

Status
Not open for further replies.
Mimi nilipotembelea tovuti ya bunge nikaangalia CV ya Wangwe na haikuwa ikijitosheleza.

Lakini baada ya kumsikiliza akihojiwa na mwanakijiji nikaona kwamba Chacha Wangwe ana points nyingi tu za kutiliwa maanani.

Chacha Wangwe anahitaji kusikilizwa, ila simaanishi kwamba naidhinisha yale yanayoiandama Chadema.
 
Suala la kutukana wenzie na kutaka kupigana linashusha credibility hata aongee politics gani. Kama anawafanyia hivyo viongozi wenzie sie wananchi kina kajamba nani sio ndio atatupeleka kama gari la mashindano! Uvumilivu ni kati ya sifa za kiongozi makini. Yeye abaki mwanasiasa tu lakini kwa uongozi am skeptical na leadership skills zake.
 
Hizo ni kauli tamu tamu!
Wewe uko upande wake wa ukabila na uache unafiki wa kutwist halafu ukisikilizwa unatwist tena na kuanza na UKABILA WAKO WA mekuu!
 
teh teh teh teh tehhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mkuu Mtanzania,

Heshima mbele, Chadema ni chama cha siasa kama vingine, na kuna some of us tumekuwa tukiwategemea sana na bado tunaaaminia pia, matatizo ndani ya chama ni kawaida, lakini bado ninalia kuwa hili la Wangwe hawakuli-handle kisiasa, siasa za taifa hupangwa haishitukizwi,

Tatizo kwenye siasa sio kuanguka, ila ni how far umeanguka, Public Opinion ndiyo hasa uti wa mgongo wa Chadema, kwenye hili wameharibu tena sana na bado hawajisadii na hizi kampeni wanazozifanya, Makamba sio siri kuwa kwa sasa hatakiwi kabisa ndani ya CCM, lakini bado analiwa timing ya kisiasa na wanaohusika, so far yuko kwenye life support it is only a matter of time kabla hajasukumwa au kujisukuma mwenyewe, kinachoendelea sasa ni yeye kupewa nafasi ya kujimaliza mwenyewe na he is doing very good kwenye hilo, that is politics za taifa,

No question kuwa the man Wangwe is a thug, lakini ni mwanasiasa mzuri kwa sababu anaweza propaganda, serious ishus yeye anazijibu kama nothing, lakini between the line unaona kuwa ishus ni serious hasa anazoshutumiwa, viongozi wa Chadema wajifunze kuwa kuna siasa za ndani za chama na siasa za bunge na mafisadi, kwa sababu they come accross kama ni very angry leaders, wajifunze kufanya transition between kupigana na ufisadi kwenye taifa na how to deal na matatizo ya ndani ya chama, kuwa ni ishu mbili tofauti, Lisu anarusha very serious accusations ambazo huwezi kum-convince mwananchi kuwa Wangwe amezifanya in only seven months za umakamu wake,

Otherswise, ninawatakia Chadema mafanikio mema on how to deal na Wangwe, lakini wasimu-undermine huyu, kwa sababu wengi wao wanaonekana kujawa sana na hasira, sasa anaweza kuwafikisha mahali wakameguka na ni lazima wawe waangalifu sana na ishus za hela kwani zinaonekana kuwa ndio hasa kitovu cha matatizo ya Wangwe, sasa ni rahisi sana kuwashawishi wenye shida ya hela huko kuwa ana hoja,

Halafu pia ni lazima ukweli usemwe kuwa nimeshitushwa sana na charge ya Wangwe kuwa wafanyakazi wengi huko HQ ya Chadema ni kutoka mkoa mmoja, kama ni kweli hii ni ngumu sana kuisafisha lakini only kama ni kweli, ninarudia kuwa viongozi karibu wote wa Chadema walioongelea hii ishu wanaonekana kuwa na hasira sana, to the point kwamba wanarusha serious accusations ambazo in the end zinawafanya wajiweke kwenye mtihani mgumu wa kujibu swali zito kwamba how did the guy became makamu wa Chama kikuubwa kama Chadema?

Ahsante Wakuu!
 
Ama kweli kazi ipo...

mtu akasoma huku akakuta ni hilit unajadili la hawa wenzetu wachagga waachie ngazi.... atachoka mwenyewe, atajua vichwavya wataz ni vyeupe hasa.
hatajua aanzie wapi kuelimisha.

mwanzoni nimepata mawazo kuwa hili ni wazo la kindergarten kabisa...! ghafla nikakumbuka kuwa Hitler alianza hivihivi na wayahudi, na wale ambao hawakuwa wayahudi hawakuona shida maana kimsingi halikuwahusu. hata pia wayahudi walipouwawa wajerumani wengi walicheka na kufurahia pia maana sasa walichukua madukaya wayahudi na nafasi zao mbalimbali katika idara kama tunavyosema hapa.

Ni hitler huyuhuyu aliyekuwa mbaya kwa wayahudi aligeuka pia mbaya kwa wajerumani badaye. waleokuwa karibu naye na chama chake wahakuonashida pia maana walipata nafasi na vyeo.


ghafla marakani na uingereza walifika kusaidia jamii iliyokuwa inateseka bila mtetezi. wakati huu walifika nasilaha na kwa kuwa silaha hazijui sura, waliokuwa wakichaka walianza kulia.

Ninachosema hapa, tunapoanza na wachagga, tutahamia wahaya, halafu wanyakyusa, halafu itakuwa wapare, halafu... weka hapo kabila lako...!

Kama Mungu hajafa hupo hai, na alihukumu wazo hili la ukabila, maana ni la Shetani.
 

Mbowe Ana Elimu Gani Ya Uongozi?

Wanaongooza Kwenye Ufisadi Na Epa Ni Wachaga,mramba Anachunguzwa Na Polisi,mama Mkapa Anaomba Ahifadhiwe Kwenye Epa, Y.mushi Ndio Aliyeleta Rada Na Ndege Ya Rais Mbovu,
Massawe Anamiliki Genge La Majambazi Kuvunja Mabenki.

Waliogombea Urais 2005 Wasio Na Elimu Walikuwa Wachaga Mbowe Alikuwa Na Elimu Ya Kidato Cha Nne Na Kazi Yake Udj Na Kumiliki Bar,

Mrema Darasa La Saba Alikuwa Mgombea Kwa Tiketi Ya Tlp,james Mbatia Mwenyekiti Wa Nccr Mchagga Mwenye Elimu Ya Kidato Cha Sita,mnyika Aligombea Ubunge Akiwa Na Elimu Ya Kidato Cha Sita, Slaa Ana Digrii Ya Kuimba Kwaya Kanisani.

Mwanakijiji Mtihani Wa Kidato Cha Sita Na Nne Uliza Shule Na Wanafunzi Wanaongooza Wanatoka Kilimanjaro? St.francis,feza, Marian Girls Ziko Kilimanjaro?

Mwanakijiji Usimpende Mtu Kupita Kiasi Na Usimchukue Mtu Kupita Kiasi Kwa Hili Umezidi Kutereza Hata Mbowe Mwenyewe Atakushangaa Kwani Humfagilii Bali Unampigia Deki.
 

Unajuwa nimeona picha ya profile yako na wewe inaelekea ni mjeshi!
Sasa kwahiyo unataka vita kati ya WAKURYA NA WACHAGGA?
Maana kama ni hivyo sema tu ili tujiandae!
We wangwe mwenyewe umekaa kama jambazi!
Nani hajuwi hata polisi ni majambazi tu!
Na kama nilivyosema...Wewe na Rostama mlikuwa na mpango madhubuti wa kuanzisha UKABILA!
Sasa Wangwe i promise kama damu ikimwagika mimi PERSONAL Nitakitafuta kichwa chako!
MARK MA WORDS!
WE SI UNAFIKIRI NI WAKURYA PEKE YAO NDIYO WAJESHI?
Umekosea!
Mwaulize MKOLONI WEWE KIBARAKA MSHAMBA!
Wewe uliyetoka kwenye kizazi kilichowauza wabantu kwa MWARABU!
Nakwambia tone moja tu likimwagika la damu mimi na wewe!
 

Mushi usiongozwe na jazba za kichagga kutaka kukata vichwa wenzako.
pitia profile hiii hapa halafu linganisha Wange na Mbowe,utajua kuwa Wangwe Zaidi.
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=10807
 
Mushi usiongozwe na jazba za kichagga kutaka kukata vichwa wenzako.
pitia profile hiii hapa halafu linganisha Wange na Mbowe,utajua kuwa Wangwe Zaidi.
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=10807

Ushabiki wa watu wawili kamwe hautaruhusiwa kuivuruga nchi na wala kuligawa taifa na kumwaga damu!
Lakini kama ni wewe na ROSTAMA mtashinda hoja hii kwa kupandikiza chuki na damu kumwagika!
Then kwanini nikuache?
Unajuwa maana ya kujitolea MUHANGA?
Kama wewe unapigania TUMBO...SISI TUNAPIGANIA UHURU NA HIVYO YOU BETTER WATCH YOUR MOUTH!
 

Nadhani wewe unapigania Tumbo la kabila lako,mmekwapua EPA na dada yenu anna Mkapa, MRAMBA,Mgonja na mzee Mtei alipokuwa gavana wa benki kuu aliichoma benki kuu hayo hayatoshi?
 
The Tanzanian Jews.. love em' or hate em'... Even if they were all to leave these posts wataibukia sehemu nyingine nakufanikiwa tu because its in their nature to do so... my advice is emulate dont eliminate otherwise the problem will truly escalate!!!
 

mbona wapemba wanapendwa, kwa vile wanatafuta kwa njia halali tu,kiongozi wa majambazi ya kuvamia benki alikuwa MASSAWE, lini ulisikia jambazi mpemba?
 
mbona wapemba wanapendwa, kwa vile wanatafuta kwa njia halali tu,kiongozi wa majambazi ya kuvamia benki alikuwa MASSAWE, lini ulisikia jambazi mpemba?

Hata hao majambazi walisababishwa na sera mbaya za mwalimu!
Kila mtu alikuwa na kazi na kahawa ilikuwa kama gold!

Kilo moja ya kahawa ilikuwa inalisha familia kwa mlo wa nyama!

Sera mbovu za mwalimu zilisababisha watu kupoteza kazi na hata vijana kukosa la kufanya!

We unafikiri kwanini wengine wanaamuwa kwenda zao ma SAUZI AMA MA UROPA NA MA US?

Mi sikufichi Wangwe fuatilia historia ya Taifa letu na si kuleta chuki za kikabila!

Maendelo na Uhuru tulichangia na MKOLONI ALITUKOMA KWA KILA KITU NA HATA HOJA KWA HOJA!

NA TUKA NEGOTIATE HADI WAKAKUBALI NA KUFANYA BIASHARA NA SISI KWA HALALI NA NDIYO MAANA KUNA MASEKONDARI VYUO,BARABARA,MAJI NA MAENDELEO MENGI TU TENA HATA KABLA YA UHURU!NA BAADA YA MWALIMU KUCHUKUWA NCHI...NDIYO HAYA YALIYOTUKUMBA! KUNA KILA KITU KILIMANJARO CHA KUWEZA KUWASAIDIA WANANCHI!

Mwalimu angefikiria asingeigawa mikoa kwa style ambayo ni kinyume kabisa na UMOJA aliokuwa aki upreach kila kukicha!

Na kwa taarifa yako kama ukiendelea na upuuzi huu basi hata Taifa likigawanyika KILIMANJARO HATUTAKUBALI KUWA CHINI YA KOLONI LOLOTE!

TUTAMTANDIKA MKOLONI KAMA TULIVYOFANYA BEFORE NA KIPINDI HIKI WATU KAMA NYIE NI VIBARAKA...NA HIVYO KAMA VITA IKIANZA TANZANIA WEWE TUTAKUTAFUTA WA KWANZA!
 
mbona wapemba wanapendwa, kwa vile wanatafuta kwa njia halali tu,kiongozi wa majambazi ya kuvamia benki alikuwa MASSAWE, lini ulisikia jambazi mpemba?

Hapa tunaongelea kufanikiwa iwe kwa ujambazi au njia halali kwa hiyo statement yako inaonyesha kuwa hawa watu kweli wakifanya kitu wanafanya kweli... uweza kukuta majambazi wakipemba wako wengi lakini wako lock up!!!
 
Hapa tunaongelea kufanikiwa iwe kwa ujambazi au njia halali kwa hiyo statement yako inaonyesha kuwa hawa watu kweli wakifanya kitu wanafanya kweli... uweza kukuta majambazi wakipemba wako wengi lakini wako lock up!!!

Huyu jamaa haelewi historia ya Taifa huyu!
Ni mamluki wa shetani mwenyewe!
Hajui ni kwa jinsi gani sera za ujamaa zimewageuza makondoo makondoo NA MASIKINI WA KUTUPWA na wapigania uhuru majambazi!
Mimi nakwambia crack down ya mwalimu kwa sera zake za ukabila ambazo zilitunyima maendeleo kwa kigezo cha makabila haya na haya ni makubwa ni upuuzi uliotuzalishia watu kama wangwe na chadema ama walishindwa kuona hilo..Na ama walifanya makusudi na kumkaribisha kwenye chama bila ya kujuwa malengo yake!
Mikoa yote ilivyopigwa panga na mwalimu ilikuwa wrong kwani ni kwasababu za kisiasa na si kimaendeleo!
 
Hapa tunaongelea kufanikiwa iwe kwa ujambazi au njia halali kwa hiyo statement yako inaonyesha kuwa hawa watu kweli wakifanya kitu wanafanya kweli... uweza kukuta majambazi wakipemba wako wengi lakini wako lock up!!!

EPA inaongozwa na mama MKAPA hakuna mpemba,wizi wa mabenki na kuua watu ulikuwa ukiratibiwa na Alex Massawe mwenye friends Corner na A.M ANNEX,sijawahi kusikia PEMBA wamevamia majambazi,
sijawahi kusikia mhasibu MPEMBA kafikishwa mahakamani kwa wizi au kupokea rushwa.

DR.OMAR ALI JUMA,SEIF SHARIFF HAMAD,R.SHEIN,JUMBE ABOOD HAWANA HATA MINONG'ONO YA RUSHWA,
nikuulize nani anamiliki shirika la ndege la precion Air? kama hujui Mramba.

sijawahi kusikia Mpemba kakataa kumtibu mtu kwa vile hana pesa za matibabu,
kutafuta bila mipaka au hadi kutoa uhai wa watu sio utafutaji.
hakuna jambazi sugu la magari linatoka pemba, hata makamanda wa polisi wanaoplekwa Moshi na Arusha ni wale mahodari kwenda kukabili uporaji wa magari.

MUSHI.

Karafuu ilikuwa na soko kubwa duniani hivi sasa haina soko lakini wapemba hawajaingia kwenye ujambazi ili kukimu maisha yao. zipo njia halali kwa maneno yako hata RUZUKU inaliwa kw vile ni utafutaji? au kuweka wabunge sita toka mkoa mmoja ni kutafuta huku mkiiminya demokrasia?
 

Na wao si waslamu tu kama WEWE?
Mbona hujataja waslamu wengine kama MWINYI,SALMIN AMOUR,KIKWETE,ROSTAMA AZIZI,IDDI SIMBA,MUSUGURI NA YEYE ni Mchagga? SI ANA SHARE KWENYE MEREMETA?
Unataka tuendelee?
Na hilo la karafuu limewaletea maendeleo kina nani?
Wewe ni MHAFIDHINA?
 
Tatizo sio wachagga maanake hata kama wachagga wangejitoa kwenye hizo nafasi, tungeanza kuwalaumu wahaya, wahaya wakitoka, tunawanzia wanyakyusa, etc... Lakini chakushangaza TZ waindi na waharabu wanavyofanya hamna mtu anafikiria hivyo... Sasa sijui tatizo liko wapi hapa... mimi naona hatupendi kuona Mtanzania halisi akiendelea zaidi iwe mmoja au kabila... yaani maradufu wahindi au mzungu apete kuliko mbantu mwenzie.. lakini i could be mistaken.....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…