Je, vipofu huota ndoto?

Je, vipofu huota ndoto?

Mkuu tunapishana kwa sababu tunajadili vitu viwili tofauti

Mimi najadili kuhusu kipofu kuota
Wewe unajadili kuhusu kipofu kuota ANAONA

Ipp hivi
Kipofu anaota kulingana na anavyo experience maisha anayoishi
Mfano, kipofu ataota anazagamua, ataota mtoto wake kapasi mtihani, ataota kazinguana na mkewe nk nk

Zingatia
Kuota ndoto sio lazima uone
Hata ukizaliwa huoni husikii nk as long as brain yako ipo active basi utaota kwa kadiri ya namna unavyoishi
YAAH nimekusoma.


Hoja yangu ni kuona kqenye ndoto na sio kuota.

Ndotoni mtu anaweza kuiona sauti au kusikia harufu na katika Ndoto ikaeleweka ila kiuhalisia haiwezekani.

Ila kqenye suala la kipofu kuona akiwa ndotoni ndio panaleta utata.
 
Ile ilikuwa Si ndoto, ni Advanced ndoto, inaitwa MAONO.

Ni halisi kabisa, Si imagination, natembea ,nasikia na kuona kabisa.

Mtu Si mwili, mtu ni ROHO, unaweza Toka ndani ya MWILI na kwenda upatakapo.

Hizi ni habari za KIIMANI zaidi hazina UKWELI na haziwezi KUTHIBITIKA

HAKUNA kitu kinacho itwa ROHO
 
Tukichukua Ubongo wa mwanadamu,

Unaweza nionyesha akili ilipo?
Soma nilichoandika kwanza, unajua maana ya Intangible, nimekwambia akili ni Intangible then unataka tangible proves.

Mind is Intangible but inathibitika kisayansi na ni sehemu ya mfumo wa fahamu that...vipi Roho kitu kipo beyond na science.
 
Ndoto ni uzoefu wa kisaikolojia unaotokea wakati wa usingizi, mara nyingi ikijumuisha picha, hisia, au mawazo ya kubuni ambayo yanaweza kuwa na maana au kutokuwa na maana kwa mtu binafsi.


Ukiona mtu hawezi kuona jua mlango wake wa hisia huwa juu mara dufu kuliko wa mtu anae weza kuona.
 
Acha mada za kipuuzi! Vipofu lazima waote, kwani kuota lazima uote kile ulichoona?
Anaweza akaotq harufu,sauti,mguso,kijamba,kupizi na vitu vyote binadamu anavyovihisi kwenye ufahamu
Kumbe unaweza kuota visivyoonekana ??
 
Nilitamani kuisherehesha tafiti hii ili hata wale ambao ni wazito kusoma nakala nyingi waweze kuelewa hasa kilichomo humu. Lakini kwa bahati mbaya nimekosa muda, mnisamehe.

Ova
Why kuisherehesha lakini? Lols

Mi nimeidownload tu ila huo muda wa kusoma ndio labda Mungu aingilie kati!
 
Ni kama vile ukiota uko katika mji mgeni ambao hukuwahi kutembelea.

Ova
Hiyo inawezekana kwasababu akili yangu ishaifadhi picha ya miji mingi tyr, tofauti na kipofu ambaye hajawahi ona chochote
 
Hiyo inawezekana kwasababu akili yangu ishaifadhi picha ya miji mingi tyr, tofauti na kipofu ambaye hajawahi ona chochote
Unaweza kuota unasikia kelele au hata mazungumzo fulani (kiini cha ndoto hizi ni sauti ).

Unadhani mtu mwenye ulemavu wa macho hawezi kuota ndoto za namna hii?

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Hiyo inawezekana kwasababu akili yangu ishaifadhi picha ya miji mingi tyr, tofauti na kipofu ambaye hajawahi ona chochote
Hapa hapa Tanzania kuna jamii za watu hawajawahi kabisa kuona train!

Unadhani kutoifahamu treni, kunaweza kumfanya ashindwe kujenga taswira akilini mwake?

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Salaam, shalom!!

Twende haraka kwenye mada, nimekuwa nikipost mada za intelligence ya Mbinguni katika jukwaa hili na zinahamishiwa majukwaa mengine,

Leo tuanze mwaka na swali hili, Je vipofu wa Kuzaliwa huota ndoto?

Kurahisisha upatikanaji wa jibu kuhusu ndoto za vipofu, tupate tafsiri ya

1. Silver cord/ Kamba ya Fedha. 2. Mtu/ Roho/ Spirit 3. NAFSI 4. Mwili. 5. NDOTO. 6. ULIMWENGU WA ROHO.


1. SILVER CORD/ KAMBA YA FEDHA.
Hiki ndicho kiunganishi kati ya MWILI wa mtu na Roho. Inapatikana katika ( Mhubiri 12:6): Or ever silver cord to be loosed. Ukisikia mtu amekata Kamba, ndo hii silver cord.

2. MTU/ Spirit/ Roho.

MTU- Ni ROHO, ANAYO NAFSI NA ANAISHI NDANI YA MWILI.

3. NAFSI./ Soul.
Mwili/ udongo ulipopuliziwa Pumzi ya uhai, ikazaliwa NAFSI. (Mwanzo 2:7) Ikumbukwe, Pumzi ya uhai ndiyo Roho.

NAFSI ndiyo inayobeba hisia, akili, uwezo wa kufanya maamuzi. Hapa ndipo panapochakata taarifa Kutoka kwenye Mwili na Kutoka kwenye Roho( mtu). Kumbuka hisia, akili, will vyote havishikiki katika mwili physical bt vipo.

4. MWILI.

Hili ni frame, kopo, vazi la mtu ambaye ni ROHO. Mwili Si mtu, Bali mwili ni vazi la mtu ambaye ni ROHO.

Katika mwili Kuna Ubongo, lakini akili Iko katika NAFSI.

Ukienda msibani, utasikia tunaenda kuaga mwili wa marehemu, marehemu na mwili ni vitu viwili tofauti.

5. NDOTO - Ni tukio halisi Si illusions kama wanasayansi wengi wanavyodhani. NDOTO ni tukio linalofanyika katika Ulimwengu wa Roho wa mwili au katika Ulimwengu wa Roho.

NDOTO type 1- Hizi ni za Kutoka kwenye Mwili kupitia macho na mawazo ndizo ziitwazo ndoto kulingana na shughuli za Kila siku. ( Mhubiri 5:3). NDOTO huja Kwa shughuli nyingi.

NDOTO TYPE 2- Hizi ni Kutoka katika Roho, NAFSI inazipokea na akili itatunza kumbukumbu, ukiamka, utakumbuka ulichoota. NDOTO hizo ni HALISI Si imagination, ni wewe ambaye ni ROHO Huwa unaona au kwenda na kutuma taarifa katika NAFSI kupitia silver cord.

(Ayoub 33:15) katika ndoto, katika maono ya usiku, USINGIZI mzito uwajiliapo watu, katika USINGIZI kitandani.

6. ULIMWENGU WA ROHO.

Kwakuwa mtu ni ROHO anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI, anapata na kutunza taarifa zote katika kitu kinachoitwa NAFSI.

Matukio yanayotengenezwa katika Ulimwengu wa mwili, NAFSI itayachakata na utayaota kupitia akili iliyo ndani ya NAFSI.

Matukio yaliyotokea kwenye Ulimwengu wa Roho, ,utayapata sababu silver cord imeungwa na mwili, NAFSI itakuletea tukio Hilo halisi kupitia ndoto, na ndoto zote ziko katika Ulimwengu wa Roho wa Nuru au Giza.


Hivyo mtu kipofu, kwakuwa Yeye ni ROHO, tutakuwa kwenye nafasi nzuri kujua ikiwa anaota ndoto au la. Na ikiwa anaota, ni Kwa mfumo upi?

MY LIFE EXPERIENCE.

Nimewahi Kutoka ndani ya MWILI wangu nikiwa mdogo na nikaenda mbali sana pazuri mno na kuona vitu ambavyo sijawahi kuviona duniani.

Swali ni je, vipofu waliotoka ndani ya miili Yao kama Mimi nilivyotoka ndani ya MWILI wangu, wanaweza kuona? Maana Mimi nilivyotoka ndani ya MWILI wangu sikutumia macho ya MWILI, kumbuka mwili niliuacha chumbani.

Cc:Sea Beast

Karibuni[emoji120]
Hii kitu imekaaje ? Kuhusu vipofu Leo nilienda kumchukua mwanangu shuleni anakosoma maajabu niliokutana nayo nimekutana na vipofu wawili mume na mke pamoja na mbwa wao anao waongoza wanatembea vizuri tu kama wanaona kila kitu pia na yule mbwa anao waongoza yupo makini sana kwa reaction yoyote Wingereza kuna mambo yakushangaza sana hawa mbwa wao wanajua mpaka kustopisha bus au kupita kwenye traffic lights hakika ni maajabu
 
Back
Top Bottom