Je, Vision 2030 ya Saudi Arabia ya Mwana Mfalme Mohammed Bin Salman inamaanisha nini kwa Waumini wa SUNNI?

@FaizaFoxy usimjibu tena huyu hata ulivyomjibu alete ushahidi naona ulimfanyia tu hisani ila hastahili hiyo privilege mjinga kama huyu!
Nyinyi jazaneni ujinga tu, mnafikiri Dunia inawasubiri!! Mambo yanaenda Kasi mno. Mtasituka wakati it's too late na utaikimbuka hii thread.
 
China wenyewe hawajagundua chochote, ni copy and paste, at least Korea Kusini, ila Wakristo wa Kizungu ndo wamechangia pakubwa ugunduzi wa teknolojia.
Sihuwa mnasema technology nyingi kagundua israel sasa hv tena wakristo wazungu ndio wamechangia pakubwa ugunduzi wa technology maana nnajua wa israel sio wa kristo hata huyo yesu hawataki hta kumsikia
 
Sihuwa mnasema technology nyingi kagundua israel sasa hv tena wakristo wazungu ndio wamechangia pakubwa ugunduzi wa technology maana nnajua wa israel sio wa kristo hata huyo yesu hawataki hta kumsikia
Isaac Newton sio Mwisraeli ila alikuwa Mkristo.
Michael Faraday sio Mwisraeli ila alikuwa Mkristo.
Louis Pasteur sio Mwisraeli ila alikuwa Mkristo.
n.k
 
Aliyeiokoa Turkey kwenye WW1 ni nani, sipo hapa kulinganisha Turkey ya kale ambayo Ataturk hajazaliwa nipo kulinganisha aliikuta wapi na akaiacha wapi. Waislamu huwa mnajifanya mnamchukia Ataturk wakati hakuwa Rais wa dini yenu, alikuwa Rais wa Turkey na inampenda.

Okay, Saudi Arabia inauza mafuta ambayo Turkey alizuiwa kuuza. Mwenye uchumi mkubwa kati yao nani.

Bosporus straight ilichimbwa kwamba iwe inalipiwa? Unailinganisha na Panama au Suel ambazo ni canals? Iran huwa inalipisha kupita straight of Hormuz? Britain wanalipisha kupita Gibraltar?
 
Ataturk sio popular Uturuki as I said at best ni 50/50 nioneshe Nchi moja tu duniani ambayo baba wa Taifa anagawanya watu hivi. Hata mimi naweza jibaraguza Nikasema Mangungo kasave kabila lake kwa kukubali matakwa ya Mjerumani ila haimaanishi mkataba alioingia ulikuwa favorable kwa wananchi wake.
Okay, Saudi Arabia inauza mafuta ambayo Turkey alizuiwa kuuza. Mwenye uchumi mkubwa kati yao nani.
-TURKEY GDP 1.026 trillion Usd.
-Saudi GDP 1.063 trillion usd.

Waturuki wapo milioni 85 na Saudi milioni 36 So japo Wasaudi ni Wachache ila wana Uchumi mkubwa Kuliko Uturuki. Na Gape inazidi kuongezeka kila mwaka.

Erdogan yupo sahihi wakiondokana na Hio mikataba ya kikoloni ya Ataturk soon utaona Uturuki linakuwa taifa kubwa tena. Ila kujitia kufuata matakwa ya west huendelei ng'o miaka yote utakua kibaraka.
Bosporus straight ilichimbwa kwamba iwe inalipiwa? Unailinganisha na Panama au Suel ambazo ni canals? Iran huwa inalipisha kupita straight of Hormuz? Britain wanalipisha kupita Gibraltar?
Usiniambie mimi ni Maneno ya Erdogan mwenyewe 2023 imefika mkataba unaisha kuanzia Mwakani watalipa hela kubwa. Mkataba wa Zamani walipangiwa kiasi, wakapangiwa hadi na hela watakayopokea iwe (franc) kisha iwe converted kwenda dhahabu kisha iwe usd,
 
Ndivyo mnavyojidanganya. Soma:

Mwenyezi Mungu anasema kuwa ameiteremsha Qur'ani na atailinda (15:9).
9. Hakika Sisi ndio tulio teremsha Ukumbusho huu, na hakika Sisi ndio tutao ulinda. 9
 
Hii ni Dini iliyohifadhiwa. Allah atailinda Dini yake.

Halafu wewe kafiri hayo maneno unayodai kuwa Prince Mohammed Bin Salman kayasema dhidi ya Hadith unamsingizia wewe. Allah amuongoze Mwana Mfalme Mohammed Bin Salman na amhifadhi.

Namshukuru Allah kwa Neema ya Uislam na Sunnah.
 
Kwenye Revelation 17:1-2 says
"One of the seven angels who had the seven bowls came and said to me: “Come, I will show you the judgment on the great prostitute who sits on many waters, 2 with whom the kings of the earth committed sexual immorality, and earth’s inhabitants were made drunk with the wine of her sexual immorality.”
Yaani ile Dini ya Uongo inafananishwa na Kahaba, na kwamba inawalevya waumini wake; yaani mlivyogubikwa na Giza la Uislam ni sawa na walevi. Mtazinduka siku Makka itakaposambaratika
 
Jamani surprise surprise still coming out of Saudi Arabia!!! Mnaikumbuka hii latest film ya the Barbies? Saudia wameruhusu ionyeshwe Saudia. Sasa wale mujahidina wanaoishi kwenye democracy wanapinga kelele at hii nchi Takatifu film isionyeshwe.

View: https://m.youtube.com/watch?v=RZ60DHaSZpU
 
Una uhakika hawajawekeza kwenye elimu?
 
Hii dini imechelewesha sana baadhi ya haya mataifa, ni uzombi uliokithiri.
 
Ninaposema kuwa kufunguka huku kwa Saudia Arabia kutusaidia kuweka bayana Uongo ndani ya Quran, ninamaanisha kuwa Waislam wanaojua Kiarabu watatusaidia kujua kile kilichofichwa ndani ya Quran katika chaka la Kiarabu. Hapa chini nitawawekea video clips mbili, ambazo zinafichua namna Uislam kwa hila umekuwa ukikana kuwa Yesu alisurubiwa, akafa, akafufuliwa na kupaabinguni.
Quran 19:15 & 33 Yesu akiwa mtoto (Quran inasema kimuujiza aliongea akiwa kichanga) alitoa unabii imebarikiwa siku nilizaliwa, siku nitayokufa na siku nitafufuliwa.
Quran 3:55 katika kiarabu panasema Mungu ALIMFISHA (Deseaced) Yesu na akamfufua. Lakini kama ilivyo kawaida yao ya UONGO Waislam walipotafsiri wakaondoa Neno FISHA na badala yake kuweka Neno alimchukua kwake
Quran 4:171 ndyo ambayo Waislam huitumia kushinikiza Uongo wao kuwa Yesu hakufa penye mti wa mateso badala yake aliwekwa mtu mwingine ambaye Mungu alimfamya aonekane kama Yesu. Wazo hili limepingwa katakata na Sheikh kwenye video hapo chini na anawaonya Waislam kuwa hicho kitawapeleka Motoni
Please take your time to listen this means your life you Muslims

View: https://m.youtube.com/watch?v=oYYmAQxjaQc&pp=ygUyTXVzbGltIFNoZWlraCByZWZ1dGUgdGhhdCBKZXN1cyB3YXMgbm90IGNydWNpZmllZCA%3D
 
Ninaposema kuwa kufunguka huku kwa Saudia Arabia kutusaidia kuweka bayana Uongo ndani ya Quran, ninamaanisha kuwa Waislam wanaojua Kiarabu watatusaidia kujua kile kilichofichwa ndani ya Quran katika chaka la Kiarabu. Hapa chini nitawawekea video clips mbili, ambazo zinafichua namna Uislam kwa hila umekuwa ukikana kuwa Yesu alisurubiwa, akafa, akafufuliwa na kupaabinguni.
Quran 19:15 & 33 Yesu akiwa mtoto (Quran inasema kimuujiza aliongea akiwa kichanga) alitoa unabii imebarikiwa siku nilizaliwa, siku nitayokufa na siku nitafufuliwa.
Quran 3:55 katika kiarabu panasema Mungu ALIMFISHA (Deseaced) Yesu na akamfufua. Lakini kama ilivyo kawaida yao ya UONGO Waislam walipotafsiri wakaondoa Neno FISHA na badala yake kuweka Neno alimchukua kwake
Quran 4:171 ndyo ambayo Waislam huitumia kushinikiza Uongo wao kuwa Yesu hakufa penye mti wa mateso badala yake aliwekwa mtu mwingine ambaye Mungu alimfamya aonekane kama Yesu. Wazo hili limepingwa katakata na Sheikh kwenye video hapo chini na anawaonya Waislam kuwa hicho kitawapeleka Motoni
Please take your time to listen this means your life you Muslims


View: https://m.youtube.com/watch?v=oYYmAQxjaQc&pp=ygUyTXVzbGltIFNoZWlraCByZWZ1dGUgdGhhdCBKZXN1cyB3YXMgbm90IGNydWNpZmllZCA%3D
 
Katika video hapa chini Muislam mjahidina alitaka kupotosha Quran 3:55 akijifanya yeye ndiyo anajua kiarabu pekee, ndipo akaitwa huyo Muislam muingine ambaye Bado ni Muislam lakini Mungu wa kweli amemuangazia Nuru ya Kristo, akatoa tafsiri ya kweli ya 3:55 kuwa MUNGU alimfisha Yesu na kumfufua

View: https://m.youtube.com/watch?v=tCMJVz7qKcU&t=1021s
 
Nimejaribu kupitia huu mjadala sijaona "premises" za malumbano.

Kinachoshindaniwa ni nini hapa? MBS wa Saudi Arabia au mafundisho ya Uislam?
 
Nimejaribu kupitia huu mjadala sijaona "premises" za malumbano.

Kinachoshindaniwa ni nini hapa? MBS wa Saudi Arabia au mafundisho ya Uislam?
Unajizima data siyo. Wewe huoni kuwa huyo Msunni anatakakuaminisha kuwa Quran inasema Yesu hakufa kwenye mti wa mateso wakati Quran kumbe 19:15 na 33 Issa akiwa kichanga aliisha jitabiria kuwa zimebarikiwa siku aliyozaliwa, siku atakufa na siku atakayofufuliwa na Mungu. Vile vile huyo Sunn alitaka kupotosha kuwa Quran 3:55 inasema Yesu alipalizwa kwa Mungu bila kufa wakati tafsiri halisi ya NENO HILO LA KIARABU ni kuwa MUNGU alimfisha ISSA. Ndiyo hapo alipoitwa Mwarabu ambaye ni Muislam lakini ameamua kusema ukweli.
Ndiyo maana ninasema mabadiliko anayofanya MBS, Mungu atawaongoza Wasaudia kama huyo Bw. Waseme ukweli wote kuhusu Quran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…