Swali kwenu CHADEMA, mnatakaje vyombo vya habari viwape coverage wakati last 2 weeks mlifukuza chombo cha habari TBC hadharani tena kwa kuwapa dak 15 wawe wameondoka, sijawahi sikia hata siku moja Chama chochote cha siasa kifukuze chombo cha habari kwa udikteta uliofanya pale Mbagala.. Hapo hamjapewa madaraka, je mkipewa ndi mtafunga na kuua vyombo vya habari, juzi tu mlikuwa mnalilia uhuru wa vyombo vya habari, sasa kwanini mliwafukuza TBC kama wezi au mbwa pale Mbagala ZKM? CHADEMA hamna sera wala mnachosimamia.. Huu uchaguzi JPM will win over 78% of total votes.. Subiri muone
[/QUOTE
K/QUOTE]
Sasa umeandika nini shehe, tusaidie Sasa Wewe, wameandika au hawajaandika?Mgombea Urais kupitia Chadema jana Jumatano alifanya "Press conference" na vyombo vya habari hapa nchini, akilalamikia kutomfanyia "coverage" yeye akiwa ni mgombea Urais toka chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kwa alichokiita ni Hofu, Hofu, Hofu iliyowajaa waandishi wa habari, pamoja na wamiliki wa vyombo hivyo.
Jambo la kushangaza ni kuona kuwa hata chombo cha habari cha Umma, Televisheni ya TBC, ambayo gharama za uendeshaji wake tunaibeba walipa kodi wa nchi hii, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, nacho hakitaki kumripoti mgombea huyo wa kiti cha Urais!
Kwa namna ya jinsi inavyotoa ripoti, na kuzifanya habari za Rais John Magufuli, kuwa ni "lazima" zipewe kipaumbele, zinafanya chombo hicho cha habari nchini cha TBC, kuwa kama ni chombo cha propaganda za CCM!
Kinachotakiwa na vyombo vya habari hapa nchini ni kuondoa hofu ambayo imetanda miongoni mwao, katika kuripoti matukio ya kampeni ya mgombea huyo wa Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA na kufanya kuwa fair kwa kutoa nafasi iliyo sawa kwa vyama vikuu hapa nchini vya CCM na CHADEMA.
Swali kubwa ninalojiuliza, je baada ya Tundu Lissu kufanya hiyo "press conference" vyombo vya habari hapa nchini vimeanza kubadilika na kuona hakuna "consequences" za kuanza kumripoti huyo mgombea Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA?
Kwani nilichoandika bado tu hujakielewa wewe kada wa Lumumba?Sasa umeandika nini shehe, tusaidie Sasa Wewe, wameandika au hawajaandika?
Lengo kubwa la vyombo vya habar Ni biashara,Mara nyingi jamaa kwenye maelezo yake huwa anatumia kauli ambazo tisiaraei eidha wanaweza kukufungia au upigwe fain na ukisema uedit hizo kaul kina Manka wanamaind mwishowe inakua km hivyokomamgo
Hebu nitajie angalau tusi moja, alilolitoa Tundu Lissu katika "Press conference" aliyoifanya hiyo Jana?
Kama usipotaja, ndipo tutaamini maneno aliyotoa Tundu Lissu, kuwa waandishi wa habari na wamiliki wao, wanawaogopa sana akina Dkt Abbas, kuhofia "consequences" zitakazowapata, iwapo tu vyombo vyao vya habari vitampa "coverage" kubwa huyo mgombea Urais toka chama cha Chadema
Na km ungelikua unaish kwenye zama za hao uliowataja usingethubutu kuandika hiyo comment yako.Madikteta wOte Duniani, hakuna hata mmoja, anayependa au kuruhusu uhuru wa vyombo vya habari na uhuru wa maoni.
Wakati wa Mabuto huko DRC, ole chombo cha habari kitangaze habari za mtu yeyote anayemkosoa yeye au Serikali. Ilikuwa hivyo kwa Amin, Bokasa, Nguema, Gadafi, Sadam, n.k.
'...... vyombo vya habari hampo huru kiasi hicho'
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama havikurisha mbona mnajua alichoongeaMgombea Urais kupitia Chadema jana Jumatano alifanya "Press conference" na vyombo vya habari hapa nchini, akilalamikia kutomfanyia "coverage" yeye akiwa ni mgombea Urais toka chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kwa alichokiita ni Hofu, Hofu, Hofu iliyowajaa waandishi wa habari, pamoja na wamiliki wa vyombo hivyo.
Jambo la kushangaza ni kuona kuwa hata chombo cha habari cha Umma, Televisheni ya TBC, ambayo gharama za uendeshaji wake tunaibeba walipa kodi wa nchi hii, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, nacho hakitaki kumripoti mgombea huyo wa kiti cha Urais!
Kwa namna ya jinsi inavyotoa ripoti, na kuzifanya habari za Rais John Magufuli, kuwa ni "lazima" zipewe kipaumbele, zinafanya chombo hicho cha habari nchini cha TBC, kuwa kama ni chombo cha propaganda za CCM!
Kinachotakiwa na vyombo vya habari hapa nchini ni kuondoa hofu ambayo imetanda miongoni mwao, katika kuripoti matukio ya kampeni ya mgombea huyo wa Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA na kufanya kuwa fair kwa kutoa nafasi iliyo sawa kwa vyama vikuu hapa nchini vya CCM na CHADEMA.
Swali kubwa ninalojiuliza, je baada ya Tundu Lissu kufanya hiyo "press conference" vyombo vya habari hapa nchini vimeanza kubadilika na kuona hakuna "consequences" za kuanza kumripoti huyo mgombea Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA?
pilipili kichaaVyombo vya habari vya Tz ni hovyo kabisa na waoga kupindukia, kampeni zinafanywa na vyama vyote lakini ccm ndio inapata coverage peke yake! Shame! shame!
ITV huwa wanatoa habari za vyama vyote kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku.Mgombea Urais kupitia Chadema jana Jumatano alifanya "Press conference" na vyombo vya habari hapa nchini, akilalamikia kutomfanyia "coverage" yeye akiwa ni mgombea Urais toka chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kwa alichokiita ni Hofu, Hofu, Hofu iliyowajaa waandishi wa habari, pamoja na wamiliki wa vyombo hivyo.
Jambo la kushangaza ni kuona kuwa hata chombo cha habari cha Umma, Televisheni ya TBC, ambayo gharama za uendeshaji wake tunaibeba walipa kodi wa nchi hii, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, nacho hakitaki kumripoti mgombea huyo wa kiti cha Urais!
Kwa namna ya jinsi inavyotoa ripoti, na kuzifanya habari za Rais John Magufuli, kuwa ni "lazima" zipewe kipaumbele, zinafanya chombo hicho cha habari nchini cha TBC, kuwa kama ni chombo cha propaganda za CCM!
Kinachotakiwa na vyombo vya habari hapa nchini ni kuondoa hofu ambayo imetanda miongoni mwao, katika kuripoti matukio ya kampeni ya mgombea huyo wa Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA na kufanya kuwa fair kwa kutoa nafasi iliyo sawa kwa vyama vikuu hapa nchini vya CCM na CHADEMA.
Swali kubwa ninalojiuliza, je baada ya Tundu Lissu kufanya hiyo "press conference" vyombo vya habari hapa nchini vimeanza kubadilika na kuona hakuna "consequences" za kuanza kumripoti huyo mgombea Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA?
Amewalipa air time ili wamrushe?Vyombo vya habari vya Tz ni hovyo kabisa na waoga kupindukia, kampeni zinafanywa na vyama vyote lakini ccm ndio inapata coverage peke yake! Shame! shame!
Wewe umesikia tusi?
Kama hukusikia jua walinyofoa (edit)
Hakuna speech asiyotoa bila kuwaita wenzake majina ya ajabu .
Yaani yeye anajua kila kitu, anaweza kila kitu, wenzake wote ni zero, wenzake hawajui chochote. Yaani hata watanzania nao hawajui kabisa , yeye peke yake anajua na anaweza na anaomba mchango kwa lazima.
Vyombo vya habari vya ITV na magazeti yake ya Nipashe, ndiyo vyombo vya habari binafsi vinavyofaa kuigwa na vyombo vingine vya habari hapa nchini..............ITV huwa wanatoa habari za vyama vyote kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku.
Kama neno Upumbavu sio tusi baki nalo hilo liwe jina lako.Je, UPAMBAVU ni TUSI?
"WA AJABU HAIJAPATA KUTOKEA" nalo ni TUSI?
HOFU, HOFU, HOFU
VYOMBO VYA HABARI HAVIKO HURU.
Kwa heshima na taadhima kwako, unahamisha mada. Mada ni hivi: Je, ni tusi lipi alilonena Lissu kwenye mkutano wake huo wa kupasha habari?Wewe umesikia tusi?
Kama hukusikia jua walinyofoa (edit)
Hakuna speech asiyotoa bila kuwaita wenzake majina ya ajabu .
Yaani yeye anajua kila kitu, anaweza kila kitu, wenzake wote ni zero, wenzake hawajui chochote. Yaani hata watanzania nao hawajui kabisa , yeye peke yake anajua na anaweza na anaomba mchango kwa lazima.
Hana issue za kuripotiwa , hakuna MTU wa kuripoti matusi na kejeri za muungano . Yeye akazane kuita wenzake , Wajinga, wapuuzi, washamba, Dictator, atukane majina yote lakini hakuna media yeyote itaripoti maneno hayo tena.
NdiyoMgombea Urais kupitia CHADEMA jana Jumatano alifanya "Press conference" na Vyombo vya Habari hapa nchini, akilalamikia kutomfanyia "coverage" yeye akiwa ni mgombea Urais toka chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kwa alichokiita ni Hofu, Hofu, Hofu iliyowajaa waandishi wa habari, pamoja na wamiliki wa vyombo hivyo.
Jambo la kushangaza ni kuona kuwa hata chombo cha habari cha Umma, Televisheni ya TBC, ambayo gharama za uendeshaji wake tunaibeba walipa kodi wa nchi hii, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, nacho hakitaki kumripoti mgombea huyo wa kiti cha Urais!
Kwa namna ya jinsi inavyotoa ripoti, na kuzifanya habari za Rais John Magufuli, kuwa ni "lazima" zipewe kipaumbele, zinafanya chombo hicho cha habari nchini cha TBC, kuwa kama ni chombo cha propaganda za CCM!
Kinachotakiwa na vyombo vya habari hapa nchini ni kuondoa hofu ambayo imetanda miongoni mwao, katika kuripoti matukio ya kampeni ya mgombea huyo wa Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA na kufanya kuwa fair kwa kutoa nafasi iliyo sawa kwa vyama vikuu hapa nchini vya CCM na CHADEMA.
Swali kubwa ninalojiuliza, je baada ya Tundu Lissu kufanya hiyo "press conference" vyombo vya habari hapa nchini vimeanza kubadilika na kuona hakuna "consequences" za kuanza kumripoti huyo mgombea Urais wa chama kikuu cha upinzani nchini cha CHADEMA?
Sasa wàandike nini?Kama magazeti ya leo yameendelea kumfanyia "blackout" mgombea huyo wa Urais, basi tutajua kuwa ile Tundu Lissu, aliyoiita Hofu, Hofu, Hofu, iliyowajaa hao waandishi wa habari, kwa hawa watawala "dhalimu" imeendelea kuwatesa waandishi wa habari hao, pamoja na wamiliki wa vyombo vyao vya habari, wakihofia "consequences" zitakazowapata wakiripoti hiyo press conference