Je, Wabunge Viti Maalum ni wa kubebwa? Mnaonaje iwe ni awamu moja tuu kisha waendeni jimboni, kupisha wengine, au waendelee kubebwa tu?

Pascal Mayalla,
Sofia simba alianzisha movement kama hii yako ila yeye alisema mwisho awamu mbili, alipigwa vita na wenzie hadi alijuta sasa wewe sijui watakuacha salama.
 
Binafsi napendekeza viti maalum vifutwe na zile nafasi kumi za rais nazo tupa kule
 
wakagombee majimboni, na hao walioko majimboni waende wapi? majimbo yako machache, kwanza wabunge wa viti maalum ni wachache inafaa waongezwe, kila jimbo inafaa liwe na mbunge wa viti maalum idadi iwe sawa
Nahis gender equality kama wangekua 50%___50%....au mwanaume akiwa na nguvu ni faulo AF mwanamke akiwa Nazo
ni superior
 
Nyakageni,
Uchaguzi na kuongoza nchi siyo masuala ya kufanyia majaribio hata kidogo. Sawa, mtabeba hivyo vyama 3 ulivyotaja halafu vitaanzishwa vipya vingine. Nchi itaendeshwa kwa mtindo wa kubebana hivyo mpaka lini?

Kila uchaguzi mnabeba chama kipya! Mbona dunia yote itacheka kwa sauti ya dharau na kebehi? Kwenye masuala ya msingi ya nchi tusifanye michezo michezo ya kubebana kwa majaribio.
 
wakagombee majimboni, na hao walioko majimboni waende wapi? majimbo yako machache, kwanza wabunge wa viti maalum ni wachache inafaa waongezwe, kila jimbo inafaa liwe na mbunge wa viti maalum idadi iwe sawa
Na iwapo mbunge wakuchaguliwa ni wa kike, hapo inakuwaje? au ndio wanakuwapo wanawake wabunge wawili?
 
comte,
Wanawake watatakuwa wabunge peke yao? Hahaaa hiki kichekesho, hawa wanawake ambao kutwa nzima wanashinda wakipiga umbea wa nani katoka na nani? hawa wanawake ambao wamepata hata exposure kidogo hiyo exposure yenyewe bado wanaitumia kwenye umbeya, wana simu zenye intaneti, wanaishi mjini, wana elimu, lakini cha maana wanachofanya na hizo simu ni kutembelea instagram kucheki umbea wa Zari na Diamond?

Nimesoma na wanawake, nimeishi na wanawake, nimefanya kazi na wanawake, wanawake hawawezi siasa wala utawala, ni mambo magumu sana kwao, tazama hata hapa JF kwa mfano, ni nadra sana kuwakuta jukwaa la siasa au hata habari na hoja, utawakuta kwenye MMU na Chit Chat wakijadili umbeya na mapenzi, sasa hawa kwa nini ilazimishwe kuwapa nafasi za kisiasa za upendeleo wakati hawawezi siasa?
 
haya mabo ya gender equality si yamekuwa initoated na hao hao wazungu? kama sio wao hata viti maalumu visingekuwepo,japo havisaidii
 
Johnny Sack,
Johnny Sack, unajua wanawake ndio wapiga kura wengi- hivi wakiamua kujipigia wewe mwanaume na hoja zake utafika bungeni? Maelezo yako yanaunga mkono mpango wa viti maalumu- ASANTE
 
Johnny Sack, unajua wanawake ndio wapiga kura wengi- hivi wakiamua kujipigia wewe mwanaume na hoja zake utafika bungeni? Maelezo yako yanaunga mkono mpango wa viti maalumu- ASANTE
Wanawake na wanaume ni kama wanalingana kwa idadi tu ni kama 51 kwa 49 tukiwaganywa kwa asilimia, kacheki takwimu za sensa uhakiki mwenyewe, na hata hivyo wanawake hawafuatilii sana na siasa hata wanaopiga kura wanakuwa wachache kuliko wanaume
 
Wanawake na wanaume ni kama wanalingana kwa idadi tu ni kama 51 kwa 49 tukiwaganywa kwa asilimia, kacheki takwimu za sensa uhakiki mwenyewe, na hata hivyo wanawake hawafuatilii sana na siasa hata wanaopiga kura wanakuwa wachache kuliko wanaume
Johnny Sack, SO wakijipa 51 nyinyi mna 49 mnaingiaje bungeni?
 
Pascal....Kama ni 60 per cent in favour of one gender then there is no gender equality....teheteh just an argument Pascal....Sina Nia ya ubishi
 
Pascal....Kama ni 60 per cent in favour of one gender then there is no gender equality....teheteh just an argument Pascal....Sina Nia ya ubishi
Naunga mkono hoja, gender balance is not 50/50, but promotional representation, kama kwa Rwanda wanawake wako 60% na wanaume ni 40%, then hiyo 60% ya wabunge wanawake Rwanda ni gender balance. Hata sisi Tanzania, kwenye matokeo ya sensa yetu ya watu na makazi, wanawake wako wengi kupita wanaume, hivyo wanapaswa kuwa wengi zaidi ya wanaume kwenye kila sekta zisizo hitaji muscle powers.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…