Je, Wabunge Viti Maalum ni wa kubebwa? Mnaonaje iwe ni awamu moja tuu kisha waendeni jimboni, kupisha wengine, au waendelee kubebwa tu?

Jiwe amekopi kitu gn kwenye serikali za mitaa?, kuna mabadiliko yoyote jiwe aliyafanya ambayo hayakuwepo?
 
Shuntama ni nini mkuu?
Shumtama ni dawa ya kiasili ya mapenzi kwa wanawake wa makabila ya watu wa eneo la Maziwa Makuu wakiwemo Wahaya, Waganda, Watutsi, Wanyarwanda, Warundi na Wahangaza, ambayo huwafanya wakolee sana kwenye yale mambo yetu, ukipita unapagawa! Unasahau kila kitu na huyo Mwanamke anakuwa ndio ana ku control, ni some sort of limbwata fulani, ila shumtama ni unajiloga mwenyewe kwa utamu utakaokuta nao!, asali itasubiri!.
P.
 
Maelezo mwanana,asante
 

Ukibebwa bebeka, na next time jibebe, usibwete, na kupenda kuendelea kubebwa tuu, oneni aibu!. Tuweni kama Rwanda!.

Nakusalimia kaka paschal
 
Leo ni siku ya wanawake duniani, hizi ni salaam zangu za siku hii, Siku ya Wanawake Duniani: Wanawake Acheni Kubwetekea Kubebwa. Viti Maalumu ni Kubebwa, Je Tuvifute. Wanawake Mjibebe?, Au Mnapenda Uroda wa Kubebwa?.

Nawatakia wanawake wote wa TiZii
Heri ya siku ya Wanawake Duniani.

Tena, by the way, naombeni mnipe pole, tumempoteza mmoja wa wanawake muhimu sana kwenye maisha yangu, tumempoteza mama mzaa Chema wangu, ameitwa kwa Muumba wake, akiwa Babati, tunampumzisha kwenye makao yake ya milele siku ya Jumatatu katika kijiji cha Gendi kwenye malalo ya ukoo wao.


View: https://youtu.be/oezcYCl60OI?si=MI6vvCGOptf82N8b
RIP Mama Nelly.

Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…