Mliwaahidi hakuna atakayekosa ajira,Umebadili swali tena aisee chadema bana, pale ni kuwa wanaoona inafaa watahamia bandari nyungine,ikishindikana wataacha walipwe mafao au waajiriwe na waliopewa kuendesha bandari
Kama anatukana Si vizuri, anatakiwa ajirekebishe.Unaona maneno anayotumia yule bilionea wenu Jacob dhidi ya ACT? Kama mnaona ACT inakufa achaneni nayo tuu ijifie si kutumia maneno kama yale,nyie jengeni chama mbona mlipofika CHADEMA ni pakubwa tuu
Mbowe amewahi kuwa mbunge na walikuwa wakilipwa 12ml,Kwa mtazamo wangu concept yake ilikuwa inalenga ni kwa namna gani viongozi wabinafsi, wanajiongezea wao mishahara ili hali watumishi wa umma kama walimu, madoctor, askari n.k kilio chao cha muda mrefu hakifanyiwi kazi
Tatu nyingi mkuu. Moja tu!CHADEMA kama chama kikuu, chama mbadala,
Itoke na kusema wazi,
Upi Hasa unatakiwa kuwa mshahara wa mbunge,
Mimi nionavyo,
Mbunge hapasi kulipwa zaidi ya ml 3,
Milioni Moja, ni sawa na 33,334/= Kwa siku.Tatu nyingi mkuu. Moja tu!
Shukran mkuu. Huyu mdau hazungumzii suala la CHADEMA kutatua tatizo hilo la ufujaji wa fedha za umma. Yeye anachotaka ni CHADEMA waseme mapema kwamba 2025 wakipata ubunge, hawatachukua hayo malipo ili kuonyesha msimamo kuwa hawakubaliani nayo. Basi.Muulize mleta mada, hii inchi ni yetu sote, Kila mtu anayeumizwa na tatizo hili ni jukumu lake kutafuta namna ya kulitatua. Kwa kuwa ameliona tatizo na anafikiri wa kulitatua ni chadema, basi naye ajiunge na chadema, agombee ubunge, apambane na kukataa wizi huu.
Kifup ni kwamba watapokea hiyo hela na hizi kelele huto zisikia kamweSalaam, Shalom!
Mimi ni MMOJA wa wananchi anayepinga wabunge kulipwa zaidi ya milioni 3 tatu, Kwa mwezi kutokana na Pato kiduchu linalokusanywa maana ubunge ni KAZI ya kujitolea, ni seasonal job!!
Inakadiriwa, makusanyo ya Serikali kupitia Kodi na vyanzo vingine vya mapato havizidi bil 900 Kwa mwezi, Kwa mshahara wa wabunge 399 kulipwa ml 18 Kwa mwezi, Serikali italipa Billion takriban 7 Kwa mwezi, hao ni wabunge pekee,
Tukilipa watumishi wote wa Serikali mishahara na stahiki zao Kwa mwezi, ni dhahiri kulingana na makusanyo madogo, italazimika Serikali kukopa pesa Ili kujazia ulipaji wa watumishi wa Serikali,pesa za ndani haxitatosha kulipa mishahara.
CHADEMA ilikuwa na wabunge wengi tu tangu 2000, 2005,2010, 2015 na wakapungua Hadi mbunge mmoja 2020.
CHADEMA ilipokuwa bungeni tangu awali, hawakuwahi hata siku moja kugomea posho na mishahara ya wabunge wao bungeni zaidi ya kusema mishahara na marupurupu hayo ni kiduchu kulingana na hadhi ya mbunge.
Sasa Kwa kuwa Mwenyekiti Mbowe ameamka Kutoka usingizini na kuonyesha kukerwa na wabunge kuongezewa posho na marupurupu Yao Kutoka ml 13 Hadi ml 18 Kwa mwezi, naungana naye kupinga ubadilifu mkubwa wa Kodi za wananchi,
Na Kwa kuwa CHADEMA imetoa kauli kuwa itashiriki uchaguzi 2025, na Kwa kuwa itasimamisha wagombea ubunge Nchi nzima,
Na Kwa kuwa CHADEMA Ina uwezekano wa kushinda ubunge katika majimbo kadhaa nchini,
Je, wabunge watakaoshinda ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA 2025 watagomea kupokea posho na marupurupu yanayofikia 18 ml Kwa mwezi?
NB: Vyama, viwekwe pembeni, walipakodi tujadili kwanza maslah ya nchi, Hasa matumizi mazuri ya Kodi zetu,
Swali: Upi Hasa uwe mshahara na marupurupu ya mbunge Kwa mwezi kulingana na makusanyo yetu kupitia Kodi?
ANGALIZO: Ni muhimu wananchi Kwa UMOJA wetu tupambanie KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote, vyama vya siasa na wanasiasa hawaaminiki.
Karibuni🙏
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Mungu ibariki CHADEMA.
Amen
CCM inaondolewa madarakani,Shukran mkuu. Huyu mdau hazungumzii suala la CHADEMA kutatua tatizo hilo la ufujaji wa fedha za umma. Yeye anachotaka ni CHADEMA waseme mapema kwamba 2025 wakipata ubunge, hawatachukua hayo malipo ili kuonyesha msimamo kuwa hawakubaliani nayo. Basi.
Yaani hata kama malipo yanaendelea kutolewa, wabunge wa CCM ambao ni wengi zaidi na wengineo wakiendelea kulipwa, mradi wabunge wa CHADEMA peke yao hawayachukui yeye roho yake itakuwa na amani!
Tuseme anataka kuona msimamo wa CHADEMA kwa vitendo. Basi. Hana shida na wengine wakiendelea kujinufaisha na hayo malipo. Tuseme haoni tatizo katika hayo malipo bali hakufurahia kauli ya Mbowe kuyapinga.
Kwangu mimi huyu ni ama mgonjwa wa kisaikolojia au mnafiki wa hali ya chini sana asiyeelewa suala ni lipi hasa hapa.
Acha uongo, Uwezo wa watanzania ni "chini ya normal" yaani upo negatice, wewe unaona kama upo chini lakini ni zaidi ya chini.Tukubali uwezo wa watanzania ni mdogo sana
Mtu anailaumu chadema ambayo haina mbunge huku ccm wakiendelea kuitafuna nchi
Thubutu,sisi tunaijua siasa wewe ngoja uone tutakavyowapiga kwa hoja hadi mtapoteana,CCM NDIO CCM MZEE ngoja utajionea.Mliwaahidi hakuna atakayekosa ajira,
Uzuri uchaguzi u karibu,
Hakuna RANGI hamtaona 2024&2025.
Kwahiyo unachukua ml 18 Kwa mwezi.Hakuna mtu timamu anagomea Hela ila tunagomea sera.
Sera ya kulipana kupitiliza huku nchi ikiwa hoi Kila idara ni sera ya kupingwa na Kila mtu timamu
Wewe ni 🌈?Nisamehe kwa kuweka faragha yako hadharani dada!
Iwapo watashiriki hizi chaguzi za kishenzi, ni dhahiri watakaopata nafasi watachakua kitakachokuwepo.
Mimi sio msemaji wao boss.hivi unahisi hawatoshiriki?
Simple answer; wakiwa wengi zaidi ya wabunge 50% watapinga kwa kanuni kupungua kwa mishaharaSalaam, Shalom!
Mimi ni MMOJA wa wananchi anayepinga wabunge kulipwa zaidi ya milioni 5 tano kwa mwezi kutokana na Pato kiduchu linalokusanywa ,maana ubunge ni KAZI ya kujitolea, ni seasonal job!!
Inakadiriwa, makusanyo ya Serikali kupitia Kodi na vyanzo vingine vya mapato havizidi bil 900 Kwa mwezi, Kwa mshahara wa wabunge 399 kulipwa ml 18 Kwa mwezi, Serikali italipa Billion takriban 7 Kwa mwezi, hao ni wabunge pekee,
Tukilipa watumishi wote wa Serikali mishahara na stahiki zao Kwa mwezi, ni dhahiri kulingana na makusanyo madogo, italazimika Serikali kukopa pesa Ili kujazia ulipaji wa watumishi wa Serikali,pesa za ndani haxitatosha kulipa mishahara.
CHADEMA ilikuwa na wabunge wengi tu tangu 2000, 2005,2010, 2015 na wakapungua Hadi mbunge mmoja 2020.
CHADEMA ilipokuwa bungeni tangu awali, hawakuwahi hata siku moja kugomea posho na mishahara ya wabunge wao bungeni zaidi ya kusema mishahara na marupurupu hayo ni kiduchu kulingana na hadhi ya mbunge.
Sasa Kwa kuwa Mwenyekiti Mbowe ameamka Kutoka usingizini na kuonyesha kukerwa na wabunge kuongezewa posho na marupurupu Yao Kutoka ml 13 Hadi ml 18 Kwa mwezi, naungana naye kupinga ubadilifu mkubwa wa Kodi za wananchi,
Na Kwa kuwa CHADEMA imetoa kauli kuwa itashiriki uchaguzi 2025, na Kwa kuwa itasimamisha wagombea ubunge Nchi nzima,
Na Kwa kuwa CHADEMA Ina uwezekano wa kushinda ubunge katika majimbo kadhaa nchini,
Je, wabunge watakaoshinda ubunge kupitia tiketi ya CHADEMA 2025 watagomea kupokea posho na marupurupu yanayofikia 18 ml Kwa mwezi?
NB: Vyama, viwekwe pembeni, walipakodi tujadili kwanza maslah ya nchi, Hasa matumizi mazuri ya Kodi zetu,
Swali: Upi Hasa uwe mshahara na marupurupu ya mbunge Kwa mwezi kulingana na makusanyo yetu kupitia Kodi?
ANGALIZO: Ni muhimu wananchi Kwa UMOJA wetu tupambanie KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote, vyama vya siasa na wanasiasa hawaaminiki.
Karibuni🙏
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Mungu ibariki CHADEMA.
Amen