julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
Hatuna jinsi yalisha mwagika japo tunayo nafasi kujipanga! Nivizuri kuamini mabadiliko chanya hatujafikia ni lazima kuungana wenye mawazo yanayorandana kuleta mabadiliko kwa vizazi vyetu!mkuu julius mahinya, punguza hasira! hii ndiyo Tanzania inayoongozwa na coconut head
ku-mention ni rahis bwana Katavi.. hii nyingine naona ni technology ya wachache!!! usijali lakn kwa usumbufu!
mr julius mahinya, this issue is really painful! hivi kuna haja gani, kwa mfano mtu unaoa mke wa pili wakati yule wa kwanza umeshindwa kumhudumia?! namshangaa sana huyu jamaa yetu aliyepanga kule magogoni!Hatuna jinsi yalisha mwagika japo tunayo nafasi kujipanga! Nivizuri kuamini mabadiliko chanya hatujafikia ni lazima kuungana wenye mawazo yanayorandana kuleta mabadiliko kwa vizazi vyetu! Mwenyewe ndoto zangu naamini zimekufa ntalithisha mwanangu utawala ukibadilika! macho yao hayaoni, wala masikio kusikia,hata ngozi haihisi kama ubongo usivyo wa rutuba! nishie hapo nisiwatoneshe vidonda watanzania!
Hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho! worry out together tutafanikiwa kuikomboa nchi yetu toka mikononi mwa mafisadi!mr julius mahinya, this issue is really painful! hivi kuna haja gani, kwa mfano mtu unaoa mke wa pili wakati yule wa kwanza umeshindwa kumhudumia?! namshangaa sana huyu jamaa yetu aliyepanga kule magogoni!
umeona mkuu OLESAIDIMU,! yani Smile ananitega sana, mimi mwenyewe mwindaji.. ntaogopaje mshale? jamani mbona nikigonga like hairespond?
atapiga honi barabara nzimaHa ha haa wa hivyo ukimpa lifti anabadilisha na cd kabisaaaaa
Ha ha haa wa hivyo ukimpa lifti anabadilisha na cd kabisaaaaa
Mr Invisible hebu tupatie list ya waliokula ban tufanye ulinganishi
Karibu JF. Kikuku kikwekwerekwe kaka kwako kiko. kipikikusikitishacho.