ndio mimi!! mwingine picha kivuli. a.k.a photocopy.. wazeiya, nchi yetu imekuwa ikibadilika siku kwenda siku... mikoa inagawanywajeee...! unaweza kuwa leo shinyanga, kesho unaamka uko KATAVI. mzee
Katavi, sijamaanisha wewe mkuu, usinielewe vibaya.! basi naomba tuipitie japo kwa hara hara mikoa yetu yoooote ile mipya na ile mikuu kuu...! pamoja na wilaya zake zooote!!! MKOA HALMASHAURI.
1. kusini pemba 2
2. kaskazini pemba 2
3. kaskazini unguja 2
4. kusini unguja 2
5. mjini magharibi 2
6. tanga 8
7. kilimanjaro 7
8. manyara 5
9. arusha 6
10. mara 7
11. mwanza 7
12. geita 6
13. kagera 8
14. kigoma 7
15. katavi 3
16. rukwa 4
17. tabora 7
18. shinyanga 5
19. simiyu 5
20. singida 6
21. dodoma 7
22. morogoro 7
23. pwani 6
24. dar es salaam 3
25. lindi 6
26. mtwara 6
27. ruvuma 6
28. njombe 5
29. mbeya 10
30. iringa 4
JUMLA YA WILAYA/HALMASHAURI NI 161.. MIKOA NAYO NDIO HIOO.. 30!
Jamani nawakaribisheni nyote mtambue mlikotoka, na mabadiliko yalivyofanyika!
HABARI ZIWAFIKIE;
Heaven on earth lara 1 Katavi Mwita Maranya mpigamsuli AllenMwita Baba V Mtambuzi King'asti Mapi Mchwechwele fisi 2 The Boss watu8 kalou Blaine Jestina Invisible Madame B madame x
Dr.Mo snowhite kama wewe
hekima tele
segere Smile Lizzy mzito mkabwela
kamati Gefu Munkari mdesi Mashaxizo miss strong Mtende julius mahinya Ngalikihinja OLESAIDIMU jumalesso Arushaone Crashwise Khakhi Bangu-silo Makanyaga Mokoyo christine ibrahim daviey69 gogo la shamba Marire Naibili Mkoroshokigoli nndondo Tanganyika TANU
Haki na amani
Salary Slip babtutu mdeki handsome one MD25 Khakha Pasco Eshacky MwanaHaki salimkabora NA WENGINEO WOTE JAMANI....
PLEASE naombeni mtutajieni wilaya za mikoa mtokayo! hodi hodi JF...
Yours,
kipikikusikitishacho