Kwani Shati inatamkwa Sawa Na shirt?Kinachofanya uandike koroani ni nini? maana hata utamkaji wake upo mbali na linavyotamkwa hilo neno Qur'an.
Sasa Qur'an inatamkwa kuruan au koroani?Kwani Shati inatamkwa Sawa Na shirt?
Lakini si tumeweka irabu Za Kiswahili ili ieleweke Shati Ni shirt sio lazima matamshi ya Kiswahili yakopi matamshi ya lugha zote ngeni ..mtajing'ata ulimi
Waarabu ndo wanajua kutamka Hilo neno qur'an ila Sisi waswaili tunaita Hiko kitabu kuruani/koroaniSasa Qur'an inatamkwa kuruan au koroani?
Dah sheikh mbona ngonjera nyingi huweki Aya Za Quran zinazosema nyama ya mtu Ni Haram?Inabidi upigwe shule ya koroani uielewe vyema,mi mwenyewe kabla sijaielewa vizuri nilikuwa hiv hv kama wewe,lakini nimekuja kugundua hiki kitabu kitukufu cha Allah kipo deep sana,uzuri wake vitabu vya dini zote nimevisoma in deep hadi cha mabudha,hiki cha Allah hakijaacha kitu chini ya jua na juu yake pia
Mzee watu wenyewe TRA Tanzania revenue authority wenyewe Tu wanajiita Kwa kiingereza...unategemea mifumo Yao iwe Kwa Kiswahili?Wewe unaposema Q,haitumiki kwenye kiswahili,hivi wataka kuniambia hujawahi ona namba za gari zenye Q,Tz 000 XZQ au Tz 000 XYQ,na nchi yetu, lugha ya Taifa ni Kiswahili.Lakini akija anayejuwa kiswahili,aliyeathirika na lugha yake ya asili ,ya kabila lake,hiyo Q ataitamka K.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂... Dini zote zinakataza pombe ila Dini ya nabii Tito iliruhusu.... kwahyo kwasababu Dini yake Ni tofauti maana yake Ni ya Kweli?Dini karibia zote,duniani zina tofauti ila uislamu,waislamu jambo moja,Kati mengi,ujuwe utofauti,waislamu wote wa dhehebu lolote,wote wanakwenda Maka kuhiji,tarehe mda na matendo wanayokwenda kufanya kiibada yanafanana,hakuna dini duniani,wanayokwenda kufanya ibada sehemu moja,kwa madhehebu yao yote.Hiyo ni Hija tu,wacha na mengine mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye kiswahili kuna maneno kama ghairi lugha gharama, lakini kwenye matamshi ukisikiliza watu wengi yanawashinda kutamka. Utasikia gaili,luga na galama. Sasa kuna tofauti gani na Qur'an?Waarabu ndo wanajua kutamka Hilo neno qur'an ila Sisi waswaili tunaita Hiko kitabu kuruani/koroani
Gha Ni kiswahili sanifu...ila Qu sio Kiswahili mbona una kichwa kigumu Hivi?Kwenye kiswahili kuna maneno kama ghairi lugha gharama, lakini kwenye matamshi ukisikiliza watu wengi yanawashinda kutamka. Utasikia gaili,luga na galama. Sasa kuna tofauti gani na Qur'an?
Nachokisema ni kwamba hiyo sound ya gha huwashinda waswahili wengi tu kutamka na ndio kama unavyosema kuwa ni kiswahili sanifu.Gha Ni kiswahili sanifu...ila Qu sio Kiswahili mbona una kichwa kigumu Hivi?
Huwezi kuhalalisha herufi փ ya kiarmenian iingie kwenye Kiswahili Eti kisa wakurya wameshindwa kutamka la wanasema ra
Hiyo gha kuwashinda watu hakuihalalishi q kuingia kwenye Kiswahili...Nachokisema ni kwamba hiyo sound ya gha huwashinda waswahili wengi tu kutamka na ndio kama unavyosema kuwa ni kiswahili sanifu.
Achana na Q kwanza, kwanini hiyo gha ambacho ni kiswahili fasaha lakini waswahili wenyewe hao hao washindwe kutamka?Hiyo gha kuwashinda watu hakuihalalishi q kuingia kwenye Kiswahili...
Hata Ra Na la zinasumbua wengi, tha na SA...a na haAchana na Q kwanza, kwanini hiyo gha ambacho ni kiswahili fasaha lakini waswahili wenyewe hao hao washindwe kutamka?
Akiwemo NGAMIA!Wanyama wengi wamepigwa marufuku ila sijajua kwanini huyu wamemuwekea kipaumbele sana
Hawajakubali kwa nguruwe,ngamia wala samaki wasio na magamba mfano kibua,kambale,kolekole,kitoga nk(sio wanafiki wa kuchagua baadhi ya vyakula kama ndugu zake mud)Mbona unaulizia waislam tu? Vipi wasabato wao washakubali?
Mkuu hebu ongeza nyama kidogoKinachokatazwa ni kula nguruwe!
Tupe ayaKoroani haijaacha kitu,ipo wazi hajazuiwa kutumika kwa matumizi mengine zaidi ya kitoweo,kwa tiba anatumika vizuri tu.
Wabilahi tawfiq
Allah yupi huyu huyu anayezuia imani nyingine kwenye nchi za kiarabu?Hapana Allah katukataza kuwa tusiwatukane wale ambao wanaabudu kinyume na Allah,huenda wakaja kumtukana Allah pasipokua na elimu ...
kwaio we wajibu kwa kauli njema wacha wao wadhihaki ila waelimishe tuu
Huwezi jua labda atasitiri siku ya njaa!Waislam hawali nguruwe lakini hawaruhusiwi kumuuwa bila ya sababu, ukijua hilo hutasumbuka
Duuuu! Umeandika manini haya?Hawajakubali kwa nguruwe,ngamia wala samaki wasio na magamba mfano kibua,kambale,kolekole,kitoga nk(sio wanafiki wa kuchagua baadhi ya vyakula kama ndugu zake mud)
Ungeweka basi hiyo hadithi ya Mtume kukataza kula hao wanyama wenye kucha ili tujisomee na kujiridhisha.kuhusu makatazo ya kula paka na mbwa ni mafundisho ya mtume sio aya
Mtume ametufundisha kua tusile wanyama ambao wanapata chakula chao kwa kutumia kucha
mfano. simba,chui,paka na mbwa na wengineo