Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Kinachofanya uandike koroani ni nini? maana hata utamkaji wake upo mbali na linavyotamkwa hilo neno Qur'an.
Kwani Shati inatamkwa Sawa Na shirt?
Lakini si tumeweka irabu Za Kiswahili ili ieleweke Shati Ni shirt sio lazima matamshi ya Kiswahili yakopi matamshi ya lugha zote ngeni ..mtajing'ata ulimi
 
Kwani Shati inatamkwa Sawa Na shirt?
Lakini si tumeweka irabu Za Kiswahili ili ieleweke Shati Ni shirt sio lazima matamshi ya Kiswahili yakopi matamshi ya lugha zote ngeni ..mtajing'ata ulimi
Sasa Qur'an inatamkwa kuruan au koroani?
 
Dah sheikh mbona ngonjera nyingi huweki Aya Za Quran zinazosema nyama ya mtu Ni Haram?
Mimi Sina Shida Na ngonjera zako wewe weka Aya acha kunipotezea muda
 
Mzee watu wenyewe TRA Tanzania revenue authority wenyewe Tu wanajiita Kwa kiingereza...unategemea mifumo Yao iwe Kwa Kiswahili?
 
😂😂😂... Dini zote zinakataza pombe ila Dini ya nabii Tito iliruhusu.... kwahyo kwasababu Dini yake Ni tofauti maana yake Ni ya Kweli?
 
Waarabu ndo wanajua kutamka Hilo neno qur'an ila Sisi waswaili tunaita Hiko kitabu kuruani/koroani
Kwenye kiswahili kuna maneno kama ghairi lugha gharama, lakini kwenye matamshi ukisikiliza watu wengi yanawashinda kutamka. Utasikia gaili,luga na galama. Sasa kuna tofauti gani na Qur'an?
 
Kwenye kiswahili kuna maneno kama ghairi lugha gharama, lakini kwenye matamshi ukisikiliza watu wengi yanawashinda kutamka. Utasikia gaili,luga na galama. Sasa kuna tofauti gani na Qur'an?
Gha Ni kiswahili sanifu...ila Qu sio Kiswahili mbona una kichwa kigumu Hivi?
Huwezi kuhalalisha herufi փ ya kiarmenian iingie kwenye Kiswahili Eti kisa wakurya wameshindwa kutamka la wanasema ra
 
Gha Ni kiswahili sanifu...ila Qu sio Kiswahili mbona una kichwa kigumu Hivi?
Huwezi kuhalalisha herufi փ ya kiarmenian iingie kwenye Kiswahili Eti kisa wakurya wameshindwa kutamka la wanasema ra
Nachokisema ni kwamba hiyo sound ya gha huwashinda waswahili wengi tu kutamka na ndio kama unavyosema kuwa ni kiswahili sanifu.
 
Nachokisema ni kwamba hiyo sound ya gha huwashinda waswahili wengi tu kutamka na ndio kama unavyosema kuwa ni kiswahili sanifu.
Hiyo gha kuwashinda watu hakuihalalishi q kuingia kwenye Kiswahili...
 
Achana na Q kwanza, kwanini hiyo gha ambacho ni kiswahili fasaha lakini waswahili wenyewe hao hao washindwe kutamka?
Hata Ra Na la zinasumbua wengi, tha na SA...a na ha
Ni kawaida Tu watu kukosea matamshi ila sarufi Haibadiliki kuwafuata.
 
Mbona unaulizia waislam tu? Vipi wasabato wao washakubali?
Hawajakubali kwa nguruwe,ngamia wala samaki wasio na magamba mfano kibua,kambale,kolekole,kitoga nk(sio wanafiki wa kuchagua baadhi ya vyakula kama ndugu zake mud)
 
Hapana Allah katukataza kuwa tusiwatukane wale ambao wanaabudu kinyume na Allah,huenda wakaja kumtukana Allah pasipokua na elimu ...



kwaio we wajibu kwa kauli njema wacha wao wadhihaki ila waelimishe tuu
Allah yupi huyu huyu anayezuia imani nyingine kwenye nchi za kiarabu?
 
Hawajakubali kwa nguruwe,ngamia wala samaki wasio na magamba mfano kibua,kambale,kolekole,kitoga nk(sio wanafiki wa kuchagua baadhi ya vyakula kama ndugu zake mud)
Duuuu! Umeandika manini haya?
 
kuhusu makatazo ya kula paka na mbwa ni mafundisho ya mtume sio aya
Mtume ametufundisha kua tusile wanyama ambao wanapata chakula chao kwa kutumia kucha
mfano. simba,chui,paka na mbwa na wengineo
Ungeweka basi hiyo hadithi ya Mtume kukataza kula hao wanyama wenye kucha ili tujisomee na kujiridhisha.
La sivyo tutaona kama ni maoni yako tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…