Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Kwaio kumbe yesu nae alikua hayawezi masharti ya mungu wake mpk akaamua kubadilisha[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mnachekecha kweli kweli nyie

#Dini ya haki haina kubadilisha Qur'an yake#
Kitu kama hukijui ni bora ukae kimya coz utachekwa 🙄🙄🙄
 
Wakristo bhna

mke akiwa kwenye hedhi nawe m.me unakua kwenye hedhi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
mke akijifungua nawe hauna budi kukaa likizo ya uzazi[emoji1][emoji1][emoji1]

Yani Uislamu kuruhusu wake wa4 Mungu ana maana yake nyinyi.Msipende kufuata matamanio yenu kisa unaona yanakufaa sehemu flani.M.me rijali haswaa hatoweza kuvumilia ayo ndo mana dini ya haki ikaamuru hivo.
M.ke ktka maisha yako anatakiwa awe mmoja tu ni mama ako tuu sasa nyie endeleeni na vifungo vya dunuani ivo huku mkisubiria Moto mkali mnoo.
 
Wakristo bhna

mke akiwa kwenye hedhi nawe m.me unakua kwenye hedhi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
mke akijifungua nawe hauna budi kukaa likizo ya uzazi[emoji1][emoji1][emoji1]

Yani Uislamu kuruhusu wake wa4 Mungu ana maana yake nyinyi.Msipende kufuata matamanio yenu kisa unaona yanakufaa sehemu flani.M.me rijali haswaa hatoweza kuvumilia ayo ndo mana dini ya haki ikaamuru hivo.
M.ke ktka maisha yako anatakiwa awe mmoja tu ni mama ako tuu sasa nyie endeleeni na vifungo vya dunuani ivo huku mkisubiria Moto mkali mnoo.
Atakaeguswa na huu ukweli hana budi asilimu tuu
 
Muislamu si sahihi kutumia kitu chochote kitokanacho na nguruwe, si nyama yake wala viungo vyake wala huduma yake. Huo ndiyo mtihani tuliyopewa watu wa vitabu.
Huko nyuma mayahudi waliambiwa siku ya Sabato wasifanye kazi iwe ni siku maalum ya ibada, kuna baadhi yao wakapewa mtihani wa kujiwa na samaki wengi siku ya Sabato, wakaamua kutega nyavu usiku wa Ijumaa na kwenda kuzitoa siku ya Jumapili asubuhi, hivyo Mungu akawakasirikia na kuwageuza nyani na nguruwe. Sasa huwenda hizi tafiti ni confirmation ya kuwa hao nguruwe wana vitu vyenye kuingiliana na binadamu (maghdhubi alayhim) waliyoghadhibikiwa na Mungu kwa ukaidi wao. Sasa wale wenye kula nguruwe huenda wakawa wanakula nyama za kizazi cha wanadamu waliyogeuzwa nguruwe.
Hizi hadithi za kindergaten ndo sizielewagi
 
acha kuzunguka Mbuyu.
ikiwa dai la kutoacha kitu halikumaanisha vitu vyote, niambie nielewe.

mnaposema haikuacha kitu uwa mnakusudia vitu gani/vipi hasa? na vilivyoachwa kwa mujibu wako wewe ni vipi? ebu vitaje
nivijue.

ikwa ni fb na tik tok ndiyo vitu pekee VILIACHWA niambie tu kuwa:, Fb na tik tok hazimo kwenye list ya Qur'an.. ni hivyo tu simple and clear.

ama
ikiwa unatafuta pa kutokea acha kunikot uendelee na mambo mengine sio kujizungusha na kujaza saver za jf.

dai lipo wazi kuwa Qur'an haijaacha kitu na ili sijalisema mimi, linasemwa na waumini wenzio.
ikiwa kuna upotoshaji waulize wanaosema hivyo.
KUZUNGUKA M'BUYU... unajua maana yake? Tuanzie hapo kwanza
 
Jadilini hoja (figo ya mkubwa wa meza kwa binadamu) acheni mipasho na kejeli dhidi ya iman
 
IMEANDIKWA tukiumwa kwa hali ya kufa tumtumie Nguruwe, ama kwa chakuka au kwa matibabu.
Ndio HITIMISHO LA MJADALA.
 
Hahaha Takbir uku unamkata kichwa

[emoji3][emoji23]Yani unatumia plate namba kama sehemu ya msamiati wa Kiswahili? Hizo Ni alama Tu hata wakiamua ziwe picha Za Matunda ni wao...Hata X inatumika ila sio herufi ya Kiswahili hiyo.
Plate namba ikiandika XAQ haimaanishi Hilo Ni neno la Kiswahili.
Jifunze Kiswahili Kuwa mzalendo usikumbatie kiarabu tu
Kiswahili chrnyewe karibia 30% ni kiarabu,hapo umeandika umetumia maneno ya kiarabu mengi tu,na huwezi kuyakwepa kama
1.Yaani
2.Msamiati
3.Sehemu
4.Kiswahili nk



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Qur'an imeiongelea jua kuzama kwenye tope wakati dini zingine si tu HAZIKUANDIKA kitu kama icho bali hata kule kufikiria jambo ilo hawakuwa na huo muda.
sasa kwa mtazamo wako kwasababu Qur'an IMEANDIKA hivyo basi huo ndio ukweli na hakuna kinyume na hapo.

Turudi kwenye MADA.
koroan kusema hakika dini ya haki ni uislam ilo haifanyi uislam iwe dini haki.
Koroan ilichokiandika hata mimi naweza anzisha imani yangu nikaiita CHAMUNDA then nikaandika katika msaafu wangu:, HAKIKA DINI YA HAKI NI CHAMUNDA.
na watu wakihoji uhalali wa nilichokiandika kwenye msaafu wangu natoa majibu ya brah brah tu kama majibu unayoyatoa wewe hapa.
Qur an imeongelea,kuwa mtu ndio aliyedhania jua limezama kwenye tope,sio Qur an imesema jua linazama kwenye tope.Upeo wa macho wa mwanadamu,pia imeongelea kwenye Qur an,jua likiwa kali, unaweza ukafikiri kama mbele yako kuna maji,kumbe sio maji,hasa kwenye lami na jangwani.
Aliyeona jua linazama kwenye tope,ni upeo wa uonaji wa huyo mtu,aliyetajwa katika kisa hicho.Jaribu kutumia akili,ukisoma chemistry,ziko gas zinasababisha ziwe na Choking smell,huwezi kupata hiyo choking smell,na ni pale utakapochoma Sulphur au kitu chenye sulphur kama mkaa au mafuta,ndio inaapatikana Sulphur Dioxide na ni colourless,haina Rangi,huoni kitu.,Wakati moshi, unakereketa lakini unauona.Kw hiyo upeo wa macho wa mwanadamu,vipo asivyoviona kama upepo,na vipo anavyoviona kwa upeo wa macho yake,wakati viko kinyume na anavyoona.Kama ungekuwa umesoma sayansi,ungenielewa.Kwa vile hukusoma sayansi,utajibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]... Dini zote zinakataza pombe ila Dini ya nabii Tito iliruhusu.... kwahyo kwasababu Dini yake Ni tofauti maana yake Ni ya Kweli?
Tito hana kitabu chake.Kwa hiyo sio dini,amekiegemeze kwenye ukristo,ambao alikuwa anakwenda kinyume chake,kama kuwa na wanawake wawili,kuolewa,kukubali ushoga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]... Dini zote zinakataza pombe ila Dini ya nabii Tito iliruhusu.... kwahyo kwasababu Dini yake Ni tofauti maana yake Ni ya Kweli?
kama dini zote zinakataza pombe mbona kwenye misiba ya wakristo tunaona mnakunywa pombe mpk mnaangusha gari
Yni mtu kafiliwa hlf ety anaenda kunywa pombe sasa hiki ni nini nyie wakristo ety ni kitu gni icho[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Back
Top Bottom