Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Nimeishia kucheka sana leo😃😃😃 kitimoto hoyeeeeeee.
 
Wakristo bhna

mke akiwa kwenye hedhi nawe m.me unakua kwenye hedhi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
mke akijifungua nawe hauna budi kukaa likizo ya uzazi[emoji1][emoji1][emoji1]

Yani Uislamu kuruhusu wake wa4 Mungu ana maana yake nyinyi.Msipende kufuata matamanio yenu kisa unaona yanakufaa sehemu flani.M.me rijali haswaa hatoweza kuvumilia ayo ndo mana dini ya haki ikaamuru hivo.
M.ke ktka maisha yako anatakiwa awe mmoja tu ni mama ako tuu sasa nyie endeleeni na vifungo vya dunuani ivo huku mkisubiria Moto mkali mnoo.
Dini yenu nzuri sana maana ulivyoandika huo Moto hauwasubiri.Ukishakuwa muislam Moto hauwahusu,Safi Sana.
 
Ndio dini ya kiislamu inaruhusu kula nguruwe kwa ajili ya kuokoa maisha ya m.damu endapo hakuna chakula kwa wakati ule lkn asile kwa kushiba bali ale kwa kiasi tu ili asijepatwa na mauti
Kula ni kula tu haijalishi kama umeshiba ama haujashiba
 
Tafiti zimeonyesha binadamu meenye matatizoya figo anaweza kupona kwa kupandikiziwa figo ya nguruwe,

Kuna dhehebu linaitwa mashahidi wa yehova, hili dhehebu linazuia mtu wa dini hiyo kuongezewa damu,

Je waislam mtakubali kupamdikiziwa figo ya nguruwe?

=====

Figo ya nguruwe iliyopandikizwa kwa binadamu mgonjwa yafanya kazi
Figo.jpg

Washington, Marekani (AFP). Nguruwe ni mnyama ambaye nyama yake inaliwa na baadhi ya jamii, huku nyingine zikiiepuka kutokana na sababu za kiimani, na sasa timu ya madaktari nchini Marekani imeongeza changamoto katika suala hilo baada ya figo ya mnyama huyo iliyopandikizwa kwa binadamu kuonekana inafanya kazi.

Mafanikio ya majaribio hayo yamesifiwa na madaktari waliofanya upasuaji huo kuwa ni "uwezekano wa miujiza".

Upasuaji huo uliofanyika Septemba 25, ulihusisha mnyama huyo mtoaji figo aliyefanyiwa marekebisho, na mgonjwa ambaye ubongo wake ulishakufa na ambaye alikuwa katika mashine ya kupumulia.

Familia ya mgonjwa huyo iliruhusu kufanyika kwa upasuaji huo wa siku mbili, kwa lengo la kuendeleza sayansi.

"Ilifanya kile ilichotakiwa kufanya, ambacho ni kuondoa uchafu na kutengeneza mkojo," Robert Montgomery, mkurugenzi wa taasisi ya upandikizaji katika Chuo Kikuu cha New York (NYU) Langone, aliiambia AFP katika mahojiano.

Kiungo hicho cha nguruwe kiliweza kupunguza kiwango cha molecule creatinine, uchafu unaochujwa kutoka kwenye damu na kutolewa nje ya mwili kwa njia ya mkojo, kitu ambacho ni ishara muhimu ya afya ya figo kwa mgonjwa.
Advertisement

Montgomery alifanya upasuaji huo na wenzake kadhaa katika muda wa karibu saa mbili.

Waliunganisha figo hiyo ya nguruwe na mishipa ya damu juu ya miguu ya mgonjwa, ili kuwawezesha kuifuatilia na kuchukua sampuli.

Mgonjwa huyo alikuwa ametaka kuwa mtoaji wa kiungo na awali familia yake ilifadhaishwa ilipoambiwa kuwa kiungo cha mpendwa wao hakikuwa kinafaa, alisema Montgomery.

Lakini "walijisikia ahueni fulani kwamba hili (la kujaribisha figo ya nguruwe kwa mgonjwa wao) ni fursa nyingine ya kutoa msaada," alisema.

Mgonjwa aliondolewa katika mashine ya kupumulia na akafariki baada ya saa 54 zilizofuata za kupima.

Utafiti wa awali ulionyesha kuwa figo za nguruwe zinafaa kutumika kwa viumbe ambavyo si binadamu kwa hadi mwaka mmoja, lakini hii ilikuwa ni mara ya kwanza zimejaribishwa kwa binadamu.

Nguruwe aliyetolewa figo ni miongoni mwa mifugo iliyopitia mchakato wa marekebisho ya kuondoa jini ambazo huzalisha sukari ambayo ingeweza kusababisha kingamwili za binadamu kuhamaki na kukikataa kiungo hicho.

Chanzo: Mwananchi
Kama mnamchukia nguruwe asiye na hatia, kwanini msijiulize busara na mantiki ya 'kuumbwa' kwake?
 
Ndio dini ya kiislamu inaruhusu kula nguruwe kwa ajili ya kuokoa maisha ya m.damu endapo hakuna chakula kwa wakati ule lkn asile kwa kushiba bali ale kwa kiasi tu ili asijepatwa na mauti
Hicho kiasi hakikutolewa Mwongozo!😂😂
Hizi Dini hizi!
 
Kula ni kula tu haijalishi kama umeshiba ama haujashiba
kubishana na asiekua na Uislamu ni kujipotezea muda hlf utanishinda tuu mna ww utakua hujui ata unaloliongea unaongea ilimradi umeongea tu.
Ujinga sio kutokujua kusoma na kuandika bali ujinga pia ni kutokujua Umeumbwa na nani hlf ww unamuabudia nani
 
Koroani haijaacha kitu,

Mapadri wanajua hili fika ndio maana wametulia tu kwa kuwa wanasoma vitabu vyote,

Imetoa maelezo ya kutosha tu nini cha kufanya inapotokea hivyo,koroani sio ya mchezochezo ndugu
Kwa hiyo ikitokea kwamba kula nyama ya mudi ni tiba utakula bwana ustaadh???
 
Tafiti zimeonyesha binadamu meenye matatizoya figo anaweza kupona kwa kupandikiziwa figo ya nguruwe,

Kuna dhehebu linaitwa mashahidi wa yehova, hili dhehebu linazuia mtu wa dini hiyo kuongezewa damu,

Je waislam mtakubali kupamdikiziwa figo ya nguruwe?

=====

Figo ya nguruwe iliyopandikizwa kwa binadamu mgonjwa yafanya kazi
Figo.jpg

Washington, Marekani (AFP). Nguruwe ni mnyama ambaye nyama yake inaliwa na baadhi ya jamii, huku nyingine zikiiepuka kutokana na sababu za kiimani, na sasa timu ya madaktari nchini Marekani imeongeza changamoto katika suala hilo baada ya figo ya mnyama huyo iliyopandikizwa kwa binadamu kuonekana inafanya kazi.

Mafanikio ya majaribio hayo yamesifiwa na madaktari waliofanya upasuaji huo kuwa ni "uwezekano wa miujiza".

Upasuaji huo uliofanyika Septemba 25, ulihusisha mnyama huyo mtoaji figo aliyefanyiwa marekebisho, na mgonjwa ambaye ubongo wake ulishakufa na ambaye alikuwa katika mashine ya kupumulia.

Familia ya mgonjwa huyo iliruhusu kufanyika kwa upasuaji huo wa siku mbili, kwa lengo la kuendeleza sayansi.

"Ilifanya kile ilichotakiwa kufanya, ambacho ni kuondoa uchafu na kutengeneza mkojo," Robert Montgomery, mkurugenzi wa taasisi ya upandikizaji katika Chuo Kikuu cha New York (NYU) Langone, aliiambia AFP katika mahojiano.

Kiungo hicho cha nguruwe kiliweza kupunguza kiwango cha molecule creatinine, uchafu unaochujwa kutoka kwenye damu na kutolewa nje ya mwili kwa njia ya mkojo, kitu ambacho ni ishara muhimu ya afya ya figo kwa mgonjwa.
Advertisement

Montgomery alifanya upasuaji huo na wenzake kadhaa katika muda wa karibu saa mbili.

Waliunganisha figo hiyo ya nguruwe na mishipa ya damu juu ya miguu ya mgonjwa, ili kuwawezesha kuifuatilia na kuchukua sampuli.

Mgonjwa huyo alikuwa ametaka kuwa mtoaji wa kiungo na awali familia yake ilifadhaishwa ilipoambiwa kuwa kiungo cha mpendwa wao hakikuwa kinafaa, alisema Montgomery.

Lakini "walijisikia ahueni fulani kwamba hili (la kujaribisha figo ya nguruwe kwa mgonjwa wao) ni fursa nyingine ya kutoa msaada," alisema.

Mgonjwa aliondolewa katika mashine ya kupumulia na akafariki baada ya saa 54 zilizofuata za kupima.

Utafiti wa awali ulionyesha kuwa figo za nguruwe zinafaa kutumika kwa viumbe ambavyo si binadamu kwa hadi mwaka mmoja, lakini hii ilikuwa ni mara ya kwanza zimejaribishwa kwa binadamu.

Nguruwe aliyetolewa figo ni miongoni mwa mifugo iliyopitia mchakato wa marekebisho ya kuondoa jini ambazo huzalisha sukari ambayo ingeweza kusababisha kingamwili za binadamu kuhamaki na kukikataa kiungo hicho.

Chanzo: Mwananchi
Mbele ya uhai hakuna haramu wala halali
 
Kama washasema ikitokea njaa wanaruhusiwa kula unatarajia nini? Eti usile Ila kukiwa na njaa ndio inaruhusiwa kula, sasa si ule tu?

Lazima muwe na msimamo kwamba heri ufe kwa njaa kwa kutetea Imani sio kulipua watu ndio useme kutetea Imani.
 
Hakuna dini inayozuia chochote kwa ajili ya matibabu. Kula ndo hairuhusiwi
 
Ugonjwa ni siri ya mtu,awekewe asiwekewe kikubwa uhai
 
Kinachokatazwa sio kula tu nyama hata kumfuga hairuhusiwi.
Sasa ndugu Mwislamu Moyo ukifeli ni bora ufe au uwekewe moyo wa nguruwe ?
Na kama uwekewe moyo wa huyo mnyama utampata wapi ?
Au inataka wengine wakufugie wewe utumie ?
Alaf kwani kila unachufuga lazima ule ?
Mbona huli mbwa na Paka ?

Ni wakati sasa wa ndugu zetu waislamu kuamka na kuanza kufunga nguruwe kwa ajiri ya matibabu na chakula wanapokuwa na njaa.
 
Back
Top Bottom