Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Kwaio kumbe yesu nae alikua hayawezi masharti ya mungu wake mpk akaamua kubadilisha[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mnachekecha kweli kweli nyie

#Dini ya haki haina kubadilisha Qur'an yake#
Kitu kama hukijui ni bora ukae kimya coz utachekwa πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Pilipili usiyoila yakuwashia nini? Tuache wenye dini tutaamua.
 
Wakristo bhna

mke akiwa kwenye hedhi nawe m.me unakua kwenye hedhi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
mke akijifungua nawe hauna budi kukaa likizo ya uzazi[emoji1][emoji1][emoji1]

Yani Uislamu kuruhusu wake wa4 Mungu ana maana yake nyinyi.Msipende kufuata matamanio yenu kisa unaona yanakufaa sehemu flani.M.me rijali haswaa hatoweza kuvumilia ayo ndo mana dini ya haki ikaamuru hivo.
M.ke ktka maisha yako anatakiwa awe mmoja tu ni mama ako tuu sasa nyie endeleeni na vifungo vya dunuani ivo huku mkisubiria Moto mkali mnoo.
 
Atakaeguswa na huu ukweli hana budi asilimu tuu
 
Hizi hadithi za kindergaten ndo sizielewagi
 
KUZUNGUKA M'BUYU... unajua maana yake? Tuanzie hapo kwanza
 
Jadilini hoja (figo ya mkubwa wa meza kwa binadamu) acheni mipasho na kejeli dhidi ya iman
 
IMEANDIKWA tukiumwa kwa hali ya kufa tumtumie Nguruwe, ama kwa chakuka au kwa matibabu.
Ndio HITIMISHO LA MJADALA.
 
Kiswahili chrnyewe karibia 30% ni kiarabu,hapo umeandika umetumia maneno ya kiarabu mengi tu,na huwezi kuyakwepa kama
1.Yaani
2.Msamiati
3.Sehemu
4.Kiswahili nk



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Qur an imeongelea,kuwa mtu ndio aliyedhania jua limezama kwenye tope,sio Qur an imesema jua linazama kwenye tope.Upeo wa macho wa mwanadamu,pia imeongelea kwenye Qur an,jua likiwa kali, unaweza ukafikiri kama mbele yako kuna maji,kumbe sio maji,hasa kwenye lami na jangwani.
Aliyeona jua linazama kwenye tope,ni upeo wa uonaji wa huyo mtu,aliyetajwa katika kisa hicho.Jaribu kutumia akili,ukisoma chemistry,ziko gas zinasababisha ziwe na Choking smell,huwezi kupata hiyo choking smell,na ni pale utakapochoma Sulphur au kitu chenye sulphur kama mkaa au mafuta,ndio inaapatikana Sulphur Dioxide na ni colourless,haina Rangi,huoni kitu.,Wakati moshi, unakereketa lakini unauona.Kw hiyo upeo wa macho wa mwanadamu,vipo asivyoviona kama upepo,na vipo anavyoviona kwa upeo wa macho yake,wakati viko kinyume na anavyoona.Kama ungekuwa umesoma sayansi,ungenielewa.Kwa vile hukusoma sayansi,utajibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]... Dini zote zinakataza pombe ila Dini ya nabii Tito iliruhusu.... kwahyo kwasababu Dini yake Ni tofauti maana yake Ni ya Kweli?
Tito hana kitabu chake.Kwa hiyo sio dini,amekiegemeze kwenye ukristo,ambao alikuwa anakwenda kinyume chake,kama kuwa na wanawake wawili,kuolewa,kukubali ushoga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]... Dini zote zinakataza pombe ila Dini ya nabii Tito iliruhusu.... kwahyo kwasababu Dini yake Ni tofauti maana yake Ni ya Kweli?
kama dini zote zinakataza pombe mbona kwenye misiba ya wakristo tunaona mnakunywa pombe mpk mnaangusha gari
Yni mtu kafiliwa hlf ety anaenda kunywa pombe sasa hiki ni nini nyie wakristo ety ni kitu gni icho[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…