Kitu kama hukijui ni bora ukae kimya coz utachekwa πππ[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Kwaio kumbe yesu nae alikua hayawezi masharti ya mungu wake mpk akaamua kubadilisha[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mnachekecha kweli kweli nyie
#Dini ya haki haina kubadilisha Qur'an yake#
Naam,naam Ostadhi
Mwenye shida anamfuata mgangaWaite ulamaa waje wajìbu
Atakaeguswa na huu ukweli hana budi asilimu tuuWakristo bhna
mke akiwa kwenye hedhi nawe m.me unakua kwenye hedhi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
mke akijifungua nawe hauna budi kukaa likizo ya uzazi[emoji1][emoji1][emoji1]
Yani Uislamu kuruhusu wake wa4 Mungu ana maana yake nyinyi.Msipende kufuata matamanio yenu kisa unaona yanakufaa sehemu flani.M.me rijali haswaa hatoweza kuvumilia ayo ndo mana dini ya haki ikaamuru hivo.
M.ke ktka maisha yako anatakiwa awe mmoja tu ni mama ako tuu sasa nyie endeleeni na vifungo vya dunuani ivo huku mkisubiria Moto mkali mnoo.
Hizi hadithi za kindergaten ndo sizielewagiMuislamu si sahihi kutumia kitu chochote kitokanacho na nguruwe, si nyama yake wala viungo vyake wala huduma yake. Huo ndiyo mtihani tuliyopewa watu wa vitabu.
Huko nyuma mayahudi waliambiwa siku ya Sabato wasifanye kazi iwe ni siku maalum ya ibada, kuna baadhi yao wakapewa mtihani wa kujiwa na samaki wengi siku ya Sabato, wakaamua kutega nyavu usiku wa Ijumaa na kwenda kuzitoa siku ya Jumapili asubuhi, hivyo Mungu akawakasirikia na kuwageuza nyani na nguruwe. Sasa huwenda hizi tafiti ni confirmation ya kuwa hao nguruwe wana vitu vyenye kuingiliana na binadamu (maghdhubi alayhim) waliyoghadhibikiwa na Mungu kwa ukaidi wao. Sasa wale wenye kula nguruwe huenda wakawa wanakula nyama za kizazi cha wanadamu waliyogeuzwa nguruwe.
siku ukifa utazielewa tuuuHizi hadithi za kindergaten ndo sizielewagi
KUZUNGUKA M'BUYU... unajua maana yake? Tuanzie hapo kwanzaacha kuzunguka Mbuyu.
ikiwa dai la kutoacha kitu halikumaanisha vitu vyote, niambie nielewe.
mnaposema haikuacha kitu uwa mnakusudia vitu gani/vipi hasa? na vilivyoachwa kwa mujibu wako wewe ni vipi? ebu vitaje
nivijue.
ikwa ni fb na tik tok ndiyo vitu pekee VILIACHWA niambie tu kuwa:, Fb na tik tok hazimo kwenye list ya Qur'an.. ni hivyo tu simple and clear.
ama
ikiwa unatafuta pa kutokea acha kunikot uendelee na mambo mengine sio kujizungusha na kujaza saver za jf.
dai lipo wazi kuwa Qur'an haijaacha kitu na ili sijalisema mimi, linasemwa na waumini wenzio.
ikiwa kuna upotoshaji waulize wanaosema hivyo.
Wa Msikiti wa Mtoro.Jadilini hoja (figo ya mkubwa wa meza kwa binadamu) acheni mipasho na kejeli dhidi ya iman
SIJUI, UNATAKA KUSEMA NINI?KUZUNGUKA M'BUYU... unajua maana yake? Tuanzie hapo kwanza
Kama kusilim rahisihi silimu kuwa mkristu wewe basiAtakaeguswa na huu ukweli hana budi asilimu tuu
Kiswahili chrnyewe karibia 30% ni kiarabu,hapo umeandika umetumia maneno ya kiarabu mengi tu,na huwezi kuyakwepa kamaHahaha Takbir uku unamkata kichwa
[emoji3][emoji23]Yani unatumia plate namba kama sehemu ya msamiati wa Kiswahili? Hizo Ni alama Tu hata wakiamua ziwe picha Za Matunda ni wao...Hata X inatumika ila sio herufi ya Kiswahili hiyo.
Plate namba ikiandika XAQ haimaanishi Hilo Ni neno la Kiswahili.
Jifunze Kiswahili Kuwa mzalendo usikumbatie kiarabu tu
Qur an imeongelea,kuwa mtu ndio aliyedhania jua limezama kwenye tope,sio Qur an imesema jua linazama kwenye tope.Upeo wa macho wa mwanadamu,pia imeongelea kwenye Qur an,jua likiwa kali, unaweza ukafikiri kama mbele yako kuna maji,kumbe sio maji,hasa kwenye lami na jangwani.Qur'an imeiongelea jua kuzama kwenye tope wakati dini zingine si tu HAZIKUANDIKA kitu kama icho bali hata kule kufikiria jambo ilo hawakuwa na huo muda.
sasa kwa mtazamo wako kwasababu Qur'an IMEANDIKA hivyo basi huo ndio ukweli na hakuna kinyume na hapo.
Turudi kwenye MADA.
koroan kusema hakika dini ya haki ni uislam ilo haifanyi uislam iwe dini haki.
Koroan ilichokiandika hata mimi naweza anzisha imani yangu nikaiita CHAMUNDA then nikaandika katika msaafu wangu:, HAKIKA DINI YA HAKI NI CHAMUNDA.
na watu wakihoji uhalali wa nilichokiandika kwenye msaafu wangu natoa majibu ya brah brah tu kama majibu unayoyatoa wewe hapa.
Ukiitwa jina la kizungu,ndio uwe na mfumo wa kizungu,wapo wanaitwa majina ya kizungu,na wapo kiafrika ,ukiitwa Happyness,ndio uwe na mifumo ya kizungu.Mzee watu wenyewe TRA Tanzania revenue authority wenyewe Tu wanajiita Kwa kiingereza...unategemea mifumo Yao iwe Kwa Kiswahili?
Tito hana kitabu chake.Kwa hiyo sio dini,amekiegemeze kwenye ukristo,ambao alikuwa anakwenda kinyume chake,kama kuwa na wanawake wawili,kuolewa,kukubali ushoga.[emoji23][emoji23][emoji23]... Dini zote zinakataza pombe ila Dini ya nabii Tito iliruhusu.... kwahyo kwasababu Dini yake Ni tofauti maana yake Ni ya Kweli?
kama dini zote zinakataza pombe mbona kwenye misiba ya wakristo tunaona mnakunywa pombe mpk mnaangusha gari[emoji23][emoji23][emoji23]... Dini zote zinakataza pombe ila Dini ya nabii Tito iliruhusu.... kwahyo kwasababu Dini yake Ni tofauti maana yake Ni ya Kweli?