Je, Waislamu tunaitendea haki Qur'an?

Hii kali naomba namba ako mkuu
 
Hicho kitabu siyo Chenu, ni cha waAsia. nyie weusi tengenezeni kitabu Chenu na nyumba zenu za ibada.
 
ni utaratibu emu rudia. Utumwa wa fikra unatusumbua. Lugha yako inafaa sana ndo maana dua zinakwama kozi kitu kinachoombwa kila siku sio kinachotakiwa. Sio kila muislamu anajua kiarabu.


Afu kuna katabia ka kuomba dua ya pamoja hii sio nzuri maana kuna watu kiarabu kinapiga chenga shekhe akiojiombea mke wa pili we unaitikia amen ☝️😁 ni ujinga mambo ya utaratibu.
 
Chief

Naona unachanganya mafaili

Kuna Sala na Dua, ingawa Sala vile vile inamaanisha dua

Lkn Sala inafunguliwa na takbira tul ihram na kufungwa na Salaam,Sala hii ndio inatakiwa iswaliwe kutokana na utaratibu kama ambao tumeupokea toka Kwa Mtume

Ila

Dua waeza omba Kwa lugha yoyote Ile,na ni Bora zaidi kuomba Kwa lugha unayo ifahamu kwakuwa utakuwa unajua unaomba nini Kwa Allah
 
Shukhuran 🙏 Allha Akbar
 
uislamu ndo njia ya haki pasina masaka na mtume Mohammad ndo mtume wa mwisho kabisa. Chamsingi waislamu tutafute Elimu. Ila uislamu ndo dini ya haki ndo dini pekee iliyokuwepo tangia Dunia inaumbwa.
 
Hilo ni kweli kwani naamni hata tafsiri za Kiarabu kuna mengi hayapo sawa.
 
Nenda zako huko, toka lini wewe umekuwa Muislam?
 
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Aamen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…