Twede tuchukulie uzawa wa nunhu kiufp zaid nuhu alikua na mke na watoto watatu wakiume nao watoto walikua wanawake zao jumla watu nanae dipo apo hao watoto was nuhu walianza kuzaa watoto tofautitofauti yan wakwanza alizaa asili ya wazungu ,wapili alizaa waarabu na wahindi watatu alizaa waafrika hivyo ndivyo ilivyokua xaxa kumbuka kua baba wa waafrika aliuona uchi wa baba ake na kucheka huku baba wa wazungu ,waarabu,wahindi, walienda kinyume nyume na kumfunika baba yao ndipo ilipotokea kwa waafrika kuwa kam tuna raana fulan ivi. Na katk huo uzawa wazungu ,waarabu ,wahindi,waafrika warikua wanaongea luga moja na ndipo xaxa waliamua kujenga mnara wapande waande juu kuishi kwa mwenyew mungu.walijenga kwa Mara yakwanza mungu akabomoa akaona wanamchezea hawkuchoka waliendelea tena kwa Mara ya pili na ya tatu wanabomolew2 ndipo mungu aliamua kuwatenganisha lugha wasielewane katk ujenz wao huyu ukimwambia maji analeta mchanga tufari analeta maji hapo ndo ikawa mwisho wao na kutengana kila wanaoelewana walikaa pamoja