Je, wajua Adam na Hawa walikua rangi gani?

Je, wajua Adam na Hawa walikua rangi gani?

Hili swali anae weza kulijibu atatusaidia pia kutwambia kwanini kue kuna mgawanyiko wa rangi za wanadamu kama asili yetu ni moja?

Weupe/wazungu
Wekundu/wachina/waarabu/wahindi
Weusi/waafrika

Pia kinacho changanya kabisa hawa weusi hawa wanaonekana kama hawana mahusiano ya kiasili na hizi rangi nyingine!

Ebu mnaofahamu mtueleze maana tumetafta sources mpaka tumechoka, kwenye imani tunaishia kuambiwa kua ndio mapenzi ya mungu ili tupate kufahamiana..

Karibu..
walikuwa wa pink
 
Blue boy and Blue Girl.

Adam aliweza kutembea siku yake ya kwanza baada ya kupata uhai
 
Swal la kujiuliza kwnz ni wap ilikuw bustan ya Eden, historically ukijua ilikuw wap ndo utafaham walikuw ni watu wa aina gan
Bustani ilikua wapi? Na vipi location ya Bustani inisaidie kufaham Rangi ya hawa wazee wetu?
 
Location ya bustan ya adeni ilikuwa orduvai kondoa irangi kule kulikopatikana fuvu la kichwa anayedhaniwa kuwa binadamu wa kwanza kuishi duniani kuhusu rang c alikuwa kama watu wa eneo hilo lilipogunduliwa hilo fuvu la kicjwa
 
Location ya bustan ya adeni ilikuwa orduvai kondoa irangi kule kulikopatikana fuvu la kichwa anayedhaniwa kuwa binadamu wa kwanza kuishi duniani kuhusu rang c alikuwa kama watu wa eneo hilo lilipogunduliwa hilo fuvu la kicjwa
Kwahyo unataka kutuambia kua...
Eden garden =Olduvai gouge
Zhinjatropus=Adam's skull...

Huh...
 
Twede tuchukulie uzawa wa nunhu kiufp zaid nuhu alikua na mke na watoto watatu wakiume nao watoto walikua wanawake zao jumla watu nanae dipo apo hao watoto was nuhu walianza kuzaa watoto tofautitofauti yan wakwanza alizaa asili ya wazungu ,wapili alizaa waarabu na wahindi watatu alizaa waafrika hivyo ndivyo ilivyokua xaxa kumbuka kua baba wa waafrika aliuona uchi wa baba ake na kucheka huku baba wa wazungu ,waarabu,wahindi, walienda kinyume nyume na kumfunika baba yao ndipo ilipotokea kwa waafrika kuwa kam tuna raana fulan ivi. Na katk huo uzawa wazungu ,waarabu ,wahindi,waafrika warikua wanaongea luga moja na ndipo xaxa waliamua kujenga mnara wapande waande juu kuishi kwa mwenyew mungu.walijenga kwa Mara yakwanza mungu akabomoa akaona wanamchezea hawkuchoka waliendelea tena kwa Mara ya pili na ya tatu wanabomolew2 ndipo mungu aliamua kuwatenganisha lugha wasielewane katk ujenz wao huyu ukimwambia maji analeta mchanga tufari analeta maji hapo ndo ikawa mwisho wao na kutengana kila wanaoelewana walikaa pamoja
 
Twede tuchukulie uzawa wa nunhu kiufp zaid nuhu alikua na mke na watoto watatu wakiume nao watoto walikua wanawake zao jumla watu nanae dipo apo hao watoto was nuhu walianza kuzaa watoto tofautitofauti yan wakwanza alizaa asili ya wazungu ,wapili alizaa waarabu na wahindi watatu alizaa waafrika hivyo ndivyo ilivyokua xaxa kumbuka kua baba wa waafrika aliuona uchi wa baba ake na kucheka huku baba wa wazungu ,waarabu,wahindi, walienda kinyume nyume na kumfunika baba yao ndipo ilipotokea kwa waafrika kuwa kam tuna raana fulan ivi. Na katk huo uzawa wazungu ,waarabu ,wahindi,waafrika warikua wanaongea luga moja na ndipo xaxa waliamua kujenga mnara wapande waande juu kuishi kwa mwenyew mungu.walijenga kwa Mara yakwanza mungu akabomoa akaona wanamchezea hawkuchoka waliendelea tena kwa Mara ya pili na ya tatu wanabomolew2 ndipo mungu aliamua kuwatenganisha lugha wasielewane katk ujenz wao huyu ukimwambia maji analeta mchanga tufari analeta maji hapo ndo ikawa mwisho wao na kutengana kila wanaoelewana walikaa pamoja
Hii ni kweli au simulizi....!?
 
Inawezekana Adam na hawa ni weupe mpaka kipindi cha nuhu. Baada ya gharika nuhu alipoendelea kuzaa kati ya watoto mtoto mmoja anaeitwa sham ndie anaelezwa na biblia kuwa alikuwa mweusi. Maanake watoto wengine rangi yao ni nyeupe. Mwingine aliitwa kushi , hata baadae wakushi walielezwa kuishi afrika hasa kazkazini.
Reference?
 
Kihistoria nabii Adam alikuwa mweusi hii ni kutokana na kitabu cha qur an kinavyosema ktk histori ya uumbaji ambapo ulichukuliwa udongo mweusi kumtengeneza binadam . Na ranging nyeusi ndio rangi ya asili ya binadamu. ukichukua rangi nyeupe na nyeupe hauwezi kupata rangi nyeusi Bali utapata nyeupe tu.lakini ukichukua rangi nyeusi na nyeusi utaweza kupata nyeupe, nyeusi na rangi nyingine za binadam hivyo basi adam aliweza kutoa weupe na weusi kutokana na rangi yake nyeusi. Hata hivyo wazungu wameuficha ukwel huu nakuonesha movie kuwa ni mweupe.
BY
MR
KAMOXPQ SENIOR
 
Mnepewa akiri ya kufikili mambo,,, na jinsi navo kuwa naona kunakitu hapa au kunamchezo tunachezea sio mbure
 
Inawezekana Adam na hawa ni weupe mpaka kipindi cha nuhu. Baada ya gharika nuhu alipoendelea kuzaa kati ya watoto mtoto mmoja anaeitwa sham ndie anaelezwa na biblia kuwa alikuwa mweusi. Maanake watoto wengine rangi yao ni nyeupe. Mwingine aliitwa kushi , hata baadae wakushi walielezwa kuishi afrika hasa kazkazini.
mtoto mmoja anayeitwa ham ndio alikua mweusi
mwengine aliitwa kush ,wakush walielezwa kuish afrika

so watoto ni wawili hapo sham na kush
au umechanganya maelezo
 
Wewe ni mmoja kati ya wengi ambao walisoma history lakini hawakuelewa kipengele hicho,hakuna mahala palipoandikwa binadam wa zamani walikuwa masokwe wala manyani.

Lakini wewe unaeamini kwamba kuna mtu sijui kitua ama nguvu ilikuumba kutokana na udogo unaweza kuwa wa ajabu sana.
Wakati vitabu vya historian na sayansi vimechora sokwe anavyobadirika kuwa binadamu.Hatua karibusita mpaka binadamu.Kasome kitabu cha historian drs la 5.
 
Back
Top Bottom