Je wajua? Kibu Denis amefikisha siku ya 400 bila kufunga goli kwenye Ligi tangu 2023

Je wajua? Kibu Denis amefikisha siku ya 400 bila kufunga goli kwenye Ligi tangu 2023

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kibu Denis kwenye ligi kuu ana zaidi ya siku 400 tangu afunge goli lake la mwisho, goli la mwisho Kibu alifunga tarehe 5/11/2023, ambapo aliwafunga Yanga kwenye yale matokeo ya goli 5-1, baada ya pale Kibu Denis hajafunga tena goli ligi kuu. Hivyo hiyo ilikuwa ni 2023 na hii leo tupo 2025 bila goli lolote ligi kuu

1738651217012.jpg
 
#Kipenga "Kibu Denis kwenye ligi kuu ana zaidi ya siku 400 tangu afunge goli lake la mwisho, goli la mwisho Kibu alifunga tarehe 5/11/2023, ambapo aliwafunga Yanga kwenye yale matokeo ya goli 5-1, baada ya pale Kibu Denis hajafunga tena goli ligi kuu. Hivyo hiyo ilikuwa ni 2023 na hii leo tupo 2025 bila goli lolote ligi kuu" @wakanda_republic

#Kipenga #EastAfricaRadio

Je ni Yale Yale ya kina mpanzu[emoji23]View attachment 3224695

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ila kafunga magoli muhimu CAF Conf?
 
Kibu Denis kwenye ligi kuu ana zaidi ya siku 400 tangu afunge goli lake la mwisho, goli la mwisho Kibu alifunga tarehe 5/11/2023, ambapo aliwafunga Yanga kwenye yale matokeo ya goli 5-1, baada ya pale Kibu Denis hajafunga tena goli ligi kuu. Hivyo hiyo ilikuwa ni 2023 na hii leo tupo 2025 bila goli lolote ligi kuu


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ila contribution Yake uwanjani ni kubwa
 
Hapana ni uwezo wa mchezaji ...coz huwa anapata muda wa kutosha kucheza

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Umekubaliana nami uwezo wake ni mkubwa katika kusaidia timu hafungi ligu kuu simba inaongoza kutokana na pasi zake simba imeongoza group stage kutokana na magoli yake anayofunga...fungua uzi kwanini timu za tanzania zinatolewa mapema mashindano ya caf!
 
Umekubaliana nami uwezo wake ni mkubwa katika kusaidia timu hafungi ligu kuu simba inaongoza kutokana na pasi zake simba imeongoza group stage kutokana na magoli yake anayofunga...fungua uzi kwanini timu za tanzania zinatolewa mapema mashindano ya caf!
Hapana uwezo wake ni mdg

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom