Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Una ubongo wa mende kitu pekee unachojua ni kufa miguu ikiwa juuHujaulizwa yote hayo base na ulichoambiwa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una ubongo wa mende kitu pekee unachojua ni kufa miguu ikiwa juuHujaulizwa yote hayo base na ulichoambiwa
Ova
Hizi takwimu zinamhusu kabisa Mwasibu OKW BOBAN SUNZU.Kibu Denis kwenye ligi kuu ana zaidi ya siku 400 tangu afunge goli lake la mwisho, goli la mwisho Kibu alifunga tarehe 5/11/2023, ambapo aliwafunga Yanga kwenye yale matokeo ya goli 5-1, baada ya pale Kibu Denis hajafunga tena goli ligi kuu. Hivyo hiyo ilikuwa ni 2023 na hii leo tupo 2025 bila goli lolote ligi kuu
Kipindi kile kulikuwa na stiff competitionYanga alicheza fainali ya wamama na mkatengeneza documentary ya umama, mkawapokea wachezaji wametoka kucheza kombe la wamama na mkaanda sherehe ya kunywa supu jangwani kwakusheherekea mecheza vizuri mechi za wamama[emoji3][emoji3][emoji3]
Yote haya utopolo umesahau [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mgechukua na kombe ndiyo mngekuwa wamama kabisa na mngekuwa na K
MwasibuHizi takwimu zinamhusu kabisa Mwasibu OKW BOBAN SUNZU.
Happy 400th day Kibu D Kibu Denga Kibu Denis Mkongo Wa Kitanzania....Kibu Denis kwenye ligi kuu ana zaidi ya siku 400 tangu afunge goli lake la mwisho, goli la mwisho Kibu alifunga tarehe 5/11/2023, ambapo aliwafunga Yanga kwenye yale matokeo ya goli 5-1, baada ya pale Kibu Denis hajafunga tena goli ligi kuu. Hivyo hiyo ilikuwa ni 2023 na hii leo tupo 2025 bila goli lolote ligi kuu
Umenifanya nimecheka sana😀😀😀😀😀😀Ligi dhaifu nini?😀😀😀Hongera kuishia makundi ya Champion League
Kiungo mshambuliaji kazi yake ni kufunga na ku assist kama hafanyi vyote hivyo contribution yake ni ipiIla contribution Yake uwanjani ni kubwa
Ukiwa na points 4 CAF confederation sawa na points 12 za CAF champions leagueUmenifanya nimecheka sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ligi dhaifu nini?[emoji3][emoji3][emoji3]Hongera kuishia makundi ya Champion League