Ila kafunga magoli muhimu CAF Conf?#Kipenga "Kibu Denis kwenye ligi kuu ana zaidi ya siku 400 tangu afunge goli lake la mwisho, goli la mwisho Kibu alifunga tarehe 5/11/2023, ambapo aliwafunga Yanga kwenye yale matokeo ya goli 5-1, baada ya pale Kibu Denis hajafunga tena goli ligi kuu. Hivyo hiyo ilikuwa ni 2023 na hii leo tupo 2025 bila goli lolote ligi kuu" @wakanda_republic
#Kipenga #EastAfricaRadio
Je ni Yale Yale ya kina mpanzu[emoji23]View attachment 3224695
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
No consistencyIla kafunga magoli muhimu CAF Conf?
Hapana ni uwezo wa mchezaji ...coz huwa anapata muda wa kutosha kuchezaJe hiyo imesababisha kutupwa benchi?
Nadhani nkane ni Bora zaidKibu ni sawa na Nkane
Mechi zote ni muhimuMajukumu yake ni ya kimataifa na ametupeleka robo ligi kawaachia wengine, ila mkitaka awafunge subirieni mechi inayokuja tena
Simba bado ipo loser cup mkuuSimba iko nafasi ya ngapi kwenye ligi? Na vipi mashindano ya kimataifa wapo au?*
Ila contribution Yake uwanjani ni kubwaKibu Denis kwenye ligi kuu ana zaidi ya siku 400 tangu afunge goli lake la mwisho, goli la mwisho Kibu alifunga tarehe 5/11/2023, ambapo aliwafunga Yanga kwenye yale matokeo ya goli 5-1, baada ya pale Kibu Denis hajafunga tena goli ligi kuu. Hivyo hiyo ilikuwa ni 2023 na hii leo tupo 2025 bila goli lolote ligi kuu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mashindano gani?
Umekubaliana nami uwezo wake ni mkubwa katika kusaidia timu hafungi ligu kuu simba inaongoza kutokana na pasi zake simba imeongoza group stage kutokana na magoli yake anayofunga...fungua uzi kwanini timu za tanzania zinatolewa mapema mashindano ya caf!Hapana ni uwezo wa mchezaji ...coz huwa anapata muda wa kutosha kucheza
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hatachwa huyu kama Mkude, Morrison, Okrah na Isra Mwenda. Labda mumchukue Jobe, ila mumlipe asije naye akawashtakiNo consistency
0 individual performanceIla contribution Yake uwanjani ni kubwa
Hapana uwezo wake ni mdgUmekubaliana nami uwezo wake ni mkubwa katika kusaidia timu hafungi ligu kuu simba inaongoza kutokana na pasi zake simba imeongoza group stage kutokana na magoli yake anayofunga...fungua uzi kwanini timu za tanzania zinatolewa mapema mashindano ya caf!
Yanga ipo kombe gani