Yanga hawezi pata nambaHatachwa huyu kama Mkude, Morrison, Okrah na Isra Mwenda. Labda mumchukue Jobe, ila mumlipe asije naye akawashtaki
Mechi 20 with 0 goal unaogopaje huyo mtuLakini mnamuogopa balaa.
Sawa, maana Dube anatosha 😄Yanga hawezi pata namba
Ilikuwa CAF champions leagueYanga ipo kombe gani
Atafunga tarehe 8Kibu Denis kwenye ligi kuu ana zaidi ya siku 400 tangu afunge goli lake la mwisho, goli la mwisho Kibu alifunga tarehe 5/11/2023, ambapo aliwafunga Yanga kwenye yale matokeo ya goli 5-1, baada ya pale Kibu Denis hajafunga tena goli ligi kuu. Hivyo hiyo ilikuwa ni 2023 na hii leo tupo 2025 bila goli lolote ligi kuu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Atafunga tarehe 8Kibu Denis kwenye ligi kuu ana zaidi ya siku 400 tangu afunge goli lake la mwisho, goli la mwisho Kibu alifunga tarehe 5/11/2023, ambapo aliwafunga Yanga kwenye yale matokeo ya goli 5-1, baada ya pale Kibu Denis hajafunga tena goli ligi kuu. Hivyo hiyo ilikuwa ni 2023 na hii leo tupo 2025 bila goli lolote ligi kuu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sahivi iko wapi?
Je tukiwaambia loser cup ni kwepesi mtabisha?Naye akapita katikati yao akaenda zake
View attachment 3224709
Ligi kuu sio loser cupAtafunga tarehe 8
save hii comment
Alivyotolewa akaenda wapi?
Kamsikilize kocha wako kwanza Saed kuhusu ligi yetu
Yupo ananagawa vichapo NBC premierAlivyotolewa akaenda wapi?
Kiingereza ni changamoto...hamkumuelewaKamsikilize kocha wako kwanza Saed kuhusu ligi yetu
Wako nafas ya kwanza ila soon watashuka kwenye mashindano ya kimataifa wako robo fainali ila soon watatokaSimba iko nafasi ya ngapi kwenye ligi? Na vipi mashindano ya kimataifa wapo au?*
Nieleweshe mkuu
Zinatoka mapema sababu ni Azam na UROPOLO na huwezi kumkuta SIMBA WA KIMATAIFA anatoka kwenye group stage hiyo a ni NYUMA MWIKO.Umekubaliana nami uwezo wake ni mkubwa katika kusaidia timu hafungi ligu kuu simba inaongoza kutokana na pasi zake simba imeongoza group stage kutokana na magoli yake anayofunga...fungua uzi kwanini timu za tanzania zinatolewa mapema mashindano ya caf!