CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
- Thread starter
- #21
Na bata kuharisha huwa ni kwa sababu anakunywa sana maji, maki ndo humfanya awe vile, mnyime maji uone kama aataharisha
Kuharishiwa ovyo ila utakula mayai mwaka.mzima