May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Sasa kwa Bongo tutakwepa kweli hilo?.Moja kati ya ufugaji mzuri ikiwa mtu atapata mbegu ambazo hazijachakachuliwa kwa upande wa bata wa mayai, maana kama wakichakachuliwa kuna uwezekano wa kutokufikia hata nusu ya utagaji wao kwa mwaka.