Je, wajua kuna Coincidence na Coincidence 'coincidencesisha?' Watch this, is this just a coincidence or ime-'coincidencesishwa'?

Je, wajua kuna Coincidence na Coincidence 'coincidencesisha?' Watch this, is this just a coincidence or ime-'coincidencesishwa'?

Duh at his age bado mwamba anapiga papuchi na kuijaza dunia.

Ngoja niendelee tu, mie 35 naona inatosha. Hii kweli sio haki, nimekuwa namkatalia shemej enu kuwa 4 inatosha.

Sasa acha niuwashe moto. [emoji23][emoji23][emoji28]
 
Leo ni birthday ya ndugu na si rafiki. Pascal Mayalla. Pascal ndiye mwamba pekee aliyemuuliza Marehemu Rais Magufuli bila kumuogopa swali ambalo ni 1millioni dollar question.
Bila woga na kwa ushujaa wa hali ya juu alimuuliza “Mh Rais umepata wapi nguvu ya kuzuia mikutano ya kisiasa kinyume na katiba ambayo inaruhusu, hiyo ruhusa umeipata wapi?”

JPM alishindwa kujibu zaidi ya kumwambia jina Mayalla kwetu maana yake ni njaa.

Moonlight inamtakia kila la kheri, umri mrefu na afya tele mwamba Huyu wa habari hapa nchini. Happy birthday Pascal
Hizi ni salaam kutoka kwa Abubakar Liongo
Moonlight Media
P
Mkuu baada ya lile swali nilikuona shujaa
Jiwe alipoteana kweli
 
Wanabodi
Anzia hapa

Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili.

Wanabodi, leo ni siku yangu ya kuzaliwa, yaani Happy Birthday yangu, lakini pia leo ni birthday ya last born wangu ambae nae ameitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/

Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr ambapo wengi mtadhani ni just a coincidence tuu!.

Kuna kitu kiitwacho coincidence na coincidences nyingine ni just an amazing coincidence. Je wajua kuna coincidences za aina mbili?. Coincidence ya kwanza ni ile coincidence ya just a coincidence na coincidence ya aina ya pili ni coincidence ya kui coincidencesisha?.

Kuna watu wanaamini coincidence inajitokea tuu yenyewe, as it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie sio kila coincidence inajitokea tuu yenyewe, some coincidences, ni mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia will power through manifestation kwa kutumia kauli umba!.

Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako lolote na hizi hoja za coincidence zinawezeshwa na mahasabu ya probability ya kitu kinachoitwa yumkini ya kuyumkinika.

Mimi ni mtu wa kauli umba, yaani kuna vitu una vi wish halafu vinatokea. Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/

NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 nilitoa kauli umba hii https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/

Halafu 2015 nikabadili mawazo na kutoa kauli umba hii https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.

Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi

Saa jee hii Birthday ya Baba ku coinside na Birthday ya last born is is just a coincidence, an amazing coincidence or just a coincidence ya ku coincidencesisha?.

Happy Birthday kwa kila Pasco, Paskali, Pascal, Paschal, Pascoe, Pasquale, Paskalina, Paskazia na Ester waliozaliwa siku ya Pasaka.

Kila unaposheherekea sikukuu ya Pasaka ujue pia unasheherekea Happy Birthday ya kina Paskali!.

Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)
Nawatakia Pasaka Njema.

Pasakali
Baadhi ya Salaam za pongezi
Leo ni birthday ya ndugu na si rafiki. Pascal Mayalla. Pascal ndiye mwamba pekee aliyemuuliza Marehemu Rais Magufuli bila kumuogopa swali ambalo ni 1millioni dollar question.
Bila woga na kwa ushujaa wa hali ya juu alimuuliza “Mh Rais umepata wapi nguvu ya kuzuia mikutano ya kisiasa kinyume na katiba ambayo inaruhusu, hiyo ruhusa umeipata wapi?”

JPM alishindwa kujibu zaidi ya kumwambia jina Mayalla kwetu maana yake ni njaa.

Moonlight inamtakia kila la kheri, umri mrefu na afya tele mwamba Huyu wa habari hapa nchini. Happy birthday Pascal
Kutoka kwa Abubakar Liongo
Moonlight Media
Bro Paskali nakupata
Kucoincidensisha ni kwamba huyo piijey alipatikana kwa operation baada ya kuweka appointment na dk sio?
Pili hilo swali ndio lilikufanya ukose teuzi na nusura kweli ufe njaa kipindi cha JPM maana kampuni yako ilinyimwa tenda
Maneno ya JPM kuwa wewe ni njaa nusura yatimie
 
Mama yake mzazi na baba yake walikuwa tiss mama yake aliwahi kupewa nishani na Nyerere!
Sasa jamaa mbona dizain kama ana akili kama za yule mtoto wa Simbachawene wa siku ile pale. Au ndo kusema watoto wa watu wa TISS ndo wanakuaga hivyo?

Le mutuz hivi huyu jamaa nae yupo kweli?

Yani hii mitoto ya wazee wa TISS miakili yao sijui inakuagaje yani....

Jana nilikua nacheck clouds tv nikamuona Makongoro Nyerere..anauliza...."nitoe miwani? au hamtaki?...nitatoa?..miwani OYEEE?..hahahah...yani miakili yao kama ya sayari sijui ya wapi vile aisee...
 
Kwanza ni mwandishi nguli wa habari, pia ni wakili msomi, anahiyo kampuni unayoona hua inapata tenda kwenye sabasaba, ana watoto wakubwa , ni mtoto wa wastaafu wa idara nyeti lakini pia alipata mafunzo ya jeshi la kujenga taifa, kabila ni msukuma aliezaliwa dar,
Mkuu Arovera , asante. Sio tuu nilipitia JKT, but from JKT nilienda straight JWTZ kabla ya kutua RTD.

It's true mimi ni Grand of 6!. My 3 eldest daughter and two sons, each ana watoto 2.

P
 
Anha..kumbe! Kwahiyo jamaa na yeye ni TISS au sio?
Mkuu MzeeKipusa , japo ni kweli mimi ni mtoto wa wastaafu wa TISS kwa both parents, baba na mama, na ni kweli TISS hupeleka watoto wao kuwa ma TISS ila sio kila TISS, wanapeleka watoto wao TISS!.

Sisi tumezaliwa 8, watano kati yetu waliajiriwa serikalini, halafu sisi 3 tuko private sector. We can't all 8 be TISS, ila nimezaliwa na natural intelligence of intelligent na from time to time nawasaidia Idara kwa kuwapa tip za security threats kama hizi https://www.jamiiforums.com/threads...lionya-kabla-je-wanapanga-kutu-libya.1689279/ na hizi https://www.jamiiforums.com/threads...kani-watanzania-wazalendo-tutakubali.1522727/
It's very unfortunately TISS wetu couldn't protect him!. Jamaa wakala kichwa!.

Ila pia TISS wakiboronga, tunawakosoa publically kitu ambacho mtu kama ni TISS, hawezi https://www.jamiiforums.com/threads...wachunguzwe-wakithibitika-wafumuliwe.1235284/
P
 
Wanabodi
Anzia hapa

Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili.

Wanabodi, leo ni siku yangu ya kuzaliwa, yaani Happy Birthday yangu, lakini pia leo ni birthday ya last born wangu ambae nae ameitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/

Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr ambapo wengi mtadhani ni just a coincidence tuu!.

Kuna kitu kiitwacho coincidence na coincidences nyingine ni just an amazing coincidence. Je wajua kuna coincidences za aina mbili?. Coincidence ya kwanza ni ile coincidence ya just a coincidence na coincidence ya aina ya pili ni coincidence ya kui coincidencesisha?.

Kuna watu wanaamini coincidence inajitokea tuu yenyewe, as it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie sio kila coincidence inajitokea tuu yenyewe, some coincidences, ni mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia will power through manifestation kwa kutumia kauli umba!.

Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako lolote na hizi hoja za coincidence zinawezeshwa na mahasabu ya probability ya kitu kinachoitwa yumkini ya kuyumkinika.

Mimi ni mtu wa kauli umba, yaani kuna vitu una vi wish halafu vinatokea. Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/

NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 nilitoa kauli umba hii https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/

Halafu 2015 nikabadili mawazo na kutoa kauli umba hii https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.

Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi

Saa jee hii Birthday ya Baba ku coinside na Birthday ya last born is is just a coincidence, an amazing coincidence or just a coincidence ya ku coincidencesisha?.

Happy Birthday kwa kila Pasco, Paskali, Pascal, Paschal, Pascoe, Pasquale, Paskalina, Paskazia na Ester waliozaliwa siku ya Pasaka.

Kila unaposheherekea sikukuu ya Pasaka ujue pia unasheherekea Happy Birthday ya kina Paskali!.

Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)
Nawatakia Pasaka Njema.

Pasakali
Baadhi ya Salaam za pongezi
Leo ni birthday ya ndugu na si rafiki. Pascal Mayalla. Pascal ndiye mwamba pekee aliyemuuliza Marehemu Rais Magufuli bila kumuogopa swali ambalo ni 1millioni dollar question.
Bila woga na kwa ushujaa wa hali ya juu alimuuliza “Mh Rais umepata wapi nguvu ya kuzuia mikutano ya kisiasa kinyume na katiba ambayo inaruhusu, hiyo ruhusa umeipata wapi?”

JPM alishindwa kujibu zaidi ya kumwambia jina Mayalla kwetu maana yake ni njaa.

Moonlight inamtakia kila la kheri, umri mrefu na afya tele mwamba Huyu wa habari hapa nchini. Happy birthday Pascal
Kutoka kwa Abubakar Liongo
Moonlight Media
1960s! Unawezaje kumpongeza mtu asiyejua mwaka aliozaliwa, 1960s inaupana wa miaka kumi(10), kama hataki watu wajue mwaka aliozaliwa labda kwa sababu za kishirikina basi hakuwa na sababu ya kutujulisha ili sisi tuanze kupiga ramli kujua mwaka aliozaliwa.
 
Swali lile la Paskali linabaki kua swali bora kuliko maswali yote waliyowahi kuulizwa Marais Walioko madarakani kwa nchi yetu.

Lakini nyepesi pia zilisema kama sio lile swali huenda Paskali angetwaa u DC kwa maana mkulu alikua anamkubali kiaina.

Just kidding, happy birthday Pascal Snr and Jnr.
 
Sasa jamaa mbona dizain kama ana akili kama za yule mtoto wa Simbachawene wa siku ile pale. Au ndo kusema watoto wa watu wa TISS ndo wanakuaga hivyo?

Le mutuz hivi huyu jamaa nae yupo kweli?

Yani hii mitoto ya wazee wa TISS miakili yao sijui inakuagaje yani....

Jana nilikua nacheck clouds tv nikamuona Makongoro Nyerere..anauliza...."nitoe miwani? au hamtaki?...nitatoa?..miwani OYEEE?..hahahah...yani miakili yao kama ya sayari sijui ya wapi vile aisee...
Mzee Kipusa OYEE!? "in Makongoro voice"!!
 
Sasa jamaa mbona dizain kama ana akili kama za yule mtoto wa Simbachawene wa siku ile pale. Au ndo kusema watoto wa watu wa TISS ndo wanakuaga hivyo?
No akili ni kila mtu ana zake, ila ukizaliwa kwa wazazi wote wawili ni bright una chances za brightness kuwa bright. Sisi tumezaliwa 8 na wote tumepasi na kusoma hadi vyuo vikuu.
Ila pia wazazi wanaweza kuwa bright watoto wakawa opposite na kuna watoto wa total uneducated parents ni ma genius!. Mimi wazazi wangu kuwa TISS wamenisaidia kuwa na intelligence ya kuhoji, hiyo ni tool muhimu sana kwa fani yangu ya uandishi wa habari.
Yani hii mitoto ya wazee wa TISS miakili yao sijui inakuagaje yani....
This is not fair, wako wazee wengi tuu wa TISS watoto wao wana akili mzuri!. Mtoto kumuita kitoto sounds kama una chuki fulani which is not fair!
Jana nilikua nacheck clouds tv nikamuona Makongoro Nyerere..anauliza...."nitoe miwani? au hamtaki?...nitatoa?..miwani OYEEE?..hahahah...yani miakili yao kama ya sayari sijui ya wapi vile aisee...
Kuna watoto wa wakubwa ni issues na kuna watoto wa wakubwa ni poa. Don't generalize all!.
P
 
Back
Top Bottom