Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Mkuu baada ya lile swali nilikuona shujaaLeo ni birthday ya ndugu na si rafiki. Pascal Mayalla. Pascal ndiye mwamba pekee aliyemuuliza Marehemu Rais Magufuli bila kumuogopa swali ambalo ni 1millioni dollar question.
Bila woga na kwa ushujaa wa hali ya juu alimuuliza “Mh Rais umepata wapi nguvu ya kuzuia mikutano ya kisiasa kinyume na katiba ambayo inaruhusu, hiyo ruhusa umeipata wapi?”
JPM alishindwa kujibu zaidi ya kumwambia jina Mayalla kwetu maana yake ni njaa.
Moonlight inamtakia kila la kheri, umri mrefu na afya tele mwamba Huyu wa habari hapa nchini. Happy birthday Pascal
Hizi ni salaam kutoka kwa Abubakar Liongo
Moonlight Media
P
Bro Paskali nakupataWanabodi
Anzia hapa
Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili.
Wanabodi, leo ni siku yangu ya kuzaliwa, yaani Happy Birthday yangu, lakini pia leo ni birthday ya last born wangu ambae nae ameitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/
Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr ambapo wengi mtadhani ni just a coincidence tuu!.
Kuna kitu kiitwacho coincidence na coincidences nyingine ni just an amazing coincidence. Je wajua kuna coincidences za aina mbili?. Coincidence ya kwanza ni ile coincidence ya just a coincidence na coincidence ya aina ya pili ni coincidence ya kui coincidencesisha?.
Kuna watu wanaamini coincidence inajitokea tuu yenyewe, as it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie sio kila coincidence inajitokea tuu yenyewe, some coincidences, ni mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia will power through manifestation kwa kutumia kauli umba!.
Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako lolote na hizi hoja za coincidence zinawezeshwa na mahasabu ya probability ya kitu kinachoitwa yumkini ya kuyumkinika.
Mimi ni mtu wa kauli umba, yaani kuna vitu una vi wish halafu vinatokea. Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/
NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 nilitoa kauli umba hii https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/
Halafu 2015 nikabadili mawazo na kutoa kauli umba hii https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.
Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi
Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
Wanabodi, Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers". "Powers" ndicho kitu kikubwa kabisa duniani kuliko kitu kingine chochote! . God is Power, yaani Mungu ni nguvu, hakuna kitu...www.jamiiforums.com
Saa jee hii Birthday ya Baba ku coinside na Birthday ya last born is is just a coincidence, an amazing coincidence or just a coincidence ya ku coincidencesisha?.
Happy Birthday kwa kila Pasco, Paskali, Pascal, Paschal, Pascoe, Pasquale, Paskalina, Paskazia na Ester waliozaliwa siku ya Pasaka.
Kila unaposheherekea sikukuu ya Pasaka ujue pia unasheherekea Happy Birthday ya kina Paskali!.
Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)
Nawatakia Pasaka Njema.
Pasakali
Baadhi ya Salaam za pongezi
Leo ni birthday ya ndugu na si rafiki. Pascal Mayalla. Pascal ndiye mwamba pekee aliyemuuliza Marehemu Rais Magufuli bila kumuogopa swali ambalo ni 1millioni dollar question.
Bila woga na kwa ushujaa wa hali ya juu alimuuliza “Mh Rais umepata wapi nguvu ya kuzuia mikutano ya kisiasa kinyume na katiba ambayo inaruhusu, hiyo ruhusa umeipata wapi?”
JPM alishindwa kujibu zaidi ya kumwambia jina Mayalla kwetu maana yake ni njaa.
Moonlight inamtakia kila la kheri, umri mrefu na afya tele mwamba Huyu wa habari hapa nchini. Happy birthday Pascal
Kutoka kwa Abubakar Liongo
Moonlight Media
Sasa jamaa mbona dizain kama ana akili kama za yule mtoto wa Simbachawene wa siku ile pale. Au ndo kusema watoto wa watu wa TISS ndo wanakuaga hivyo?Mama yake mzazi na baba yake walikuwa tiss mama yake aliwahi kupewa nishani na Nyerere!
Mkuu Arovera , asante. Sio tuu nilipitia JKT, but from JKT nilienda straight JWTZ kabla ya kutua RTD.Kwanza ni mwandishi nguli wa habari, pia ni wakili msomi, anahiyo kampuni unayoona hua inapata tenda kwenye sabasaba, ana watoto wakubwa , ni mtoto wa wastaafu wa idara nyeti lakini pia alipata mafunzo ya jeshi la kujenga taifa, kabila ni msukuma aliezaliwa dar,
Mkuu MzeeKipusa , japo ni kweli mimi ni mtoto wa wastaafu wa TISS kwa both parents, baba na mama, na ni kweli TISS hupeleka watoto wao kuwa ma TISS ila sio kila TISS, wanapeleka watoto wao TISS!.Anha..kumbe! Kwahiyo jamaa na yeye ni TISS au sio?
True, deppo yangu sasa ni ma brigadier!.Ungebaki JWTZ mkuu,ungekuwa na nyota za kutosha sasa.
1960s! Unawezaje kumpongeza mtu asiyejua mwaka aliozaliwa, 1960s inaupana wa miaka kumi(10), kama hataki watu wajue mwaka aliozaliwa labda kwa sababu za kishirikina basi hakuwa na sababu ya kutujulisha ili sisi tuanze kupiga ramli kujua mwaka aliozaliwa.Wanabodi
Anzia hapa
Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili.
Wanabodi, leo ni siku yangu ya kuzaliwa, yaani Happy Birthday yangu, lakini pia leo ni birthday ya last born wangu ambae nae ameitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/
Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr ambapo wengi mtadhani ni just a coincidence tuu!.
Kuna kitu kiitwacho coincidence na coincidences nyingine ni just an amazing coincidence. Je wajua kuna coincidences za aina mbili?. Coincidence ya kwanza ni ile coincidence ya just a coincidence na coincidence ya aina ya pili ni coincidence ya kui coincidencesisha?.
Kuna watu wanaamini coincidence inajitokea tuu yenyewe, as it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie sio kila coincidence inajitokea tuu yenyewe, some coincidences, ni mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia will power through manifestation kwa kutumia kauli umba!.
Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako lolote na hizi hoja za coincidence zinawezeshwa na mahasabu ya probability ya kitu kinachoitwa yumkini ya kuyumkinika.
Mimi ni mtu wa kauli umba, yaani kuna vitu una vi wish halafu vinatokea. Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/
NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 nilitoa kauli umba hii https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/
Halafu 2015 nikabadili mawazo na kutoa kauli umba hii https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.
Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi
Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
Wanabodi, Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers". "Powers" ndicho kitu kikubwa kabisa duniani kuliko kitu kingine chochote! . God is Power, yaani Mungu ni nguvu, hakuna kitu...www.jamiiforums.com
Saa jee hii Birthday ya Baba ku coinside na Birthday ya last born is is just a coincidence, an amazing coincidence or just a coincidence ya ku coincidencesisha?.
Happy Birthday kwa kila Pasco, Paskali, Pascal, Paschal, Pascoe, Pasquale, Paskalina, Paskazia na Ester waliozaliwa siku ya Pasaka.
Kila unaposheherekea sikukuu ya Pasaka ujue pia unasheherekea Happy Birthday ya kina Paskali!.
Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)
Nawatakia Pasaka Njema.
Pasakali
Baadhi ya Salaam za pongezi
Leo ni birthday ya ndugu na si rafiki. Pascal Mayalla. Pascal ndiye mwamba pekee aliyemuuliza Marehemu Rais Magufuli bila kumuogopa swali ambalo ni 1millioni dollar question.
Bila woga na kwa ushujaa wa hali ya juu alimuuliza “Mh Rais umepata wapi nguvu ya kuzuia mikutano ya kisiasa kinyume na katiba ambayo inaruhusu, hiyo ruhusa umeipata wapi?”
JPM alishindwa kujibu zaidi ya kumwambia jina Mayalla kwetu maana yake ni njaa.
Moonlight inamtakia kila la kheri, umri mrefu na afya tele mwamba Huyu wa habari hapa nchini. Happy birthday Pascal
Kutoka kwa Abubakar Liongo
Moonlight Media
Happy B'Day ya kutimiza umri usiojulikana! Wale tu wasiojua maana ya 60s ndio watampongeza kwa kutimiza umri wa miaka isiyojulikana.Happy B’Day Bro!
Mungu akujalie uzima tele
Mzee Kipusa OYEE!? "in Makongoro voice"!!Sasa jamaa mbona dizain kama ana akili kama za yule mtoto wa Simbachawene wa siku ile pale. Au ndo kusema watoto wa watu wa TISS ndo wanakuaga hivyo?
Le mutuz hivi huyu jamaa nae yupo kweli?
Yani hii mitoto ya wazee wa TISS miakili yao sijui inakuagaje yani....
Jana nilikua nacheck clouds tv nikamuona Makongoro Nyerere..anauliza...."nitoe miwani? au hamtaki?...nitatoa?..miwani OYEEE?..hahahah...yani miakili yao kama ya sayari sijui ya wapi vile aisee...
No akili ni kila mtu ana zake, ila ukizaliwa kwa wazazi wote wawili ni bright una chances za brightness kuwa bright. Sisi tumezaliwa 8 na wote tumepasi na kusoma hadi vyuo vikuu.Sasa jamaa mbona dizain kama ana akili kama za yule mtoto wa Simbachawene wa siku ile pale. Au ndo kusema watoto wa watu wa TISS ndo wanakuaga hivyo?
This is not fair, wako wazee wengi tuu wa TISS watoto wao wana akili mzuri!. Mtoto kumuita kitoto sounds kama una chuki fulani which is not fair!Yani hii mitoto ya wazee wa TISS miakili yao sijui inakuagaje yani....
Kuna watoto wa wakubwa ni issues na kuna watoto wa wakubwa ni poa. Don't generalize all!.Jana nilikua nacheck clouds tv nikamuona Makongoro Nyerere..anauliza...."nitoe miwani? au hamtaki?...nitatoa?..miwani OYEEE?..hahahah...yani miakili yao kama ya sayari sijui ya wapi vile aisee...