Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #41
Mkuu Window7 , ni vile tuu watu humu hatujuani in reality, hivyo watu mnaouona u DC kama it's a big deal!. Amini usiamini, kuna watu kibao kama mimi ambao tunajifanyia tuu mambo yetu huo uteuzi wa ubwete hatutaki hata kuusikia!.Swali lile la Paskali linabaki kua swali bora kuliko maswali yote waliyowahi kuulizwa Marais Walioko madarakani kwa nchi yetu.
Lakini nyepesi pia zilisema kama sio lile swali huenda Paskali angetwaa u DC kwa maana mkulu alikua anamkubali kiaina.
Just kidding, happy birthday Pascal Snr and Jnr.
Kuandika 1960s hakumaanishi siujui mwaka niliozaliwa, naujua na kuandika kwenye every official documents, ila vitu vingine vinalindwa na the right to privacy. Birthday ya mtu ni inasheherekewa kwa siku na mwezi na sio lazima mwaka!.1960s! Unawezaje kumpongeza mtu asiyejua mwaka aliozaliwa, 1960s inaupana wa miaka kumi(10), kama hataki watu wajue mwaka aliozaliwa labda kwa sababu za kishirikina basi hakuwa na sababu ya kutujulisha ili sisi tuanze kupiga ramli kujua mwaka aliozaliwa.
Sio mwaka 1960 ni 1960sHbd mkuu Mayala. Kumbe umezaliwa mwaka 1960! Aisee samahani kama kuna sehem niliwahi kukukosea heshima, hizi Id fake zinatuchanganya mda mwingine.
Mkuu Mayalla nikiwa Mkubwa nataka kua Kama wwe, Watoto 10 na Wajukuu 10,nitafurahi sana killa nikiwaangalia wanangu na Wajukuu zangu,alafu wote nitataka tuishi kwenye Nyumba moja kubwa sana ya kututosha wote Kama familia za kihindi zinavyoishi!!Sio mwaka 1960 ni 1960s
Ila kila mtu anastahili heshima.
Mimi ni baba wa watoto 9 wa ndani na nina wajukuu 6!.
P
Happy birthday mkuu Pascal MayallaMkuu Window7 , ni vile tuu watu humu hatujuani in reality, hivyo watu mnaouona u DC kama it's a big deal!. Amini usiamini, kuna watu kibao kama mimi ambao tunajifanyia tuu mambo yetu huo uteuzi wa ubwete hatutaki hata kuusikia!.
Kitu muhimu ni uzalendo kwa taifa lako, mimi ni mzalendo na hivi nilivyo kama mwandishi, nalisaidia sana taifa kuliko hata kama ningekuwa DC, na kwa taarifa yako, kwa shughuli zangu ninazofanya nachangia mishahara ya ma DC 3!.
P
Mkuu Kweli last born wako amesaliwa mwaka Jana ukiwa na miaka 62Wanabodi
Anzia hapa
Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili.
Wanabodi, leo ni siku yangu ya kuzaliwa, yaani Happy Birthday yangu, lakini pia leo ni birthday ya last born wangu ambae nae ameitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu https://www.jamiiforums.com/threads...inevyo-ni-kubebesha-watu-mizigo-yako.1972184/
Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr ambapo wengi mtadhani ni just a coincidence tuu!.
Kuna kitu kiitwacho coincidence na coincidences nyingine ni just an amazing coincidence. Je wajua kuna coincidences za aina mbili?. Coincidence ya kwanza ni ile coincidence ya just a coincidence na coincidence ya aina ya pili ni coincidence ya kui coincidencesisha?.
Kuna watu wanaamini coincidence inajitokea tuu yenyewe, as it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie sio kila coincidence inajitokea tuu yenyewe, some coincidences, ni mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia will power through manifestation kwa kutumia kauli umba!.
Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako lolote na hizi hoja za coincidence zinawezeshwa na mahasabu ya probability ya kitu kinachoitwa yumkini ya kuyumkinika.
Mimi ni mtu wa kauli umba, yaani kuna vitu una vi wish halafu vinatokea. Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu https://www.jamiiforums.com/threads...na-kauli-umba-ambazo-huumba-shuhudia.2013308/
NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 nilitoa kauli umba hii https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/
Halafu 2015 nikabadili mawazo na kutoa kauli umba hii https://www.jamiiforums.com/threads...ulu-kiongozi-tunayemtaka-mdomo-huumba.951114/ ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.
Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi
Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
Wanabodi, Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, "Mambo ya Powers". "Powers" ndicho kitu kikubwa kabisa duniani kuliko kitu kingine chochote! . God is Power, yaani Mungu ni nguvu, hakuna kitu...www.jamiiforums.com
Saa jee hii Birthday ya Baba ku coinside na Birthday ya last born is is just a coincidence, an amazing coincidence or just a coincidence ya ku coincidencesisha?.
Happy Birthday kwa kila Pasco, Paskali, Pascal, Paschal, Pascoe, Pasquale, Paskalina, Paskazia na Ester waliozaliwa siku ya Pasaka.
Kila unaposheherekea sikukuu ya Pasaka ujue pia unasheherekea Happy Birthday ya kina Paskali!.
Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)
Nawatakia Pasaka Njema.
Pasakali
Baadhi ya Salaam za pongezi
Leo ni birthday ya ndugu na si rafiki. Pascal Mayalla. Pascal ndiye mwamba pekee aliyemuuliza Marehemu Rais Magufuli bila kumuogopa swali ambalo ni 1millioni dollar question.
Bila woga na kwa ushujaa wa hali ya juu alimuuliza βMh Rais umepata wapi nguvu ya kuzuia mikutano ya kisiasa kinyume na katiba ambayo inaruhusu, hiyo ruhusa umeipata wapi?β
JPM alishindwa kujibu zaidi ya kumwambia jina Mayalla kwetu maana yake ni njaa.
Moonlight inamtakia kila la kheri, umri mrefu na afya tele mwamba Huyu wa habari hapa nchini. Happy birthday Pascal
Kutoka kwa Abubakar Liongo
Moonlight Media
Unasherehekea birthday yenye siku na mwezi bila mwaka! Bora usherehekee mwaka ambao huweka umri wako, kama hautaki tujue mwaka kama nilivyodhani hapo juu basi ni bora usherehekee kimyakimya with your lovely dear bottle.Kuandika 1960s hakumaanishi siujui mwaka niliozaliwa, naujua na kuandika kwenye every official documents, ila vitu vingine vinalindwa na the right to privacy. Birthday ya mtu ni inasheherekewa kwa siku na mwezi na sio lazima mwaka!.
Pasaka Njema.
P
Atakuwa na akili sana, nyota yetu ni Aries, hata Mwalimu Nyerere, Zuma, Mswati, Kofi Annan, Eddie Murphy ni Aries!.Mwanangu kazaliwa April pia.
2024! πππ Uwe na siku Njema na yenye furaha Mkuu, HB.Wanabodi, leo ni siku yangu ya kuzaliwa
"08/04/1960s".Wanabodi
Anzia hapa
Mkuu Freed Freed , kwanza asante kwa bandiko hili.
Wanabodi, leo ni siku yangu ya kuzaliwa, yaani Happy Birthday yangu, lakini pia leo ni birthday ya last born wangu ambae nae ameitwa Pasco jnr, au PiiJei, yeye alizaliwa tarehe kama ya leo last year na niliposti humu Changamoto za kupata mtoto mchanga ukiwa umri wa kustaafu, unakuwa ni Baba Babu. Dawa ni kujipanga kabla, vinginevyo ni kubebesha watu mizigo yako
Hivyo leo ni
Happy Birthday to Pasco Mayalla Snr
Happy Birthday to Pasco Mayalla Jnr ambapo wengi mtadhani ni just a coincidence tuu!. Jana tarehe 7 April, ilikuwa birthday ya binti yangu Magdalena na soon inafuatia birthday ya my Son Mark mwezi huu huu wa April. Hivyo hizi coincidences kama zimekuwa too much, na kunipelekea kuanza kufanya research ya coincidences kama zote ni just coincidence nyingine ni coincidence za ku coincidencesisha?
Kuna kitu kiitwacho coincidence na coincidences nyingine ni just an amazing coincidence. Je wajua kuna coincidences za aina mbili?. Coincidence ya kwanza ni ile coincidence ya just a coincidence na coincidence ya aina ya pili ni coincidence ya kui coincidencesisha?.
Kuna watu wanaamini coincidence inajitokea tuu yenyewe, as it's just a coincidence, imetokea tuu, lakini naomba niwahakikishie sio kila coincidence inajitokea tuu yenyewe, some coincidences, ni mtu unaweza kuzi coincidencesisha kwa kutumia will power through manifestation kwa kutumia kauli umba!.
Kauli umba ni kuitumia wish au kauli kukuumbia jambo lako lolote na hizi hoja za coincidence zinawezeshwa na mahasabu ya probability ya kitu kinachoitwa yumkini ya kuyumkinika.
Mimi ni mtu wa kauli umba, yaani kuna vitu una vi wish halafu vinatokea. Unawe kutembelea uzi huu ukaangalia baadhi ya kauli umba zangu "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia
NB. Sio lazima kila utakachokiumba kwa kauli umba ni lazima kitokee, kauli umba nyingine huwa zina goma!. Mfano ile 2014 nilitoa kauli umba hii Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Halafu 2015 nikabadili mawazo na kutoa kauli umba hii Wito Kwa Watanzania:Tuitumie Nguvu ya Kauli, Kumuingiza Ikulu Kiongozi Tunayemtaka!. Mdomo Huumba!. ile kauli umba ya 2014 ndio ilitiki, ile ya 2015 iligoma!.
Nguvu hizi na uwezo wa kusema kitu na kikatokea ni kila mtu anao, ila kuna wengi hawajitambui kuwa wanazo nguvu hizi Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?
Saa jee hii Birthday ya Baba ku coinside na Birthday ya last born is is just a coincidence, an amazing coincidence or just a coincidence ya ku coincidencesisha?.
Happy Birthday kwa kila Pasco, Paskali, Pascal, Paschal, Pascoe, Pasquale, Paskalina, Paskazia na Ester waliozaliwa siku ya Pasaka.
Kila unaposheherekea sikukuu ya Pasaka ujue pia unasheherekea Happy Birthday ya kina Paskali!.
Happy Birthday me
Happy Birthday PiiJei (Pasco Jnr)
Nawatakia Pasaka Njema.
Pasakali
Baadhi ya Salaam za pongezi
Leo ni birthday ya ndugu na si rafiki. Pascal Mayalla. Pascal ndiye mwamba pekee aliyemuuliza Marehemu Rais Magufuli bila kumuogopa swali ambalo ni 1millioni dollar question.
Bila woga na kwa ushujaa wa hali ya juu alimuuliza βMh Rais umepata wapi nguvu ya kuzuia mikutano ya kisiasa kinyume na katiba ambayo inaruhusu, hiyo ruhusa umeipata wapi?β
JPM alishindwa kujibu zaidi ya kumwambia jina Mayalla kwetu maana yake ni njaa.
Moonlight inamtakia kila la kheri, umri mrefu na afya tele mwamba Huyu wa habari hapa nchini. Happy birthday Pascal
Kutoka kwa Abubakar Liongo
Moonlight Media