Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare? Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA kwishney!

Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare? Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA kwishney!

Chadema imejaa mashabiki ambao uamini kila linalofanywa na viongozi wao ni sahihi wakati wakibeza kuondoka kwa Dr Slaa wanajifanya hawaoni pengo lake maya zaidi wale waliowaamini na kuwapokea toka CCM wamesharudi walikotoka tunapizungumzia kufa kwa chama hatumaanishi kitatoweka bali kitakuwepo lakini si kwa nguvu iliyokuwepo awali
Kila jambo na wakati wakati
 
Misukule michache naona ndio imeunga mkono bandiko hili,ila za uso bwana njaa kazipata kisawasawa!
Huyu jamaa ashafanywa toilet paper ya lumumba,shame!
 
Makamanda wameshindwa kuelewa alichoandika Pasikali au ni ndio kuweweseka? Nilitegemea mngejibu kwa hoja za msingi!
 
Lets keep watching tukisubiria Lwakatare ataamua nini, ila amini usiamini, hatima ya Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Lwakatare!, kubali, kataa!.

Paskali
P.
Bwana P,
Umejitahidi kuokoteza kwenye ghala lako, yaelekea bado hujaamini kuwa umefilisika.
Ninachokiona ni labda tu kwa porojo hizo, utafanikiwa kuivutia CCM ili ikupende zaidi ya wagombea wenzio, kama Comrade Mwigulu alivyowahi kujifaragua kwa kutoa tuhuma za ugaidi, ambazo mwishowe alishindwa kuzithibitisha hata hapa duniani, kwa huyohuyo Mh Lwakatare.
Wewe na hata hao CCM wenzio yafaa mngekubali ukweli tu kuwa, hamna uwezo wa kuitisha CHADEMA na kama hauna kingine cha kufanya, ungejipumzikia tu badala ya kuhnjahanja.
 
Wanabodi,
Kuna vitu mimi huwa navisema humu na watu wanavichukulia poa, ila vikija kutokea ndipo wenye uelewa wanaanza kuelewa nilikuwa nazungumzia nini.

Hivi ni baadhi ya vitu nilivyovisema na kweli vikaja kutokea
  1. Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
  2. Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam - JamiiForums
  3. Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii - JamiiForums
  4. Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? - JamiiForums
  5. Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba - JamiiForums
Sasa ninachokisema leo ni kuwa sio wengi wanajua kuwa hatma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Wilfred Lwakatare?. Chadema imepakua ugali kwa kila mtu kupewa ugali kwenye sahani yake, Kamati Kuu ya Chadema, wakaamua kuipindua sahani ya ugali wa Lakwatare, na kuumwaga ugali ili Lwakatare asile, huku wengine wote wakiwa na ugali wao kwenye sahani zao, wakisubiri bakuli la mboga litetwe, huku haku mwenye kumbukumbu ni nani aliyetumwa jikoni kwenda kuleta bakuli ya mboga, watu wapakuliwe ndipo wale!.

Mara aliyeibuka jikoni na bakuli ya mboga ni Mhe. Wilfred Lwakatare!, Amelishika bakuli la mboga za moto kwa mikono yake, huku mikono yake inaungua lakini amestahimili na kuvumilia huku akitokwa machozi, jasho na damu, kwa ajili ya Chadema!. Kabla hajalitua bakuli la mboga ili watu watu wapakue wote wale, akandua kuwa ugali wake umemwagwa!.

Wakati wanamwaga ugali wake, hakuna aliyekumbuka kuwa anayesubiriwa kuleta mboga watu wale ni Lwakatare, hivyo sasa wote wamenyamaza kimya kusubiria Lwakatare, atafanya nini baada ya kubaini Chadema wamemwaga ugali wake, huku mwenye bakuli ya mboga ni yeye!, sasa hatima ya kama Chadema watakula ama hawali, ikomikononi mwa Lwakatare, baada ya wao kumwaga ugali, Lwakarare akiamua kumwaga mboga, then wanakosa wote!, Chadema ndio inakuwa kwishney!.

Ili uelewa mimi nazungumza nini, ni lazima kwanza ukijue kisa, ambacho ndio bakuli ya mboga.
Kisa chenyewe ni hiki.
Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare - JamiiForums

Chadema ni chama cha ajabu sana!, kuna watu unaweza kuwatimua lakini sio Lwakatare, na sababu ni moja tuu, ameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu!.

Chadema inapaswa kumyenyekea Lawakatare na kwasababu aliishatangaza kustaafu, Chadema walipaswa kumuacha tuu astaafu kwa amani, haswa kwa kuzingatia wamemfukuza wakati ambao Bunge hili limebakiza wiki3 tuu limalizike rasmi.

Umuhimu wa Lwakatare kuachwa tuu hata afanye nini au aseme nini, ni kumzuia asije kufungua mdomo wake!.

Ikitokea Lwakatare akaamua kufungua mdomo wake na kuyataja madudu ya ajabu Chadema inayoyafanya nyuma ya pazia, ikiwemo ile video mimi niliyoita hapo kuwa "bonafide genuine", Chadema Watakuwa mgeni wa nani?.
Mtu kama Lwakatare anafukuzwaje?.

Kufuatia hiyo video niliyoitaja kule juu, nilipokuta na Msajili wa vyama alisema
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...! - JamiiForums

Sasa hiyo endapo katika bandiko hilo, ndilo bakuli la mboga, Lwakatare amelishikilia, licha ya yeye kunwagiwa ugali wake, anaweza kuamua yeye ndio akose na kulala njaa, hivyo atalitua tuu hilo bakuli la mboga na wengine wote wale, na yeye tuu ndio akafie mbele, ila akiamua kuonyesheana ubabe, na mambo yanakuwa ni ubabe ubabe tuu, maadamu wamemwaka ugali, na yeye anamwaga mboga...
yatakuwa mengine!.

Lets keepjo watching tukisubiria Lwakatare ataamua nini, ila amini usiamini, hatima ya Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Lwakatare!, kubali, kataa!.

Paskali
P.
porojo
 
Tuache kuongozwa na mahaba ya kitoto na wingi wa maandishi, Pascal nakuhehimu sana na ukweli unaujua, CHADEMA is there to stay, mark my word, hata akiondoka Mbowe, hakuna wa kuimaliza CHADEMA na unaujua ukweli.

Kuandika kwa kirefu sana na reference za thread ambazo mwandishi ni wewe mweyewe hakusaidii chochote kile ndugu yangu. aliondoka Zito mkaandika weeee, akaondoka Slaa mkachonga sana, lakini pata picha ya uchaguzi serikali za mitaa mwaka jana, wote tunajua nini kilitokea. Tusijidanganye wala kujifariji kwa mambo ya kitoto. Tujadili issues muhimu. Chadema IFE huku mnamuogopa Mdude Chadema? Hahhahaahaha

Leo hii Wapinzani wametoka Bungeni, Bunge zima limewageuza kuwa mjadala! Why? kwasababu wako strong. kwasababu uwepo wao una mtetemo mkubwa. Tusijifungie Dar na kuandika tu

Pasco Mayalla ni mnafiki wa kutupwa yaani. He's not bold man. Ni mtu wa kukaa karibu na kuchaka mara zote. Mambo yakimuendea safi anajisifia ujasiri, yakimuendea mrama anakimbilia kichakani kujificha.
 
Wengi wa wachangia hasa wafuasi wa Chadema hawajui Chochote ama ni wasahaulifu ama wamejitoa ufahamu.

Rwakatare amekuwa Mkurugenzi wa Ulinzi usalama na operation za Chadema Taifa.

Huwezi kutamka mafaniko ya ama mapungufu ya Red breged bila kumhusisha Rwakatare..

Rwakatare anasiri nyingi sana za Chadema hasa kuhusiana na mambo ya Chadema ya nyuma ya pazia.

Mayalla ametahadhalisha tu, Viongozi wa Chadema ndio wanajua nini Mayalla anamaanisha hasa Mbowe.

Siku Rwakatare akiamua kumwaga mboga, zitapigwa kelele nyingi sana kuwa amehongwa ama amenunuliwa ila Chadema watakuwa wamechelewa.

Chadema imesimama mpaka leo sababu ya juhudi za wazi na Umafia wa nyuma ya pazia ambao Rwakatare anaujua na viongozi wa Chadema.

Umafia haukwepeki iwe kwenye biashara, siasa ,kanisani ama kwenye maisha ya kawaida...

Mpeni heshima yake Rwakatare, kwanza Hana nia na ubunge tena anapumzika siasa na makando kando yake yote.

Halafu mkumbuke Mwigulu ni Waziri wa Katiba na Sheria, na Jamaa hana tofauti sana na Rwakatare kwenye nyendo zao za kisiasa...

Hakuna asiejua Umafia wa Mwigulu kwenye siasa za Tanzania

Kwakweli Rwakatare akiamua, tujiandae hashtag##### za kutosha.
Unachekesha kweli,,hiyo mboga mnayozungumzia kama ina sura ya jinai maana yake ni kwamba inamhusu yeye moja kwa moja.Kwahiyo akimwaga mboga kama mnavyosema yeye ndo mhanga nambari mmoja,,ni sawasawa na mtu kukata tawi ulilokalia,je inawezekana?
 
Mkuu kwa hao wachangiaji wa Chadema unaona kuna chama hapo? Chadema kimeishakufa, wao wanadai haijafa. Wabunge zaidi ya ishirini wameondoka au wamefukuzwa. Madiwani zaidi ya mia wameondoka. Viongozi wa Wlaya, Mikoa na Kanda wameondoka. Wao wapo nyuma ya keyboards zao eti Chadema haifi! Sawa, hata Mzee Rungwe yupo na chama chake hakijafa!
Wewe upo nyuma keyboard unajidanganya kuwa chadema imekufa hao wabunge mliowanunua bado siyo ccm moyoni msipowapa vyeo watawatesa sana hakuna aliyeondoka chadema zaidi ya kununuliwa na ccm, chadema haifi utakufa wewe chadema ipo milele na milele
 
Wewe upo nyuma keyboard unajidanganya kuwa chadema imekufa hao wabunge mliowanunua bado siyo ccm moyoni msipowapa vyeo watawatesa sana hakuna aliyeondoka chadema zaidi ya kununuliwa na ccm, chadema haifi utakufa wewe chadema ipo milele na milele
Waanzilishi wa Chadema Mzee Bob Makani, Mzee Victor Kimesera na wengineo walifariki sembuse mimi? Subiri Mzee Mtei afariki uone kama Chadema itabaki! Mark my word fella!
 
Wengine tunajua mapungufu ya sasa ya Chadema lakini hatukutegemea Mbowe kuamua kumpoteza Rwakatare kiurahisi.

Shortly Chadema ni sikio la kufa ... kama tulivyosema kabla ya uchaguzi 2015 tusubiri baada ya 2020 tutarudi hapa na hadithi mpya na chama kikuu kipya cha upinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi mnajua mapungufu ya sasa ya ccm mbona imewatupa kinana membe January makamba kapilimba kange lugole hadithi mpya ni ya kenya Congo Zambia Malawi Ghana yanakuja kutokea Tanzania ccm inakuwa chama cha upinzani
 
Misukule michache naona ndio imeunga mkono bandiko hili,ila za uso bwana njaa kazipata kisawasawa!
Huyu jamaa ashafanywa toilet paper ya lumumba,shame!
Leo ndiyo paskal mayala kajua kuwa idadi kubwa ya watanzania hawaitaki ccm ingawa wanekuwa wakilazimisha kupendwa kwa kuwanunua wapinzani kwa pesa za walipa kodi Hii itampa fundisho sahihi
 
Wanabodi,
Kuna vitu mimi huwa navisema humu na watu wanavichukulia poa, ila vikija kutokea ndipo wenye uelewa wanaanza kuelewa nilikuwa nazungumzia nini.

Hivi ni baadhi ya vitu nilivyovisema na kweli vikaja kutokea
  1. Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
  2. Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam - JamiiForums
  3. Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii - JamiiForums
  4. Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? - JamiiForums
  5. Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba - JamiiForums
Sasa ninachokisema leo ni kuwa sio wengi wanajua kuwa hatma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Wilfred Lwakatare?. Chadema imepakua ugali kwa kila mtu kupewa ugali kwenye sahani yake, Kamati Kuu ya Chadema, wakaamua kuipindua sahani ya ugali wa Lakwatare, na kuumwaga ugali ili Lwakatare asile, huku wengine wote wakiwa na ugali wao kwenye sahani zao, wakisubiri bakuli la mboga litetwe, huku haku mwenye kumbukumbu ni nani aliyetumwa jikoni kwenda kuleta bakuli ya mboga, watu wapakuliwe ndipo wale!.

Mara aliyeibuka jikoni na bakuli ya mboga ni Mhe. Wilfred Lwakatare!, Amelishika bakuli la mboga za moto kwa mikono yake, huku mikono yake inaungua lakini amestahimili na kuvumilia huku akitokwa machozi, jasho na damu, kwa ajili ya Chadema!. Kabla hajalitua bakuli la mboga ili watu watu wapakue wote wale, akandua kuwa ugali wake umemwagwa!.

Wakati wanamwaga ugali wake, hakuna aliyekumbuka kuwa anayesubiriwa kuleta mboga watu wale ni Lwakatare, hivyo sasa wote wamenyamaza kimya kusubiria Lwakatare, atafanya nini baada ya kubaini Chadema wamemwaga ugali wake, huku mwenye bakuli ya mboga ni yeye!, sasa hatima ya kama Chadema watakula ama hawali, ikomikononi mwa Lwakatare, baada ya wao kumwaga ugali, Lwakarare akiamua kumwaga mboga, then wanakosa wote!, Chadema ndio inakuwa kwishney!.

Ili uelewa mimi nazungumza nini, ni lazima kwanza ukijue kisa, ambacho ndio bakuli ya mboga.
Kisa chenyewe ni hiki.
Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare - JamiiForums

Chadema ni chama cha ajabu sana!, kuna watu unaweza kuwatimua lakini sio Lwakatare, na sababu ni moja tuu, ameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu!.

Chadema inapaswa kumyenyekea Lawakatare na kwasababu aliishatangaza kustaafu, Chadema walipaswa kumuacha tuu astaafu kwa amani, haswa kwa kuzingatia wamemfukuza wakati ambao Bunge hili limebakiza wiki3 tuu limalizike rasmi.

Umuhimu wa Lwakatare kuachwa tuu hata afanye nini au aseme nini, ni kumzuia asije kufungua mdomo wake!.

Ikitokea Lwakatare akaamua kufungua mdomo wake na kuyataja madudu ya ajabu Chadema inayoyafanya nyuma ya pazia, ikiwemo ile video mimi niliyoita hapo kuwa "bonafide genuine", Chadema Watakuwa mgeni wa nani?.
Mtu kama Lwakatare anafukuzwaje?.

Kufuatia hiyo video niliyoitaja kule juu, nilipokuta na Msajili wa vyama alisema
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...! - JamiiForums

Sasa hiyo endapo katika bandiko hilo, ndilo bakuli la mboga, Lwakatare amelishikilia, licha ya yeye kunwagiwa ugali wake, anaweza kuamua yeye ndio akose na kulala njaa, hivyo atalitua tuu hilo bakuli la mboga na wengine wote wale, na yeye tuu ndio akafie mbele, ila akiamua kuonyesheana ubabe, na mambo yanakuwa ni ubabe ubabe tuu, maadamu wamemwaka ugali, na yeye anamwaga mboga...
yatakuwa mengine!.

Lets keep watching tukisubiria Lwakatare ataamua nini, ila amini usiamini, hatima ya Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Lwakatare!, kubali, kataa!.

Paskali
P.
Makala ya Paskali imenisaidia kuelewa sababu za Nchi Jirani na sisi kudharau elimu ya Tanzania.
Mwandishi wa ''topic"' hii amesoma, tena amesoma Sheria, katika Chuo Kikuu maarufu kuliko vyote, Udsm, lakini bado anaamini kuwa Siasa za Tanzania ni Siasa za Majina ya watu.
Msomi wa Tanzania anaamini katika u-Rwakatare na u-Mbowe!
Anaamini kuwa kura alizopata Lowasa katika uchaguzi uliopita, zilitoka kwa watu walioweka matumaini yao katika majina ya akina Rwakatare na akina Mbowe!
Hii ni aibu kubwa sana kwa elimu inayotolewa katika shule na Vyuo Vikuu katika JMT.
Bahati nzuri ni kwamba Mwenyekiti wa CCM Taifa hakubaliani na Paskali.
Mwenyekiti wa CCM Taifa anajua fika kuwa Chadema na Vyama vingineo vya Upinzani wa Kweli vinawakilisha maoni na mawazo ya Watanzania.
Na kwa kulijua hilo, anahakikisha kuwa Jeshi la Polisi linawazuia Wapinzani kutowasiliana na umma wa Tanzania, lakini Jashi la Polisi na CCM wanakwama kutokana na maendeleo yaliyofikiwa katika sayansi na teknolijia.
Mungu ibariki Afrika.
Mungu ibariki Tanzania
 
Hawa ni watu wanaotumika kama "lead" kuanzisha mjadala ili mkakati wenyewe ukianza tuwe tushaandaliwa kiakili.
Ukiona huyu kasema hivi jua katumwa.Kuna mkakati nyuma yake.
Chadema muwe makini na huyo Rwakatare.Huenda keshatafutwa tayari.
 
Hakuna kitu hapo bali propaganda kutafuta huruma kwa watawala. Kama CHADEMA haijafa baada ya Dk Slaa na haijafa miaka 5 bila siasa na haijafa kwa bunduki na mabomu na jela na mapanga na jela, ni nani wa kuipoteza CHADEMA? Lwakatare sisimizi ndo aipoteze CHADEMA? Kweli ww njaa imekupanda kichwani kama lilivo jina lako.


Chadema ni imani, chadema sio majengo...chadema iko sisiemu...chadema iko kwenye utawala.
Cadema ya slaaa na hii ni mbingu na Ardhi boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom