Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare? Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA kwishney!

Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare? Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA kwishney!

Uzi huu Pascal aliuanzisha tarehe 14 May 2020 ukajadiliwa na ukafa lakini kwa vile vitu vya JF huwa haviozi basi watu wakachimba kaburi na kufufua hoja hii tarehe 18 Sept 2020 na kuendelea kujadili mpaka leo hii ni siku 33 lakini Pascal hajatia neno wala ku click deslike,

Nakushauri Pasco acha kulisha watu matango pori na hasa hiyo hoja yako mfu ya chama kufa eti kwa sababu Lwakatare kafukuzwa, alifufutwa uanachama Dr Slaa na chama ndio kwanza kinazidi kukomaa kuliko kipindi chake, leo Bashisru au Polepole akifukuzwa CCM nani kakuambia uwe na fikra kwamba CCM itakufa?

Panda jukwaani uje hapa kujibu hoja zako kwa Lwakatare na wana Bukoba ambao binafsi nafikiri wamekujibu kupitia kwa Chief Kalumuna na kama sio Tume hii tuliyonayo sina wasiwasi tayari huyo bwana ni Mbuge wa Bukoba mjini
Jamaa aliamini yeye ni Alfa naomega BK hahahaa imekula kwake
 
Uzi huu Pascal aliuanzisha tarehe 14 May 2020 ukajadiliwa na ukafa lakini kwa vile vitu vya JF huwa haviozi basi watu wakachimba kaburi na kufufua hoja hii tarehe 18 Sept 2020 na kuendelea kujadili mpaka leo hii ni siku 33 lakini Pascal hajatia neno wala ku click deslike,

Nakushauri Pasco acha kulisha watu matango pori na hasa hiyo hoja yako mfu ya chama kufa eti kwa sababu Lwakatare kafukuzwa, alifufutwa uanachama Dr Slaa na chama ndio kwanza kinazidi kukomaa kuliko kipindi chake, leo Bashisru au Polepole akifukuzwa CCM nani kakuambia uwe na fikra kwamba CCM itakufa?

Panda jukwaani uje hapa kujibu hoja zako kwa Lwakatare na wana Bukoba ambao binafsi nafikiri wamekujibu kupitia kwa Chief Kalumuna na kama sio Tume hii tuliyonayo sina wasiwasi tayari huyo bwana ni Mbuge wa Bukoba mjini
Mayala kwangu namchukulia kama mchambuzi mahiri sana, lkn kuna wakati anazidisha mahaba hapo ndo anachemka. cdm na ccm sio rahisi kufa kwa sababu ya mtu mmoja kahama, hivi vyama viwili tayari vina mizizi iliyochimbia chini. Havielei kama vyama vingine. mifano ipo mingi
 
Mada ya kikuda kabisa hii. Hujui hii ni taasisi? Imawezaje kuwa hai kwa sababu ya uwepo wa mtu mmoja. Unajisikiaje sasaivi baada ya kutimuliwa na chadema inaendelea?
 
Back
Top Bottom