Je, Wajua Kuwa Iran na Israel Kuna Wakati Walikuwa Marafiki Wakubwa?

Je, Wajua Kuwa Iran na Israel Kuna Wakati Walikuwa Marafiki Wakubwa?

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Watu wengi wanachukulia kuwa Iran na Israel ni maadui wakati wote, na wengine kwa kutoelewa wanadhani uhasama wa Israel na Iran umechangiwa na utofauti wa imani za kidini. Kama unafikiria hivyo, umepotea kabisa.

Kabla ya mwaka 1979, Iran ilikuwa mnunuzi mkubwa wa silaha toka Israel (Before the Iranian Revolution in 1979, Iran under the Shah Mohammad Reza Pahlavi was an ally and major buyer of Israeli weapons.)

Wakati wa vita kati ya Iran na Iraq, Israel ilikuwa upande wa Iran, na ndiyo iliisaidia sana Iran kwenye upande wa silaha (Israel supported Iran during the Iran–Iraq War).
Nov 1979, wairan wenye msimamo mkali walipowateka wamarekani, na marekani kuiwekea vikwazo Iran, Israel iliendelea kushirikiana na Iran kwa kuiuzia Iran silaha ambazo Iran ilinyimwa na Marekani, kiasi cha Marekani kuudhiwa na kitendo hicho cha Israel (Iran Unable to get military equipment from the Carter administration, the Iranians reached out through back channels to the Israeli government and negotiated a preliminary covert arms deal between the two countries. In early 1980, the first military equipment sale by Israel to the Iranian government of Ayatollah Khomeini occurred).
Ili Israel isigundulike kuwa inaiuzia silaha Iran, Israel ilitengeneza kampuni US ili kuhakikisha inaisaidia Iran kupata silaha bora (Israeli intelligence ran a front company of 50 employees on John Street in the Wall Street area.[29] The office was used to direct the covert purchases of American military equipment to resell to Iran.[28] In March 1982, there was a leak to The New York Times about Israel's covert weapon sales to Iran.[30][31] Fearing the company's operations might have been compromised, the covert Israeli weapons purchasing operation was moved to London in 1983).

Ikumbukwe kuwa Iran ilikuwa nchi ya pili kulitambua Taifa la Israel baada ya Uturuki.

Kuna wakati kulikuwa na urafiki mkubwa kati ya mataifa haya, kiasi hata cha wananchi wake kuuziana kuku na mayai.

Urafiki wa kale kati ya mataifa haya, mpaka leo, umeifanya Iran kuwa ni nchi pekee ya Mashariki ya kati yenye wayahudi wengi.

MAONI
Mataifa haya yakirudi nyuma, yakaangalia kilichowatenganisha, yakashughulikia hayo, na kisha kurudi kwenye mahusiano yao ya kale, kuna mambo mema mengi kwa pande zote yatatokea:
1) ugaidi unaweza kufutika au kupungua sana Middke East.
2) uchumi wa Iran utapaa sana .
3) Mataifa haya mawili kwa kiasi kikubwa yatasimamia usalama wa mashariki ya kati nzima.

Hakuna lisilowezekana, wagombanao ndio wapatanao. Kauli ya Iran kuwa haitafanya shambulio dhidi ya Israel baada ya shambulio la jana, ni hatua nzuri, isichukuliwe kama.ni udhaifu au unyonge. Ni vema Israel nayo ikanyosha mkono wa heri wa namna hiyo hiyo, na kutoa kauli kuwa haitaishambulia Iran. Likitokea hilo, kauli moja tu ya Iran kuwataka Hamas, Hezbollah na Houthi kutoishambulia Israel, itaifanya Israel kusimamisha vita, na kisha kuyavunja makundi haya kwa njia ya amani. Bila msaada wa Iran, makundi haya hayatakuwepo.

Misri ilipoitambua Setikali ya Israel na kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia, mara moja, Israel ililirudisha eneo la lililoliteka wakati wa vita, eneo la Sinai, kwa Misri. Hivyo hakuna kinachoshindikana katika ama kuwapa Wapalestina nchi au kuwafanya wapalestina, Waarabu, Wayahudi kuwa Taifa moja lenye kuheshimu jamii zote. Yakitokea hayo itakuwa ni heri kwa Dunia, na pigo kubwa kwa wanaopenda uhasama badala ya amani na urafiki. Ifahamike kuwa uhasama kati ya Iran na Israel, umesababisha uhasama hata kwa mataifa mengine nje ya Mashariki ya kati.
 
Watu wengi wanachukulia kuwa Iran na Israel ni maadui wakati wote, na wengine kwa kutoelewa wanadhani uhasama wa Israel na Iran umechangiwa na utofauti wa imani za kidini. Kama unafikiria hivyo, umepotea kabisa.

Kabla ya mwaka 1979, Iran ilikuwa mnunuzi mkubwa wa silaha toka Israel (Before the Iranian Revolution in 1979, Iran under the Shah Mohammad Reza Pahlavi was an ally and major buyer of Israeli weapons.)

Wakati wa vita kati ya Iran na Iraq, Israel ilikuwa upande wa Iran, na ndiyo iliisaidia sana Iran kwenye upande wa silaha (Israel supported Iran during the Iran–Iraq War).
Nov 1979, wairan wenye msimamo mkali walipowateka wamarekani, na marekani kuiwekea vikwazo Iran, Israel iliendelea kushirikiana na Iran kwa kuiuzia Iran silaha ambazo Iran ilinyimwa na Marekani, kiasi cha Marekani kuudhiwa na kitendo hicho cha Israel (Iran Unable to get military equipment from the Carter administration, the Iranians reached out through back channels to the Israeli government and negotiated a preliminary covert arms deal between the two countries. In early 1980, the first military equipment sale by Israel to the Iranian government of Ayatollah Khomeini occurred).
Ili Israel isigundulike kuwa inaiuzia silaha Iran, Israel ilitengeneza kampuni US ili kuhakikisha inaisaidia Iran kupata silaha bora (Israeli intelligence ran a front company of 50 employees on John Street in the Wall Street area.[29] The office was used to direct the covert purchases of American military equipment to resell to Iran.[28] In March 1982, there was a leak to The New York Times about Israel's covert weapon sales to Iran.[30][31] Fearing the company's operations might have been compromised, the covert Israeli weapons purchasing operation was moved to London in 1983).

Ikumbukwe kuwa Iran ilikuwa nchi ya pili kulitambua Taifa la Israel baada ya Uturuki.

Kuna wakati kulikuwa na urafiki mkubwa kati ya mataifa haya, kiasi hata cha wananchi wake kuuziana kuku na mayai.

Urafiki wa kale kati ya mataifa haya, mpaka leo, umeifanya Iran kuwa ni nchi pekee ya kiarabu yenye wayahudi wengi.

MAONI
Mataifa haya yakirudi nyuma, yakaangalia kilichowatenganisha, yakashughulikia hayo, na kisha kurudi kwenye mahusiano yao ya kale, kuna mambo mema mengi kwa pande zote yatatokea:
1) ugaidi unaweza kufutika au kupungua sana Middke East.
2) uchumi wa Iran utapaa sana .
3) Mataifa haya mawili kwa kiasi kikubwa yatasimamia usalama wa mashariki ya kati nzima.

Hakuna lisilowezekana, wagombanao ndio wapatanao. Kauli ya Iran kuwa haitafanya shambulio dhidi ya Israel baada ya shambulio la jana, ni hatua nzuri, isichukuliwe kama.ni udhaifu au unyonge. Ni vema Israel nayo ikanyosha mkono wa heri wa namna hiyo hiyo, na kutoa kauli kuwa haitaishambulia Iran. Likitokea hilo, kauli moja tu ya Iran kuwataka Hamas, Hezbollah na Houthi kutoishambulia Israel, itaifanya Israel kusimamisha vita, na kisha kuyavunja makundi haya kwa njia ya amani. Bila msaada wa Iran, makundi haya hayatakuwepo.

Misri ilipoitambua Setikali ya Israel na kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia, mara moja, Israel ililirudisha eneo la lililoliteka wakati wa vita, eneo la Sinai, kwa Misri. Hivyo hakuna kinachoshindikana katika ama kuwapa Wapalestina nchi au kuwafanya wapalestina, Waarabu, Wayahudi kuwa Taifa moja lenye kuheshimu jamii zote. Yakitokea hayo itakuwa ni heri kwa Dunia, na pigo kubwa kwa wanaopenda uhasama badala ya amani na urafiki. Ifahamike kuwa uhasama kati ya Iran na Israel, umesababisha uhasama hata kwa mataifa mengine nje ya Mashariki ya kati.
Ugomvi wa ndugu usiuingilie. Siku wakipatana utakosa pa kuficha uso
 
Hawakuwa marafiki wa iran, walikuwa marafiki wa viongozi wa iran ile ya Mohammed reza pahlavi, ambae alikuwa na faida nao, ila iran hii ya kina khoemeni haina maslahi nayo hawawezi kuwa washikaji.
 
USA, URUSI na UCHINA hawatakuwa tayali kuona Middle East ina amani kwakuwa wao wanafaidika na vita hiyo kwa kuwauzia silaha kwa fedha nyingi sana
 
Israel hataki kuona taifa lingine lenye nguvu mashariki ya kati zaidi ya wao.

Watafanya fitina nyingi kupitia mabwana zao kulidhoofisha! Wakati wa Saddam Iraq ilikuwa tushio, Israel ilikuwa mbelembele kuliharibu taifa hilo!

Now, Iran ni powerful; hawatatatulia mpaka wachochee vita ya US na Iran!
Next in line, itakuwa Turkey, Saudia na Egypt ambayo Sasa wanaonekana kuwa in good terms!

Zionist, kama walivyo bwana zao US ni mataifa ya kilaghai, hayana Mila Wala miiko!

Marais wengi wa France huwa wanazungumzia hili!
 
Ni jambo jema wakitafuta amani kwa kusitasha vita ,ambavyo sote tumeona namna watu wasio na hatia wanavyofariki na kupoteza maisha .tumeona watoto,wazee ,akina mama wakifariki na damu ya wasio na hatia ikimwagika kila siku.
 
Shida kuna watu wako nje ya mashariki ya kati ila wanataka kupanga kila kitu cha pale kiende kama wanavyotaka wao
 
Watz tusome zaidi, na tutumie social media na mainstream media (learn the difference)

hakuna urafiki wowote kati ya chui na simba, hakuna urafiki kati ya Iran na Israel, nchi zote mbili kila moja inataka kuwa super power wa Middle East, kila moja ina hofu na mwenzake, wote ni binadamu wasio na huruma na mtu ni war machines!!

Si kweli kuwa Iran imesema haitolipiza kisasi, angalia BBC na Al Jazeera, kilichosemwa Iran ni kuwa maafisa wa serikali ya Iran wameambiwa wakae kikao kuamua namna ya kulipiza kisasi kwa mashambulizi ya Israel.

Nchi zote mbili Iran na Israel zinaficha maangamizi yanayowapata, mf makombora ya Iran tisa yalishuka kituo cha kijeshi cha Israel kwa mujibu wa BBC video na kulipuka ila Israel hawakuonesha balaa walilopata , makombora ya Israel yameshuka Iran ila hawakuonesha balaa hilo zaidi ya kusema tu madhara ni madogo askari wawili tu wamekufa , Leo askari kibao wa Israel wamekufa kwa bus lao kugongwa vibaya na lori aliloendesha mpalestina, vyombo vya habari (mainstream media) vinasema kuna majeruhi tu wakati lori liko nyang'angang'a na mashahidi (social media) wanakwambia maiti kibao , ni vilio tu Tel Aviv!!

Hii vita ya Iran na Israel inaweza kuleta WW3, si vita ya nchi mbili!

Ukitumia mohemko ya kidini kuchambua na kushabikia vita hii hutoambulia chochote zaidi ya kudanganya watu, USA na dunia ina hofu kubwa na nyuklia za Iran kushuka Israeli na sasa USA wanapeleka Israel mitambo ya kuzuia makombora ya Iran. Iran ni nchi hatari zaidi ya Israel inayosifiwa, inaitwa "war narratives"

Watz tuwe watazamaji tu sababu si kila taarifa ya vita zitatufikia, na si kila taarifa tunaielewa!!
 
kuwafanya wapalestina, Waarabu, Wayahudi kuwa Taifa moja lenye kuheshimu jamii zote. Yakitokea hayo itakuwa ni heri kwa Dunia, na pigo kubwa kwa wanaopenda uhasama badala ya amani na urafiki. Ifahamike kuwa uhasama kati ya Iran na Israel, umesababisha uhasama hata kwa mataifa mengine nje ya Mashariki ya kati.
Bila kuyazingatia maslahi ya wakubwa, ambao ndio wanaoshikiria uwepo wa hali hiyo ya uhasama; haya yote ni ndoto tu!
Israel na Iran hawawezi kuamua chochote kati yao bila ya ruhusa ya wenye maslahi. Pengine upendekeze Iran irudi kwenye enzi za Shah, waachane na hayo mapinduzi uliyo yaelezea hapo.
 
Dunia itakua boredom sana, wacha uhasama uendelee pazidi kuchangamka
Maisha nyuma ya keyboard matamu sana. Uhakika upo kwa kuwa shemeji anafix kila kitu au sio?

Omba sana isikukute unasikia mlipuko jiran na nyumba yako unatoka nje unashuhudia mwanao wa pekee katawanywa mwili wake vipande vipande hana uhai tena.
 
Watu wengi wanachukulia kuwa Iran na Israel ni maadui wakati wote, na wengine kwa kutoelewa wanadhani uhasama wa Israel na Iran umechangiwa na utofauti wa imani za kidini. Kama unafikiria hivyo, umepotea kabisa.

Kabla ya mwaka 1979, Iran ilikuwa mnunuzi mkubwa wa silaha toka Israel (Before the Iranian Revolution in 1979, Iran under the Shah Mohammad Reza Pahlavi was an ally and major buyer of Israeli weapons.)

Wakati wa vita kati ya Iran na Iraq, Israel ilikuwa upande wa Iran, na ndiyo iliisaidia sana Iran kwenye upande wa silaha (Israel supported Iran during the Iran–Iraq War).
Nov 1979, wairan wenye msimamo mkali walipowateka wamarekani, na marekani kuiwekea vikwazo Iran, Israel iliendelea kushirikiana na Iran kwa kuiuzia Iran silaha ambazo Iran ilinyimwa na Marekani, kiasi cha Marekani kuudhiwa na kitendo hicho cha Israel (Iran Unable to get military equipment from the Carter administration, the Iranians reached out through back channels to the Israeli government and negotiated a preliminary covert arms deal between the two countries. In early 1980, the first military equipment sale by Israel to the Iranian government of Ayatollah Khomeini occurred).
Ili Israel isigundulike kuwa inaiuzia silaha Iran, Israel ilitengeneza kampuni US ili kuhakikisha inaisaidia Iran kupata silaha bora (Israeli intelligence ran a front company of 50 employees on John Street in the Wall Street area.[29] The office was used to direct the covert purchases of American military equipment to resell to Iran.[28] In March 1982, there was a leak to The New York Times about Israel's covert weapon sales to Iran.[30][31] Fearing the company's operations might have been compromised, the covert Israeli weapons purchasing operation was moved to London in 1983).

Ikumbukwe kuwa Iran ilikuwa nchi ya pili kulitambua Taifa la Israel baada ya Uturuki.

Kuna wakati kulikuwa na urafiki mkubwa kati ya mataifa haya, kiasi hata cha wananchi wake kuuziana kuku na mayai.

Urafiki wa kale kati ya mataifa haya, mpaka leo, umeifanya Iran kuwa ni nchi pekee ya Mashariki ya kati yenye wayahudi wengi.

MAONI
Mataifa haya yakirudi nyuma, yakaangalia kilichowatenganisha, yakashughulikia hayo, na kisha kurudi kwenye mahusiano yao ya kale, kuna mambo mema mengi kwa pande zote yatatokea:
1) ugaidi unaweza kufutika au kupungua sana Middke East.
2) uchumi wa Iran utapaa sana .
3) Mataifa haya mawili kwa kiasi kikubwa yatasimamia usalama wa mashariki ya kati nzima.

Hakuna lisilowezekana, wagombanao ndio wapatanao. Kauli ya Iran kuwa haitafanya shambulio dhidi ya Israel baada ya shambulio la jana, ni hatua nzuri, isichukuliwe kama.ni udhaifu au unyonge. Ni vema Israel nayo ikanyosha mkono wa heri wa namna hiyo hiyo, na kutoa kauli kuwa haitaishambulia Iran. Likitokea hilo, kauli moja tu ya Iran kuwataka Hamas, Hezbollah na Houthi kutoishambulia Israel, itaifanya Israel kusimamisha vita, na kisha kuyavunja makundi haya kwa njia ya amani. Bila msaada wa Iran, makundi haya hayatakuwepo.

Misri ilipoitambua Setikali ya Israel na kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia, mara moja, Israel ililirudisha eneo la lililoliteka wakati wa vita, eneo la Sinai, kwa Misri. Hivyo hakuna kinachoshindikana katika ama kuwapa Wapalestina nchi au kuwafanya wapalestina, Waarabu, Wayahudi kuwa Taifa moja lenye kuheshimu jamii zote. Yakitokea hayo itakuwa ni heri kwa Dunia, na pigo kubwa kwa wanaopenda uhasama badala ya amani na urafiki. Ifahamike kuwa uhasama kati ya Iran na Israel, umesababisha uhasama hata kwa mataifa mengine nje ya Mashariki ya kati.


Hawa watu ni ndugu. Kipindi cha Mordekai, malikia Esta Wayahudi walizaana sana pale Umedi&Uajemi (Iran)
 
Back
Top Bottom