Kwa hiyo maendeleo ya Mtwara yanashahibiana na rasilimali zao? Mtwara kuna gesi ila unaogopa kuizungumzia sababu hailingani na hali halisi, au ofisi ya Bot na veta kwako ni kipimo cha maendeleo?Mtwara Kuna airport ambayo inafanya kazi vizuri
Mtwara Kuna ofisi za BoT
Mtwara Kuna Veta
Mtwara Kuna barabara nyingi za lami
Kuna hospitali
Shule n.k
Unadhani ni pesa ya korosho peke yake?
Nimetoa mifano michache. Gesi bado haijaanza kuvunwaKwa hiyo maendeleo ya Mtwara yanashahibiana na rasilimali zao? Mtwara kuna gesi ila unaogopa kuizungumzia sababu hailingani na hali halisi, au ofisi ya Bot na veta kwako ni kipimo cha maendeleo?
Sasa ikivunwa na gesi ya mnazimmoja ambayo wewe unaona haijaanza kuvunwa, rasilimali hii ikiwa kwenye mfumo wa majimbo kwa uongozi uliochaguliwa na wananchi wenyewe, Rais aliyekuwa madarakani anaweza kuchota kwenda kujenga uwanja wa ndege kijijini kwake?Nimetoa mifano michache. Gesi bado haijaanza kuvunwa
Unafikiri hayo mapato yakienda serikali kuj yanaenda kufanya Nini? Hebu tuanzie hapo
Nakubal wakenya hawana umoja kwa sabab ya majimbo aka maeneo bunge, the kill each everyday. Lissu SIJUI kwann anataka KUTUGAWa na tumezoea kuwa wamoja. Daah mm simcjagui aiseeWaungwana,
Chunguzeni leo hii nchi zote ambazo ni kinara wa mfumo wa Serikali za majimbo (federal government) duniani ni nchi ambazo zilikuwa zinakabiliwa Sana na tatizo la kukosa umoja wa Kitaifa kutokana na Vita, udini au Kukosa lugha ya kuwaunganisha.
Marekani walikuwa mataifa huru 50. Kuwaunganisha ni lazima uwaachie baadhi ya madaraka yao, hivyo mfumo wa Serikali ya Majimbo ni sahihi kwao.
Canada wanashida ya lugha. Kuna majimbo hawajui au hawaongei kabisa kiingereza, wenyewe wanaongea kifaransa. Hawa ni muhimu kuwa na majimbo ili wawe huru kutumia lugha waipendayo.
Ujerumani walitawanyika na kuwa nchi mbili tofauti na ukuta ukajengwa Kati ya Ujerumani ya Mashariki na ile ya magharibi. Hawa ili kuwaunganisha mfumo wa Serikali ya Majimbo ulikuwa lazima ila maeneo hayo yabaki na sehemu ya utawala wake wa awali.
Nigeria imepitia mengi sana sana Kati ya waislamu wa kaskazini na wakristo wa kusini. Waafrika kusini vilevile wamepitia mengi Kuhusu ukoloni na ukaburu. Wazungu wengi walibaki Afrika Kusini baada ya Uhuru kamili mwaka 1994. Kwa misingi hiyo, unaweza kabisa kuona Nigeria na Afrika kusini walihitaji utawala wa majimbo.
Sisi Tanzania tunahitaji utawala wa majimbo ili iweje? Je, changamoto za kiuchumi, utamaduni na kisiasa zinatokana na mazingira hayo niliyoyataja hapo juu?
Wazungu hawana makabila na karibu wote wana dini au imani sawa. Kuwawekea utawala wa majimbo sio mbaya. Hapa kwetu tunajadili sio to dini Bali hata dhehebu. Kuna baadhi ya watu walisema katika uchaguzi wa 2015, Sasa ni zamu ya M-KKKT kuwa wa -RC wametawala Sana. Sasa kwenye nchi Kama hii uanze umajimbo, tunategemea nini kitokee?
Majimbo yatatutenga zaidi badala ya kutuleta pamoja. Mfumo wa Serikali za mitaa kwa Tanzania ni mzuri na toshelevu. Kama Kuna changamoto basi ni Kuboresha tuu.
Ninawashangaa Sana wapinzani, sijui wamekunywa wanzuki ya wapi. Tasilimali za kila eneo husaidia eneo hilo na maeneo mengine. Hii ni kwasababu watu wanaingiliana na wanaweza kuishi popote. Mtoto wa Kagera anapangiwa kazi Tanga na maisha yanaenda. Mtu wa Mtwara anahamia Mbeya anakuwa mnyaki maisha yanaenda.
Watanzania tuukumbatie umoja, amani na mshikamano wetu kwa kuchagua mafiga matatu hapo 28 Oktoba, 2020. Tuwaadhibu wapinzani wanaotaka kutugawa kwa kuwanyima kura.
Amani Msumari
Tanga (kwasasa Kigamboni kumtafutia Rais Magufuli kura za bonus).
Sio less productive bali less advantagedHupelekwa serikali kuu ambapo hutawanywa na kupelekwa sehemu ambazo huenda zikawa less productive na kufanya viongozi/watu wa maeneo hayo kuwa wavivu zaidi.
Waelimishe na wengine wasimchagueNakubal wakenya hawana umoja kwa sabab ya majimbo aka maeneo bunge, the kill each everyday. Lissu SIJUI kwann anataka KUTUGAWa na tumezoea kuwa wamoja. Daah mm simcjagui aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio less productive bali less advantaged
Acha uwongo . Marekani kuna udini ? Marekani kuna ukabila ? Mfumo wa majimbo ni sahihi kwa kusukuma maendeleo kwa kasi zaidi. Kajifunze India uone majimbo yao ya Gujarat, Uttar Pradesh na mengineyo. Kuna ukabIla India ? Shenzi weweChunguzeni leo hii nchi zote ambazo ni kinara wa mfumo wa Serikali za majimbo (federal government) duniani ni nchi ambazo zilikuwa zinakabiliwa Sana na tatizo la kukosa umoja wa Kitaifa kutokana na Vita, udini au Kukosa lugha ya kuwaunganisha.
Kweli kabisa. Ni lazima tuondokane na mawazo ya kijima eti majimbo ni ukanda, Pumbavu kabisa. Majimbo ni njia ya kuapata maendeleo kwa haraka zaidi. Majimbo ni suluhu ya watu kuwa wabunifu na wawajibikaji zaidi.Ondokana na mawazo ya kijima ya kufikiria kazi lazima itoke serikalini,maendeleo yakiwepo ya kutosha hata huko kusubiri kupangiwa kazi kutokana na ajira za serikali kutaondoka.
Marekani watu wengi zaidi wanatoka jimbo moja kwenda lingine kufanya biashara kuliko kusubiri kupangiwa kazi za serikali kuu kwa sababu mfumo wao umewezesha watu binafsi kuzifikia fursa binafsi za biashara na kazi zaidi kuliko ajira za serikali.
Kweli kabisa. Ni lazima tuondokane na mawazo ya kijima eti majimbo ni ukanda, Pumbavu kabisa. Majimbo ni njia ya kuapata maendeleo kwa haraka zaidi. Majimbo ni suluhu ya watu kuwa wabunifu na wawajibikaji zaidi. Siku moja nilikuwa Pecan street pale Texas nikifuatilia mradi wa Keystone pipeline kutoka jimbo la Illinois kwenda Texas. Nilijionea local innovations za maana na nilipenda sana system ya majimbo maana magavana walikuwa makini sana kulinda maslahi ya nchi na majimbo yao kwa pamoja huku wananchi wakifaidika. Eti majimbo ni ukanda ? Ushenzi tu na propaganda za kipuuzi. We must be innovative
Duh hatari sana*BABA ASKOFU BAGONZA (Baba Mutalemwa) HAKI INGEANZA NA WEWE.*
[emoji117]Juzi nimekusikia na kukuona ulipoamua kujifichua hadharani kwa kuonesha mapenzi yako kwa chama cha CHADEMA wakati mgombea urais wa chama hicho Ndg. Tundu Lissu alipokuwa Karagwe, Mkoani Kagera.
[emoji117]Tuliokuwa tunakujua haikuwa ajabu kwa sababu unafahamika kwa miaka yote jinsi unavyoipinga Serikali ya Tanzania na usivyokipenda chama cha CCM na viongozi wa CCM kutokana na kutumiwa kwako na watu wasioitakia mema Tanzania.
[emoji117]Kama kawaida yako umeendelea kupotosha Watanzania kuwa Tanzania haina amani wala haki. Kwamba Watanzania wanaishi kwa matumaini.
[emoji117]Nataka nikwambie kuwa Tanzania ina amani tele na Watanzania wanapata haki kila uchao.
[emoji117]Ila haina ubishi kwamba mdhulumu haki na mvunja amani ni wewe Askofu Bagonza. Nataka nikwambie kuwa kama ni suala la haki lingeanza na wewe ambaye ulikatisha haki ya Sister Editha Sylivester kwa kumtia mimba na akapoteza wito wake wa kuwa Sister wa Dini.
[emoji117]Sister huyu amefariki dunia lakini mtoto wako aliyemzaa anayeitwa Prince Bagonza ama jina la utani Mutalemwa (yaani asiyefichika) nae umemnyima haki ya kujulikana wazi wazi. Anaishi kwa kujificha na kwa miaka mingi alikuwa anafichwa na mke wako baada ya jambo hilo kujulikana.
[emoji117]Mpe haki Mutalemwa ya kujulikana kuwa wewe ni Baba yake uliyemzaa kwa kukatisha haki ya Sister Editha uliyekuwa unazini nae licha ya kuwa kiongozi wa Dini.
[emoji117]Mke wako Frida Bagonza (Mungu amweke mahali pema) nae amefariki dunia katika mazingira ya kutatanisha sana, wape haki ndugu zake ambao wamejawa na hofu kuwa wewe umehusika kwenye kifo chake. Umemnyima haki ya uhai.
[emoji117]Wape haki ndugu wa Sister Editha ambao walimuandaa mtoto wao kuwa mtumishi wa Mungu lakini wewe ukakatisha wito wake kwa tabia yako ya ufuska kwa kumtia mimba Dada wa watu.
[emoji117]Wape haki wanao Vision na mwenzake ya kumtambua Kaka yao waziwazi sio kwa kujifichaficha. Vitendo kama hivi hufanywa na watu wasio waungwana na wewe ni kiongozi wa Dini, uwe muungwana.
[emoji117]Wape haki waumini wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe kwa kuwaambia ukweli, kutubu na kujisahihisha kwa michezo michafu unayofanya kama kiongozi wa kiroho na njama zako za kuihujumu Tanzania.
[emoji117]Mwisho nataka nikueleze kuwa waumini wako hawana amani na wewe, wanaishi na wewe kwa matumaini ipo siku watahitaji amani katika Kanisa lao na Watakung’oa.
[emoji117]Kwa matendo ya hovyo unayoyafanya una bahati Serikali ya Tanzania inayolinda sana tunu ya amani inakuvumilia, naamini inaishi kwa matumaini na wewe ipo siku matumaini yakitoweka utakiona cha mtemakuni kwa sababu sitaki kuamini kuwa wanakuogopa kwa jinsi unavyotumia Kanisa kutaka kuvuruga amani na utulivu.
[emoji117]Nataka nikuhakikishie kuwa Mgombea wako Tundu Lissu atashindwa Urais, Mgombea wako wa ubunge wa CHADEMA huko Karagwe atashindwa na Mungu atasimama na Taifa hili kuwaweka viongozi wa kweli waliopo kwa ajili ya Watanzania na sio kwa ajili ya mabeberu.
[emoji117]Tanzania itaendelea kuwa nchi ya amani, upendo na mshikamano.
Jumapili njema.
Hizi ni salamu kutoka Kayanga, Karagwe Mkoani Kagera.
27Septemba, 2020.
Sent using Jamii Forums mobile app
*AIBU! ASKOFU KKKT APIGA MIMBA MBILI NJE YA NDOA*Duh hatari sana
Waambie Jack*Wanachama Kindakindaki wa CHADEMA; Je Mnaijua Hii Siri??*
Tundu Lissu hamuamini mtu yeyote katika Chama chao. Anawatuhumu viongozi wa CHADEMA kuwa wamekula pesa zake za kampeni, (rejeeni sakata la zile milioni hamsini zilizochangwa na wanachama alizokula Mbowe).
Tundu Lissu anasema kwamba viongozi wote wa CHADEMA ni mafisadi. Lakini anachokifanya ni kibaya zaidi.
Baada ya viongozi wa CHADEMA kujiengua katika kampeni za Lissu. Kampeni zake sasahivi zinasimamiwa na rafiki zake wa karibu pamoja na familia yake.
Michango ya kampeni inakusanywa na mtoto wa dada yake Lissu (jina lipo kapuni) ambaye huwa ndani ya gari la mgombea.
Hakuna anayefahamu ni kiasi gani hukusanywa kwa siku husika zaidi ya Lissu na mpwa wake.
Hii inaonesha kuwa mgombea huyo ni fisadi mwenye kupendelea ndugu na marafiki.
Nepotism and Corruption have no place in Tanzania.
*_Jackline Pius_*
*_Arusha Mjini_*View attachment 1587422
Sent using Jamii Forums mobile app