Uchaguzi 2020 Je, wajua kuwa Mfumo wa Serikali ya Majimbo unatumika kwenye Nchi zenye kukosa Umoja wa Kitaifa?

Uchaguzi 2020 Je, wajua kuwa Mfumo wa Serikali ya Majimbo unatumika kwenye Nchi zenye kukosa Umoja wa Kitaifa?

Hao Watendaji na Wakuu wa Wilaya wasiteuliwe na serikali, wachaguliwe na wananchi kama Madiwani. Mkurugenzi awe mwajiriwa wa Wilaya husika na siyo mteule wa Rais toka Dodoma!!
Sababu kubwa ikiwa ni ipi?
 
Kwani kipi kilianza;majimbo au maendeleo? N unaposema issue ya Ukabila inakujaje? Kwani tukisema Mwanza,Geita,Shinyanga liwe jimbo moja ndio itachochea ukabila? Kwani watu wa makabila mengine hawatoruhusiwa kufanya kazi?Kazi zitatolewa kwa kigezo cha ukabila? Shule zitafundishwa kwa kisukuma? Askari watakao toka depo watagawanywa kwa ukabila? maswali mengi tu
Sasa Kama hayo yote hayatafanyika sasa Kuna haja gani ya kuwa na majimbo?

Mnatetea kqasat Lissu kasema au?

Kijana asie na ajira atapata ajira kwasababu ya serikali za majimbo? Sanasana ubaguzi utatokea, utasikia tunataka tuajiri vijana waliopo kwenye Jimbo letu.
 
Mtu anasema kama ni mkuu wa mkoa Basi achaguliwe na wananchi
Kama ni mkuu wa wilaya Basi achaguliwe na wananchi

Hivi kwa mtindo huo unadhani Kanda ya kaskazini kitakuwa na kiongozi asie mchaga, mmeru, mmasai, mbarbeig n.k wanaotokea huko? Never.

Halafu baadae wataanza kuulizana, mbona kila siku mkuu wa mkoa ni kabila Fulani? Ukavila na udini utaanzia hapo
 
Ilitakiwa iwe hivyo lakini siyo hivyo. Bajeti inatayarishwa, pesa zinakusanywa kuanzia huku chini ... lakini matumizi yanaamuliwa Dodoma. Mfano, Chato Airport iko kwenye bajeti ya mwaka gani ...!?
Umeona sasa ubaguzi wenyewe unavyoanza? Kama ingekuwa n serikali ya majimbo salamu mnazotuma ni kuwa Chato qmbayo Ni Jimbo la nchi ya Marekani wangesubiri sana kupata airport kutoka wahisani wa nchi ya Tanzania
 
Uasi kwenye nchi huanza kwa kuwa na serikali za majimbo. Wakishajiona wanakula na wanauwezo wa kwenda chooni vizuri utasikia chokochoko, ooh Jimbo la kitopeni linataka kujitenga
 
Sasa unajipinga mwenyewe? Nimesema nchi mbili za Ujerumani magharibi na Mashariki hapo kabla ya kuungana. Wewe vipi?

Mbona jamaa alijieleza vizuri sana, nimepitia maoni yako wewe ndiye unaonekana umepania kupotosha watu na kuleta taharuki zisizo na msingi wowote - tuulizeni sisi tulio wahi kuishi kwenye Mataifa ambayo yana practice utawala wa majibo - mambo mengi yanayo zungunzwa kuhusu ubaya wa uendeshaji Taifa kimajimbo hayana ukweli wowote on the contrary unafanya majimbo yafanye kazi kwa bidii na kuwajibika kijamikifu jimboni, viongozi na watendaji wakauu ni wakazi/ wazaliwa wa jimbo husika hivyo uwajibikaji ni wa hali ya juu sana - majimbo yanayo lega lega yanakwenda kujifunza kutoka kwa majimbo ambayo yako mbele kimaendeleo, yanachangiwa fedha kutoka majimboni yenye uwezo mkubwa pamoja na Federal Govt - haya mambo yakutia taharuki watu eti majimbo yatachochea ukabila, yatavunja umoja yana ukweli gani? Mbona hawaelezi kiundani mafanikio ya utawala was kimajimbo huko Merikani, Kanada, Ujerumani, Uingereza, nafikiri na Urusi hata Wakoloni waliongoza Tanganyika kwa mtindo wa kimajimbo kwani kuliharibika nini?
 
Mbona jamaa alijieleza vizuri sana, nimepitia maoni yako wewe ndiye unaonekana umepania kupotosha watu na kuleta taharuki zisizo na msingi wowote - tuulizeni sisi tulio wahi kuishi kwenye Mataifa ambayo yana practice utawala wa majibo - mambo mengi yanayo zungunzwa kuhusu ubaya wa uendeshaji Taifa kimajimbo hayana ukweli wowote on the contrary unafanya majimbo yafanye kazi kwa bidii na kuwajibika kijamikifu jimboni, viongozi na watendaji wakauu ni wakazi/ wazaliwa wa jimbo husika hivyo uwajibikaji ni wa hali ya juu sana - majimbo yanayo lega lega yanakwenda kujifunza kutoka kwa majimbo ambayo yako mbele kimaendeleo, yanachangiwa fedha kutoka majimboni yenye uwezo mkubwa pamoja na Federal Govt - haya mambo yakutia taharuki watu eti majimbo yatachochea ukabila, yatavunja umoja yana ukweli gani? Mbona hawaelezi kiundani mafanikio ya utawala was kimajimbo huko Merikani, Kanada, Ujerumani, Uingereza, nafikiri na Urusi hata Wakoloni waliongoza Tanganyika kwa mtindo wa kimajimbo kwani kuliharibika nini?
Uliona juzi Kati Ireland alitaka kujitenga? Uasi uasi uasi
 
Mbona jamaa alijieleza vizuri sana, nimepitia maoni yako wewe ndiye unaonekana umepania kupotosha watu na kuleta taharuki zisizo na msingi wowote - tuulizeni sisi tulio wahi kuishi kwenye Mataifa ambayo yana practice utawala wa majibo - mambo mengi yanayo zungunzwa kuhusu ubaya wa uendeshaji Taifa kimajimbo hayana ukweli wowote on the contrary unafanya majimbo yafanye kazi kwa bidii na kuwajibika kijamikifu jimboni, viongozi na watendaji wakauu ni wakazi/ wazaliwa wa jimbo husika hivyo uwajibikaji ni wa hali ya juu sana - majimbo yanayo lega lega yanakwenda kujifunza kutoka kwa majimbo ambayo yako mbele kimaendeleo, yanachangiwa fedha kutoka majimboni yenye uwezo mkubwa pamoja na Federal Govt - haya mambo yakutia taharuki watu eti majimbo yatachochea ukabila, yatavunja umoja yana ukweli gani? Mbona hawaelezi kiundani mafanikio ya utawala was kimajimbo huko Merikani, Kanada, Ujerumani, Uingereza, nafikiri na Urusi hata Wakoloni waliongoza Tanganyika kwa mtindo wa kimajimbo kwani kuliharibika nini?
Halafu mtu aseme kaibiwa. Kura zinatafutwa.

Wapinzani watetereke Sana

 
..kama mikoa haijatutenga, basi majimbo nayo hayawezi kututenga.

..hata wakati Tanganyika ilipokuwa na majimbo wananchi hawakuwa wametengana.

..mfumo wa majimbo utarahisisha shughuli za utawala, na kupeleka maendeleo kwa wananchi kwa haraka zaidi.
Hatuhitaji majimbo, hicho sio kipaumbele. Kama mnataka kujitenga nendeni Sudan
 
Lakini huo mfumo wa majimbo angalia Marekani na hio Canada ilipo kimaendeleo sisi miaka 58 Ujamaa umetufilisi mpaka akili zetu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Kuna nchi kibao zimeendelea na hazina ishu ya majimbo
 
Lakini huo mfumo wa majimbo angalia Marekani na hio Canada ilipo kimaendeleo sisi miaka 58 Ujamaa umetufilisi mpaka akili zetu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Kuna nchi kibao zimeendelea na hazina ishu ya majimbo
 
Upon sahihi kabisa si unaona muunga o was Tanganyika na Zanzibar umekuwa donda sugu kila siku ni mshikieli ipo siku hao wazanzibar watachoka hivyo itakuwa mauaji ya halaiki.

Kwa sasa huu utawala wa majimbo utaleta umoja mzuri,bado wazazibar hawajiiti kuwa ni watanzania wanajitambulisha kuwa wao ni wazaznzibari.hii majimbo itaondoa hii
 
Naona umeleta ushahidi hapa kuwa majimbo hayana uhusiano wowote na kuondoa umoja wa kitaifa kwa mifano uliyoitoa!
Ninachoshangaa ni kwamba kama mnaupenda sana umoja wa kitaifa kwaninj hamzungumzii uhuru na haki za raia wenu?Haya meneno mawaili mnayaona kama ukakasi midomoni kwenu!

Msingi wa umoja wa kitaifa na haki na uhuru!
Wewe binafsi umekosa Uhuru gani?
 
Tugawane tuu nchi , liwalo na liwe..


Iringa watatumia kihehe kufundishia na kagera watapiga kihaya...

Tatizo lipo wapi.. hakuna nchi ndogo Duniani maskini... Kadri eneo la utawala linavo kuwa dogo ndio uchumi unakua imara.
Waungwana,

Chunguzeni leo hii nchi zote ambazo ni kinara wa mfumo wa Serikali za majimbo (federal government) duniani ni nchi ambazo zilikuwa zinakabiliwa Sana na tatizo la kukosa umoja wa Kitaifa kutokana na Vita, udini au Kukosa lugha ya kuwaunganisha.

Marekani walikuwa mataifa huru 50. Kuwaunganisha ni lazima uwaachie baadhi ya madaraka yao, hivyo mfumo wa Serikali ya Majimbo ni sahihi kwao.

Canada wanashida ya lugha. Kuna majimbo hawajui au hawaongei kabisa kiingereza, wenyewe wanaongea kifaransa. Hawa ni muhimu kuwa na majimbo ili wawe huru kutumia lugha waipendayo.

Ujerumani walitawanyika na kuwa nchi mbili tofauti na ukuta ukajengwa Kati ya Ujerumani ya Mashariki na ile ya magharibi. Hawa ili kuwaunganisha mfumo wa Serikali ya Majimbo ulikuwa lazima ila maeneo hayo yabaki na sehemu ya utawala wake wa awali.

Nigeria imepitia mengi sana sana Kati ya waislamu wa kaskazini na wakristo wa kusini. Waafrika kusini vilevile wamepitia mengi Kuhusu ukoloni na ukaburu. Wazungu wengi walibaki Afrika Kusini baada ya Uhuru kamili mwaka 1994. Kwa misingi hiyo, unaweza kabisa kuona Nigeria na Afrika kusini walihitaji utawala wa majimbo.

Sisi Tanzania tunahitaji utawala wa majimbo ili iweje? Je, changamoto za kiuchumi, utamaduni na kisiasa zinatokana na mazingira hayo niliyoyataja hapo juu?

Wazungu hawana makabila na karibu wote wana dini au imani sawa. Kuwawekea utawala wa majimbo sio mbaya. Hapa kwetu tunajadili sio to dini Bali hata dhehebu. Kuna baadhi ya watu walisema katika uchaguzi wa 2015, Sasa ni zamu ya M-KKKT kuwa wa -RC wametawala Sana. Sasa kwenye nchi Kama hii uanze umajimbo, tunategemea nini kitokee?

Majimbo yatatutenga zaidi badala ya kutuleta pamoja. Mfumo wa Serikali za mitaa kwa Tanzania ni mzuri na toshelevu. Kama Kuna changamoto basi ni Kuboresha tuu.

Ninawashangaa Sana wapinzani, sijui wamekunywa wanzuki ya wapi. Tasilimali za kila eneo husaidia eneo hilo na maeneo mengine. Hii ni kwasababu watu wanaingiliana na wanaweza kuishi popote. Mtoto wa Kagera anapangiwa kazi Tanga na maisha yanaenda. Mtu wa Mtwara anahamia Mbeya anakuwa mnyaki maisha yanaenda.

Watanzania tuukumbatie umoja, amani na mshikamano wetu kwa kuchagua mafiga matatu hapo 28 Oktoba, 2020. Tuwaadhibu wapinzani wanaotaka kutugawa kwa kuwanyima kura.

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Kigamboni kumtafutia Rais Magufuli kura za bonus).
 
Hayo mtaenda kufungua mashitaka baada ya Tundu Lisu kuapishwa kuwa Raisi 2020,ila kwa sasa tena msirukie huko na kutaka kupotosha. lengo ni kuiondoa CCM hatusikii hatuoni liwalo na liwe lakini CCM kwanza ikae pembeni.

Hata kura ya maoni inaweza kutaarishwa kwa hilo linalowakwaza.Ila sasa kwanza CCM wakae chonjo wapumzishwe.
Hii selikali ya majimbo kamwe hataipata.
Kila siku nawauliza, ataunda serikali ipi ilihali wabunge wengi watakuwa wa CCM . Inamaana hatapata spika, Waziri mkuu pia hatapata.
Lazima arudi bungeni kuwaomba au, wampigie kura ya kutokuwa na imani na rais.
 
Unaonekana kupinga serikali za majimbo ila ulichokiandika hapa kinaonesha nguvu za serikali za majimbo.

Ni sawa na kusema mkimchagua cuf siwaletei maendeleo af hapo hapo unasema maendeleo hayana chama
 
Ndiyo maana tunasema serikali kuu isijihusishe na miradi midogo midogo. Rais hawezi kufika Kila kona ya nchi. Mambo ya Choo cha stand yaangaliwe na local governments. Ndiyo maana utakuta Rais anakariri miradi ili kuwa impress wananchi which is not necessary.
Eti rais anakariri kilomita za barabara
 
Nchi haiendeshwi kwa ndoto ya mzee Mtei ambayo CHADEMA wote wanalazimika kuihubiri na kuitetea. Haifai kwani itatuletea shida kubwa Kama taifa. Tutawakataa na hata sasa tumewakataa
Nchi haindeshwi kwa maelekezo ya Jiwe pia!
 
Back
Top Bottom