Je! Wajua kuwa Palestina haijapata uhuru mpaka leo?

Je! Wajua kuwa Palestina haijapata uhuru mpaka leo?

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Ndiyo, licha ya kwamba Palestina ilitawaliwa na auingereza tangia mwaka 1920 baada ya kukabidhiwa na shirikisho la umoja wa mataifa (League of Nations) baada ya vita ya kwanza ya Dunia ila bado Palestina haijapata uhuru mpaka leo.

League of Nations ilipitisha Azimio la kuiweka Palestina toka utawala wa Otoman na kuikabidhi Uingereza ila ajabu ni licha ya Uingereza kuitawala Palestina ila Uingereza ilikuja kuipa uhuru Israel ndani ya ardhi ya Palestina kupitia azimio No. 181 la mwaka 1947 lililopitishwa na Umoja wa Mataifa, hatimae Israel ilipata uhuru wake tarehe 14 Mei 1948. Siku hiyo, David Ben-Gurion alitangaza kuanzishwa kwa Taifa la Israel, na hivyo kumaliza utawala wa Uingereza huko Palestina!

Mpaka leo unasoma uzi huu ndugu mwana jf Palestina haijapata uhuru wake kamili isipokuwa kuna baadhi ya mataifa tu yanaitambua Palestina kama Taifa huru!

Sababu gani hasa zinafanya Palestina isipate uhuru wake mpaka leo hii?

Mchango wa Mataifa ya Nje: Masuala ya kimataifa na ushiriki wa mataifa mengine yamekuwa na athari kubwa kwa mgogoro wa Israel na Palestina. Mataifa na mashirika ya kimataifa yamekuwa yakishiriki katika kusaidia upande mmoja au mwingine, na hii imesababisha kuzidi kwa mzozo kati ya Israel na Palestin.

Kushindwa kwa Makubaliano ya amani ambayo yabakwama kutokana na migogoro ya ardhi, mipaka, hadhi ya wakimbizi na hadhi ya Yurusalem.

moja ya changamoto kubwa ni Israel kutokuwa na mipaka isiyoeleweka! Israel mpaka leo mipaka yake inaongezeka kadri siku zinavyizidi kusonga anatwalia ardhi ya kipalestina na kufanya makazi rasmi ya Raia wake.

Ndugu msomaji unaweza ukaona mkanganyiko uliopo baada ya Uingereza kuitawala Palestina ila Uhuru akaja kupewa Taifa jingine ndani ya Taifa la Palestina!

1. Ilikuwaje kizazi kinachosemekana kilitoka enzi za utumwani Misri hakikusambalitika licha ya kuishi utumwani Misri zaidi ya Miaka 400?

2. Ikiwa Misri haikuchukua waisrael wote kwenda utumwani Misri, ilikuwaje kizazi ambacho hakikwenda utumwani kilipotea?

2. Ikiwa kizazi kilichobaki hakikupotea, ilikuwaje machafuko ndani ya Palestina yaliinza baada ya wanaojiita diaspora wa kiisrael walioshi maeneo mbalimbali ulimwenguni kuanza kulejea huko Palestina karne 19-20?

Naendelea kutafuta majibu ya maswali haya, na kama kuna mtu ana majibu anaweza kuyaleta.

Hapa chini kuna raman ya eneo la Palestina toka mwaka 1917 mpaka kuanza kwa Israel 1948 na kuendelea kutanuka mpaka mwaka 2020.
images (20).jpeg
images (21).jpeg
 
Ndiyo, licha ya kwamba Palestina ilitawaliwa na auingereza tangia mwaka 1920 baada ya kukabidhiwa na shirikisho la umoja wa mataifa (League of Nations) baada ya vita ya kwanza ya Dunia ila bado Palestina haijapata uhuru mpaka leo.

League of Nations ilipitisha Azimio la kuiweka Palestina toka utawala wa Otoman na kuikabidhi Uingereza ila ajabu ni licha ya Uingereza kuitawala Palestina ila Uingereza ilikuja kuipa uhuru Israel ndani ya ardhi ya Palestina kupitia azimio No. 181 la mwaka 1947 lililopitishwa na Umoja wa Mataifa, hatimae Israel ilipata uhuru wake tarehe 14 Mei 1948. Siku hiyo, David Ben-Gurion alitangaza kuanzishwa kwa Taifa la Israel, na hivyo kumaliza utawala wa Uingereza huko Palestina!

Mpaka leo unasoma uzi huu ndugu mwana jf Palestina haijapata uhuru wake kamili isipokuwa kuna baadhi ya mataifa tu yanaitambua Palestina kama Taifa huru!

Sababu gani hasa zinafanya Palestina isipate uhuru wake mpaka leo hii?







Ndugu msomaji unaweza ukaona mkanganyiko uliopo baada ya Uingereza kuitawala Palestina ila Uhuru akaja kupewa Taifa jingine ndani ya Taifa la Palestina!

1. Ilikuwaje kizazi kinachosemekana kilitoka enzi za utumwani Misri hakikusambalitika licha ya kuishi utumwani Misri zaidi ya Miaka 400?

2. Ikiwa Misri haikuchukua waisrael wote kwenda utumwani Misri, ilikuwaje kizazi ambacho hakikwenda utumwani kilipotea?

2. Ikiwa kizazi kilichobaki hakikupotea, ilikuwaje machafuko ndani ya Palestina yaliinza baada ya wanaojiita diaspora wa kiisrael walioshi maeneo mbalimbali ulimwenguni kuanza kulejea huko Palestina karne 19-20?

Naendelea kutafuta majibu ya maswali haya, na kama kuna mtu ana majibu anaweza kuyaleta.

Hapa chini kuna raman ya eneo la Palestina toka mwaka 1917 mpaka kuanza kwa Israel 1948 na kuendelea kutanuka mpaka mwaka 2020.
View attachment 2775110View attachment 2775111
Wapalestina walipewa option ya kuwa nchi 1947 wakakataa huku wenzao wa israeli wakikubali;
kwa wapelestina ilikua ni uamuzi wa kujipiga risasi mguuni sababu mpaka leo wanaujutia
 
Ajitokeze mtu aandike historia ya huu mtanange bila ushabiki, wewe nakuona pia ni wale wale wavaa makobazi mnaaminishana huko vitu vya upuzi.
Unaongea kuhusu historia ya 1920, juzi sana, hilo eneo lina historia ya maelfu ya miaka.
 
Ajitokeze mtu aandike historia ya huu mtanange bila ushabiki, wewe nakuona pia ni wale wale wavaa makobazi mnaaminishana huko vitu vya upuzi.
Unaongea kuhusu historia ya 1920, juzi sana, hilo eneo lina historia ya maelfu ya miaka.
Uhuru wa israeli ni unabii Mungu aliousema kupitia kinywa cha nabii yeremia

Yeremia 31:8

Tazama, nitawaleta toka nchi ya kaskazini, na kuwakusanya katika miisho ya dunia, na pamoja nao watakuja walio vipofu, na hao wachechemeao, mwanamke mwenye mimba, na yeye pia aliye na utungu wa kuzaa; watarudi huko, jeshi kubwa.

Hilo eneo lilikuwa chini ya tawala tofauti tofauti ila halijawahi kuwa na mfalme wake ndo maajabu yake tokea yehoahazi mtoto wa josia aondolewe kwa nguvu na mfalme wa misri

Wafalme/viongozi baada ya yehoahazi walikuwa wanawekwa kwa udhamini wa falme nyingine za mbali zilizokua zinatawala eneo hilo
 
Ajitokeze mtu aandike historia ya huu mtanange bila ushabiki, wewe nakuona pia ni wale wale wavaa makobazi mnaaminishana huko vitu vya upuzi.
Unaongea kuhusu historia ya 1920, juzi sana, hilo eneo lina historia ya maelfu ya miaka.
Jina langu ni Frank! Ni mkatoliki!
Mwalimu Nyerere wakati anaitambua Palestina na kuyatuhumu mataifa makubwa kw akumpachika Israel pale pia alikuwa mkatoliki mtiifu.

Changamoto tuliyonayo ni kwamba hii issue imeingia kwenye iman! Kwaiyo ata iweje kama unaamini kama Bible kuhusu ili jambo huwezi kuamini katika sheria za kawaida za kimataifa cos iman yako ndiyo inakuongoza kufikiri, na ndiyoaana chini hapo kuna maswali ma3 muhimu ukiyatafakari kwa kina unaweza kuelewa.
 
Uhuru wa israeli ni unabii Mungu aliousema kupitia kinywa cha nabii yeremia

Yeremia 31:8

Tazama, nitawaleta toka nchi ya kaskazini, na kuwakusanya katika miisho ya dunia, na pamoja nao watakuja walio vipofu, na hao wachechemeao, mwanamke mwenye mimba, na yeye pia aliye na utungu wa kuzaa; watarudi huko, jeshi kubwa.

Hilo eneo lilikuwa chini ya tawala tofauti tofauti ila hakijawahi kuwa na mfalme wake ndo maajabu yake tokea sedekia aondolewe kwa wangu

Wafalme baada ya sedekia walikuwa wanawekwa kwa udhamini wa falme nyingine za mbali
Mkuu ina mana katika kipindi hiki Waisrael wote walichukuliwa kwenda utumwani? Hapo hawakubaki ata nusu yake? Au ata robo yake?
 
... makaburi ya toka Ibrahim hadi manabii kizazi cha Isaka wamepumzika kwenye hilo eneo. Huhitaji diploma yoyote kujua ni urithi wa nani.
 
Mkuu ina mana katika kipindi hiki Waisrael wote walichukuliwa kwenda utumwani? Hapo hawakubaki ata nusu yake? Au ata robo yake?
Walipelekwa utumwani babeli na baadae ulaya kama adhabu waliyopewa Mungu wao Yahweh kupitia kinywa cha nabii isaya
 
Nadhani ingependeza mamlaka ikasimamia eneo lile lile walilopewa israel ndio wakishi hapo, huko kwingine kwa wapalestina waishi huko.
Toka 1947 israel imekuwa ikikwapua tu maeneo ya wapalestina.
 
... makaburi ya toka Ibrahim hadi manabii kizazi cha Isaka wamepumzika kwenye hilo eneo. Huhitaji diploma yoyote kujua ni urithi wa nani.
1. Nabii Ibrahim alizaliwa "Ur Kasdim" ambapo ipo ndani Iraq kwasasa.

2. Nabii Ibrahim aliondoka na kuelekea "Haran" ambapo aliishi kwa miongo kadhaa, eneo ili kwasasa liko nchini Uturuki.

3. Nabii Ibrahim alienda "Kanaani" kwa mujibu wake ni kuwa aliagizwa na Mungu ambapo eneo ili kwasasa liko Israel na Palestina yasasa!

Kwa muktadha huu Nabii Ibrahim kwao ni wapi? Alipokwenda Kanaani hakukuta Jamii ikiyoishi hapo?
 
Jina langu ni Frank! Ni mkatoliki!
Mwalimu Nyerere wakati anaitambua Palestina na kuyatuhumu mataifa makubwa kw akumpachika Israel pale pia alikuwa mkatoliki mtiifu.

Changamoto tuliyonayo ni kwamba hii issue imeingia kwenye iman! Kwaiyo ata iweje kama unaamini kama Bible kuhusu ili jambo huwezi kuamini katika sheria za kawaida za kimataifa cos iman yako ndiyo inakuongoza kufikiri, na ndiyoaana chini hapo kuna maswali ma3 muhimu ukiyatafakari kwa kina unaweza kuelewa.

Humu kwenye mitandao unaweza ukajiita chochote au kujihusisha na dini yoyote ila misimamo yako inakuumbua, wewe umekuja na historia ya juzi sana, mimi hata siongei kuhusu Biblia, maana hata ukilinganisha historia ya vitabu vya dini, hiyo koran imekuja miaka 500 baadaye.
Hiyo Palestina mnayoisema leo, ambayo kabla ya hapo iliitwa "Syria Palestina" ni eneo lenye historia ndefu sana ukifuatilia, soma kuhusu kipindi cha Aelia Capitolina, na hata kabla ya hapo.

Wayahudi wana haki za kuishi hapo palipo makaburi ya mababu zao, pia Waarab ambao walihamia hutokea Arabia na wao wana haki ya kuishi hapo, ifahamike Wayahudi hawajawahi kukataa kuishi pamoja na Waarabu, sema Waarabu ndio huwa na mizuka ya dini ya kutaka Wayahudi wafutwe kwenye uso wa dunia.
 
Humu kwenye mitandao unaweza ukajiita chochote au kujihusisha na dini yoyote ila misimamo yako inakuumbua, wewe umekuja na historia ya juzi sana, mimi hata siongei kuhusu Biblia, maana hata ukilinganisha historia ya vitabu vya dini, hiyo koran imekuja miaka 500 baadaye.
Hiyo Palestina mnayoisema leo, ambayo kabla ya hapo iliitwa "Syria Palestina" ni eneo lenye historia ndefu sana ukifuatilia, soma kuhusu kipindi cha Aelia Capitolina, na hata kabla ya hapo.

Wayahudi wana haki za kuishi hapo palipo makaburi ya mababu zao, pia Waarab ambao walihamia hutokea Arabia na wao wana haki ya kuishi hapo, ifahamike Wayahudi hawajawahi kukataa kuishi pamoja na Waarabu, sema Waarabu ndio huwa na mizuka ya dini ya kutaka Wayahudi wafutwe kwenye uso wa dunia.
Kwani Syria Palestina ilikuwepo kabla ya Nabii Ibrahim ambae anatajwa kwamba ni mwanzilishi wa taifa la Israel?

Mbona Nabii Ibrahim alizaliwa kwingine kabisa na kwasasa eneo alilokazaliwa Nabii Ibrahim liko chini ya Taifa la Iraq?
Mbona Nabii Ibrahim aliambiwa na Mungu kwa mujibu wa madai yake kuwa aende Kanani ambapo ndipo Israel ya leo na Palestina ya leo?

Kwani Nabii Ibrahim alipofika Kanani toka Haran alipokuwa akiishi huko Kanani hakukuta jamii nyingine ya watu?
 
Ajitokeze mtu aandike historia ya huu mtanange bila ushabiki, wewe nakuona pia ni wale wale wavaa makobazi mnaaminishana huko vitu vya upuzi.
Unaongea kuhusu historia ya 1920, juzi sana, hilo eneo lina historia ya maelfu ya miaka.
Hivi Huwa una akili timamu kweli?
 
Kwani Syria Palestina ilikuwepo kabla ya Nabii Ibrahim ambae anatajwa kwamba ni mwanzilishi wa taifa la Israel?

Mbona Nabii Ibrahim alizaliwa kwingine kabisa na kwasasa eneo alilokazaliwa Nabii Ibrahim liko chini ya Taifa la Iraq?
Mbona Nabii Ibrahim aliambiwa na Mungu kwa mujibu wa madai yake kuwa aende Kanani ambapo ndipo Israel ya leo na Palestina ya leo?

Kwani Nabii Ibrahim alipofika Kanani toka Haran alipokuwa akiishi huko Kanani hakukuta jamii nyingine ya watu?
ibrahimu hakuanzisha israel mzee
 
Back
Top Bottom