Je! Wajua kuwa Palestina haijapata uhuru mpaka leo?

Je! Wajua kuwa Palestina haijapata uhuru mpaka leo?

ibrahimu hakuanzisha israel mzee
Mwanzo 17:4-6 : Mungu anatoa agano lake na Ibrahim na kumwambia atakuwa baba wa mataifa mengi na kwamba uzao wake utaanzisha taifa kubwa.

Yakobo (Israeli) alileta familia yake kutoka eneo la Mesopotamia, ambalo ni eneo la kati kati ya mito ya Tigris na Euphrates. Katika Biblia, inaelezwa kwamba Yakobo alizaliwa na kukulia huko Mesopotamia, na baadaye akaenda Mesopotamia kwa mara ya pili ili kuoa wake zake kutoka familia ya baba yake.

Mesopotamia kwasasa Sehemu kubwa iko katika nchi za sasa za Iraq na Syria.
images (23).jpeg
 
Kwani Syria Palestina ilikuwepo kabla ya Nabii Ibrahim ambae anatajwa kwamba ni mwanzilishi wa taifa la Israel?

Mbona Nabii Ibrahim alizaliwa kwingine kabisa na kwasasa eneo alilokazaliwa Nabii Ibrahim liko chini ya Taifa la Iraq?
Mbona Nabii Ibrahim aliambiwa na Mungu kwa mujibu wa madai yake kuwa aende Kanani ambapo ndipo Israel ya leo na Palestina ya leo?

Kwani Nabii Ibrahim alipofika Kanani toka Haran alipokuwa akiishi huko Kanani hakukuta jamii nyingine ya watu?

Umesema tusijdili historia ya hapo kwa kutumia Biblia, sasa mbona unachanganya changanya mwenyewe.
 
Ikiwa Israel ni kiza cha Yakobo peke yake!.Je,kizazi cha Esau ni kinanani na wakati Esau ni kulwa na Yakobo ni doto?.
Kizazi cha Esau ndicho kilibaki katika mji waliozaliwa na wao siyo wana wa Israel.Je,siyo kwamba kizazi cha Esau ndiyo wapalestina wenyewe?.
 
1. Nabii Ibrahim alizaliwa "Ur Kasdim" ambapo ipo ndani Iraq kwasasa.

2. Nabii Ibrahim aliondoka na kuelekea "Haran" ambapo aliishi kwa miongo kadhaa, eneo ili kwasasa liko nchini Uturuki.

3. Nabii Ibrahim alienda "Kanaani" kwa mujibu wake ni kuwa aliagizwa na Mungu ambapo eneo ili kwasasa liko Israel na Palestina yasasa!

Kwa muktadha huu Nabii Ibrahim kwao ni wapi? Alipokwenda Kanaani hakukuta Jamii ikiyoishi hapo?
... wapalestina hao hao na waarabu wanapenda kujinasibisha na Ibrahim kwamba wao ni descendants of Ibrahim through Ishmael wakati kiukweli ni aina fulani ya "majitu". Muhimu kuliko yote, Kanaan ni urithi wa Ibrahim kwa Isaka.
 
Ikiwa Israel ni kiza cha Yakobo peke yake!.Je,kizazi cha Esau ni kinanani na wakati Esau ni kulwa na Yakobo ni doto?.
Kizazi cha Esau ndicho kilibaki katika mji waliozaliwa na wao siyo wana wa Israel.Je,siyo kwamba kizazi cha Esau ndiyo wapalestina wenyewe?.
... wapalestina wakikusikia watakutangazia fatwa mara moja! Wanajihisi actually kwa mujibu wa maandiko yao wanajiona ni kizazi cha Ibrahim kwa Ishmael yule mtoto wa kijakazi.
 
Nadhani ingependeza mamlaka ikasimamia eneo lile lile walilopewa israel ndio wakishi hapo, huko kwingine kwa wapalestina waishi huko.
Toka 1947 israel imekuwa ikikwapua tu maeneo ya wapalestina.

Kwamujibu wa wayahudi na historia yao hayo ni maeneo yao hivyo wataendelea kuyachukua kadri wa wezavyo na hii ya sasa naona wanaenda kujitanua zaidi.
 
1. Nabii Ibrahim alizaliwa "Ur Kasdim" ambapo ipo ndani Iraq kwasasa.

2. Nabii Ibrahim aliondoka na kuelekea "Haran" ambapo aliishi kwa miongo kadhaa, eneo ili kwasasa liko nchini Uturuki.

3. Nabii Ibrahim alienda "Kanaani" kwa mujibu wake ni kuwa aliagizwa na Mungu ambapo eneo ili kwasasa liko Israel na Palestina yasasa!

Kwa muktadha huu Nabii Ibrahim kwao ni wapi? Alipokwenda Kanaani hakukuta Jamii ikiyoishi hapo?

Ukisoma kitabu cha wayahudi majibu yote utapata,hao jamaa hapo ndio kwako kwa mujibu wa imani yao na wameishi hapo miaka na miaka.
 
Kwani Syria Palestina ilikuwepo kabla ya Nabii Ibrahim ambae anatajwa kwamba ni mwanzilishi wa taifa la Israel?

Mbona Nabii Ibrahim alizaliwa kwingine kabisa na kwasasa eneo alilokazaliwa Nabii Ibrahim liko chini ya Taifa la Iraq?
Mbona Nabii Ibrahim aliambiwa na Mungu kwa mujibu wa madai yake kuwa aende Kanani ambapo ndipo Israel ya leo na Palestina ya leo?

Kwani Nabii Ibrahim alipofika Kanani toka Haran alipokuwa akiishi huko Kanani hakukuta jamii nyingine ya watu?

Hata biblia huijui vzr wewe sio mkristo agano la kale kwenye safari ya wayahudi kurudi kaanani kutoka misri walipewa mipaka ya eneo hilo na namna ya kukabiliana na wageni watakao wakuta ofcoz kwa mujibu wa vitabu vyao waliamuliwa wawauwe wenyeji wote watakao wakuta katika eneo hilo[emoji28]
 
Kwani Syria Palestina ilikuwepo kabla ya Nabii Ibrahim ambae anatajwa kwamba ni mwanzilishi wa taifa la Israel?

Mbona Nabii Ibrahim alizaliwa kwingine kabisa na kwasasa eneo alilokazaliwa Nabii Ibrahim liko chini ya Taifa la Iraq?
Mbona Nabii Ibrahim aliambiwa na Mungu kwa mujibu wa madai yake kuwa aende Kanani ambapo ndipo Israel ya leo na Palestina ya leo?

Kwani Nabii Ibrahim alipofika Kanani toka Haran alipokuwa akiishi huko Kanani hakukuta jamii nyingine ya watu?
Ibrahimu au nabii Ibrahmu(s.a.w) ndiye mzazi wa wakristo kwa Isaka(Isieqa) na waislamu kwa Ismail(Ishmail).

Hivyo wakristo na waislamu wote ni uzao wa Ibrahimu tofauti na mama zao.

Wakristo mama yao na Sarah na waislamu mama yao ni Hajri.

Hii ni vita ya ndugu

Isipokuwa

Waisrael waliopo Israel kwa sasa siyo wale waliotoka Misri utumwani. Hawa waliopo ni wazungu waliojipachika uzayuni tu.

Waisrael halisi rangi yao ni weusi kabisa kama walivyokuwa pale Misri.

Historia inafichwa sana kwa maslahi ya wazungu.
 
... wapalestina hao hao na waarabu wanapenda kujinasibisha na Ibrahim kwamba wao ni descendants of Ibrahim through Ishmael wakati kiukweli ni aina fulani ya "majitu". Muhimu kuliko yote, Kanaan ni urithi wa Ibrahim kwa Isaka.
Kanaan ni urithi wa Ibrahim kwa Isaka.
Hahahaaa! Isaka alipata watoto mapacha ambao ni Esau na Yakobo.Yakobo ndiye baadae alipewa jina Israel na ni kizazi chake tu ndiyo wana wa Israel.
Sasa je,kizazi cha Esau ni kina nani na wapo wapi?.
 
... wapalestina wakikusikia watakutangazia fatwa mara moja! Wanajihisi actually kwa mujibu wa maandiko yao wanajiona ni kizazi cha Ibrahim kwa Ishmael yule mtoto wa kijakazi.
Hahahaaa!Mi nataka kujua tu kuhusu Esau na kizazi chake ni kina nani maana wao siyo waisrael(Watoto wa Yakobo)?.
 
Hata biblia huijui vzr wewe sio mkristo agano la kale kwenye safari ya wayahudi kurudi kaanani kutoka misri walipewa mipaka ya eneo hilo na namna ya kukabiliana na wageni watakao wakuta ofcoz kwa mujibu wa vitabu vyao waliamuliwa wawauwe wenyeji wote watakao wakuta katika eneo hilo[emoji28]
Dah!Yaani ni kama wachina waamurishwe kuwa ua watanzania wote ili wao wakae Tanzania!?.
 
Ajitokeze mtu aandike historia ya huu mtanange bila ushabiki, wewe nakuona pia ni wale wale wavaa makobazi mnaaminishana huko vitu vya upuzi.
Unaongea kuhusu historia ya 1920, juzi sana, hilo eneo lina historia ya maelfu ya miaka.
Sasa we mkenya lofa zaidi ya vifungu vya bibilia ulivyokaririshwa Sunday school hiyo historia ya miaka elfu utaitoa wapi?
 
Nadhani ingependeza mamlaka ikasimamia eneo lile lile walilopewa israel ndio wakishi hapo, huko kwingine kwa wapalestina waishi huko.
Toka 1947 israel imekuwa ikikwapua tu maeneo ya wapalestina.
Na wakiendelea kuachiwa wapalestina watafukuzwa wote hapo kila mwaka jamaa wanapanua makazi na kuwaleta wazungu kwa kisingizio eti wanarudi nyumbani upuuzi mtupu. Wenzao wakakae wapi?
 
Mimi ni catholics tena pure ila sikubaliani na uhuni unaofanywa na israeli kwa wapalestina.
 
Ni ujinga mkubwa sana, na wala haiingii akilini.
Basi na sisi tuwatimue wangoni warudi kwao south afrika
Na wakiendelea kuachiwa wapalestina watafukuzwa wote hapo kila mwaka jamaa wanapanua makazi na kuwaleta wazungu kwa kisingizio eti wanarudi nyumbani upuuzi mtupu. Wenzao wakakae wapi?
 
B
Mimi ni catholics tena pure ila sikubaliani na uhuni unaofanywa na israeli kwa wapalestina.
Basi wewe siyo mkatoliki maana Biblia inasema waliagizwa wawaue wenyeji wa ile nchi wote.....Sasa wewe mkatoliki gani unayepinga Biblia?

Ila walipofika wakaingiwa na huruma wakawaache wanawake na watoto wao....ndiyo hawa wanataka uhuru. kazi kwao 🤔🤔🤔
 
B

Basi wewe siyo mkatoliki maana Biblia inasema waliagizwa wawaue wenyeji wa ile nchi wote.....Sasa wewe mkatoliki gani unayepinga Biblia?

Ila walipofika wakaingiwa na huruma wakawaache wanawake na watoto wao....ndiyo hawa wanataka uhuru. kazi kwao 🤔🤔🤔
Mimj napinga mambo mengi sana ya kwenye bible mkuu hata huu ushenzi anaoufanya papa Fransisco sikubaliani nao kabisa. Mimi ni mkatoliki mfu
 
Kwani nani anatoa uhuru wao? Wako huru sema hawamtaki jirani yao.
 
Back
Top Bottom