Je, wajua kuwa Palestina siyo Waarabu? Waarabu halisi ni Saudi Arabia? Je, kwanini vita ya israeli na Palestina itaendelea?

Je, wajua kuwa Palestina siyo Waarabu? Waarabu halisi ni Saudi Arabia? Je, kwanini vita ya israeli na Palestina itaendelea?

Yoshua 9


YOSHUA 9

Udanganyifu Wa Wagibeoni (wapalestina)

1 Basi ikawa wafalme wote waliokuwa magharibi mwa Yordani waliposikia juu ya haya yote, wale waliokuwa katika nchi ya vilima, upande wa magharibi mwa vilima na katika pwani yote ya hiyo Bahari Kuu, hadi kufikia Lebanoni (wafalme wa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi), 2 wakajiunga pamoja ili kupigana vita dhidi ya Yoshua na Israeli.

3 Hata hivyo, watu wa Gibeoni waliposikia juu ya hayo yote Yoshua aliyowatendea watu wa Yeriko na Ai, 4nao wakaamua kufanya hila: Wakajifanya kama wajumbe wakiwa na punda waliobebeshwa mizigo wakiwa na magunia yaliyochakaa na viriba vya mvinyo vikuukuu vyenye nyufa zilizozibwa. 5Walivaa miguuni mwao viatu vilivyoraruka na kushonwa kisha wakavaa nguo kuukuu. Chakula chao kilikuwa mkate uliokauka na kuingia koga. 6 Ndipo wakamwendea Yoshua kambini huko Gilgali wakamwambia yeye pamoja na watu wa Israeli, “Tumetoka katika nchi ya mbali, fanyeni mkataba nasi.”

7 Basi watu wa Israeli wakawaambia hao Wahivi, “Lakini huenda mnakaa karibu nasi, twawezaje basi kufanya mapatano nanyi?”

8 Wakamwambia Yoshua, “Sisi ni watumishi wako.”

Yoshua akawauliza, “Ninyi ni nani, nanyi mnatoka wapi?”

9 Nao wakamjibu: “Watumishi wako wametoka nchi ya mbali sana kwa ajili ya umaarufu wa Bwana Mungu wenu. Kwa kuwa tumesikia taarifa zake: hayo yote aliyofanya huko Misri, 10 pia yale yote aliyowatendea wafalme wawili wa Waamori mashariki ya Yordani; huyo Sihoni mfalme wa Heshboni na Ogu mfalme wa Bashani, aliyetawala huko Ashtarothi. 11Basi wazee wetu na wale wote wanaoishi katika nchi yetu walituambia, ‘Chukueni chakula cha safari; nendeni mkakutane na watu hao na kuwaambia, “Sisi tu watumishi wenu, fanyeni mapatano nasi.” ’ 12Mkate huu wetu ulikuwa wa moto tulipoufunga siku tulipoanza safari kuja kwenu, lakini sasa angalia jinsi ulivyokauka na kuota ukungu. 13Viriba hivi vya mvinyo vilikuwa vipya tulipovijaza, lakini ona jinsi vilivyo na nyufa. Nguo zetu na viatu vimechakaa kwa ajili ya safari ndefu.”

14 Basi watu wa Israeli wakavikagua vyakula vyao bila kupata shauri kutoka kwa Bwana. 15 Ndipo Yoshua akafanya mapatano ya amani pamoja nao kuwaacha waishi, nao viongozi wa kusanyiko wakathibitisha kwa kiapo.

16Siku ya tatu baada ya hao kufanya mapatano na Wagibeoni, Waisraeli wakapata habari kuwa hao watu ni jirani zao waliokuwa wanaishi karibu nao. 17 Ndipo wana wa Israeli wakasafiri na siku ya tatu wakafika kwenye miji yao ya Gibeoni, Kefira, Beerothi na Kiriath-Yearimu. 18 Lakini Waisraeli hawakuwashambulia kwa kuwa viongozi wa kusanyiko walikuwa wamewaapia kwa Bwana, Mungu wa Israeli.

Kusanyiko lote likanungʼunika dhidi ya hao viongozi, 19lakini viongozi wote wakawajibu, “Tumeshawaapia kwa Bwana, Mungu wa Israeli, kwa hiyo hatuwezi kuwagusa sasa. 20 Hivi ndivyo tutakavyowafanyia: Tutawaacha waishi, ili ghadhabu isije juu yetu kwa kuvunja kiapo tulichowaapia.” 21 Wakaendelea kusema, “Waacheni waishi, lakini wawe wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya jamii yote.” Hivyo ahadi waliyoweka viongozi kwao ikawa hivyo.

22Kisha Yoshua akawaita Wagibeoni na kuwaambia, “Kwa nini mmetudanganya kwa kutuambia, ‘Tunaishi mbali nanyi,’ wakati ambapo ninyi mnaishi karibu nasi? 23 Sasa mko chini ya laana: Daima mtakuwa wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.”

24Wakamjibu Yoshua, “Watumwa wako waliambiwa waziwazi jinsi Bwana Mungu wenu alivyomwamuru mtumishi wake Mose kuwapa ninyi nchi hii yote na kuwaangamiza wakazi wake wote toka mbele zenu. Kwa hiyo tuliogopa mno kwa ajili ya uhai wetu kwa sababu yenu, ndiyo maana tukafanya neno hili. 25 Sasa tupo mikononi mwako. Tufanyieni lolote mnaloona kuwa jema na haki kwako.”

26Kwa hiyo Yoshua akawaokoa mikononi mwa Waisraeli, nao hawakuuawa. 27 Siku hiyo Yoshua akawafanya Wagibeoni wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya jamii na kwa ajili ya madhabahu ya Bwana mahali pale ambapo Bwana angepachagua. Hivyo ndivyo walivyo hadi hivi leo.
Gibeoni Siyo walebanoni? Je wafilisti ni Nani?
 
Yoshua 9


YOSHUA 9

Udanganyifu Wa Wagibeoni (wapalestina)

1 Basi ikawa wafalme wote waliokuwa magharibi mwa Yordani waliposikia juu ya haya yote, wale waliokuwa katika nchi ya vilima, upande wa magharibi mwa vilima na katika pwani yote ya hiyo Bahari Kuu, hadi kufikia Lebanoni (wafalme wa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi), 2 wakajiunga pamoja ili kupigana vita dhidi ya Yoshua na Israeli.

3 Hata hivyo, watu wa Gibeoni waliposikia juu ya hayo yote Yoshua aliyowatendea watu wa Yeriko na Ai, 4nao wakaamua kufanya hila: Wakajifanya kama wajumbe wakiwa na punda waliobebeshwa mizigo wakiwa na magunia yaliyochakaa na viriba vya mvinyo vikuukuu vyenye nyufa zilizozibwa. 5Walivaa miguuni mwao viatu vilivyoraruka na kushonwa kisha wakavaa nguo kuukuu. Chakula chao kilikuwa mkate uliokauka na kuingia koga. 6 Ndipo wakamwendea Yoshua kambini huko Gilgali wakamwambia yeye pamoja na watu wa Israeli, “Tumetoka katika nchi ya mbali, fanyeni mkataba nasi.”

7 Basi watu wa Israeli wakawaambia hao Wahivi, “Lakini huenda mnakaa karibu nasi, twawezaje basi kufanya mapatano nanyi?”

8 Wakamwambia Yoshua, “Sisi ni watumishi wako.”

Yoshua akawauliza, “Ninyi ni nani, nanyi mnatoka wapi?”

9 Nao wakamjibu: “Watumishi wako wametoka nchi ya mbali sana kwa ajili ya umaarufu wa Bwana Mungu wenu. Kwa kuwa tumesikia taarifa zake: hayo yote aliyofanya huko Misri, 10 pia yale yote aliyowatendea wafalme wawili wa Waamori mashariki ya Yordani; huyo Sihoni mfalme wa Heshboni na Ogu mfalme wa Bashani, aliyetawala huko Ashtarothi. 11Basi wazee wetu na wale wote wanaoishi katika nchi yetu walituambia, ‘Chukueni chakula cha safari; nendeni mkakutane na watu hao na kuwaambia, “Sisi tu watumishi wenu, fanyeni mapatano nasi.” ’ 12Mkate huu wetu ulikuwa wa moto tulipoufunga siku tulipoanza safari kuja kwenu, lakini sasa angalia jinsi ulivyokauka na kuota ukungu. 13Viriba hivi vya mvinyo vilikuwa vipya tulipovijaza, lakini ona jinsi vilivyo na nyufa. Nguo zetu na viatu vimechakaa kwa ajili ya safari ndefu.”

14 Basi watu wa Israeli wakavikagua vyakula vyao bila kupata shauri kutoka kwa Bwana. 15 Ndipo Yoshua akafanya mapatano ya amani pamoja nao kuwaacha waishi, nao viongozi wa kusanyiko wakathibitisha kwa kiapo.

16Siku ya tatu baada ya hao kufanya mapatano na Wagibeoni, Waisraeli wakapata habari kuwa hao watu ni jirani zao waliokuwa wanaishi karibu nao. 17 Ndipo wana wa Israeli wakasafiri na siku ya tatu wakafika kwenye miji yao ya Gibeoni, Kefira, Beerothi na Kiriath-Yearimu. 18 Lakini Waisraeli hawakuwashambulia kwa kuwa viongozi wa kusanyiko walikuwa wamewaapia kwa Bwana, Mungu wa Israeli.

Kusanyiko lote likanungʼunika dhidi ya hao viongozi, 19lakini viongozi wote wakawajibu, “Tumeshawaapia kwa Bwana, Mungu wa Israeli, kwa hiyo hatuwezi kuwagusa sasa. 20 Hivi ndivyo tutakavyowafanyia: Tutawaacha waishi, ili ghadhabu isije juu yetu kwa kuvunja kiapo tulichowaapia.” 21 Wakaendelea kusema, “Waacheni waishi, lakini wawe wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya jamii yote.” Hivyo ahadi waliyoweka viongozi kwao ikawa hivyo.

22Kisha Yoshua akawaita Wagibeoni na kuwaambia, “Kwa nini mmetudanganya kwa kutuambia, ‘Tunaishi mbali nanyi,’ wakati ambapo ninyi mnaishi karibu nasi? 23 Sasa mko chini ya laana: Daima mtakuwa wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.”

24Wakamjibu Yoshua, “Watumwa wako waliambiwa waziwazi jinsi Bwana Mungu wenu alivyomwamuru mtumishi wake Mose kuwapa ninyi nchi hii yote na kuwaangamiza wakazi wake wote toka mbele zenu. Kwa hiyo tuliogopa mno kwa ajili ya uhai wetu kwa sababu yenu, ndiyo maana tukafanya neno hili. 25 Sasa tupo mikononi mwako. Tufanyieni lolote mnaloona kuwa jema na haki kwako.”

26Kwa hiyo Yoshua akawaokoa mikononi mwa Waisraeli, nao hawakuuawa. 27 Siku hiyo Yoshua akawafanya Wagibeoni wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya jamii na kwa ajili ya madhabahu ya Bwana mahali pale ambapo Bwana angepachagua. Hivyo ndivyo walivyo hadi hivi leo.
Aiseee!
 
Waanzilishi wa Zionist movement akina Ben Gurion waliandika machapisho mengi tu kuwa hawa Wapalestina unaowaona, miongini mwao ni kizazi cha Waisrael wa kale ambao walisilimu na kufuata uislamu na wengine kuwa Wakiristo.
 
Waanzilishi wa Zionist movement akina Ben Gurion waliandika machapisho mengi tu kuwa hawa Wapalestina unaowaona, miongini mwao ni kizazi cha Waisrael wa kale ambao walisilimu na kufuata uislamu na wengine kuwa Wakiristo.
Mnawatetea sana Wapalestina
 
Pia ujuwe kuwa ibrahimu alizaa na kijakazi kutoka misri(watu weusi wana wa ham) na mtoto aliyezaliwa yaani ishimael hakuwa mwarabu wala mzungu bali mweusi.

Je hao waarabu wanahusikaje na uzao wa ishimael ambaye hana uhusiano nao hata chembe?

Someni biblia zenu vizuri na mtoe mihemko na mahaba ya kidini badala yake tumieni akili.

Waarabu wabaki kama walivyo maana hawahusiki na historia yoyote ya uzao wa ibrahimu hawa ni majizi walioshirikiana na muhamad na wazungu kuiba historia za wamisri wa kale na kuunda hadithi za uongo.

Wana wa ibrahimu, wana wa yakobo hawapo huko middle east bali wako afrika na baadhi ya maeneo dunian yenye watu weusi tu, ijueni hii historia ya kweli ambayo hao matapeli wenu wachungaji hawawezi kuwaambia kwa kulinda maslahi ya mkoloni mwarabu na mzungu.

Kama wayahudi walifanana na wamisri wana wa hamu(watu weusi) basi nihitimishe kwa kusema ENYI VILAZA WAFIA DINI, Wayahudi wapo hapa hapa East Afrika, South Afrika, West Afrika, Middle Afrika na dunian kote wamesambaa ambako kuna raia wa ngozi nyeusi.

Hawawezi kuwaambia huu ukweli kwa kuofia mtawatawala na kulipiza visasi kwa kuwafanyia utumwa.

Stories za biblia na quran zimetungwa kwa kuiba nakala za mababu wa kale wa Afrika.

Watu weupe hawahusiki na Mambo ya kiroho maana wao si viumbe wa asili ya dunia.

Elimikeni enyi wafia dini.
 
Ni yupi alinusurika kuchinjwa na baba yake
  1. Waislam wanasema ni Ismail
  2. Wakristo wanasema ni Isaka
  3. Sijui wayahudi wanasemaje
Wayahudi ni wajukuu wa Isaka kupitia kwa Yakobo usitegemee wakisema Ismail ndiye aliye nusurika kutolewa sadaka.

Alafu hajira si alifukuzwa baada ya kuleta dharau kwa bi mkubwa sarah, kama alifukuzwa mtoto akiwa mdogo basi aliyenusurika ni Isaka kwakuwa mtoto aliyepelekwa kutolewa sadaka alikuwa mkubwa anayeongea na kuweza kuhoji sadaka iko wapi.
 
Naropoka kama ifuatavyo Inawezekana Muhammad alikuwa ni miongoni mwa hao wafilisti
 
Alafu hajira si alifukuzwa baada ya kuleta dharau kwa bi mkubwa sarah, kama alifukuzwa mtoto akiwa mdogo basi aliyenusurika ni Isaka kwakuwa mtoto aliyepelekwa kutolewa sadaka alikuwa mkubwa anayeongea na kuweza kuhoji sadaka iko wapi.
Na kwamba baada ya kufukuzwa Hajra alikwenda kwao Misri na mwanaye
 
Pia ujuwe kuwa ibrahimu alizaa na kijakazi kutoka misri(watu weusi wana wa ham) na mtoto aliyezaliwa yaani ishimael hakuwa mwarabu wala mzungu bali mweusi.

Je hao waarabu wanahusikaje na uzao wa ishimael ambaye hana uhusiano nao hata chembe?

Someni biblia zenu vizuri na mtoe mihemko na mahaba ya kidini badala yake tumieni akili.

Waarabu wabaki kama walivyo maana hawahusiki na historia yoyote ya uzao wa ibrahimu hawa ni majizi walioshirikiana na muhamad na wazungu kuiba historia za wamisri wa kale na kuunda hadithi za uongo.

Wana wa ibrahimu, wana wa yakobo hawapo huko middle east bali wako afrika na baadhi ya maeneo dunian yenye watu weusi tu, ijueni hii historia ya kweli ambayo hao matapeli wenu wachungaji hawawezi kuwaambia kwa kulinda maslahi ya mkoloni mwarabu na mzungu.

Kama wayahudi walifanana na wamisri wana wa hamu(watu weusi) basi nihitimishe kwa kusema ENYI VILAZA WAFIA DINI, Wayahudi wapo hapa hapa East Afrika, South Afrika, West Afrika, Middle Afrika na dunian kote wamesambaa ambako kuna raia wa ngozi nyeusi.

Hawawezi kuwaambia huu ukweli kwa kuofia mtawatawala na kulipiza visasi kwa kuwafanyia utumwa.

Stories za biblia na quran zimetungwa kwa kuiba nakala za mababu wa kale wa Afrika.

Watu weupe hawahusiki na Mambo ya kiroho maana wao si viumbe wa asili ya dunia.

Elimikeni enyi wafia dini.
Ibrahim ni Muiraq(Uru).Sasa kama waisrael ni weusi,tuthibitishie kihistoria watu wa Iraq walikuwa weusi (waafrika).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wayahudi ni wajukuu wa Isaka kupitia kwa Yakobo usitegemee wakisema Ismail ndiye aliye nusurika kutolewa sadaka.

Alafu hajira si alifukuzwa baada ya kuleta dharau kwa bi mkubwa sarah, kama alifukuzwa mtoto akiwa mdogo basi aliyenusurika ni Isaka kwakuwa mtoto aliyepelekwa kutolewa sadaka alikuwa mkubwa anayeongea na kuweza kuhoji sadaka iko wapi.
Wakati huo zingatia sababu ya kufukuzwa kwa mujibu wa Sarah ni kwamba alimuona Ishmael akimfanyia dhihaka Isaka mdogo wake.Vp hapo inaonekana Ishmael alikuwa mtoto asiyejua kuongea?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom