Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,156
- 2,092
Hakuna faida kwa Shetani kakaa.Namba 7 ningeifanyia kazi nisingekuwa hapa nilipo.Sema mkuu zitafsiri ili watu wengi wapate faida za Shetani.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Shetani ni kiumbe kama mimi na wewe hana guvu zozote za kushindana na Mungu.Kutokana na nguvu alizonazo shetani siamini kama kaumbwa na Mungu!
Mkuu wamesahau amri moja ya shetani ya 12 uwe mwanachama wa CCM.Zisome hapa.. Kama unajua kiingereza lakini
Uchaguzi ni wako ufuate zile 10 za Mungu au hizi 11 za shetaniView attachment 1981024
Soma mwisho wa kila amri.. Hakuna kusameheBonge la mada hii.
Huwa najiulizaga sana, shetani kabla ya kumuasi Mungu, ni siri gani za KiMungu alizoiba ambazo Mungu hakuweza kumnyang'anya? Lazima kuna siri kama hizi kanuni alizochukua zilizompa nguvu kubwa ndiyo maana kumshinda ni kisanga.
Ndiyo maana kuna watu wanaona mbona hizi kanuni zinafanana na za Mungu, ila tukumbuke Mungu anahukumu binadamu kutokana na lengo, nia au intention ya binadamu katika kutenda jambo fulani na siyo kwa kuangalia tu tendo lenyewe. Hapo tofauti kubwa ndipo ilipo.
Ziangalieni hizo kanuni kwa umakini mtaona kitu fulani.
Hizo zipo gudi sana hivi hakuna uwezekano wa Mussa kukopi hizi maana zile zinatuhangaisha.Zisome hapa.. Kama unajua kiingereza lakini
Uchaguzi ni wako ufuate zile 10 za Mungu au hizi 11 za shetaniView attachment 1981024
No 9 inaharibu zote, wachawi wanatesa sana baadhi ya watoto wao
Mbona ziko vizuri tuu mkuu,kama hizo ndio za shetani basi hiyo shetani sio mbaya kwa kiasi tunachoambiwa..Zisome hapa.. Kama unajua kiingereza lakini
Uchaguzi ni wako ufuate zile 10 za Mungu au hizi 11 za shetaniView attachment 1981024
Hii ni nzuri Sana itapusha vibuti.Mimi Huwa nai apply kwa wanawake wa karibu..Ila kwa wanawake tusio karibu huwa nasoma saikolojia haraka Sana na sijawahi tongoza kwa kumlazimisha mwanamke never5. Usitongoze mpaka uone dalili za kupewa tundi[emoji2]
Mbona ziko vizuri tuu mkuu,kama hizo ndio za shetani basi hiyo shetani sio mbaya kwa kiasi tunachoambiwa..
Uanze kutoa ushauri hujaombwa Ili ugundue nini? We mute fanya yako.