Je, wajua kuwa Shetani naye ana amri zake? Ziko 11

Je, wajua kuwa Shetani naye ana amri zake? Ziko 11

11.ukikutana na wachawi sehemu yeyote yenye upenyo....piga maombi ya nguvu.....ili wakuache ....wakizingua VUTA BOB MARLEY
 
Shetani ndo muuaji mkubwa wa watoto! See my point, Kazi ya shetani ni kuua, kuchinja na kuharibu!

nitafutie sehemu inayosema shetani kaua, mi nakutafutia sehemu inayosema mungu ameua na kuangamiza vizazi(watoto vilema vipofu nk)
 
Ni tafsiri yako tu ndugu yangu.
viumbe wa kwanza waliomuasi mwenyezi Mungu ni huyo shetani, na maazimio yake ni kufanya wengi wawe waasi kwa Mungu kama yeye.

Yeye ndie wa kwanza kusababisha uasi kwa mtu dhidi ya Mungu, na kanuni za Mungu uasi malipio yake ni kufa, kufa kunaweza kuwa kwa kiroho ama kimwili.

Hakuna yeyote aliye juu ya uhai wa kiumbe chochote isipo kua Mungu.

Kwa namna hiyo ndio maana shetani hana historia ya kusababisha kuua isipo kua kwa idhinisho la kimungu.

Kwa hiyo shetani anabaki na sifa yake ya kua baba wa uongo.

Mungu alijua kua shetani ataasi au hataasi!?. tuanzie hapa.
 
Ni tafsiri yako tu ndugu yangu.
viumbe wa kwanza waliomuasi mwenyezi Mungu ni huyo shetani, na maazimio yake ni kufanya wengi wawe waasi kwa Mungu kama yeye.

Yeye ndie wa kwanza kusababisha uasi kwa mtu dhidi ya Mungu, na kanuni za Mungu uasi malipio yake ni kufa, kufa kunaweza kuwa kwa kiroho ama kimwili.

Hakuna yeyote aliye juu ya uhai wa kiumbe chochote isipo kua Mungu.

Kwa namna hiyo ndio maana shetani hana historia ya kusababisha kuua isipo kua kwa idhinisho la kimungu.

Kwa hiyo shetani anabaki na sifa yake ya kua baba wa uongo.

mimi nikikuua hapa itakua ni idhinisho la kimungu!? au bomu la Nagasaki na hiroshima liliidhinishwa na mungu!? as far as i can tell ni mwanadamu!


sasa kama mimi mwanadamu naweza kuua, je shetan anashindwaje!?.
 
mimi nikikuua hapa itakua ni idhinisho la kimungu!? au bomu la Nagasaki na hiroshima liliidhinishwa na mungu!? as far as i can tell ni mwanadamu!


sasa kama mimi mwanadamu naweza kuua, je shetan anashindwaje!?.
Unaweza ukauwa ikafanikiwa lakini kufanikiwa kwako kumeenda sawa na takwa la kimungu, hivyo hivyo na kwa huyo shetani.

Kama ilivyo kwa uhai, hakuna anaeweza kutoa uhai kadhalika na kuutwaa hakuna awezae isipokua kwa Mungu aliye juu ya yote na juu ya vyote na juu ya wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu alijua kua shetani ataasi au hataasi!?. tuanzie hapa.
Hilo siwezi kuelezea kwa sababu kama alijua hilo lilikua ndani ya fikra zake, kama vile mimi siwezi kujua unacho waza, au baada ya kuona au kufahamu kitu fulani ndani ya fikra zako kuna mtazamo gani ndivyo nasi hatuwezi kufahamu fikra za Mungu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia amri ni mbili .
10 za Mungu au 11 za shetani unachagua upande ukufaao
 
Back
Top Bottom