Je, wajua kuwa Shetani naye ana amri zake? Ziko 11

AMRI 11 ZA SHETANI KWA KISWAHILI

1. Usitoe maoni au ushauri labda ikiwa umeombwa kutoa.

2. Usiwaambie watu shida zako labda kama unauhakika wanataka kuzisikia.

3. Unapokuwa nyumbani kwa watu
kuwa na heshima, kama vipi usiende au bakia kwako utazame chereko chereko TBC 1

4.Ikiwa mgeni amekuja nyumbani kwako akaanza kukusababishia makasiriko,hakikisha unamfanyia
Umafia tena bila huruma. Mfano kumng'oa meno au kumpiga na kitu kizito kwenye bichwa.

5. 5. Usitongoze mpaka uone dalili za kupewa tunda kimasihara [emoji23]

6. Usichukue mzigo wa mtu hata kama umeuona kwenye kichochoro na mwenye nao hayupo, maana akikuona atakuitia mwizi utapigwa mpaka uumalize mwendo hapa duniani.

7. Ole wake anae udharau Uchawi ikiwa yeye mwenyewe anao na umemsaidia kupata anachotaka tofauti na hapo atapoteza vyote alivyonavyo.

8. Usilalamike juu ya kile ambacho unakiitaji na hauna,pambana utapata manaa maisha ni kama karata.

9. Usidhuru watoto wadogo.

10. Usiue wanyama ambao sio binadamu labda kama wamekushambulia na kukung'ata sehemu za ndoa au iwe kwa ajiri ya maakuli.

11. Ukiwa kwenye kadamnasi ya watu usiwe msumbufu,ikiwa mtu mwingine atakusumbua ww basi mwambie aache shobo, akiendelea mpe kilema cha kudumu cha wapiga kula.

N.B IMETAFSIRIWA NA TWAWEZA. KWA USHIRIKIANO WA Mshana jr
 

utazunguka na kupiga mbanga kama zote ila utarudi palepale tu!.
 
,[emoji23][emoji23][emoji23]
Iyo tanganyika jeki sasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji109] kumbe tusojua kingereza tunakosa uhondo
shetani kazungumzia had masuala ya kula tunda kimasihara[emoji23][emoji23]
 
Una wakana wazazi wako?
Wapi nimesema niwakana Mkuu!! onyesha! ..........au uko kwa kilaji?.... unamfahamu Baba wa taifa wewe? nina wasi inawezekana wewe ni Mzaire! diarasii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji109] kumbe tusojua kingereza tunakosa uhondo
shetani kazungumzia had masuala ya kula tunda kimasihara[emoji23][emoji23]
kutokujua kiingereza kunauma kaa kidonda! usirudie tena neno hili!!!! .............km mie muongo muulize Makonda!
 
Ulishawahi kujiuliza yeye alidanganywa na nani hadi kujihisi ana nguvu kuliko au zinazofanana na Mungu hadi kutaka kufanya mapinduzi huko mbinguni, vipi yeye sio muhanga nae kwa kudanganywa kwanza kabla ya sisi
 
Hahahaha[emoji23] hahahaha[emoji23] hahahahahahaaaa [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1534][emoji1533][emoji1533][emoji1533] Tit 4 Tat [emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shetani nitampakata one day nyie mashabik zake mtajua hamjui siku nikimpa mimba
 
Shetani amri zake kama vile hataki shobo flan hivi
Jana nlipanda bus na msomali mmoja anaanza kunisimulia maisha yake wakat sijamuuliza mi nikawa msikilizaj tu had safar ikaisha huku yeye hajui hata jina langu lakin mm nimejua had mali zake
 
Shetani amri zake kama vile hataki shobo flan hivi
Jana nlipanda bus na msomali mmoja anaanza kunisimulia maisha yake wakat sijamuuliza mi nikawa msikilizaj tu had safar ikaisha huku yeye hajui hata jina langu lakin mm nimejua had mali zake
[emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…