Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kunguni ni wadudu wadogo wa familia ya Cimicidae Wadudu hawa huishi kwa kufyonza damu ya wanyama wenye damu moto (mamalia na ndege). Spishi hii huishi mara nyingi katika vitanda vya watu na masofa majumbani kwetu.
Watu wengi kwakutokuelewa wanadhani na wanaamini kunguni uwapata watu wachafu kitu ambacho hakina ukweli wowote.
Nakumbuka mwaka 1997 nilikuwa Slough UK katika misele yangu kitaa nilikuta mzungu ametupa kitanda kipya nje bed and mattress nilishangaa sana najuwa Uingereza kutupa vitu ni kawaida lakini kile kilikuwa ni almost brand new, nilitaka kukichukuwa kile kitanda nikaambiwa kina kunguni nilicheka sana sikuelewa maana yake nikasepa, nimekuta mkasa wa kunguni Italy, pia South Africa ndio wakumwaga wanawaita nakumba kwa kizulu na kixosa, sijawahi kufika Marekani lakini nimeambiwa na rafiki zangu huko napo kunguni wanatesa kama kawa.
Watanzania wengi jambo la kusema nyumbani kwake amevamiwa na kunguni anaona ni jambo la fedhea na aibu basi uendelea kutaabika nao na kuishi bila furaha na wengine uhama vyumba.
Sasa baada ya kuona hili tatizo ni serious leo nitawapa dawa ya kuwatekeza kunguni kwa 100% katika kategory mbili, note nimefanya research ya hawa viumbe kwa zaidi ya miaka 10 hatupigi ramli hapa.
Category A hii ni kwa watakaomudu gharama maana bei zake zimechangamka kidogo kwwnye maduka ya dawa za mifugo.
1) Nuvan 500 EC 1litre = 55,000/=
2) Ultracya 1 litre = 25,000/=
1 litre = 1000 mililitres (mls)
Mchanganyiko:
200 mls Nuvan + 100 mls Ultracya Kwenye 15 litres of water.
Tumia mchanganyiko huu wa dawa na ukiisha changanya tena na uendelee kutumia mpaka utakapomaliza kutumia nyumba yote!
Chemical itakayobaki unaweza kutumia huo mchanganyiko kuflashi vyooni kuua wadudu! Ikibaki tunza mbali na watoto!!
Vaa gloves na ufunike pua ama kwa mask au kitambaa cha aina ya taulo taulo ili usivute hewa yake while handling it!
Spray kwenye godoro pande zote mpaka lilowe na uanike nje! Usilalie mpaka likauke kabisa
Spray asubuhi ili uanike mchana kutwa! Ukiweza anika juu ya bati!
Spray kwenye chaga zote zilowe na kitanda chote kilowe kisha anika nje
Spray kwenye kuta zote, milango na fremu, madirisha na fremu, na chini
Spray kwenye sofas au coaches pande zote zilowe na uanike nje! Usikalie mpaka yakauke kabisa!
Vikorokoro visivyotumika vyumbani vitolewe!
Nguo zinazotundikwa vyumbani zifuliwe na kupigwa pasi!
At least kwa kufanya haya utaweza kuwadhibiti!!
Category B hii kwa wenye uwezo mdogo lakini ni ya uhakika mia kwa mia, nunuwa mafuta ya taa liter moja au zaidi inategemea na mahitaji yako, sabuni ya unga Omo nasisita Omo na chumvi ya unga pakti moja, changanya huo mchanganyiko jaza kwe chomo cha kuweza kusplay au tobowa chupa ya maji kwenye kizibo ili ujaze dawa humo.
Ubarikiwe!
Kwa wale ambao hata kukata kucha zao wenyewe hawawezi mpaka wakatwe kucha na muuza urembo, basi unaweza kuwasiliana nami atakuja kijana mtaalam wa wadudu kuja kukutokomezea hawa wadudu wasumbufu kwenye machimbo yao yote.
Hii ni gurentee never fail, no more tears.
Watu wengi kwakutokuelewa wanadhani na wanaamini kunguni uwapata watu wachafu kitu ambacho hakina ukweli wowote.
Nakumbuka mwaka 1997 nilikuwa Slough UK katika misele yangu kitaa nilikuta mzungu ametupa kitanda kipya nje bed and mattress nilishangaa sana najuwa Uingereza kutupa vitu ni kawaida lakini kile kilikuwa ni almost brand new, nilitaka kukichukuwa kile kitanda nikaambiwa kina kunguni nilicheka sana sikuelewa maana yake nikasepa, nimekuta mkasa wa kunguni Italy, pia South Africa ndio wakumwaga wanawaita nakumba kwa kizulu na kixosa, sijawahi kufika Marekani lakini nimeambiwa na rafiki zangu huko napo kunguni wanatesa kama kawa.
Watanzania wengi jambo la kusema nyumbani kwake amevamiwa na kunguni anaona ni jambo la fedhea na aibu basi uendelea kutaabika nao na kuishi bila furaha na wengine uhama vyumba.
Sasa baada ya kuona hili tatizo ni serious leo nitawapa dawa ya kuwatekeza kunguni kwa 100% katika kategory mbili, note nimefanya research ya hawa viumbe kwa zaidi ya miaka 10 hatupigi ramli hapa.
Category A hii ni kwa watakaomudu gharama maana bei zake zimechangamka kidogo kwwnye maduka ya dawa za mifugo.
1) Nuvan 500 EC 1litre = 55,000/=
2) Ultracya 1 litre = 25,000/=
1 litre = 1000 mililitres (mls)
Mchanganyiko:
200 mls Nuvan + 100 mls Ultracya Kwenye 15 litres of water.
Tumia mchanganyiko huu wa dawa na ukiisha changanya tena na uendelee kutumia mpaka utakapomaliza kutumia nyumba yote!
Chemical itakayobaki unaweza kutumia huo mchanganyiko kuflashi vyooni kuua wadudu! Ikibaki tunza mbali na watoto!!
Vaa gloves na ufunike pua ama kwa mask au kitambaa cha aina ya taulo taulo ili usivute hewa yake while handling it!
Spray kwenye godoro pande zote mpaka lilowe na uanike nje! Usilalie mpaka likauke kabisa
Spray asubuhi ili uanike mchana kutwa! Ukiweza anika juu ya bati!
Spray kwenye chaga zote zilowe na kitanda chote kilowe kisha anika nje
Spray kwenye kuta zote, milango na fremu, madirisha na fremu, na chini
Spray kwenye sofas au coaches pande zote zilowe na uanike nje! Usikalie mpaka yakauke kabisa!
Vikorokoro visivyotumika vyumbani vitolewe!
Nguo zinazotundikwa vyumbani zifuliwe na kupigwa pasi!
At least kwa kufanya haya utaweza kuwadhibiti!!
Category B hii kwa wenye uwezo mdogo lakini ni ya uhakika mia kwa mia, nunuwa mafuta ya taa liter moja au zaidi inategemea na mahitaji yako, sabuni ya unga Omo nasisita Omo na chumvi ya unga pakti moja, changanya huo mchanganyiko jaza kwe chomo cha kuweza kusplay au tobowa chupa ya maji kwenye kizibo ili ujaze dawa humo.
Ubarikiwe!
Kwa wale ambao hata kukata kucha zao wenyewe hawawezi mpaka wakatwe kucha na muuza urembo, basi unaweza kuwasiliana nami atakuja kijana mtaalam wa wadudu kuja kukutokomezea hawa wadudu wasumbufu kwenye machimbo yao yote.
Hii ni gurentee never fail, no more tears.