Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?

Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?

Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa.

Mimi kama mwandishi wa habari, ni muelimishaji umma, ukiona jambo zuri la jamii fulani, waelimishe na wengine wafuate.

Hii ni mada ya swali Je Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, kuna uwezekano Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?.

Jambo la leo ni usafi binafsi wa mwili, baada ya kupunguza uzito, wenzetu Waislamu na nchi za Kiislamu, wanatumia maji kujiswafi, lakini Wakristo na nchi za Kikisto wanatumia karatasi laini, toilet paper, kujiswafi kwa kujifuta baada ya ile shughuli, hapa nauliza ni kujifuta au pia kujipaka?.

Hizi dini kuu zote mbili, Wakristo na Waislamu, ni watoto wa baba mmoja Nabii Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mzaliwa wa kwanza, Ismail, na Wakristo wa ni uzao mzaliwa wa pili, Isaka. Sheria ya Mungu wa dini zote mbili ni sheria moja ya Musa iliyoshushwa kwenye torati.

Kwenye sheria hiyo, Mungu alielekeza namna ya kujiswafi, kabla hujaenda mbele zake na kuelekeza kabisa, lazima unawe kwa maji tiririka!.

Ukristo ulipoingia, wakabadili baadhi ya mambo, ikiwemo kutumia karatasi laini kujiswafi baada ya ile shughuli. Katika pita pita yangu nchi nyingi za Kiislamu, kwenye public toilets zao, kuna maji tiririka, lakini kwenye nchi za Kikristo, kuna TP!.

Sisi Tanzania kwasababu nchi yetu haina dini, public toilets zetu zina both, maji tiririka na TP. Ukisafiri kutokea Dar kwenda Dubai, Doha, Muscat, UAE, kote huko kwenye public toilets zao, utakuta maji tiririka, na TP. Ukienda SA, London, Paris, New York, kwenye public toilets zao, kuna TP only hakuna bomba lolote la maji!.

Japo TP inasafisha, kwa vile ni kavu, inasafisha kwa kupaka, huwezi kulinganisha na maji tiririka ambayo yanasafisha kabisa compared to TP.

Kwa vile sheria ya usafi wa mwili imeelekezwa kidini, na ni Waislamu wanaitekeleza kama Mungu alivyoelekeza, hivyo kuna uwezekano kwenye usafi wa mwili, tukubali tukatae, Waislamu ni wasafi zaidi kuliko Wakristo, na kwa kulijua hilo na umuhimu wa usafi, wanawake wa kisasa wenye kujijali, wanatembea na wipes, na nyumba nyingi za kisasa wanatumia maji tiririka.

Kwa wenzetu Waislamu, wale hata wale wenzetu wao, wakiwa kwenye hali fulani ile, huwa hawafungi na hawaruhusiwi kwenda kuswali Masjid au Msikitini, lakini sikuwahi kusikia hili kwa Wakristu, hivyo wenzetu wale, hata wakiwa kwenye ile hali, wanatinga tuu ibadani mbele za Mungu!, hivyo inawezekana kwenye usafi binafsi, wanawake wa Kiislamu ni wasafi kuliko wanawake wa kikristo?.

Tena usikute usafi huu kwa Waislamu sio usafi tuu wa mwili, ni mpaka moyo na roho, ndio maana wanawake wa Kiislamu wanaweza kuvumilia na kustahimili uke wenza, na ingefanywa survey ya ni wanawake gani akiwa mama wa kambo, anatesa watoto wa aliyemtangulia, a wicked stepmother, mngeshangazwa na matokeo.

Kuna vitu vingi wazungu wametupotosha sisi Wakristo ikiwemo hoja ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu, ndio maana nilimpongeza yule Blaza wangu na kumshauri "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"

Nani aliwaambia wazungu na nchi za Kikristo TP tuu inatosha?.

Nimepandisha bandiko hili kufuatia mimi ni mpenda kula kula vyakula locals kila ninaposafiri, Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? sasa sometimes, tumbo linachafuka ukiwa safarini, inakubidi ujiswafi kwa maji tiririka, tumbo linapokutibuka, ukakuta hakuna maji ni TP pekee ni shughuli, hivyo nimekereka sana na hili!. Hawa wazungu vipi?.

WHO wanapaswa watoe muongozo na maelekezo, public washrooms zote lazima ziwe na maji tiririka na TP, ili wale wa kunawa, wawe huru wanawe na wale wa kujipaka, waendelee kujipaka!.

Paskali
Rejea za mleta mada kuhusu Waislamu na Wakristo
Itakuwa huko kwenu Wakristo ndio wachafu, ndio maana unafikiri kwa wote iko hivyo
 
Haya madai hayana mashiko kiakili na kisayansi. Usafi unategemea mambo mengi. Ni masuala ya mtu binafsi, jamii, mila, mazingira nk. Mfano, wakrisito waishio kwenye miambao au visiwani kama vile Ukerewe, wanatumia maji kwa kila kitu. Waarabu wanaoishi majangwani wanatumia udongo. Usafi hauna dini wala kabila au rangi. Ungesema lau wazungu, ningekuelewa.
 
Mtoa mada amesema nchi za kikristo wanaweka makaratasi tu hawaweki maji na hiyo ni kweli mimi mwenyewe nimeshudia, inatubidi tuingie na chupa zamaji, maji wameka nje kwa ajili ya kunawa mikono.
Hili ni la kitamaduni zaidi kwa Mfano jirani zetu tu hapo Kenya na Uganda ni watumiaji wazuri wao karatasi laini kuliko maji..
Labda tuwe very specific usafi wa sehemu za siri . Ambapo bado ina wakakini kwa mtazamo wa kidini
 
Miaka ya nyuma huko kati ya ,waka 1993 hadi 1996 huko kwetu mkoani Kagera kuna kijana wa kikristo aliuliza ikiwa waislamu wakienda chooni wanapata kiu ya maji ndio maana wanaenda na makopo ya maji!1 Yeye kwakuwa jamii yake ya kikristo haikuwa na utamaduni wa kwenda na maji chooni akadhani waislamu wanaenda chooni na maji ya kunywa kwakuwa swala la kujisafisha halikuwahi kupita kwenye fikra zake.
Hii story ina walakini, familia nyingi za Kitanzania TP ni luxury, hawana hizo pesa za kuchezea kununua TP
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa.

Mimi kama mwandishi wa habari, ni muelimishaji umma, ukiona jambo zuri la jamii fulani, waelimishe na wengine wafuate.

Hii ni mada ya swali Je Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, kuna uwezekano Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?.

Jambo la leo ni usafi binafsi wa mwili, baada ya kupunguza uzito, wenzetu Waislamu na nchi za Kiislamu, wanatumia maji kujiswafi, lakini Wakristo na nchi za Kikisto wanatumia karatasi laini, toilet paper, kujiswafi kwa kujifuta baada ya ile shughuli, hapa nauliza ni kujifuta au pia kujipaka?.

Hizi dini kuu zote mbili, Wakristo na Waislamu, ni watoto wa baba mmoja Nabii Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mzaliwa wa kwanza, Ismail, na Wakristo wa ni uzao mzaliwa wa pili, Isaka. Sheria ya Mungu wa dini zote mbili ni sheria moja ya Musa iliyoshushwa kwenye torati.

Kwenye sheria hiyo, Mungu alielekeza namna ya kujiswafi, kabla hujaenda mbele zake na kuelekeza kabisa, lazima unawe kwa maji tiririka!.

Ukristo ulipoingia, wakabadili baadhi ya mambo, ikiwemo kutumia karatasi laini kujiswafi baada ya ile shughuli. Katika pita pita yangu nchi nyingi za Kiislamu, kwenye public toilets zao, kuna maji tiririka, lakini kwenye nchi za Kikristo, kuna TP!.

Sisi Tanzania kwasababu nchi yetu haina dini, public toilets zetu zina both, maji tiririka na TP. Ukisafiri kutokea Dar kwenda Dubai, Doha, Muscat, UAE, kote huko kwenye public toilets zao, utakuta maji tiririka, na TP. Ukienda SA, London, Paris, New York, kwenye public toilets zao, kuna TP only hakuna bomba lolote la maji!.

Japo TP inasafisha, kwa vile ni kavu, inasafisha kwa kupaka, huwezi kulinganisha na maji tiririka ambayo yanasafisha kabisa compared to TP.

Kwa vile sheria ya usafi wa mwili imeelekezwa kidini, na ni Waislamu wanaitekeleza kama Mungu alivyoelekeza, hivyo kuna uwezekano kwenye usafi wa mwili, tukubali tukatae, Waislamu ni wasafi zaidi kuliko Wakristo, na kwa kulijua hilo na umuhimu wa usafi, wanawake wa kisasa wenye kujijali, wanatembea na wipes, na nyumba nyingi za kisasa wanatumia maji tiririka.

Kwa wenzetu Waislamu, wale hata wale wenzetu wao, wakiwa kwenye hali fulani ile, huwa hawafungi na hawaruhusiwi kwenda kuswali Masjid au Msikitini, lakini sikuwahi kusikia hili kwa Wakristu, hivyo wenzetu wale, hata wakiwa kwenye ile hali, wanatinga tuu ibadani mbele za Mungu!, hivyo inawezekana kwenye usafi binafsi, wanawake wa Kiislamu ni wasafi kuliko wanawake wa kikristo?.

Tena usikute usafi huu kwa Waislamu sio usafi tuu wa mwili, ni mpaka moyo na roho, ndio maana wanawake wa Kiislamu wanaweza kuvumilia na kustahimili uke wenza, na ingefanywa survey ya ni wanawake gani akiwa mama wa kambo, anatesa watoto wa aliyemtangulia, a wicked stepmother, mngeshangazwa na matokeo.

Kuna vitu vingi wazungu wametupotosha sisi Wakristo ikiwemo hoja ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu, ndio maana nilimpongeza yule Blaza wangu na kumshauri "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"

Nani aliwaambia wazungu na nchi za Kikristo TP tuu inatosha?.

Nimepandisha bandiko hili kufuatia mimi ni mpenda kula kula vyakula locals kila ninaposafiri, Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? sasa sometimes, tumbo linachafuka ukiwa safarini, inakubidi ujiswafi kwa maji tiririka, tumbo linapokutibuka, ukakuta hakuna maji ni TP pekee ni shughuli, hivyo nimekereka sana na hili!. Hawa wazungu vipi?.

WHO wanapaswa watoe muongozo na maelekezo, public washrooms zote lazima ziwe na maji tiririka na TP, ili wale wa kunawa, wawe huru wanawe na wale wa kujipaka, waendelee kujipaka!.

Paskali
Rejea za mleta mada kuhusu Waislamu na Wakristo
Wakristo gani hao wanaotawadha baada ya kujisaisia kwa kutumia toilet paper?
Huu utafiti umeufanyia wapi mkuu?
 
Vyoo vingi ulaya havina bomba za kujisafishia makalio, waumini wanafanyaje??
Aisee ni mtihani sana huwa naingia na maji ya chupa tena kama itanilazimu aidha haja ndogo au kubwa
Kwa kazini wameweka aina mbili moja ya maji na moja ya kuchamba kwa karatasi au washenyente shauri zao 😄
Ila airport zipo za maji pia
 
Leo umetoa mada yenye ukakasi sana Mkuu Pascal Mayalla

Nilijifunza tamaduni za kujisafisha nikiwa Kijana wa miaka 12 hivi, kutokana na mafunzo ya Jandoni niliyopata kutoka Kwa Mzee mmoja wa Kiislamu.

Tangu wakati huo, japo sio Muislamu lakini hata nikiwa njiani nikishikwa na haja ndogo lazima nioshe mb***o Kwa Maji. Kama hakuna Maji, nitafuta Kwa Jiwe ili kumaliza matone yote ya Mkojo yasiangukie kwenye nguo.

Ninapokwenda haja kubwa, lazima nitumie Maji kujisafisha pamoja na Sabuni.

Sipendi kutumia toilet paper kujisafisha, na pia sipendi mpenzi wangu atumie toilet paper kujisafisha nyuma.

Maana ile harufu ukimwega doggy haivumiliki.
 
Wazungu wanaona kinyaa kushika mavi yao wenywe kwa mikono mitupu😁
Umeongea ukweli ,sasa wazungu na UTAMADUNI wao sio UKRISTO
Ukristo na uislam ume anzia middle east na tamaduni zake zinafanana.
Ila wazungu wana tamaduni zao mbaya na nzuri ambazo sio mafundisho ya kikristo.
Mtoa mada alipaswa kusema utamaduni wa western au wa wazungu katika kutumia TP sio mzuri ila si kusema UKRISTO sio sio mzuri.
Ametumia maneno culture na christianity interchangably isivyo sahihi.
 
PASKALI I never thought ungekuja na mada ya namma hii.. Well pengine ni aina yako ya uandishi lakini kwa mtazamo wangu utafiti wako una walakini mkubwa
Asante sana Mkuu Mshana Jr , kwanza asante kuchangia uzi wangu huu, mtu wa calibre yako, maana ma GT wa ukweli humu jf, wanahesabika, and you are one of them, thanks.

Swali ni umuhimu wa maji kwenye kujiswafi, unafahamika, nini kinafanya aiport za London, Paris, New York na nchi za Kikristo zisiwe na maji na TP?, mbona za nchi za Kiislamu zina maji na TP?.
Mimi ni mtembezi sana na nakutana na watu wao kaliba zote.. Wa hali za juu
Was hali za kati
Wa hali za kishua
Wa hali za kawaida
Wa hali za chini
Wa kabila mbali mbali
Wa imani tofauti
Wa mataifa tofauti na mbali mbali
Ishu ya usafi ni swala la binafsi sana lisilohusiana kabisa na dini
Suppose umesafiri to maeneo hayo ambayo hayana maji, how would you feel?

Matumizi ya maji kujiswafi na kujitakasa ni maelekezo ya Mungu, hawa wazungu, hizi TP wamezitolea wapi?!
P
Matumizi ya maji kwenye dini kwa ajili ya kujitakasa na kujiswafi ni tofauti kabisa na ulichoandika hapa
Nimeshakutana na watu wengi sana ni wasafi sana wa mwili kiasi kwamba hata akikojoa anajitawadha.. Lakini haohao
Wamefuga minywele ya aina zote
Wana magaga
Hawaogi mwili mzima
Sehemu wanazoishi ni majanga kwa uchafu
Sehemu wanazolala acha tu
Vyoo vyao nknk
Duh...!.
P
 
Huko kwenyewe kwa mkundu kuchafu wee hayo maji ndio unadhani yataharibu mkundu wako. Acha ufala wewe nawa hayo maji maisha yaendelee. Ingekuwa rahisi kufa tungeshakufa wengi.
I repeat. Wash with water ur arse is worth it!
Sijawahi kuona mawazo ya kipumbavu kama haya. Halafu huenda wewe kweli ni mzanzibar kwa sababu nyie watu nawajua kwa uchafu kwenye haya mambo ya kutawaza. Mnaweka dumu la maji chooni na kopo moja kila mtu anakoroga kinyesi chake ndani kwa sababu eti sehemu ya haja kubwa ni chafu? Kweli bora ukose mali kuliko akili.
 
Swali ni umuhimu wa maji kwenye kujiswafi, unafahamika, nini kinafanya aiport za London, Paris, New York na nchi za Kikristo zisiwe na maji na TP?, mbona za nchi za Kiislamu zina maji na TP?.

JIBU
UTAMADUNI WAO wa hizi nchi ZA WAZUNGU/WESTERN
ni kutumia TP ila ku wipe shit, na maji kunawa mikono.



DINI YA KIKRISTO HAPA IMEINGIAJE??mana utamaduni wao binafsi sio mafundisho ya christianity na has nothing to do with christianity.
 
Ndiyo shida inapokuja pale unapoamua kuugeuza utaratibu wako binafsi na famili kuwa ni wa dini kisa tu wewe ni wa dini hiyo.
Hebu tueleze ni dhehebu lipi huwa linafundisha kuwa muwe mnatumia Toilet Paper?
Matumizi ya Toilet Paper yalianza lini na wewe ulianza kutumia lini na makanisani walianza kufundisha lini?
Msikitini tunafundishwa kutumia maji.
 
Back
Top Bottom