Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?

Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?

Na lengo la mtoa mada ni la KISIASA sio kwamba hana AKILI timamu ya kujua tofauti kati ya dini na culture.
Kwanza naheshimu mawazo yako Mkuu a sinner saved by Christ , nitakushukuru sana kama utanitajia lengo langu, maana mimi ni miongoni mwa watu humu wanaohamasisha reading in between the lines kwa analytical mind kubaini the motives behind and underlying facts.
P
 
Naunga mkono hoja 100%, Mimi niingia chooni hakuna maji hata hizi airport za wenzetu na nunua maji safi ila hapa bongo nadhani sote tunatumia maji majumbani kwetu waislamu na wakristo. Umenipa ushawishi kutaka kujuwa nyumba za wakristo Tz haweki maji chooni? Mimi sina uhakika sana na hili naomba kusaidiwa. Wa Kenya wa bara kweli hawa maji hawajui lakini pwani wanatumia maji. Naomba kujuzwa tu hapa Tz nyumba za waislamu zina maji na wakristo hakuna? sitaki kuamini maana wa Tz huu ni ustaarabu wetu wa maji bila kujali dini.
Maji yapo coz yanatumika kufrashi,. Ila sio lazima kujisafishia kwani baadhi wanatoilet papers. Ila ni muhimu kutumia maji
 
Asante sana Mkuu Mshana Jr , kwanza asante kuchangia uzi wangu huu, mtu wa calibre yako, maana ma GT wa ukweli humu jf, wanahesabika, and you are one of them, thanks.

Swali ni umuhimu wa maji kwenye kujiswafi, unafahamika, nini kinafanya aiport za London, Paris, New York na nchi za Kikristo zisiwe na maji na TP?, mbona za nchi za Kiislamu zina maji na TP?.

Suppose umesafiri to maeneo hayo ambayo hayana maji, how would you feel?

Matumizi ya maji kujiswafi na kujitakasa ni maelekezo ya Mungu, hawa wazungu, hizi TP wamezitolea wapi?!
P
Brother sifa ulizonipa ni kubwa kuliko Mimi.. Anyway asante sana . hapa ishu si matumizi ya maji na TP kwenye vyoo baada ya kujisaidia (haja zote) je usahihi wa matumizi ukoje?
 
Leo umetoa mada yenye ukakasi sana Mkuu Pascal Mayalla

Nilijifunza tamaduni za kujisafisha nikiwa Kijana wa miaka 12 hivi, kutokana na mafunzo ya Jandoni niliyopata kutoka Kwa Mzee mmoja wa Kiislamu.

Tangu wakati huo, japo sio Muislamu lakini hata nikiwa njiani nikishikwa na haja ndogo lazima nioshe mb***o Kwa Maji. Kama hakuna Maji, nitafuta Kwa Jiwe ili kumaliza matone yote ya Mkojo yasiangukie kwenye nguo.

Ninapokwenda haja kubwa, lazima nitumie Maji kujisafisha pamoja na Sabuni.

Sipendi kutumia toilet paper kujisafisha, na pia sipendi mpenzi wangu atumie toilet paper kujisafisha nyuma.

Maana ile harufu ukimwega doggy haivumiliki.
Mzee mwenzangu umenichekesha sana, mimi kama mzee wa hovyo nakupa 🫡
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa.

Mimi kama mwandishi wa habari, ni muelimishaji umma, ukiona jambo zuri la jamii fulani, waelimishe na wengine wafuate.

Hii ni mada ya swali Je Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, kuna uwezekano Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?.

Jambo la leo ni usafi binafsi wa mwili, baada ya kupunguza uzito, wenzetu Waislamu na nchi za Kiislamu, wanatumia maji kujiswafi, lakini Wakristo na nchi za Kikisto wanatumia karatasi laini, toilet paper, kujiswafi kwa kujifuta baada ya ile shughuli, hapa nauliza ni kujifuta au pia kujipaka?.

Hizi dini kuu zote mbili, Wakristo na Waislamu, ni watoto wa baba mmoja Nabii Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mzaliwa wa kwanza, Ismail, na Wakristo wa ni uzao mzaliwa wa pili, Isaka. Sheria ya Mungu wa dini zote mbili ni sheria moja ya Musa iliyoshushwa kwenye torati.

Kwenye sheria hiyo, Mungu alielekeza namna ya kujiswafi, kabla hujaenda mbele zake na kuelekeza kabisa, lazima unawe kwa maji tiririka!.

Ukristo ulipoingia, wakabadili baadhi ya mambo, ikiwemo kutumia karatasi laini kujiswafi baada ya ile shughuli. Katika pita pita yangu nchi nyingi za Kiislamu, kwenye public toilets zao, kuna maji tiririka, lakini kwenye nchi za Kikristo, kuna TP!.

Sisi Tanzania kwasababu nchi yetu haina dini, public toilets zetu zina both, maji tiririka na TP. Ukisafiri kutokea Dar kwenda Dubai, Doha, Muscat, UAE, kote huko kwenye public toilets zao, utakuta maji tiririka, na TP. Ukienda SA, London, Paris, New York, kwenye public toilets zao, kuna TP only hakuna bomba lolote la maji!.

Japo TP inasafisha, kwa vile ni kavu, inasafisha kwa kupaka, huwezi kulinganisha na maji tiririka ambayo yanasafisha kabisa compared to TP.

Kwa vile sheria ya usafi wa mwili imeelekezwa kidini, na ni Waislamu wanaitekeleza kama Mungu alivyoelekeza, hivyo kuna uwezekano kwenye usafi wa mwili, tukubali tukatae, Waislamu ni wasafi zaidi kuliko Wakristo, na kwa kulijua hilo na umuhimu wa usafi, wanawake wa kisasa wenye kujijali, wanatembea na wipes, na nyumba nyingi za kisasa wanatumia maji tiririka.

Kwa wenzetu Waislamu, wale hata wale wenzetu wao, wakiwa kwenye hali fulani ile, huwa hawafungi na hawaruhusiwi kwenda kuswali Masjid au Msikitini, lakini sikuwahi kusikia hili kwa Wakristu, hivyo wenzetu wale, hata wakiwa kwenye ile hali, wanatinga tuu ibadani mbele za Mungu!, hivyo inawezekana kwenye usafi binafsi, wanawake wa Kiislamu ni wasafi kuliko wanawake wa kikristo?.

Tena usikute usafi huu kwa Waislamu sio usafi tuu wa mwili, ni mpaka moyo na roho, ndio maana wanawake wa Kiislamu wanaweza kuvumilia na kustahimili uke wenza, na ingefanywa survey ya ni wanawake gani akiwa mama wa kambo, anatesa watoto wa aliyemtangulia, a wicked stepmother, mngeshangazwa na matokeo.

Kuna vitu vingi wazungu wametupotosha sisi Wakristo ikiwemo hoja ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu, ndio maana nilimpongeza yule Blaza wangu na kumshauri "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"

Nani aliwaambia wazungu na nchi za Kikristo TP tuu inatosha?.

Nimepandisha bandiko hili kufuatia mimi ni mpenda kula kula vyakula locals kila ninaposafiri, Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? sasa sometimes, tumbo linachafuka ukiwa safarini, inakubidi ujiswafi kwa maji tiririka, tumbo linapokutibuka, ukakuta hakuna maji ni TP pekee ni shughuli, hivyo nimekereka sana na hili!. Hawa wazungu vipi?.

WHO wanapaswa watoe muongozo na maelekezo, public washrooms zote lazima ziwe na maji tiririka na TP, ili wale wa kunawa, wawe huru wanawe na wale wa kujipaka, waendelee kujipaka!.

Paskali
Rejea za mleta mada kuhusu Waislamu na Wakristo

Hivi kwanini unaandika mada za kipumbavu kama hii?

Mimi ni mkristo,niko ulaya natumia maji hayo makaratasi ni kujikaishia Yale maji,wakati mwingine naenda 4km kufata maji Tu,halafu naingia JF nakuta umepost ujinga kama huu.

nani amekuambia wote wakristo tunatumia makaratasi?

Mkuu unajua tokea nakua hadi utu uzima huu nilikuwa nasoma mada zako kwa umakini sana ila kwa sasa unaandika upumbavu mwingi!

NANI ALIKUAMBIA KUJISAFISHA KWA MAJI NDIO USAFI?

Uupumbavu mtupu!
 
Swali ni umuhimu wa maji kwenye kujiswafi, unafahamika, nini kinafanya aiport za London, Paris, New York na nchi za Kikristo zisiwe na maji na TP?, mbona za nchi za Kiislamu zina maji na TP?.

JIBU
UTAMADUNI WAO wa hizi nchi ZA WAZUNGU/WESTERN
ni kutumia TP ila ku wipe shit, na maji kunawa mikono.



DINI YA KIKRISTO HAPA IMEINGIAJE??mana utamaduni wao binafsi sio mafundisho ya christianity na has nothing to do with christianity.
Jamaa anaandika upuuzi sana.
Dini na kujitawaza matakoni vinaendanaje?

Sijui kwanini tu anaandika ujinga ujinga.
 
Sijawahi kuona mawazo ya kipumbavu kama haya. Halafu huenda wewe kweli ni mzanzibar kwa sababu nyie watu nawajua kwa uchafu kwenye haya mambo ya kutawaza. Mnaweka dumu la maji chooni na kopo moja kila mtu anakoroga kinyesi chake ndani kwa sababu eti sehemu ya haja kubwa ni chafu? Kweli bora ukose mali kuliko akili.
Sasa wee bwana watu tunafyonza vinyeo vya warembo na bado hospitali hatuendi ndio unataka kututisha na kopo la maji la public 🤣🤣🤣🤣 wat none sense is this?!!
 
Jamii isiyokuwa na utamaduni wake au taratibu zake za maisha itaendelea kutawaliwa na kuwa ya hovyo siku zote. Waarabu utamaduni wao ni kutawaza kwa maji na kula kwa mikono bila vijiko. Kwa waarabu ni najisi au hairuhusiwi kutumia mkono wa kushoto kwa kula au kufanya baadhi ya vitu kwa sababu kwao ni dhambi.

Wazungu wao utaratibu au utamaduni wao ni kutawaza kwa toilet paper na kula kwa vijiko. Wao kila mkono ni sawa ndo maana wanaweza kutumia mkono wa kushoto wakati wa kula.

Nchi kama Uingereza ilikuwa ni kosa la jinai kuweka bomba la kutawazia kwenye kwenye choo kwa sababu wao kwa sehemu kubwa wanatumia vyoo vya kukaa na siyo vya kuchuchumaa.

Nashangaa mwandishi nguli umeshindwa kuelewa kwamba ili suala limekaa kiutamaduni zaidi na siyo kiusafi kama unavyosifia.

Kama kutawaza kwa maji ndo ungekuwa usafi basi jamii zinazotumia maji kutawaza zisingekuwa zinakumbwa na magonjwa ya kuambukiza kama kipindupindu ambacho mara kadhaa kimekuwa kikiathiri jamii nyingi za kitanzania.

Tunapaswa kujua kwamba jamii au nchi nyingi ukiacha za kiafrika wanatamaduni zao na taratibu zao tangu enzi hawajawahi kuwa watumwa wa tamaduni za wengine kama sisi watanzania.
 
ni critical thinking and argumentative ila kwa vile itaonekana umeipa credit usilam sisi tutaona umependelea. ispokuwa apart kwa wenzetu kusisitizwa matumiz ya maji na dini kabisa kwa maelekezo kabisa ila huu mchezo wa wazungu wa toilet paper ni mbaya sana. hausafish vizur na ukitaka kujua ni ishu we jaribu kujipiga doko mida mida halafu unuse. yote tisa kumi jewish ndio nimewavuliq kofia wao mwanamke akiwa kwenye hedh haruhusiw kulala ndan ya nyumba na ibada hafany ingawa kweny islam wameruhusu mwanamke kuacha matendo yote ya ibada akiwa kweny siku zake kama kusali na kufunga.atavifanya akiwa vizur badae hii ni kutokana na kuangalia maudh yanayoambatana na period like headache tumbo kuumq kiuno sometimes hasira .so maji ni kitakaso kikubwa sana ndio mana watu wanabatizwa kwa maji
 
Brother sifa ulizonipa ni kubwa kuliko Mimi.. Anyway asante sana .
Ni kawaida hata nabii huwa hajisifu ila wewe ni miongoni ma GT wachache wa ukweli humu jf.
hapa ishu si matumizi ya maji na TP kwenye vyoo baada ya kujisaidia (haha zote) je usahihi wa matumizi ukoje?
Issue sio matumizi ya maji na TP, the issue ni dini zote ni watoto wa baba mmoja na na wanatumia sheria moja ya Musa ambayo imeelekeza matumizi ya maji, nchi za Kiislamu zote wanatumia maji, nchi za Kikristo wanatumia TP only kwenye public toilets, why wakati inajulikana wazi usafi ni kwa maji tiririka, hizo tp zimetokea wapi?. Nchi za Kiislamu zina maji na tp, nchi za Kikristo zinashindwa nini kuweka maji na TP ili kuwa consderate kwa Waislamu na watu wenye preference ya kutumia maji?.
P
 
Mleta mada atanangwa ila kasema ukweli, jamii zilizotawaliwa na ukristo kwenye swala la kujiswafi kuna walakini. Tz kuna afadhali sababu ukristo na uislam upo karibia 50/50 na tumeamua kuchanganya tamaduni za kiislam na kikristo.

Ukitaka ulitambue hili nenda kwa nchi kama Zambia, Malawi, Eswatini, Ghana, Zimbabwe etc ambao kwa %kubwa walitawaliwa na wazungu, utalibaini hili kwa kiwango kikubwa sana. Wale jamaa wanatembea na uchafu makalioni...truth be told.
Hawatokuamini maana hawatembei sometime kule Zambia umekaa na mtu anatoa harufu
 
Ni kawaida hata nabii huwa hajisifu ila wewe ni miongoni ma GT wachache wa ukweli humu jf.

Issue sio matumizi ya maji na TP, the issue ni dini zote ni watoto wa baba mmoja na na wanatumia sheria moja ya Musa ambayo imeelekeza matumizi ya maji, nchi za Kiislamu zote wanatumia maji, nchi za Kikristo wanatumia TP only kwenye public toilets, why wakati inajulikana wazi usafi ni kwa maji tiririka, hizo tp zimetokea wapi?. Nchi za Kiislamu zina maji na tp, nchi za Kikristo zinashindwa nini kuweka maji na TP ili kuwa consderate kwa Waislamu na watu wenye preference ya kutumia maji?.
P
1)issue ya TP kwa wazungu ni UTAMADUNI wao ambao kwao wameona ni bora wauendeleze.
Statistically magonjwa yatokanayo na faeces faecal oral communicable diseases uchafu yapo zaidi kwa nchi nyingine ikiwemo africa,asia kiliko huko kwa western wazungu.Pamoja na kutumia TP.Wao wazungu hawajao tatizo kwa utamaduni wao,ila sio sheria.

2)Lakini sio mafundisho ya dini.Kama.ambavyo utamaduni wa wa afrika zamani walikuwa wanajisaidia vichakani wanaenda na jembe na majani ya miti.Kabla ya kuanza kutumia vyoo.
HOJA yako ilitakiwa iwe kwa vile airports za kimataifa zinahudumia watu kutoka mataifa mbalimbali wenye tamaduni mbali mbali.Ni vyema airports hizo zinge kuwa considerate kuweka both maji na tp kwa ku accomodate watu wote wa tamaduni zote tolerence.

3)DINI ???
TAHARUKI YOTE HII IMELETWA NA WEWE KUINGIZA DINI na kutaka kutuaminisha kuwa dini ya kikristo ina utamaduni au mafundisho au yanayohamasisha kutumia TP na kwa mantiki hiyo wakristo ni wachafu.Jambo ambalo sio kweli.DINI haikutakiwa kuhusishwa na tamaduni binafsi za jamii fulani.
 
Back
Top Bottom