Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?

Mtazamo wangu hili swali la maji vs TP ni swala la kiutamaduni/Jamii/mazingira zaidi kuliko kiimani. Waarabu waliishi Jangwani sehemu zisizo na miti na ikiwepo miti ni isiyo na majani bapa, imagine unachambia Jani la mtende. Hivyo Hawa wali adapt mchanga tiririka na ilipotokea kuna maji ikawa rahisi kushift. Ndio maana nishasikia Hata dini kwa waarabu inaruhusu kutumia mchanga kujiswafi maji yasipopatikana.

Kwa Wala kitimoto aka Wazungu, Hawa waliishi sehemu zenye uoto wa asili mwingi na baridi Kari hivyo baadhi ya nyakati maji tiririka yaliweza kuganda, au kuwa below zero centigrade imagine unayapitisha huko kunako itakuwa disaster, hivyo Hawa ndugu naona walipenda kutumia majani na vitu kama magunzi, magome au mawe. Hivyo Dunia ilipoendelea na kuvumbua paper na watu kutafuta utajiri Kwa njia zozote zile Waka adapt TP, na kuja na hoja za maji ni bidhaa adhimu na ghali kui purify Kwa nini tuchambie tu (kumbuka huko ulaya unaweza kunywa maji ya Bomba Jikoni bila wasiwasi wa typhoid) pia hoja choo kinabaki kikavu muda wote, mfano kwa waswahili unakuta kwenye seater ametumia maji, japo TP Iko pembeni anaondoka bila kusafisha au Kukausha maji yaliyo dondoka kichaka Cha fungus na maradhi ya ngozi.

Afrika sisi tulikuwa na option nyingi tu, sema ni wazee wa mapokeo tu, hatushindwi kuiga. Ukiweka Jani la boga, mpapai, mgomba, guzi, mchanga, tp maji vyote twende.
 
Mimi siamini kama nchi hii kuna sehemu pana maji ya kutosha lakini watu hawanawi maji,huu mfano wako ni illogical kwa sababu huwezi ukaniaminisha hapa kwamba ilikuwaje mpaka hao unaoita workmates zako wajue ulinawia maji ulipoenda haja.

Maswali ni mengi uliwaaga unaenda choo?ok sawa uliwaaga lakini pia uliporudi ukawaambia ulinawia maji?what for,yaani kabisa ”amenawia maji ana kinyesi mkononi huyo” yaani kabisa haya ndiyo yalikuwa maneno ya wafanyakazi wenzako?andika vitu vyenye kuleta maana bro.
 
Use water coz ur arse is worth it!
Tafadhali sana. Siyo matumizi ya maji kama wanavyofanya huko uswazi. Unakuta choo kina ndoo kubwa imejazwa maji na kopo kwa pembeni, eti maji ya kutawazia. Kla mtu anashika hilo hilo kopo na kuliloweka kwenye maji, na mbaya zaidi hawaweki sabuni. Bora nitumie toilet paper kuliko nitumia maji ya aina hiyo.
 
Jamaa kafunga kamba pengine.
 
Ndiyo shida inapokuja pale unapoamua kuugeuza utaratibu wako binafsi na famili kuwa ni wa dini kisa tu wewe ni wa dini hiyo.
Hebu tueleze ni dhehebu lipi huwa linafundisha kuwa muwe mnatumia Toilet Paper?
Matumizi ya Toilet Paper yalianza lini na wewe ulianza kutumia lini na makanisani walianza kufundisha lini?
 
Sidhani kama ni wewe Paschal Mayala, the great thinker. Au kuna mtu ka hack account yako? Tunategemea utuletee nini kifanyike Dar tupate maji ya kutosha. Kinyume chake 'Great thinker' unakuja na hoja ya takutumia maji mengi kusafishia vinyeo. Grow up Paschal, you can do better than this.
 
Kuna mtu unaweza ambiwa ni mpuuzi ukawa unabisha sana.mpaka siku uje ujionee.

Kuna watu ni wachafu kama watu wa visiwani??unajua ni asilimia ngapi ni waislam😁😁😁
 
Kwa hiyo ulijisaidia na kujitawaza mbele ya masela?? Wewe lazima utakuwa una kasoro siyo bure. Yaani unatunga uongo kwa gharama ya kujidharirisha na wala hata haujali.
 
Kuna fundisho lolote la kwenye injili linalotaka wanaomwamini Yesu wawe wana jitawaza kwa makaratasi? Hio ya ya wakristo wote umeipata wapi, au ni katekisimu ndio imeagiza?
Usafi mpaka uelekezwe na maandiko? Mbona hizi dini zinawachanganya sana? Kutumia karatasi au maji ni uamuzi wa mtu/familia au jamii. Toilet paper zimetengenezwa kwa ajili hiyo. Maji nayo yakitumiwa kwa njia ya usafi yanafaa na siyo wanavyoweka ndoo ya maji chooni ikiwa na kopo na kila mtu anatumia. Huko ni kujipaka uchafu.
 
Unakwenda chooni unashika mavi kwa mikono japo (utanawa maji) chembechembe za mavi haziishi mkononi hususan kwenye kucha .. mlipuko wa kipindupindu ukitokea haukuachi ni futi 10 chini ya aridhi.. ukisalimika kamrushie mawe shetani kule Maaka.
 
Kipindi hiki jiandaeni, watu wanakuja na kila aina ya vituko wakilenga kumfurahisha mkuu wa nchi. Kuna mwingine sasa hivi anajiita Abubakar, na ameagiza akifa azikwe kwa taratibu za kidini ya akina Abubakar.

Huyu mwingine naye kaona kama vile anafunikwa, na yeye kaamua kuja na story ya mavi na vinyeo ili tu kumfurahisha mkuu
 
Hapa ndo unamkumbuka muendazake na Ile kauli ya kwamba "mayalla kwa kikwetu ni njaa", kwamba watu walikuwa hawakati gogo kabla ya Kuja ukristo na uislamu ili wafundishwe jinsi ya kujisafisha.
Ah,kumbe huyu ni Msukuma?

Hawa kama kuvijua vyoo wamevijua kipindi Kikwete anaongoza nchi mimi earlier 2003 nilifika huko kwenye uwani wa nyumba zao hawajengi choo walikuwa wanajisaidia machakani.
 
Mbona una panic, Mimi siamini suala hili la maji au hapana lina udini. Mtoa mada katumia neno wakristo na waislamu japo yeye ni mkristo. Mimi siamini kwenye hili sasa labda mwenzetu ana ushuhuda na anachosema. Ndio maana nimeuliza kwa nia safi tu kwani vyoo makanisani havina maji? maana kama udini nategemea jibu hakuna maji basi kama vina maji mtoa mada inabidi arekibishe tu kutotumia maji halishikamani na dini. Mwenzangu ume panic kama umetukanwa.
 
Hata waliojenga airport Ethiopia na Nairobi ni ma Engineer pia lakini hakuna maji chooni, unasemaje hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…