Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?

Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?

Hajui huyu. Anataka kutafuta kusifiwa ujinga na upande wa pili. Halafu kutawaza haiwezi kuwa suala la kuwekewa utaratibu. Biblia haijazungumzia kwenye agano jipya kuwa wakristo watumie karatasi. Jamaa amekurupuka. Anatafuta kick.
Amezungumzia ustarabu wa nchi za kiislaam na nchi za kikristo na ushaidi kaweka ila bado ligi ni mbichi.
 
Naunga mkono hoja 100%, Mimi niingia chooni hakuna maji hata hizi airport za wenzetu na nunua maji safi ila hapa bongo nadhani sote tunatumia maji majumbani kwetu waislamu na wakristo. Umenipa ushawishi kutaka kujuwa nyumba za wakristo Tz haweki maji chooni? Mimi sina uhakika sana na hili naomba kusaidiwa. Wa Kenya wa bara kweli hawa maji hawajui lakini pwani wanatumia maji. Naomba kujuzwa tu hapa Tz nyumba za waislamu zina maji na wakristo hakuna? sitaki kuamini maana wa Tz huu ni ustaarabu wetu wa maji bila kujali dini.
Aliyoyasema mleta mada ni sahihi.
Mwaka 2015 nilisafiri kuelekea Misri kupitia Addis Ababa Ethiopia kwa Ndege ya Ethiopia airline.
Tulivyofika Addis Ababa tulipumzika masaa mawili kwa ajili ya process ya kubadili Ndege basi nikaingia katika vyoo vya uwanja wa ndege kwa ajili ya kukidhi haja na kutawadha .
Nilichokikuta pale Addis Ababa ndicho hiki hiki alichokieleza mleta mada kwamba vyooni wameweka toilet paper halafu nje ya mlango wa choo ndio Kuna sinki la kunawia mikono na mtambo mdogo wa kukaushia mikono kwa sababu kipindi kile Cha mwisho wa mwaka ilikuwa msimu wa baridi.
Kutokana na hali hiyo ni kweli kwamba wasiokuwa waislamu hawana utamaduni wa kujisafisha kwa maji baada ya kujisaidia badala yake wanaelekeza watu wajifute na makaratasi Kisha wanawe mikono baada ya kutoka chooni.
 
Huyu jamaa ni attention seeker haiwezekani karne hii mtu timamu kusifia eti jamii fulani inajisafisha kwa maji jamii fulani haijisafishi ila inajipaka mavi.

Mimi nimefunzwa na mama yangu nikiwa mdogo leo nyumbani wanangu wakiwa aged four wanaanza kufundishwa namna ya kujisafisha wenyewe lakini mtu mzima anashangaa leo kama jamii fulani nayo inatumia maji!
Wewe ni muongo!!. Utamaduni wa kujisafisha kwa kutumia maji baada ya kujisaidia umeletwa na waislamu.
Toka tukiwa wadogo tulichofundishwa shuleni kwenye somo la SAYANSIKIMU ni KUNAWA MIKONO BAADA YA KUTOKA CHOONI na siyo kujisafisha baada ya kujisaidia.
Sisi tuliokwenda madrassa ndio tukifundishwa kustanji kwa kutumia maji baada ya kujisaidia haja kubwa na haja ndogo pia.
 
Nje ya mada ila kwa umuhimu:

Muda ni kitu chenye thamani zaidi duniani. Kila muda unapopita akili yako kama mwanadamu inaelekea uzeeni. Akili iliyozeeka haitabiriki. Laiti tungeweza kusimamisha muda wakati ambapo akili si ya kitoto na pia si ya kizee tungetumia nyakati hizo kufanya mengi ya maana, tatizo hatuwezi kusimamisha muda. Ule muda ambao akili yako haijazeeka na si ya kitoto utumie vizuri sana sababu ukipita umepita na uelekeo ni kuwa na AKILI YA KIZEE ISIYOTABIRIKA.
 
Kaka mkubwa kachemsha...

Wakristo wanatumia maji kutawadha...

Wanaotumia TP ni tabia tu za baadhi ya watu ambao kwenye makuzi yao wamelelewa hivyo kutokushika "kinyesi" wakati wa kuchamba
Nakubaliana na wewe ndio maana nikauliza maana nimepata wageni wengi tu kwangu wa dini nyingine na maji ndio yanatumika mimi nadhani asingesema dini ila ingekuwa tu njia ipi bora kwa sisi wa Tanzania ni maji maana hata huko vijijini mtu anaenda chooni na kopo lake la maji tunaona. Mjadala sio dini hapa.
 
Aliyoyasema mleta mada ni sahihi.
Mwaka 2015 nilisafiri kuelekea Misri kupitia Addis Ababa Ethiopia kwa Ndege ya Ethiopia airline.
Tulivyofika Addis Ababa tulipumzika masaa mawili kwa ajili ya process ya kubadili Ndege basi nikaingia katika vyoo vya uwanja wa ndege kwa ajili ya kukidhi haja na kutawadha .
Nilichokikuta pale Addis Ababa ndicho hiki hiki alichokieleza mleta mada kwamba vyooni wameweka toilet paper halafu nje ya mlango wa choo ndio Kuna sinki la kunawia mikono na mtambo mdogo wa kukaushia mikono kwa sababu kipindi kile Cha mwisho wa mwaka ilikuwa msimu wa baridi.
Kutokana na hali hiyo ni kweli kwamba wasiokuwa waislamu hawana utamaduni wa kujisafisha kwa maji baada ya kujisaidia badala yake wanaelekeza watu wajifute na makaratasi Kisha wanawe mikono baada ya kutoka chooni.
Kweli Ethiopia na sehemu nyingi tu hiyo hali ipo ila sidhani kama ni dini bali ni tamaduni. Tanzania na uhakika hakuna choo bila kukuta maji vijijini, mijini hata nyumba za watu bila kujali dini gani. Wazungu ni tamaduni zao sisi sio zetu. Hoja ina mashiko ila sio wa kidini. Hivi vyoo vya makanisani vina maji? mtusaidie kujuwa humu
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa.

Mimi kama mwandishi wa habari, ni muelimishaji umma, ukiona jambo zuri la jamii fulani, waelimishe na wengine wafuate.

Hii ni mada ya swali Je Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, kuna uwezekano Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?.

Jambo la leo ni usafi binafsi wa mwili, baada ya kupunguza uzito, wenzetu Waislamu na nchi za Kiislamu, wanatumia maji kujiswafi, lakini Wakristo na nchi za Kikisto wanatumia karatasi laini, toilet paper, kujiswafi kwa kujifuta baada ya ile shughuli, hapa nauliza ni kujifuta au pia kujipaka?.

Hizi dini kuu zote mbili, Wakristo na Waislamu, ni watoto wa baba mmoja Nabii Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mzaliwa wa kwanza, Ismail, na Wakristo wa ni uzao mzaliwa wa pili, Isaka. Sheria ya Mungu wa dini zote mbili ni sheria moja ya Musa iliyoshushwa kwenye torati.

Kwenye sheria hiyo, Mungu alielekeza namna ya kujiswafi, kabla hujaenda mbele zake na kuelekeza kabisa, lazima unawe kwa maji tiririka!.

Ukristo ulipoingia, wakabadili baadhi ya mambo, ikiwemo kutumia karatasi laini kujiswafi baada ya ile shughuli. Katika pita pita yangu nchi nyingi za Kiislamu, kwenye public toilets zao, kuna maji tiririka, lakini kwenye nchi za Kikristo, kuna TP!.

Sisi Tanzania kwasababu nchi yetu haina dini, public toilets zetu zina both, maji tiririka na TP. Ukisafiri kutokea Dar kwenda Dubai, Doha, Muscat, UAE, kote huko kwenye public toilets zao, utakuta maji tiririka, na TP. Ukienda SA, London, Paris, New York, kwenye public toilets zao, kuna TP only hakuna bomba lolote la maji!.

Japo TP inasafisha, kwa vile ni kavu, inasafisha kwa kupaka, huwezi kulinganisha na maji tiririka ambayo yanasafisha kabisa compared to TP.

Kwa vile sheria ya usafi wa mwili imeelekezwa kidini, na ni Waislamu wanaitekeleza kama Mungu alivyoelekeza, hivyo kuna uwezekano kwenye usafi wa mwili, tukubali tukatae, Waislamu ni wasafi zaidi kuliko Wakristo, na kwa kulijua hilo na umuhimu wa usafi, wanawake wa kisasa wenye kujijali, wanatembea na wipes, na nyumba nyingi za kisasa wanatumia maji tiririka.

Kwa wenzetu Waislamu, wale hata wale wenzetu wao, wakiwa kwenye hali fulani ile, huwa hawafungi na hawaruhusiwi kwenda kuswali Masjid au Msikitini, lakini sikuwahi kusikia hili kwa Wakristu, hivyo wenzetu wale, hata wakiwa kwenye ile hali, wanatinga tuu ibadani mbele za Mungu!, hivyo inawezekana kwenye usafi binafsi, wanawake wa Kiislamu ni wasafi kuliko wanawake wa kikristo?.

Tena usikute usafi huu kwa Waislamu sio usafi tuu wa mwili, ni mpaka moyo na roho, ndio maana wanawake wa Kiislamu wanaweza kuvumilia na kustahimili uke wenza, na ingefanywa survey ya ni wanawake gani akiwa mama wa kambo, anatesa watoto wa aliyemtangulia, a wicked stepmother, mngeshangazwa na matokeo.

Kuna vitu vingi wazungu wametupotosha sisi Wakristo ikiwemo hoja ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu, ndio maana nilimpongeza yule Blaza wangu na kumshauri "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"

Nani aliwaambia wazungu na nchi za Kikristo TP tuu inatosha?.

Nimepandisha bandiko hili kufuatia mimi ni mpenda kula kula vyakula locals kila ninaposafiri, Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? sasa sometimes, tumbo linachafuka ukiwa safarini, inakubidi ujiswafi kwa maji tiririka, tumbo linapokutibuka, ukakuta hakuna maji ni TP pekee ni shughuli, hivyo nimekereka sana na hili!. Hawa wazungu vipi?.

WHO wanapaswa watoe muongozo na maelekezo, public washrooms zote lazima ziwe na maji tiririka na TP, ili wale wa kunawa, wawe huru wanawe na wale wa kujipaka, waendelee kujipaka!.

Paskali
Rejea za mleta mada kuhusu Waislamu na Wakristo
Ukristo unajali zaidi usafi wa kiroho mzebaba
 
Wewe ni muongo!!. Utamaduni wa kujisafisha kwa kutumia maji baada ya kujisaidia umeletwa na waislamu.
Toka tukiwa wadogo tulichofundishwa shuleni kwenye somo la SAYANSIKIMU ni KUNAWA MIKONO BAADA YA KUTOKA CHOONI na siyo kujisafisha baada ya kujisaidia.
Sisi tuliokwenda madrassa ndio tukifundishwa kustanji kwa kutumia maji baada ya kujisaidia haja kubwa na haja ndogo pia.
Bold ya kwanza pale juu sitakujibu kwa sababu wewe na mnaofanana imani hutaka kila kitu muonekane mmekianzisha nyie,uhuru wa nchi hii mmeuleta nyie pia wengi kiidadi ni nyie so hapo point tatu nimekuachia.

Nikuulize,kwa hiyo Wakristo wanaonawa maji wamesoma madrasa gani?yaani kwa akili zako kabisa unaamini aliyekufundisha kunawa mavi kwa maji ni mwalimu wa madrasa na siyo mama yako mzazi?ulikuwa na mama mchafu duniani hajapata kutokea.
 
Kweli Ethiopia na sehemu nyingi tu hiyo hali ipo ila sidhani kama ni dini bali ni tamaduni. Tanzania na uhakika hakuna choo bila kukuta maji vijijini, mijini hata nyumba za watu bila kujali dini gani. Wazungu ni tamaduni zao sisi sio zetu. Hoja ina mashiko ila sio wa kidini. Hivi vyoo vya makanisani vina maji? mtusaidie kujuwa humu
Kwa akili za kawaida unadhani inawezekana visiwe na maji?nikisema havina utaamini eti?

Yaani engineer anayejenga bar aweke system ya maji lakini anayejenga Kanisa asiweke hii inaingia akilini?mbona mnakuwa na dharau sana nyie,mna nini cha ziada dunia hii?
 
Una chuki na Uislamu, na hii mada imekuchoma kweli kweli.

Pascal mayala karibu katika Uislamu.
Mi siongei sana.
Screenshot_2024-11-05-15-10-21-300_org.mozilla.firefox~2.jpg
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa.

Mimi kama mwandishi wa habari, ni muelimishaji umma, ukiona jambo zuri la jamii fulani, waelimishe na wengine wafuate.

Hii ni mada ya swali Je Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, kuna uwezekano Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?.

Jambo la leo ni usafi binafsi wa mwili, baada ya kupunguza uzito, wenzetu Waislamu na nchi za Kiislamu, wanatumia maji kujiswafi, lakini Wakristo na nchi za Kikisto wanatumia karatasi laini, toilet paper, kujiswafi kwa kujifuta baada ya ile shughuli, hapa nauliza ni kujifuta au pia kujipaka?.

Hizi dini kuu zote mbili, Wakristo na Waislamu, ni watoto wa baba mmoja Nabii Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mzaliwa wa kwanza, Ismail, na Wakristo wa ni uzao mzaliwa wa pili, Isaka. Sheria ya Mungu wa dini zote mbili ni sheria moja ya Musa iliyoshushwa kwenye torati.

Kwenye sheria hiyo, Mungu alielekeza namna ya kujiswafi, kabla hujaenda mbele zake na kuelekeza kabisa, lazima unawe kwa maji tiririka!.

Ukristo ulipoingia, wakabadili baadhi ya mambo, ikiwemo kutumia karatasi laini kujiswafi baada ya ile shughuli. Katika pita pita yangu nchi nyingi za Kiislamu, kwenye public toilets zao, kuna maji tiririka, lakini kwenye nchi za Kikristo, kuna TP!.

Sisi Tanzania kwasababu nchi yetu haina dini, public toilets zetu zina both, maji tiririka na TP. Ukisafiri kutokea Dar kwenda Dubai, Doha, Muscat, UAE, kote huko kwenye public toilets zao, utakuta maji tiririka, na TP. Ukienda SA, London, Paris, New York, kwenye public toilets zao, kuna TP only hakuna bomba lolote la maji!.

Japo TP inasafisha, kwa vile ni kavu, inasafisha kwa kupaka, huwezi kulinganisha na maji tiririka ambayo yanasafisha kabisa compared to TP.

Kwa vile sheria ya usafi wa mwili imeelekezwa kidini, na ni Waislamu wanaitekeleza kama Mungu alivyoelekeza, hivyo kuna uwezekano kwenye usafi wa mwili, tukubali tukatae, Waislamu ni wasafi zaidi kuliko Wakristo, na kwa kulijua hilo na umuhimu wa usafi, wanawake wa kisasa wenye kujijali, wanatembea na wipes, na nyumba nyingi za kisasa wanatumia maji tiririka.

Kwa wenzetu Waislamu, wale hata wale wenzetu wao, wakiwa kwenye hali fulani ile, huwa hawafungi na hawaruhusiwi kwenda kuswali Masjid au Msikitini, lakini sikuwahi kusikia hili kwa Wakristu, hivyo wenzetu wale, hata wakiwa kwenye ile hali, wanatinga tuu ibadani mbele za Mungu!, hivyo inawezekana kwenye usafi binafsi, wanawake wa Kiislamu ni wasafi kuliko wanawake wa kikristo?.

Tena usikute usafi huu kwa Waislamu sio usafi tuu wa mwili, ni mpaka moyo na roho, ndio maana wanawake wa Kiislamu wanaweza kuvumilia na kustahimili uke wenza, na ingefanywa survey ya ni wanawake gani akiwa mama wa kambo, anatesa watoto wa aliyemtangulia, a wicked stepmother, mngeshangazwa na matokeo.

Kuna vitu vingi wazungu wametupotosha sisi Wakristo ikiwemo hoja ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu, ndio maana nilimpongeza yule Blaza wangu na kumshauri "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"

Nani aliwaambia wazungu na nchi za Kikristo TP tuu inatosha?.

Nimepandisha bandiko hili kufuatia mimi ni mpenda kula kula vyakula locals kila ninaposafiri, Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? sasa sometimes, tumbo linachafuka ukiwa safarini, inakubidi ujiswafi kwa maji tiririka, tumbo linapokutibuka, ukakuta hakuna maji ni TP pekee ni shughuli, hivyo nimekereka sana na hili!. Hawa wazungu vipi?.

WHO wanapaswa watoe muongozo na maelekezo, public washrooms zote lazima ziwe na maji tiririka na TP, ili wale wa kunawa, wawe huru wanawe na wale wa kujipaka, waendelee kujipaka!.

Paskali
Rejea za mleta mada kuhusu Waislamu na Wakristo
Labda tuanze na hawa wanaenda na kopo la lita moja ya maji msalani, wanajipaka au wanajiswafi? Maana tunaishi nao wengi kwenye mitaa yetu. Na unapozungumzia usafi nafikiri ungetaja eneo hususa moja maana Daaah ngoja nisiendelee. Ila kama ni swala la kutawaza heko kwao.
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa.

Mimi kama mwandishi wa habari, ni muelimishaji umma, ukiona jambo zuri la jamii fulani, waelimishe na wengine wafuate.

Hii ni mada ya swali Je Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, kuna uwezekano Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?.

Jambo la leo ni usafi binafsi wa mwili, baada ya kupunguza uzito, wenzetu Waislamu na nchi za Kiislamu, wanatumia maji kujiswafi, lakini Wakristo na nchi za Kikisto wanatumia karatasi laini, toilet paper, kujiswafi kwa kujifuta baada ya ile shughuli, hapa nauliza ni kujifuta au pia kujipaka?.

Hizi dini kuu zote mbili, Wakristo na Waislamu, ni watoto wa baba mmoja Nabii Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mzaliwa wa kwanza, Ismail, na Wakristo wa ni uzao mzaliwa wa pili, Isaka. Sheria ya Mungu wa dini zote mbili ni sheria moja ya Musa iliyoshushwa kwenye torati.

Kwenye sheria hiyo, Mungu alielekeza namna ya kujiswafi, kabla hujaenda mbele zake na kuelekeza kabisa, lazima unawe kwa maji tiririka!.

Ukristo ulipoingia, wakabadili baadhi ya mambo, ikiwemo kutumia karatasi laini kujiswafi baada ya ile shughuli. Katika pita pita yangu nchi nyingi za Kiislamu, kwenye public toilets zao, kuna maji tiririka, lakini kwenye nchi za Kikristo, kuna TP!.

Sisi Tanzania kwasababu nchi yetu haina dini, public toilets zetu zina both, maji tiririka na TP. Ukisafiri kutokea Dar kwenda Dubai, Doha, Muscat, UAE, kote huko kwenye public toilets zao, utakuta maji tiririka, na TP. Ukienda SA, London, Paris, New York, kwenye public toilets zao, kuna TP only hakuna bomba lolote la maji!.

Japo TP inasafisha, kwa vile ni kavu, inasafisha kwa kupaka, huwezi kulinganisha na maji tiririka ambayo yanasafisha kabisa compared to TP.

Kwa vile sheria ya usafi wa mwili imeelekezwa kidini, na ni Waislamu wanaitekeleza kama Mungu alivyoelekeza, hivyo kuna uwezekano kwenye usafi wa mwili, tukubali tukatae, Waislamu ni wasafi zaidi kuliko Wakristo, na kwa kulijua hilo na umuhimu wa usafi, wanawake wa kisasa wenye kujijali, wanatembea na wipes, na nyumba nyingi za kisasa wanatumia maji tiririka.

Kwa wenzetu Waislamu, wale hata wale wenzetu wao, wakiwa kwenye hali fulani ile, huwa hawafungi na hawaruhusiwi kwenda kuswali Masjid au Msikitini, lakini sikuwahi kusikia hili kwa Wakristu, hivyo wenzetu wale, hata wakiwa kwenye ile hali, wanatinga tuu ibadani mbele za Mungu!, hivyo inawezekana kwenye usafi binafsi, wanawake wa Kiislamu ni wasafi kuliko wanawake wa kikristo?.

Tena usikute usafi huu kwa Waislamu sio usafi tuu wa mwili, ni mpaka moyo na roho, ndio maana wanawake wa Kiislamu wanaweza kuvumilia na kustahimili uke wenza, na ingefanywa survey ya ni wanawake gani akiwa mama wa kambo, anatesa watoto wa aliyemtangulia, a wicked stepmother, mngeshangazwa na matokeo.

Kuna vitu vingi wazungu wametupotosha sisi Wakristo ikiwemo hoja ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu, ndio maana nilimpongeza yule Blaza wangu na kumshauri "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"

Nani aliwaambia wazungu na nchi za Kikristo TP tuu inatosha?.

Nimepandisha bandiko hili kufuatia mimi ni mpenda kula kula vyakula locals kila ninaposafiri, Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? sasa sometimes, tumbo linachafuka ukiwa safarini, inakubidi ujiswafi kwa maji tiririka, tumbo linapokutibuka, ukakuta hakuna maji ni TP pekee ni shughuli, hivyo nimekereka sana na hili!. Hawa wazungu vipi?.

WHO wanapaswa watoe muongozo na maelekezo, public washrooms zote lazima ziwe na maji tiririka na TP, ili wale wa kunawa, wawe huru wanawe na wale wa kujipaka, waendelee kujipaka!.

Paskali
Rejea za mleta mada kuhusu Waislamu na Wakristo
Suala la kutumia maji au karatasi depends na jamii na malezi na mazingira, ita depend mtu yuko confortable na lipi, si suala la dini

Mzee baba umekuwa unashusha nyuzi iwa kukurupuka, nini kimekupata pascal?
 
Back
Top Bottom