Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?

Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?

1)Lengo la mtoa mada ni kusifia dini ya utawala uliopo kama yule aliyemsfia mtawala aliyepita mwendazake kiasi cha kumfananisha na Yesu.
2)Kusifia kusifia yani uchawa kama yule aliyesema akifa azikwe ki islamu.
Lengo ni kusifia sifia malengo ya KISIASA kwa malengo ya kupata manufaa fulani ya kisiasa.
3?
Ila sio kwamba mtoa mada hana akili timamu au hajui ukweli wa hali halisi au kwamba yeye anatumia makaratasi badala ya maji au acount ime hakiwa ,
lah hasha, ndio aina ya siasa iliyofanyika hapa.
 
Sidhani kama ni wewe Paschal Mayala, the great thinker. Au kuna mtu ka hack account yako? Tunategemea utuletee nini kifanyike Dar tupate maji ya kutosha. Kinyume chake 'Great thinker' unakuja na hoja ya takutumia maji mengi kusafishia vinyeo. Grow up Paschal, you can do better than this.
Lakini,ukiangalia mada ilivyo,mletaji ameamua kuchokoza ili tufunguke.Pascal hizi siku mbili tatu anatupeleka mbio sana kwa kutuangalia huku anacheka na kututupia mjadala chokonozi ili tuhangaike nao ilhali yeye anapita ku-like yako.
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa.

Mimi kama mwandishi wa habari, ni muelimishaji umma, ukiona jambo zuri la jamii fulani, waelimishe na wengine wafuate.

Hii ni mada ya swali Je Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, kuna uwezekano Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?.

Jambo la leo ni usafi binafsi wa mwili, baada ya kupunguza uzito, wenzetu Waislamu na nchi za Kiislamu, wanatumia maji kujiswafi, lakini Wakristo na nchi za Kikisto wanatumia karatasi laini, toilet paper, kujiswafi kwa kujifuta baada ya ile shughuli, hapa nauliza ni kujifuta au pia kujipaka?.

Hizi dini kuu zote mbili, Wakristo na Waislamu, ni watoto wa baba mmoja Nabii Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mzaliwa wa kwanza, Ismail, na Wakristo wa ni uzao mzaliwa wa pili, Isaka. Sheria ya Mungu wa dini zote mbili ni sheria moja ya Musa iliyoshushwa kwenye torati.

Kwenye sheria hiyo, Mungu alielekeza namna ya kujiswafi, kabla hujaenda mbele zake na kuelekeza kabisa, lazima unawe kwa maji tiririka!.

Ukristo ulipoingia, wakabadili baadhi ya mambo, ikiwemo kutumia karatasi laini kujiswafi baada ya ile shughuli. Katika pita pita yangu nchi nyingi za Kiislamu, kwenye public toilets zao, kuna maji tiririka, lakini kwenye nchi za Kikristo, kuna TP!.

Sisi Tanzania kwasababu nchi yetu haina dini, public toilets zetu zina both, maji tiririka na TP. Ukisafiri kutokea Dar kwenda Dubai, Doha, Muscat, UAE, kote huko kwenye public toilets zao, utakuta maji tiririka, na TP. Ukienda SA, London, Paris, New York, kwenye public toilets zao, kuna TP only hakuna bomba lolote la maji!.

Japo TP inasafisha, kwa vile ni kavu, inasafisha kwa kupaka, huwezi kulinganisha na maji tiririka ambayo yanasafisha kabisa compared to TP.

Kwa vile sheria ya usafi wa mwili imeelekezwa kidini, na ni Waislamu wanaitekeleza kama Mungu alivyoelekeza, hivyo kuna uwezekano kwenye usafi wa mwili, tukubali tukatae, Waislamu ni wasafi zaidi kuliko Wakristo, na kwa kulijua hilo na umuhimu wa usafi, wanawake wa kisasa wenye kujijali, wanatembea na wipes, na nyumba nyingi za kisasa wanatumia maji tiririka.

Kwa wenzetu Waislamu, wale hata wale wenzetu wao, wakiwa kwenye hali fulani ile, huwa hawafungi na hawaruhusiwi kwenda kuswali Masjid au Msikitini, lakini sikuwahi kusikia hili kwa Wakristu, hivyo wenzetu wale, hata wakiwa kwenye ile hali, wanatinga tuu ibadani mbele za Mungu!, hivyo inawezekana kwenye usafi binafsi, wanawake wa Kiislamu ni wasafi kuliko wanawake wa kikristo?.

Tena usikute usafi huu kwa Waislamu sio usafi tuu wa mwili, ni mpaka moyo na roho, ndio maana wanawake wa Kiislamu wanaweza kuvumilia na kustahimili uke wenza, na ingefanywa survey ya ni wanawake gani akiwa mama wa kambo, anatesa watoto wa aliyemtangulia, a wicked stepmother, mngeshangazwa na matokeo.

Kuna vitu vingi wazungu wametupotosha sisi Wakristo ikiwemo hoja ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu, ndio maana nilimpongeza yule Blaza wangu na kumshauri "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"

Nani aliwaambia wazungu na nchi za Kikristo TP tuu inatosha?.

Nimepandisha bandiko hili kufuatia mimi ni mpenda kula kula vyakula locals kila ninaposafiri, Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? sasa sometimes, tumbo linachafuka ukiwa safarini, inakubidi ujiswafi kwa maji tiririka, tumbo linapokutibuka, ukakuta hakuna maji ni TP pekee ni shughuli, hivyo nimekereka sana na hili!. Hawa wazungu vipi?.

WHO wanapaswa watoe muongozo na maelekezo, public washrooms zote lazima ziwe na maji tiririka na TP, ili wale wa kunawa, wawe huru wanawe na wale wa kujipaka, waendelee kujipaka!.

Paskali
Rejea za mleta mada kuhusu Waislamu na Wakristo
Usafi wa mwili ni tabia ya mtu. Na hujengwa ktk familia. Kuna makabila yanajali usafi na kuna wengine ni wachafu tu kwa asili haijalishi dini. Hata hivyo wenzetu waislamu wapo kimwili zaidi hawajui njia ya kiroho ya kumuona Mungu wanajaribu kutawadhatawadha wakidhani usafi wa mwili utawafanya wapate uzima. Bila kuoshwa kwa damu ya Yesu Kristo sahau kumwona Mungu. Na huo ndio ukweli mengine yote ni kujifariji tu.
 
Mbona una panic, Mimi siamini suala hili la maji au hapana lina udini. Mtoa mada katumia neno wakristo na waislamu japo yeye ni mkristo. Mimi siamini kwenye hili sasa labda mwenzetu ana ushuhuda na anachosema. Ndio maana nimeuliza kwa nia safi tu kwani vyoo makanisani havina maji? maana kama udini nategemea jibu hakuna maji basi kama vina maji mtoa mada inabidi arekibishe tu kutotumia maji halishikamani na dini. Mwenzangu ume panic kama umetukanwa.
Hili halikuwa swali bali kebehi coz umeuliza kama mtu anaeamini alichouliza kipo hivyo,
IMG_20241108_164516.jpg


Kwa akili za kawaida tu mtu makini hawezi kuuliza kitu kama hiki tena akitaka na ufafanuzi,lugha laini uliyotumia hapo hukuitumia pale juu post yako ya mwanzo.
 
Ungesema tu maji ni bora katika usafi wa mwili kuliko karatasi ingetosha kisha kwenye mifano huko ndo ungesifu mafundisho ya uislamu juu ya swala hilo

Sasa hilo la kusema wakristo na makaratasi sidhani kama lina afya sana maana siyo kwamba wakristo wote hawatumii maji wala siyo kwamba hakuna muislamu asiyetumia karatasi na wala siyo kwamba wote wanaotumia makaratasi huku wakiyaepuka maji basi ndo ukristo umewafunza hivyo!
 
JamiiForums mrudishieni pasco account yake!! Huyu anayeitumia anavuta bangi
Kwani hiy id ime hack wa!?? mbona uandishi ni yeye kbs kwan kimemkuta kp???
Wakuu Pipa na Robo, mr pipa & Robot la Matope , huyu ni mimi mwenyewe, kama hujawahi kusafiri nje ya Tanzania ukapita airports za nchi za Kiislamu na Airports za nchi za Kikristo, hamtanielewa nasema nini!.
Just imagine una tumbo la kuendesha, umeshikwa kweli kweli, kisha unaingia tuu washroom ni waaaa..., unakuta hakuna maji!, only TP!.
P
 
Ndio maana ushoga uko sana huko pwani maana mnaingia na kopo la maji chooni kujitekenya mqundu kwa vidole eti ndio kutawadha, halafu hiyo mikono mnatumia kusalimia watu.
Yote hii kisa Muarabu alibuni dini ya juzi sana baada ya Yesu kuondoka, akawaagiza muwe mnajitekenya humo.
Mimi huwa sisalimii kwa mikono hadi nijue dini yako.
Mafundisho matukufu ya dini yetu ni kustanji ( kujisafisha baada ya kujisaidia ) kwa kutumia mkono wa kushoto, kula na kusalimia watu tunatumia mkono wa kulia. Kila mkono una kazi yake na kazi za mkono wa kushoto hazifanyi na mkono wa kulia na kazi za mkono wa kulia hazifanywi na mkono wa kushoto.
Halafu hata hao wanaojifuta kwa makaratasi Bado wanapeleka mikono yao matakoni ndiyo maana wanasisitiza kunawa mikono baada ya kutoka chooni.
Kwa hiyo kama hutaki kusalimia watu wanaojisafisha baada ya kujisaidia hutapata mtu wa kusalimia.
 
Lakini,ukiangalia mada ilivyo,mletaji ameamua kuchokoza ili tufunguke.Pascal hizi siku mbili tatu anatupeleka mbio sana kwa kutuangalia huku anacheka na kututupia mjadala chokonozi ili tuhangaike nao ilhali yeye anapita ku-like yako.
Bora angekua na hoja kuwa huko Gaza, wakati watu au ndugu zetu wakiwa wanatawadha kwa ajili ya swala Myahudi anawapiga mabomu na kuwaua. Nini kifanyike kuzuia Myahudi kuangamiza Wapalestina. Hapo tungesema Mayala kama Mayala kaleta hoja chechemuzi.
 
Ungesema tu maji ni bora katika usafi wa mwili kuliko karatasi ingetosha kisha kwenye mifano huko ndo ungesifu mafundisho ya uislamu juu ya swala hilo

Sasa hilo la kusema wakristo na makaratasi sidhani kama lina afya sana maana siyo kwamba wakristo wote hawatumii maji wala siyo kwamba hakuna muislamu asiyetumia karatasi na wala siyo kwamba wote wanaotumia makaratasi huku wakiyaepuka maji basi ndo ukristo umewafunza hivyo!
Thanks, very objective, hapa nimesema dini zote mbili zinatumia sheria ya Musa, imeelekeza kujiswafi kwa maji!. Airport ya Paris, London, Amsterdam, US zote ni TP only, mbona zile za maji ni simple ,better heathier na more sanitaric?.
p
 
Hivi ba
Wakuu Pipa na Robo, mr pipa & Robot la Matope , huyu ni mimi mwenyewe, kama hujawahi kusafiri nje ya Tanzania ukapita airports za nchi za Kiislamu na Airports za nchi za Kikristo, hamtanielewa nasema nini!.
Just imagine una tumbo la kuendesha, umeshikwa kweli kweli, kisha unaingia tuu washroom ni waaaa..., unakuta hakuna maji!, only TP!.
P
1)Hivi bado kuna nchi/air port za dini moja tu..
2)Kwamba vyoo vinatumiwa na watu wa dini moja tu.
3)Kwamba kuna elimu ya dini au elimu ya nchi inafundisha watu kutotumia maji.
4)Kwamba watu wa dini moja ni wachafu na watu wa dini nyingine ni wasafi.
BADO TUNAJADILI DINI,MAKABILA...
HOJA yako kama ulilenga kuelimisha jamii yetu yenye dini mbalimbali kuhusu USAFI WA MWILI NA AFYA ungejikita kwenye hoja,bila kuingiza DINI ,umeonyesha BIAS na kuleta taharuki na kuwagawa watu kwa misingi ya DINI zao badala ya kuwaunganisha,watu wanaanza kukashifiana dini zao kutukanana dini zao,kubezana ,kutwezana utu wao
****ulikuwepo uwezekano wa kutoa hoja yako au hiyo ELIMU ya usafi na maji bila kuwagawa watu kwa misingi ya DINI.
 
1)Lengo la mtoa mada ni kusifia dini ya utawala uliopo kama yule aliyemsfia mtawala aliyepita mwendazake kiasi cha kumfananisha na Yesu.
2)Kusifia kusifia yani uchawa kama yule aliyesema akifa azikwe ki islamu.
Lengo ni kusifia sifia malengo ya KISIASA kwa malengo ya kupata manufaa fulani ya kisiasa.
3?
Ila sio kwamba mtoa mada hana akili timamu au hajui ukweli wa hali halisi au kwamba yeye anatumia makaratasi badala ya maji au acount ime hakiwa ,
lah hasha, ndio aina ya siasa iliyofanyika hapa.
Duh...!, unaamini mimi ni chawa wa mama!, na hili ni bandiko la kichawa?.
P
 
Mleta mada atanangwa ila kasema ukweli, jamii zilizotawaliwa na ukristo kwenye swala la kujiswafi kuna walakini. Tz kuna afadhali sababu ukristo na uislam upo karibia 50/50 na tumeamua kuchanganya tamaduni za kiislam na kikristo.

Ukitaka ulitambue hili nenda kwa nchi kama Zambia, Malawi, Eswatini, Ghana, Zimbabwe etc ambao kwa %kubwa walitawaliwa na wazungu, utalibaini hili kwa kiwango kikubwa sana. Wale jamaa wanatembea na uchafu makalioni...truth be told.
Asante sana kwa kuliona hili.
Mimi nimetoa mfano wa kile nilichokikuta uwanja wa ndege wa Addis Ababa Ethiopia. Maji wameyaweka nje ya choo ili mtu akitoka chooni anawe mikono yake lakini huko chooni kwenyewe wameweka matoiletpaper matupu.
Ni kweli asili ya kujisafisha kwa maji baada ya kujisaidia imetoka kwa waislamu wanafunzi wa mtume Muhammad
صلى الله عليه وآله وسلم.
 
Hivi ba
1)Hivi bado kuna nchi/air port za dini moja tu..
2)Kwamba vyoo vinatumiwa na watu wa dini moja tu.
3)Kwamba kuna elimu ya dini au elimu ya nchi inafundisha watu kutotumia maji.
4)Kwamba watu wa dini moja ni wachafu na watu wa dini nyingine ni wasafi.
BADO TUBAJADILI DINI,MAKABILA...
HOJA yako kama ulilenga kuelimisha USAFI NA AFYA ungejikita kwenye hoja,bila kuingiza DINI ,umeonyesha BIAS na kuleta taharuki na kuwagawanga watu kwa misingi ya DINI
ukikuwepo uwezekano wa kutoa hoja yako au hiyo ELIMU ya usafi na maji bila kuwagawa watu kwa misingi ya DINI.
Kosa langu kubwa jf ni kusema ukweli no matter what. Kitu gani kinafanya Airports za nchi za Kiislamu zina maji, za nchi za Kikristo hazina?.
P
 
Mi ni mkristo ila situmii tishu/karatasi kujisafisha chooni, natumia maji. Kuna wafanyakazi wenzangu wa dini yangu walinishangaa na kuniona ni mchafu/mshika kinyesi wakati wa kujisafisha chooni na walinionea kinyaa wakidhani nina mabaki ya kinyesi kwenye vidole vyangu vya mkono
Wewe ni mtu mkweli sana.
Karibu katika uislamu dini ya USAFI na ukweli.
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa.

Mimi kama mwandishi wa habari, ni muelimishaji umma, ukiona jambo zuri la jamii fulani, waelimishe na wengine wafuate.

Hii ni mada ya swali Je Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, kuna uwezekano Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?.

Jambo la leo ni usafi binafsi wa mwili, baada ya kupunguza uzito, wenzetu Waislamu na nchi za Kiislamu, wanatumia maji kujiswafi, lakini Wakristo na nchi za Kikisto wanatumia karatasi laini, toilet paper, kujiswafi kwa kujifuta baada ya ile shughuli, hapa nauliza ni kujifuta au pia kujipaka?.

Hizi dini kuu zote mbili, Wakristo na Waislamu, ni watoto wa baba mmoja Nabii Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mzaliwa wa kwanza, Ismail, na Wakristo wa ni uzao mzaliwa wa pili, Isaka. Sheria ya Mungu wa dini zote mbili ni sheria moja ya Musa iliyoshushwa kwenye torati.

Kwenye sheria hiyo, Mungu alielekeza namna ya kujiswafi, kabla hujaenda mbele zake na kuelekeza kabisa, lazima unawe kwa maji tiririka!.

Ukristo ulipoingia, wakabadili baadhi ya mambo, ikiwemo kutumia karatasi laini kujiswafi baada ya ile shughuli. Katika pita pita yangu nchi nyingi za Kiislamu, kwenye public toilets zao, kuna maji tiririka, lakini kwenye nchi za Kikristo, kuna TP!.

Sisi Tanzania kwasababu nchi yetu haina dini, public toilets zetu zina both, maji tiririka na TP. Ukisafiri kutokea Dar kwenda Dubai, Doha, Muscat, UAE, kote huko kwenye public toilets zao, utakuta maji tiririka, na TP. Ukienda SA, London, Paris, New York, kwenye public toilets zao, kuna TP only hakuna bomba lolote la maji!.

Japo TP inasafisha, kwa vile ni kavu, inasafisha kwa kupaka, huwezi kulinganisha na maji tiririka ambayo yanasafisha kabisa compared to TP.

Kwa vile sheria ya usafi wa mwili imeelekezwa kidini, na ni Waislamu wanaitekeleza kama Mungu alivyoelekeza, hivyo kuna uwezekano kwenye usafi wa mwili, tukubali tukatae, Waislamu ni wasafi zaidi kuliko Wakristo, na kwa kulijua hilo na umuhimu wa usafi, wanawake wa kisasa wenye kujijali, wanatembea na wipes, na nyumba nyingi za kisasa wanatumia maji tiririka.

Kwa wenzetu Waislamu, wale hata wale wenzetu wao, wakiwa kwenye hali fulani ile, huwa hawafungi na hawaruhusiwi kwenda kuswali Masjid au Msikitini, lakini sikuwahi kusikia hili kwa Wakristu, hivyo wenzetu wale, hata wakiwa kwenye ile hali, wanatinga tuu ibadani mbele za Mungu!, hivyo inawezekana kwenye usafi binafsi, wanawake wa Kiislamu ni wasafi kuliko wanawake wa kikristo?.

Tena usikute usafi huu kwa Waislamu sio usafi tuu wa mwili, ni mpaka moyo na roho, ndio maana wanawake wa Kiislamu wanaweza kuvumilia na kustahimili uke wenza, na ingefanywa survey ya ni wanawake gani akiwa mama wa kambo, anatesa watoto wa aliyemtangulia, a wicked stepmother, mngeshangazwa na matokeo.

Kuna vitu vingi wazungu wametupotosha sisi Wakristo ikiwemo hoja ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu, ndio maana nilimpongeza yule Blaza wangu na kumshauri "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"

Nani aliwaambia wazungu na nchi za Kikristo TP tuu inatosha?.

Nimepandisha bandiko hili kufuatia mimi ni mpenda kula kula vyakula locals kila ninaposafiri, Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? sasa sometimes, tumbo linachafuka ukiwa safarini, inakubidi ujiswafi kwa maji tiririka, tumbo linapokutibuka, ukakuta hakuna maji ni TP pekee ni shughuli, hivyo nimekereka sana na hili!. Hawa wazungu vipi?.

WHO wanapaswa watoe muongozo na maelekezo, public washrooms zote lazima ziwe na maji tiririka na TP, ili wale wa kunawa, wawe huru wanawe na wale wa kujipaka, waendelee kujipaka!.

Paskali
Rejea za mleta mada kuhusu Waislamu na Wakristo
Sijasoma ulichoandika zaidi ya kichwa cha habari, ila siku hizi inaonyesha something somewhere not right
 
Asante sana kwa kuliona hili.
Mimi nimetoa mfano wa kile nilichokikuta uwanja wa ndege wa Addis Ababa Ethiopia. Maji wameyaweka nje ya choo ili mtu akitoka chooni anawe mikono yake lakini huko chooni kwenyewe wameweka matoiletpaper matupu.
Ni kweli asili ya kujisafisha kwa maji baada ya kujisaidia imetoka kwa waislamu wanafunzi wa mtume Muhammad
صلى الله عليه وآله وسلم.
Kuna Wakristo hawataki kusikia kitu chochote kizuri kuhusu Uislamu, hadi Bible kuna sehemu wazungu wamesema uongo, nikauliza humu Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?
P
 
Back
Top Bottom